Dunia hii! Sabaya Yuko Jela, Makonda hajulikani aliko, Magufuli kaburini, Mbowe anakula ubwabwa Ikulu

Umesahau kumwambia pia, Japokuwa Magufuli yupo kaburini ipo siku Gwajima atamfufua na atarudi Ikulu
 
Bashite yuko hapa njiro Arusha ila anaishi kama digidigi!
 
Uzi mtamu sana ila mfupi!! Nilitaka uniwekee pamoja na akina Bashiru Ally, Deus Kakoko, Dotto James na Job Ndugai, Mnyeti na Gambo

Hawa walikuwa wana pepo yao enzi za dikteta Magufuli
 
DUNIA TAMBALA BOVU.

DUNIA HADAA ULIMWENGU SHUJAA
 
Kutesa kwa zamu

Kila awamu lazima watakuwepo wale wanao tesa

Kuna ambao walitesa wakati wa Nyerere,wakaja wakati wa mwinyi,wakaja wakati wa mkapa,wakaja wakati wa kikwete,
Wakaja wakati wa magufuli,sahv wapo wanaotesa wakati wa SSH

OVA
 
Relax maisha yana ups and downs, kawaida hiyo kikubwa ni kuzingatia utu ukipata cheo.

Kama unavyoshangaa utapigwa butwaa ukiona tena BASHITE kasimama au SABAYA mambo yakinyoka.

Hivyo ndivyo safari ya maisha ilivyo.
Kwanini wasihukumiwe kunyongwa hao watu?
 
Sukuma gang mtapata tabu sana, naomba Mama awafyekelee mbali nyie wote, natumai kufika July mtakuwa mmeisha wote, mlifanya nchi mali yenu.
 
Tofauti ni kuwa wale walifanya kwa niaba ya watanzania wengi. Hawa wanafanya kwa niaba yao na washkaji zao.

Ndio wale akiwemo Magu bado wanaishi kwa watanzania. Wakati hawa japo wapo na ni wazima hawapo kwenye mioyo ya watanzania.
Wewe nawe ni li Sukuma gang tu, watu mpaka walichinja ng'ombe kufurahi kuondolewa kwa lili shetani ila wewe unasema anaishi mioyoni mwao. Labda kama anaishi kwako na Sukuma gang wenzako
 
Usipambane na watu utaahibika...

Nenda IG ukamuone Makonda anaishi bila wasi na anafahamika alipo na kutembelea wazee wenye busara ktk nchi bila shida
Hivi kwanini Bashite hatiwi ndani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…