Dunia haiko fair, leo mtoto wa Nyerere analalamika watu Serikali hawapokei simu za familia ya Nyerere

Dunia haiko fair, leo mtoto wa Nyerere analalamika watu Serikali hawapokei simu za familia ya Nyerere

Kuna Tabia moja inafaa tuikatae wa TZ kuwa baba awe Raisi na mtoto awe Raisi huu ni ujinga sana san au mtoto awe mbunge au wazirii huu ni upumbavu wa hali ya juu hii kitu naichukia sana .Hawa mawaziri Family na wabunge Family na Maraisi tuwakateeni kwa nguvu zoteeeee hii nchi wameifanya yao sasa.
 
Wakristo wanasimamia sheria!

Waislam wanabebana bila kujali sheria!

Matokeo yake tunashindwa kutengeneza taasisi tunabaki kujuana tu!

Mkapa alipiga KAZI na jpm pia!

Kikwete aliboresha maisha akakuza ufisadi na kujuana!
Kuvuruga maisha ya watu ndio kusimamia sheria? Sheria kama zinaleta uharibifu zinakuwa na Msaada gani?

Waislamu endeleeni kutuletea Neema ,hao wengine ni wapuuzi ndio maana Watoto wao wandhalilika saizi.
 
Hii akili usivuke nayo barabara
Kizazi Cha Nyerere kimehujumiwa sana hasa na wanamtandao!!

2015 jina la kwanza kikwete kulikata kwenye urais ni la Makongoro nyerere!

CCM ya kizazi kipya Cha wanamtandao hawakumpenda nyerere na ndio walioua vipaji vya watoto wa Nyerere!

Mbona Dr. Husein Mwinyi amelelewa na system Hadi akashika urais,Ina maana system imeshindwa kumlea hasta mjukuu TU was Nyerere au mtoto mmoja akawa hats pm!!?

CCM YA WANAOJIITA "CCM INA WENYEWE"INA KINYONGO NA HII FAMILIA!!

NIKIPENYA NITAWARUDISHA WAJUKUU WA NYERERE KUNDINI HATA RAIS KUTOKEA ILE FAMILIA NITAMWANDAA POLE POLE!!!

NACHUKIA SANA,NATAMANI KUMZABA KIKWETE KIBAO,SIO KWA CHUKI HIZI!!!
 
Kizazi Cha Nyerere kimehujumiwa sana hasa na wanamtandao!!

2015 jina la kwanza kikwete kulikata kwenye urais ni la Makongoro nyerere!

CCM ya kizazi kipya Cha wanamtandao hawakumpenda nyerere na ndio walioua vipaji vya watoto wa Nyerere!

Mbona Dr. Husein Mwinyi amelelewa na system Hadi akashika urais,Ina maana system imeshindwa kumlea hasta mjukuu TU was Nyerere au mtoto mmoja akawa hats pm!!?

CCM YA WANAOJIITA "CCM INA WENYEWE"INA KINYONGO NA HII FAMILIA!!

NIKIPENYA NITAWARUDISHA WAJUKUU WA NYERERE KUNDINI HATA RAIS KUTOKEA ILE FAMILIA NITAMWANDAA POLE POLE!!!

NACHUKIA SANA,NATAMANI KUMZABA KIKWETE KIBAO,SIO KWA CHUKI HIZI!!!



Tatizo wewe unaongea mambo ya kutunga .

Watoto wa Nyerere ukitaka kuwajua vizuri waulize MTU Kama

Pascal Mayalla
 
Familia ya Nyerere haina njaa na haiwezi kuwa na njaaaa sema wameridhika na siyo mafisadi. Makongoro na Mbowe ni washikaji wamecheza kombolela pamoja, simu moja tu kwa Mbowe anamrushia milioni kumi za mafuta bia na nyama choma.
 
Ishi maisha Yako acha shobo
Nenda huko na ww...mbona una kisirani kama mwanamke mwenye mimba changa?? Kilichokuudhi hapo nini mpk utoe maneno ya kupanick hivyo? Kwani hujawahi kusikia misemo kuwa marehemu hasemwi vibaya...sijaona kitu cha kukutoa mate hapo...au ww ni mdada?maana ndo najua hizo tabia zetu za kuchambana...
 
Nenda huko na ww...mbona una kisirani kama mwanamke mwenye mimba changa?? Kilichokuudhi hapo nini mpk utoe maneno ya kupanick hivyo? Kwani hujawahi kusikia misemo kuwa marehemu hasemwi vibaya...sijaona kitu cha kukutoa mate hapo...au ww ni mdada?maana ndo najua hizo tabia zetu za kuchambana...
We shoga narudia tena acha shobo maisha Yako hiyo michezo ya kichoko Mimi sitaki hata wewe ni marehemu mtarajiwa Kuna jipya Gani hapo mbwa we
 
Nilimsikiliza Bwana Madaraka Nyerere akilalamika kwamba muda Huwa awanapiga simu na viongozi wa serikali kama DC, RC, DED, mawaziri n.k hawapokelei simu

Hadi analalamika wasanii kutumia jina la baba yake, Mbona familia ya Dangote hawalalamiki Kwa Diamond platnumZ, Mbona familia ya Bakhresa hawalalamiki Kwa Harmonize.

Yaani Nyerere ambaye kila pesa ina picha yake, watoto wake hawapati ushirikiano na pesa wanaotafuta na wanaiomba bila shaka wananyimwa

Tuseme kama Leo RC kama Bashite, Sabaya, Jokate,Chalamika hawapokei simu za watoto wa Nyerere au mama Maria Nyerere😅.

Nyerere tunaambiwa ndo baba wa Taifa, na kila siku viongozi wanamuimba kuwa ndo kila kitu.

Soma Pia: Kumbukizi ya Nyerere: Familia ya Mwalimu Nyerere yawataka wasanii kuacha kutumia jina la Baba wa Taifa kama ubin wao

Chonde chonde nyie viongozi pokeeni simu za familia ya Nyerere. Wapeni msaada na kila kitu, maana baba yake ndo aliweka misingi ya vyote hivi
Afu replica wao Stive Nyerere anaizunguka Dunia tu kwa lodi za wadanganyika.
 
Back
Top Bottom