Dunia hii! Sabaya Yuko Jela, Makonda hajulikani aliko, Magufuli kaburini, Mbowe anakula ubwabwa Ikulu

Makonda kaenda kutakatisha Hela zake Morogoro, anafungua pharmacy pale CINE CINEMA, crdb ya zamani
 
Bado kitambo kidogo nitakuwa Kiranja wa malaika. Ombeni nanyi mtapewa, bisheni.... mtafunguliwa. Time is a good teacher.

 
Jifariji je point yuko na amani huko aliko?
 
Hao kina sabaya bashite ni maigizo na yatapita watakula bata kama kawa ubaya ni sisi wananchi wa kawaida ndio tunachezewa akili kila siku
 
Heshimu watu utu ni utu ongea na watu..!
 
Wewe nawe ni li Sukuma gang tu, watu mpaka walichinja ng'ombe kufurahi kuondolewa kwa lili shetani ila wewe unasema anaishi mioyoni mwao. Labda kama anaishi kwako na Sukuma gang wenzako
Nyie wapiga dili na vyeti feki mnaachaje kuchinja ng'ombe
 
wapi kabudi, wapi lukuvi, wapi job, wapi bushiru, wapi mwalimu wa darasa la uongozi ? tumewamiss sana hawa mwamba.
Zama zao zimepita, sema tu zimepita fasta mno. Yaani wamestaafishwa kwa maslahi ya nchi
 
Haya mambo yanayokuwa yanatokea huwa ni fundisho zuri sana,ila bado unakuta bado sisi binadamu hatujifunzi
Ndo maana Nape hajalipiza kisasi hata kwa yule alitemnyooshea bastola. Anajua sponsor akifa tu.
 
Tofauti ni kuwa wale walifanya kwa niaba ya watanzania wengi. Hawa wanafanya kwa niaba yao na washkaji zao.

Ndio wale akiwemo Magu bado wanaishi kwa watanzania. Wakati hawa japo wapo na ni wazima hawapo kwenye mioyo ya watanzania.
Watanzania weoi tena tupige kura humu tuone nani anamkumbuka magufuli,kama hajapata kura mbili
 

Sijajua una akili gan?ila nikujuze sabaya hata atoke KESHO hatonifikia,Makonda alipo awezi kojoa popote anajificha kama ana govi,Magufuli alishaaoza na kuliwa na wadudu
 
Kila "MBWA" ana siku yake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…