Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Huu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu.
Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe apite.
Wote tutavalushwa surui fupi na kobasi.