Dunia hii! Sabaya Yuko Jela, Makonda hajulikani aliko, Magufuli kaburini, Mbowe anakula ubwabwa Ikulu

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Naomba niseme wazi,

Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia sitokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi.

Niseme pia sishambikii Ole Sabaya kuwa jera, na hakika stokaa kamwe nimwombee kama niombeavyo wafungwa sitokaa nimwombee.

Nasema Tena siitaji kujua Pauli Chritiani Makonda A.K.A Bashite yupo wapi na anafanya Nini. Kwa kuwa sijui aliko na anafanya Nini siwezi mwombea miongoni mwa watu wasio kazi swezi mwombea kamwe na Sito Kaa nimwombee

Leo nimewaza dhidi ya matendo ya Mungu Kwa wanandamu ebu msomaji tutafakari pamoja kweli_

Leo hii Mbowe anakula Ubwabwa wa Ikulu ya magogoni Ili Hali hii miamba GEU GEU nareje Tena miamba GEUGEU Iko Iko iliko?

Wanadamu tutende mema Dunia ni hadaa!

Asubuh njema!
 
Naomba niseme wazi,
Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia stokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi stokaa...
Haistui
 
Kesi ya ugaidi iko palepale, ngoja aje Rais mwingine.

Huwezi kupanga njama za kuuwa viongozi wa serikali alafu ukaachwa hivi hivi tu.
 
Huwa naumia sana Watanzania tunapoharibu lugha yetu adhimu ya Kiswahili kwa kuandika Vi-Lugha .

JIfunze Kiswahili ndugu, hakikisha unahariri kabla huja tuma kwa matumizi ya umma. Nimepata kinyaa hata kujibu hoja kwenye maudhui yako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wapi kabudi, wapi lukuvi, wapi job, wapi bushiru, wapi mwalimu wa darasa la uongozi ? tumewamiss sana hawa mwamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…