Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Kwa hiyo uislam ulianza na nabii wa Allah aliekuwa anaitwa musa ? Kwa hiyo uislam ulivyo anzishwa tu na nabii musa muislamu ndio wakakomesha kuuwa watoto wakike?

Swali ni kwamba watu waliongezeka vipi kama kila mtoto mwanamke aliuwawa?
Uislam ulianza na nabii wa Allah aloitwa adam

Mussa ni miongoni mwa manabii wamwisho mwisho tena huko kama sijakosea baada ya nabii mussa ndio akaja issa akamalizia Muhammad s.a.w

Jibu la swali lako watoto wapya waliokua wanazliwa ndio walikua wanauliwa sio wanawake wote

Kuna watu walizaa wakaficha watoto zao kuna wengine wakauliwa kuna wengine walizaa wanaume

Kabla ya uislam kuja kueka uhuru rasmi kwamba watoto wote ni sawa wazaliwe na waishi kwa usawa
 
Kutetea uongo wa pedophile Muhammad ni kazi sana
 
Ismail Haniyeh yeye kachukua maficho kimyaaaa
 
waarab wanajisibu kuwa na kaka mkubwa wao SA , hawa waarab ni hamnazo
 
hv hamjioni tabia zenu , hamuwez kuish jiran na wasio iman yenu , Chad alisaidia na akina Bokasa ila alilipa kwa kufadhiri ugaidi hapo Afrika ya kati mwaka 2013
 
Kwa kuwa Balfour declaration ilianzia oktoba 2023 au ??
wewe jitie mwehu waarab wameanza siku zote wavamia waarab na hayo maazimio mnayaombaga baada ya kudundwa na kisha mnayavunja nyie wenyew , mtu asiyewajuwa waislam anaeza pata tabu saba , mnapenda kuhadithia upande wa simulizi unaowabeba
 
Ungejibu hoja , ilikuwaje dini yake ikapotea , na ilimchukua mda gani kuirudisha tena
Hoja hujibiwa ikiulizwa sasa utajibiwaje kitu usichouliza

Unataka kujua wakati gani sasa baada ya s.a.w ama kabla ya s.a.w???
 
wewe jitie mwehu waarab wameanza siku zote wavamia waarab na hayo maazimio mnayaombaga baada ya kudundwa na kisha mnayavunja nyie wenyew , mtu asiyewajuwa waislam anaeza pata tabu saba , mnapenda kuhadithia upande wa simulizi unaowabeba
Braza mimi mambo ya udini sijadili by the way hivi akina mandela na wao qalikuwa waislamu walipokuwa wanawasaidia wapalestina akina fidel castro nao walikuwa waislamu miaka ile ya 1970 to 80 wahafidhina akina Netanyahu waliona shida ni ujamaa kqa kuwa wajamaa waliwasapoti wapalestina kwa nguvu zao zote wakatumia malobbyist wao huko usa mpaka wakasaidia kusambaratisha kitovu cha ujamaa ili wapalestina wakose support na nguvu ya kuunda two state ipoteee ila baada ya kuanguka ujamaa wanaona kilichobakia ni uislam ndio unatoa support wasichoelewa ni kuwa the existing order sasa iko challenged kila kona na itaanguka na kuzaliwa multipolar order hapo ndio wanaweweseka sasa kama unakalia kwenye udini endelea lakini hii inaonyesha kuwa hujui unachojadili
Kafanye rejeo la jinsi zionist walifanikiwa kupata Balfour declaration na ndio imeleta shida hadi .
Mwisho amani ni zao la dialogue na the best victory ni bila kurusha hata bullet wapalestina wanatKa taifa lao na waisrael wawe na taifa lao dialogue inaweza solve hilo na wala sio vita .
 
hv hamjioni tabia zenu , hamuwez kuish jiran na wasio iman yenu , Chad alisaidia na akina Bokasa ila alilipa kwa kufadhiri ugaidi hapo Afrika ya kati mwaka 2013
Acha udini ndugu jadili hoja hapa sio kanisani wala msikitini kuwa tunatafuta namna ya kutafuta mema ya kwenda mbinguni jadili ya ulimwengu kama yalivyo lete hoja tujadili na sio vioja vya udini usituchanganyie habari au kama unatafuta exit arena kila la heri
 


mabwana zako wanachezea kichapo
 
Dunderhead

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wanafurahia binadamu wengine kuuawa tena kikatil kisa tu mihemko ya kidini ,acheni uhuni jamii ya waarabu pale middle east hasa Palestine wanapigwa kila upande na wanaangamia mamia kila cku ,wew unaeshabikia hii vita huna akili .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…