Dunia hii! Sabaya Yuko Jela, Makonda hajulikani aliko, Magufuli kaburini, Mbowe anakula ubwabwa Ikulu

Dunia hii! Sabaya Yuko Jela, Makonda hajulikani aliko, Magufuli kaburini, Mbowe anakula ubwabwa Ikulu

Dah jamaa kizibo kitakuwa kimeshafyatuliwa huko aliko
 
Relax maisha yana ups and downs, kawaida hiyo kikubwa ni kuzingatia utu ukipata cheo.

Kama unavyoshangaa utapigwa butwaa ukiona tena BASHITE kasimama au SABAYA mambo yakinyoka.

Hivyo ndivyo safari ya maisha ilivyo.
Wahenga walishasema bahati haiji marabili

Tatizo walijiona wanaakili sana wakasahau ni bahati tu ndio iliwafikisha pale

IMEISHA HIYOOO!!?
 
Magufuli analiwa na funza tu huko aliko,daah!!Maisha haya noma sana yani..
 
hata usipofanya chochote kama unavyoeleza uzi wako hubadilishi chochote kama Makonda naendele vizuri na maisha yake hana njaa yoyote nadhani juzi umeona familia yake we endelea kuhaha mitandaoni
 
Back
Top Bottom