Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huenda mambo yasiishie hapo. Kuna siku utasikia, Mbowe au Lisu Rais, Sabaya (mtesaji wa Mbowe) na Makonda (muuaji aliyeksudia kumwua Lisu), wataomba ardhi iwafunike.Naomba niseme wazi,
Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia stokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi stokaa.
Niseme pia sishambikii Ole Sabaya kuwa jera,na hakika stokaa kamwe nimwombee kama niombeavyo wafungwa sitokaa nimwombee.
Nasema Tena siitaji kujua Pauli Chritiani Makonda A.K.A Bashite yupo wapi na anafanya Nini,Kwa kuwa sijui aliko,na anafanya Nini siwezi mwombea miongoni mwa watu wasio kazi swezi mwombea kamwe na Sito Kaa nimwombee
Leo nimewaza dhidi ya matendo ya Mungu Kwa wanandamu ebu msomaji tutafakari pamoja kweli_
Leo hii Mbowe anakula Ubwabwa wa Ikulu ya magogoni Ili Hali hii miamba GEU GEU nareje Tena miamba GEUGEU Iko Iko iliko?
Wanandamu tutende mema Dunia ni Adaa!
Asubuh njema!
Kawaida ya shetani hukupumbaza na vitu ambavyo wakati wa uovu uvione ni vizuri sana, lakini mwishoni lazima akuangamize. Hawa muda wao wa kuoumbazwa na shetani umepata, sasa wapo kwenye trajectory ya kuangamia. Hawanyanyuki, hapai, maana ndiyo kanuni ya shetani.Relax maisha yana ups and downs, kawaida hiyo kikubwa ni kuzingatia utu ukipata cheo.
Kama unavyoshangaa utapigwa butwaa ukiona tena BASHITE kasimama au SABAYA mambo yakinyoka.
Hivyo ndivyo safari ya maisha ilivyo.
Kesi ya ugaidi ipo tumboni mwako.Kesi ya ugaidi iko palepale
Wewe mwenyewe tena umeharibu.Huwa naumia sana Watanzania tunapoharibu lugha yetu adhimu ya Kiswahili kwa kuandika Vi-Lugha .
JIfunze Kiswahili ndugu, hakikisha unahariri kabla huja tuma kwa matumizi ya umma. Nimepata kinyaa hata kujibu hoja kwenye maudhui yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ni kuwa wale walifanya kwa niaba ya watanzania wengi. Hawa wanafanya kwa niaba yao na washkaji zao.Naomba niseme wazi,
Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia stokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi stokaa.
Niseme pia sishambikii Ole Sabaya kuwa jera,na hakika stokaa kamwe nimwombee kama niombeavyo wafungwa sitokaa nimwombee.
Nasema Tena siitaji kujua Pauli Chritiani Makonda A.K.A Bashite yupo wapi na anafanya Nini,Kwa kuwa sijui aliko,na anafanya Nini siwezi mwombea miongoni mwa watu wasio kazi swezi mwombea kamwe na Sito Kaa nimwombee
Leo nimewaza dhidi ya matendo ya Mungu Kwa wanandamu ebu msomaji tutafakari pamoja kweli_
Leo hii Mbowe anakula Ubwabwa wa Ikulu ya magogoni Ili Hali hii miamba GEU GEU nareje Tena miamba GEUGEU Iko Iko iliko?
Wanandamu tutende mema Dunia ni Adaa!
Asubuh njema!
Naongezea swali lingine,Hivi ni Jela au Jera?
Kuna mahala inaonekana ulitegea shule kujifunza mambo ya msingi katika lugha yako ya Kiswahili. Jionee aibu kwenye hili kwanza, na mengine yatakaa sawa!Naomba niseme wazi,
Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia stokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi stokaa.
Niseme pia sishambikii Ole Sabaya kuwa jera,na hakika stokaa kamwe nimwombee kama niombeavyo wafungwa sitokaa nimwombee.
Nasema Tena siitaji kujua Pauli Chritiani Makonda A.K.A Bashite yupo wapi na anafanya Nini,Kwa kuwa sijui aliko,na anafanya Nini siwezi mwombea miongoni mwa watu wasio kazi swezi mwombea kamwe na Sito Kaa nimwombee
Leo nimewaza dhidi ya matendo ya Mungu Kwa wanandamu ebu msomaji tutafakari pamoja kweli_
Leo hii Mbowe anakula Ubwabwa wa Ikulu ya magogoni Ili Hali hii miamba GEU GEU nareje Tena miamba GEUGEU Iko Iko iliko?
Wanandamu tutende mema Dunia ni Adaa!
Asubuh njema!
Sasa tulia kwa hili ujifunze kuwa,Hakuna marefu yasiyo na ncha,Cheo ni Dhamana Sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.Cheo ni Mungu hutoa Vile vile wakati wowote ule Mungu anaweza akakunyang'anya usipokitumia vizuri.Majira na nyakati
Pamoja na kwamba Makonda hasikiki ila bado yuko kwenye mrija wa kula!
Pamoja na kwamba Sabaya yuko jela ila soon atatoka na bado hamtalingana kimaisha, wakati yeye anakula atakacho wewe unakula unachopata.!
Pamoja na kwamba Magufuli kafa ila hajafa masikini, na wewe ukifa hutaacha legacy yoyote kwa taifa kama ilivyo kwake.
Sasa tulia kwa hili ujifunze kuwa,Hakuna marefu yasiyo na ncha,Cheo ni Dhamana Sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.Cheo ni Mungu hutoa Vile vile wakati wowote ule Mungu anaweza akakunyang'anya usipokitumia vizuri.
Relax maisha yana ups and downs, kawaida hiyo kikubwa ni kuzingatia utu ukipata cheo.
Kama unavyoshangaa utapigwa butwaa ukiona tena BASHITE kasimama au SABAYA mambo yakinyoka.
Hivyo ndivyo safari ya maisha iliv
Unajiliwaza tu,lakini ukweli ndiyo huyo,wameshuka na wamelowa,kibaya zaidi walimtegemea mtu baadala ya MunguPamoja na kwamba Makonda hasikiki ila bado yuko kwenye mrija wa kula!
Pamoja na kwamba Sabaya yuko jela ila soon atatoka na bado hamtalingana kimaisha, wakati yeye anakula atakacho wewe unakula unachopata.!
Pamoja na kwamba Magufuli kafa ila hajafa masikini, na wewe ukifa hutaacha legacy yoyote kwa taifa kama ilivyo kwake.
Nani? Luhaga Mpina au? Au Dk. msukuma? 🤣🤣Kesi ya ugaidi iko palepale, ngoja aje Rais mwingine.
Huwezi kupanga njama za kuuwa viongozi wa serikali alafu ukaachwa hivi hivi tu.