Duni Haji: Wapinzani tusipoungana CCM itaendelea kutawala miaka 100 ijayo. Alichoongea Zitto ndicho Lissu alichoongea na Rais Samia

kuiondoa tu CCM ni sawa ndio. Shida ni tunampa nani kwa sababu zipi. Hata wakiungana, lkn je, wanastahili kutuongoza? Kuungana ndio kutawapa sifa ya kufanya tuwachague?
 
Mbona wao kina duni na ACT yao ya michongo wameungana na CCM?
 
kuiondoa tu CCM ni sawa ndio. Shida ni tunampa nani kwa sababu zipi. Hata wakiungana, lkn je, wanastahili kutuongoza? Kuungana ndio kutawapa sifa ya kufanya tuwachague?
Sifa ya kufanya watu wachaguliwe ni ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…