Dunia hii! Sabaya Yuko Jela, Makonda hajulikani aliko, Magufuli kaburini, Mbowe anakula ubwabwa Ikulu

Dunia hii! Sabaya Yuko Jela, Makonda hajulikani aliko, Magufuli kaburini, Mbowe anakula ubwabwa Ikulu

Naomba niseme wazi,

Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia sitokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi.

Niseme pia sishambikii Ole Sabaya kuwa jera, na hakika stokaa kamwe nimwombee kama niombeavyo wafungwa sitokaa nimwombee.

Nasema Tena siitaji kujua Pauli Chritiani Makonda A.K.A Bashite yupo wapi na anafanya Nini. Kwa kuwa sijui aliko na anafanya Nini siwezi mwombea miongoni mwa watu wasio kazi swezi mwombea kamwe na Sito Kaa nimwombee

Leo nimewaza dhidi ya matendo ya Mungu Kwa wanandamu ebu msomaji tutafakari pamoja kweli_

Leo hii Mbowe anakula Ubwabwa wa Ikulu ya magogoni Ili Hali hii miamba GEU GEU nareje Tena miamba GEUGEU Iko Iko iliko?

Wanadamu tutende mema Dunia ni hadaa!

Asubuh njema!
Makonda kaenda kutakatisha Hela zake Morogoro, anafungua pharmacy pale CINE CINEMA, crdb ya zamani
 
Bado kitambo kidogo nitakuwa Kiranja wa malaika. Ombeni nanyi mtapewa, bisheni.... mtafunguliwa. Time is a good teacher.

Naomba niseme wazi,

Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia sitokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi.

Niseme pia sishambikii Ole Sabaya kuwa jera, na hakika stokaa kamwe nimwombee kama niombeavyo wafungwa sitokaa nimwombee.

Nasema Tena siitaji kujua Pauli Chritiani Makonda A.K.A Bashite yupo wapi na anafanya Nini. Kwa kuwa sijui aliko na anafanya Nini siwezi mwombea miongoni mwa watu wasio kazi swezi mwombea kamwe na Sito Kaa nimwombee

Leo nimewaza dhidi ya matendo ya Mungu Kwa wanandamu ebu msomaji tutafakari pamoja kweli_

Leo hii Mbowe anakula Ubwabwa wa Ikulu ya magogoni Ili Hali hii miamba GEU GEU nareje Tena miamba GEUGEU Iko Iko iliko?

Wanadamu tutende mema Dunia ni hadaa!

Asubuh njema!
 
Pamoja na kwamba Makonda hasikiki ila bado yuko kwenye mrija wa kula!

Pamoja na kwamba Sabaya yuko jela ila soon atatoka na bado hamtalingana kimaisha, wakati yeye anakula atakacho wewe unakula unachopata.!

Pamoja na kwamba Magufuli kafa ila hajafa masikini, na wewe ukifa hutaacha legacy yoyote kwa taifa kama ilivyo kwake.
Jifariji je point yuko na amani huko aliko?
 
Hao kina sabaya bashite ni maigizo na yatapita watakula bata kama kawa ubaya ni sisi wananchi wa kawaida ndio tunachezewa akili kila siku
 
Naomba niseme wazi,

Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia sitokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi.

Niseme pia sishambikii Ole Sabaya kuwa jera, na hakika stokaa kamwe nimwombee kama niombeavyo wafungwa sitokaa nimwombee.

Nasema Tena siitaji kujua Pauli Chritiani Makonda A.K.A Bashite yupo wapi na anafanya Nini. Kwa kuwa sijui aliko na anafanya Nini siwezi mwombea miongoni mwa watu wasio kazi swezi mwombea kamwe na Sito Kaa nimwombee

Leo nimewaza dhidi ya matendo ya Mungu Kwa wanandamu ebu msomaji tutafakari pamoja kweli_

Leo hii Mbowe anakula Ubwabwa wa Ikulu ya magogoni Ili Hali hii miamba GEU GEU nareje Tena miamba GEUGEU Iko Iko iliko?

Wanadamu tutende mema Dunia ni hadaa!

Asubuh njema!
Heshimu watu utu ni utu ongea na watu..!
 
Wewe nawe ni li Sukuma gang tu, watu mpaka walichinja ng'ombe kufurahi kuondolewa kwa lili shetani ila wewe unasema anaishi mioyoni mwao. Labda kama anaishi kwako na Sukuma gang wenzako
Nyie wapiga dili na vyeti feki mnaachaje kuchinja ng'ombe
 
wapi kabudi, wapi lukuvi, wapi job, wapi bushiru, wapi mwalimu wa darasa la uongozi ? tumewamiss sana hawa mwamba.
Zama zao zimepita, sema tu zimepita fasta mno. Yaani wamestaafishwa kwa maslahi ya nchi
 
Sitokaa niuponde uzi huu nasema tena sitokaa
Mkuu mrudishe basi huyu mwamba kwenye avatar yako.
FB_IMG_1672158482316.jpg
 
Tofauti ni kuwa wale walifanya kwa niaba ya watanzania wengi. Hawa wanafanya kwa niaba yao na washkaji zao.

Ndio wale akiwemo Magu bado wanaishi kwa watanzania. Wakati hawa japo wapo na ni wazima hawapo kwenye mioyo ya watanzania.
Watanzania weoi tena tupige kura humu tuone nani anamkumbuka magufuli,kama hajapata kura mbili
 
Pamoja na kwamba Makonda hasikiki ila bado yuko kwenye mrija wa kula!

Pamoja na kwamba Sabaya yuko jela ila soon atatoka na bado hamtalingana kimaisha, wakati yeye anakula atakacho wewe unakula unachopata.!

Pamoja na kwamba Magufuli kafa ila hajafa masikini, na wewe ukifa hutaacha legacy yoyote kwa taifa kama ilivyo kwake.

Sijajua una akili gan?ila nikujuze sabaya hata atoke KESHO hatonifikia,Makonda alipo awezi kojoa popote anajificha kama ana govi,Magufuli alishaaoza na kuliwa na wadudu
 
Naomba niseme wazi,

Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia sitokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema peponi.

Niseme pia sishambikii Ole Sabaya kuwa jera, na hakika stokaa kamwe nimwombee kama niombeavyo wafungwa sitokaa nimwombee.

Nasema Tena siitaji kujua Pauli Chritiani Makonda A.K.A Bashite yupo wapi na anafanya Nini. Kwa kuwa sijui aliko na anafanya Nini siwezi mwombea miongoni mwa watu wasio kazi swezi mwombea kamwe na Sito Kaa nimwombee

Leo nimewaza dhidi ya matendo ya Mungu Kwa wanandamu ebu msomaji tutafakari pamoja kweli_

Leo hii Mbowe anakula Ubwabwa wa Ikulu ya magogoni Ili Hali hii miamba GEU GEU nareje Tena miamba GEUGEU Iko Iko iliko?

Wanadamu tutende mema Dunia ni hadaa!

Asubuh njema!
Kila "MBWA" ana siku yake....
 
Back
Top Bottom