Mkumbushe tu kuwa wakati tunapambana na uganda vita ya kagera gaddafi ndo alikuwa ni mfadhili wa uganda.Gaddafi hakuwahi kuipenda afrika alitaka kuwatumia waafrika kwa manufaa yake ya kisiasa na kiuchumi,ndiye aliyekuwa mfadhili mkuu wa vikundi vya kigaidi. Bora alinyongwa mbwa yule.
Yeye si anasifiwa kiranja na mleta amani sasa ameshindwa vipi kuzuia ,kama kiranja haijalishi ameta au hajaleta kazi yake ni kuweka mambo sawa.
Huko Rwanda mfano CIA walikuwa na information kuhusu kila kitu kinachoendelea na kipi kitakuja kutokea lakini hawakufanya lolote la maana mpaka yakatokea yaliyotokea , USA ni kiranja wa mchong.
Hata taifa lako linaweza kuwa na mawazo tofauti.Mataifa ya kiarabu kama syria, Libya, Afghanistan, n.k wanaweza kuwa na mawazo tofauti.
Au wao sio eneo la dunia?
Ndio.Hata taifa lako linaweza kuwa na mawazo tofauti.
Jenga hoja usilete hitimisho kwa unachowaza kichwani mwako ambacho wengine hatukijui.Yaani jibu lako linaonesha uhaalisia wako,
Sasa nchi kama Iran ndo iwe superpower nazani kile wanachofanyiwa wandamanaji wakuvaa hijab ndo ingekua lifestyle.... Mashia wangetamba sunni wangeisoma
Watu wanapumuliwa na bado anawakubali[emoji1787]dunia bila marekani tungeishi kwa amani hata ushoga usingekuwepo
Ujunga ukikaa unageuka maradhiHuu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu.
Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe apite.
Ukishapinga andika kile unachokiona sahihi na siyo ubabaishaji asee!.Sikubaliana na wewe
Ukishapinga andika kile unachokiona sahihi na siyo ubabaishaji asee!.
Mchawi lughaThe world currently is becoming so volatile and dynamic.
The USA and it's allies which has for Long time exerted it's heagomy around the world is now been challanged by China and it's allies.
The question is can this two groups co exist harmoniously and peaceful?
As for me don't believe in multi pole world it's has never existed and I believe will never existed on group has to be at the top with one superpower on top of them, the. Which group will prevail and by which means,l? By conventional war? By economic war or by nuclear war?
What's the position of Africa and Tanzania in particular?
Do we stand to benefit or to loose from this global reset?
I would advise our leaders in Africa to stand affirm in their position and not play puppet to any group?
In this environment Africa should have one voice which can be archived by sincere unity among African leaders
All engagement with those powers.
Bila marekani Ardhi itajaa damu.Huu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu.
Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe apite.
Kuna shetani anaitwa Putin au Jom Kin hawa Mungu abaki nao huko huko tu.Tangu Marekani iwe kiranja dunia imekuwa na amani, maendeleo, utangamano na mafanikio zaidi kuliko wakati wowote hii ni pamoja na madhaifu na matatizo yote ambayo Marekani inatuhumiwa nayo.
Kuanzia baada ya WWII hadi karne ya 21 ndicho kipindi dunia imezidi kuboreka zaidi kuliko karne nyingine zozote.
Sasa imagine supper power awe KagameChini ya ukiranja wa USA kumetokea mauji ,vifo na vita vingi mno.
Mifano;
Rwanda ,Lebanon,Sudani,Bosnia nk
Boss mbona povu hivi...Hivi hapo juu umetoa hoja wewe? Elimu elimu elimu, mimi nimejibu statement yako, wewe unadai hoja? Najibuje oja kwenye Ngonjera?
Au hoja ni:
"Mwenye nguvu mpishe"?
Ngoja nijibu:
Sitaki mpisha, Hana nguvu.
Sikubaliana na wewe na pia una unazi ndo maana unawafagiliaHuu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu.
Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe apite.
Kumbe kuna watu hamna akili kabisaUlimwengu chini ya utawala wa USA ni bora kuliko alternative nyingine yoyote
Kwa majibu haya uliyojibu nahitimisha kuwa wewe ni juha usiyejitambua huku duniani.Hayo mambo ya "Balance of power" ni kati ya nani na nani na ikishatokea dunia itafaidikaje?
Dollar inaondolewaje BRICS. Yaani hizo nchi za BRICS hazitafanya biashara na Marekani?
Hivi Gaddafi ni wakati Gani alitaka kuiunganisha Afrika?
Wanataka kuwe na "balance of power" au wao wanataka kuwa na "Power monopoly" Kwa nchi masikini zenye rasirimali asilia lakini zisizo na weledi wa kujiongoza?
Sawa.