Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Acha ujinga we kenge.Hahahaaaa..... Nitajie mjumbe mmoja tu wa kamati kuu ya Chadema ambaye siyo mwanaccm!
Punguza kutukana basi, ugumu wa maisha umekufanya umekuwa na hasira snSounds like your an idiot stupid gay
Tatizo unaungana na nani ,Hawa viongozi ambao hasubui wapo na vyama vyao kuonesha ni wapinzani,usiku wapo na ccm kutetea ugali wao, tulipofikaMwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.
Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.
Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Mpinzani ni CHADEMA TU nyie Sio WAPINZANIMwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.
Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.
Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Hakuna kuungana ngoma iende hivi hivi kitajulikana mapema tuTatizo unaungana na nani ,Hawa viongozi ambao hasubui wapo na vyama vyao kuonesha ni wapinzani,usiku wapo na ccm kutetea ugali wao, tulipofika
Chadema hata bila kuungana na chama chochote Inaiondoa ccm mchana kweupe, hakuna Cha kuungana na watu wasio na dhamila ya kweli
Kwanini wasiungane na akina Mrema na Cheyo?Hakuna kuungana ngoma iende hivi hivi kitajulikana mapema tu
Mbwakachoka!Acha ujinga we kenge.
Sifa za kustahili kuchaguliwa na kuongoza ni zipi?kuiondoa tu CCM ni sawa ndio. Shida ni tunampa nani kwa sababu zipi. Hata wakiungana, lkn je, wanastahili kutuongoza? Kuungana ndio kutawapa sifa ya kufanya tuwachague?
Kuongoza sio zamu hadi mushinde uchaguzi ndionawrza ongoza.Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.
Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.
Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni kubwa jinga unajulikana.ACT wazalendo ni chama kikubwa!
Cathoric ndio kitu gani MATAGA?Cathoric na Apostorico!
Mbwakachoka!Wewe ni kubwa jinga unajulikana.
Hicho hicho meku!Cathoric ndio kitu gani MATAGA?
Hata Petrol alikuwa kijana wa Yesu
Utakuwa umeelewa lakini mkuuPetrol tena, basi sawa.!! π π π