Dunia bila ya Ukiranja wa Marekani itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana

Dunia bila ya Ukiranja wa Marekani itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana

Gaddafi hakuwahi kuipenda afrika alitaka kuwatumia waafrika kwa manufaa yake ya kisiasa na kiuchumi,ndiye aliyekuwa mfadhili mkuu wa vikundi vya kigaidi. Bora alinyongwa mbwa yule.
Mkumbushe tu kuwa wakati tunapambana na uganda vita ya kagera gaddafi ndo alikuwa ni mfadhili wa uganda.
 
Yeye si anasifiwa kiranja na mleta amani sasa ameshindwa vipi kuzuia ,kama kiranja haijalishi ameta au hajaleta kazi yake ni kuweka mambo sawa.

Huko Rwanda mfano CIA walikuwa na information kuhusu kila kitu kinachoendelea na kipi kitakuja kutokea lakini hawakufanya lolote la maana mpaka yakatokea yaliyotokea , USA ni kiranja wa mchong.

Wewe si ndio kila siku unalalama usa kuingilia masuala ya ndani ya nchi,acha unafiki.
 
Mataifa ya kiarabu kama syria, Libya, Afghanistan, n.k wanaweza kuwa na mawazo tofauti.
Au wao sio eneo la dunia?
Hata taifa lako linaweza kuwa na mawazo tofauti.
 
Hata taifa lako linaweza kuwa na mawazo tofauti.
Ndio.
Umetumia sababu zipi kuhitimisha kwamba dunia bila ya Ukiranja wa Marekani itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana ilhali kuna mataifa mengi yamekwisha experiance huko "kuchinjana" marekani akiwa kiranja?
 
Mbona sasahivi unalazimishwa kukazana wanaume kwa wanaume
Sasa nchi kama Iran ndo iwe superpower nazani kile wanachofanyiwa wandamanaji wakuvaa hijab ndo ingekua lifestyle.... Mashia wangetamba sunni wangeisoma
 
U
Huu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu.

Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe apite.
Ujunga ukikaa unageuka maradhi
 
Ukishapinga andika kile unachokiona sahihi na siyo ubabaishaji asee!.

Sikubaliani maana yake ni ambacho kaandika, na ninakubaliana na vinginevyo, ni basi tu unakuwa mjuaji.
 
Bila Marekani imara Putin angeshachukua Ukraine zamani mno, saiz angekuwa anamalizia kuzitwaa Poland, Lithium, nk
 
The world currently is becoming so volatile and dynamic.
The USA and it's allies which has for Long time exerted it's heagomy around the world is now been challanged by China and it's allies.
The question is can this two groups co exist harmoniously and peaceful?
As for me don't believe in multi pole world it's has never existed and I believe will never existed on group has to be at the top with one superpower on top of them, the. Which group will prevail and by which means,l? By conventional war? By economic war or by nuclear war?
What's the position of Africa and Tanzania in particular?
Do we stand to benefit or to loose from this global reset?
I would advise our leaders in Africa to stand affirm in their position and not play puppet to any group?
In this environment Africa should have one voice which can be archived by sincere unity among African leaders
All engagement with those powers.
Mchawi lugha
 
Huu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu.

Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe apite.
Bila marekani Ardhi itajaa damu.

Kuna watu wanajali madaraka kuliko hata Wazazi wao.
 
Tangu Marekani iwe kiranja dunia imekuwa na amani, maendeleo, utangamano na mafanikio zaidi kuliko wakati wowote hii ni pamoja na madhaifu na matatizo yote ambayo Marekani inatuhumiwa nayo.
Kuanzia baada ya WWII hadi karne ya 21 ndicho kipindi dunia imezidi kuboreka zaidi kuliko karne nyingine zozote.
Kuna shetani anaitwa Putin au Jom Kin hawa Mungu abaki nao huko huko tu.
 
Hivi hapo juu umetoa hoja wewe? Elimu elimu elimu, mimi nimejibu statement yako, wewe unadai hoja? Najibuje oja kwenye Ngonjera?

Au hoja ni:

"Mwenye nguvu mpishe"?

Ngoja nijibu:

Sitaki mpisha, Hana nguvu.
Boss mbona povu hivi...
"Why so attacking?"

Ngoja nikusaidie ......

""Hapo juu umetoa hoja wewe?
mimi nimejibu statement yako, wewe unadai hoja?
Najibuje hoja kwenye Ngonjera?""

Safi kabisaa NO NEGATIVE ATTACK.


#YNWA
 
Huu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu.

Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe apite.
Sikubaliana na wewe na pia una unazi ndo maana unawafagilia
 
Hayo mambo ya "Balance of power" ni kati ya nani na nani na ikishatokea dunia itafaidikaje?

Dollar inaondolewaje BRICS. Yaani hizo nchi za BRICS hazitafanya biashara na Marekani?

Hivi Gaddafi ni wakati Gani alitaka kuiunganisha Afrika?

Wanataka kuwe na "balance of power" au wao wanataka kuwa na "Power monopoly" Kwa nchi masikini zenye rasirimali asilia lakini zisizo na weledi wa kujiongoza?

Sawa.
Kwa majibu haya uliyojibu nahitimisha kuwa wewe ni juha usiyejitambua huku duniani.
 
Back
Top Bottom