Duni Haji: Wapinzani tusipoungana CCM itaendelea kutawala miaka 100 ijayo. Alichoongea Zitto ndicho Lissu alichoongea na Rais Samia

Duni Haji: Wapinzani tusipoungana CCM itaendelea kutawala miaka 100 ijayo. Alichoongea Zitto ndicho Lissu alichoongea na Rais Samia

We still have much more distance to go
Hivi Juma Haji hajui kuwa suala siyo kuungana Bali mfumo wa nchi unaotenda haki.
Hajui kwamba wa ndo wamekuwa wakituambia hawatendewi haki katika uchaguzi? Je walishinda Zanzibar wakati wa muungano wa vyama 2015? Kama siyo kwamba Jecha alifuta matokeo yaliyokuwa yanampa ushindi Seif ambaye alikuwa upinzani.
Kama Duni haji hajui haya basi hatuna viongozi wanaojielewa.
Na kama ndo hivi basi tutasubiri Sana.
 
Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.

Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.

Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Wazanzibar kwa sasa hutawasikia tena wakilalamika kama zamani. Uwepo wa Maza kwenye kiti kumewaridhisha kabisa...... Ni kama vile matatizo yao yameisha. Siku Maza akitoa waendelee hivyo hivyo wasituletee mambo yao ya Zanzibar yenye mamlaka kamili.
 
Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.

Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.

Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.

Maendeleo hayana vyama!
c.c Pascal Mayalla

Mkuu

Vyama vya upinzani vikiungana na kuunda "UKAWA", je, itakuwa ni muarobaini wa kuzuia CCM isitawale miaka 100?

Wasalaam
 
c.c Pascal Mayalla

Mkuu

Vyama vya upinzani vikiungana na kuunda "UKAWA", je, itakuwa ni muarobaini wa kuzuia CCM isitawale miaka 100?

Wasalaam
Kwanza UkAWA ulikuwa ni umoja wa conveniences tuu za katiba Swali kwa Wana UKAWA: Is UKAWA for Real or Just A Marriage of Convenience?.-Ni Swali Tuu!. ila siku zote umoja ni nguvu!, utengano ni udhaifu!, anachoshauri Juma Duni ni kitu cha kweli, kwasababu Tanzania bado hatuna upinzani imara na makini, hivyo dawa pekee ni kwa wapinzani kuungana.

Ila not for uchaguzi wa 2025, it's too little too late, projections zangu ilikuwa ni 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
p
 
Wapinzani wa uhakika Hata Mimi CCM Naamini ni chadema,,Wa kwanza wao lisu na lema Hao ni ngunguriii.
 
Kwanza UkAWA ulikuwa ni umoja wa conveniences tuu za katiba Swali kwa Wana UKAWA: Is UKAWA for Real or Just A Marriage of Convenience?.-Ni Swali Tuu!. ila siku zote umoja ni nguvu!, utengano ni udhaifu!, anachoshauri Juma Duni ni kitu cha kweli, kwasababu Tanzania bado hatuna upinzani imara na makini, hivyo dawa pekee ni kwa wapinzani kuungana.

Ila not for uchaguzi wa 2025, it's too little too late, projections zangu ilikuwa ni 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
p
mkuu Pascal Mayalla

Perspectives mujarabu sana hizi.
Muhimu zaidi ni hizi timelines unajazia. Nina-imagine unaona kitu kama dashboard hivi unaitazama.

Wanasiasa wetu wasione ugumu kupata wasaa kujadili masuala ya kisiasa ya nchi yetu pamoja nawe. Hii ni nchi yetu sote. Ninayo Imani kubwa kuwa unayo mengi yanayoweza kuifaa nchi yetu.

Nikutakie kila la kheri mkuu.
 
mkuu Pascal Mayalla

Perspectives mujarabu sana hizi.
Muhimu zaidi ni hizi timelines unajazia. Nina-imagine unaona kitu kama dashboard hivi unaitazama.

Wanasiasa wetu wasione ugumu kupata wasaa kujadili masuala ya kisiasa ya nchi yetu pamoja nawe. Hii ni nchi yetu sote. Ninayo Imani kubwa kuwa unayo mengi yanayoweza kuifaa nchi yetu.

Nikutakie kila la kheri mkuu.
Niliwahi kuajiriwa post ya Mshauri wa Siasa wa Ubalozi wa Uingereza kwa miaka 4. Nilikuwa nalipwa pesa ndefu kwa kutoa tuu ushauri, humu nawashauri bure hawa jamaa zetu humu, wanadharau sana na kunibeza, ila mwisho wa siku ukweli wanauona.

Chadema walikuwa wachukue nchi ile 2015 ila basi tuu!. Toka 2010 tumewashauri humu CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! 2012 tumewashauri tena Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Matokeo yake ndio vile tena!.
P
 
Wakiungana mnawafanyia hila ya mapandikizi kiharibu inamaana gani sasa?

Kina la profeseri Lifumba, kina silaha , n.k
 
Niliwahi kuajiriwa post ya Mshauri wa Siasa wa Ubalozi wa Uingereza kwa miaka 4. Nilikuwa nalipwa pesa ndefu kwa kutoa tuu ushauri, humu nawashauri bure hawa jamaa zetu humu, wanadharau sana na kunibeza, ila mwisho wa siku ukweli wanauona.

Chadema walikuwa wachukue nchi ile 2015 ila basi tuu!. Toka 2010 tumewashauri humu CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! 2012 tumewashauri tena Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Matokeo yake ndio vile tena!.
P
Heko sana mkuu

Maandiko yako yanasawiji models Kali kali. Anyway, wakati utafika watakumbuka
 
unaungana na nani ,hapo ndipo panashida

Siasa ya nchi yetu inakwamishwa na ushiriki wa Wananchi. Wengi hawaoni kama siasa inawaathiri moja kwa moja.

Kwa ujumla, mtazamo wa Watanzania wengi kwenye siasa ni mtazamo wa kutojali.

Unless Elimu ya kujali iwafikie walio wengi, ndiposa tutaona mabadiliko.

Keyword: Watanzania wengi
 
Back
Top Bottom