Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Hiyo ndio intelijensia katika ubora wake, ukiona kamanda mkubwa anauliwa,ujue kuna intelijensia kubwa imefanyika kujua mienendo yake, hapo utakuta, Mpishi wake, au, baadhi ya walinzi, wake, ni maspy wa Mossad, au utakuta yule kiongozi wao mkubwa anayevaa vilemba na madela, ndio spy wa mossad,
Madela tena😂😂😂😂😂😂
 
Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.

Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua kupiga kila anapoonekana adui. Nauliza ni suala la mateka tu au jingine? Mbona ni kama wana hasira sana? Russia na China ingilieni please. Iran unasubiri nini wewe Taifa kubwa?

Hawa Mayazuni wameyatimba sasa.... Nakuambia watakwisha. Makafir hawa wanatunyanya hivi? Hatutaacha kupambana nao kwenye mitandao mpaka nao waishe.

Ritz Malaria 2 ChoiceVariable tusikate tamaa ndugu zanguni. Nasi tulipize humu JF tusiwaache wenzetu ukiwa. Mpaka makafir waombe poooh.

====
A senior Hezbollah commander was killed in an Israeli drone strike on his car in southern Lebanon, a Lebanese security source told CNN on Monday, as fears of a wider regional conflict escalate.

The official, Wissam Tawil, is the most senior member of the Shiite militant group to be killed in an Israeli strike since Hezbollah and Israel began trading fire across the Lebanese-Israeli border on October 8, the day after Hamas carried out the deadliest terror attack in Israel’s history.

In a statement, Hezbollah also acknowledged the death of Tawil, who also went by the nom de guerre Hajj Jawad, in an Israeli attack. The paramilitary group shared pictures of him alongside other top Hezbollah officials and Qasem Soleimani, the former commander of the Iranian elite unit that handles the country’s overseas operations who was killed in a US airstrike fouryears ago, an apparent indication of Tawil’s stature.

Israel later claimed responsibility for Tawil’s death. “As for the hit in south Lebanon, we did take responsibility,” Israel’s foreign minister Israel Katz said in an interview with Israel’s Channel 14, “This is part of our war.”

“We are targeting Hezbollah’s people, the infrastructure, the systems they managed to put in place in order to deter Israel,” Katz said.

“We make them pay a price; we did not set a goal to thwart 150,000 missiles. We set a goal to restore security to the residents of the north, to restore security to the residents of the south and to the state of Israel,” the minister said.

CCN
Deni amelipa Hamas

67B7E722-0775-4837-88A5-784CA5183C37.png
 
We chizi unalialia nini sasa?muite na bikira wenu wa kariakoo faizafoxy.
Shughuli ndo kwanza iko robo,
Ziraili wamesema 50,000,mkiongeza wanaongeza nyie tulieni tu sa hii.
 
Sasa kama Hamas wanaenda kuichokoza Israel wenyewe mfano October 7 halafu wanajificha hospitalini,shuleni,misikitini na sokoni na kwenye nyumba za raia Israel inakuja kulipa kisasi na kuua wapalestina wengi kama kuku halafu mnasema hii jihadi sasa jihadi gani mnashindwa kuwatetea waislamu wenzenu kuuawa
Uliwaona Hamas wakichanganyikana na raia? Tuonyeshe hata picha tu!
 
Bila uislamu kua imara hata wewe leo pengine usingekuwepo uislam ulikuja ukamkuta mwanamke anadhalilishwa ana dunishwa anaonekana sii lolote wengine watoto wakike wakizaliwa tu wanauliwa uislamu ukaja ukaondoa huu ujinga
Wafuasi wa pedophile Muhammad mna ujinga wa kiwango Cha juu Sana 😂🤣


Sasa watoto wa kike wakiuliwa watu walikuwa wanaongezeka vipi?
 
Bila uislamu kua imara hata wewe leo pengine usingekuwepo uislam ulikuja ukamkuta mwanamke anadhalilishwa ana dunishwa anaonekana sii lolote wengine watoto wakike wakizaliwa tu wanauliwa uislamu ukaja ukaondoa huu ujinga
Wafuasi wa pedophile Muhammad mna ujinga wa kiwango Cha juu Sana 😂🤣


Sasa watoto wa kike wakiuliwa watu walikuwa wanaongezeka vipi?
 
Mwingine huyu hapa kawahishwa akhera

Hezbollah announces another high ranking senior death in its ranks Al-Qadri. Total: 159
20240110_153147.jpg
 
Mtu kajishibia ugali wa mlenda huko maeneo ya kwa Tumbo, anatoa ushauri wa kivita kwa Israeli.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwa tumbo na ugali wa mlenda hoyeeh
In Magufuli voice
Sasa kazi ya forum kama hii ni nini
Huna cha kujadili huna maoni kichwani tulia tuuh mwananzengo. Acha wenye cha kujadili waseme wewe wengine watakusaidia kukuzungumzia ni hulka yako kuongozwa tu.
 
Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.

Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua kupiga kila anapoonekana adui. Nauliza ni suala la mateka tu au jingine? Mbona ni kama wana hasira sana? Russia na China ingilieni please. Iran unasubiri nini wewe Taifa kubwa?

Hawa Mayazuni wameyatimba sasa.... Nakuambia watakwisha. Makafir hawa wanatunyanya hivi? Hatutaacha kupambana nao kwenye mitandao mpaka nao waishe.

Ritz Malaria 2 ChoiceVariable tusikate tamaa ndugu zanguni. Nasi tulipize humu JF tusiwaache wenzetu ukiwa. Mpaka makafir waombe poooh.

====
A senior Hezbollah commander was killed in an Israeli drone strike on his car in southern Lebanon, a Lebanese security source told CNN on Monday, as fears of a wider regional conflict escalate.

The official, Wissam Tawil, is the most senior member of the Shiite militant group to be killed in an Israeli strike since Hezbollah and Israel began trading fire across the Lebanese-Israeli border on October 8, the day after Hamas carried out the deadliest terror attack in Israel’s history.

In a statement, Hezbollah also acknowledged the death of Tawil, who also went by the nom de guerre Hajj Jawad, in an Israeli attack. The paramilitary group shared pictures of him alongside other top Hezbollah officials and Qasem Soleimani, the former commander of the Iranian elite unit that handles the country’s overseas operations who was killed in a US airstrike fouryears ago, an apparent indication of Tawil’s stature.

Israel later claimed responsibility for Tawil’s death. “As for the hit in south Lebanon, we did take responsibility,” Israel’s foreign minister Israel Katz said in an interview with Israel’s Channel 14, “This is part of our war.”

“We are targeting Hezbollah’s people, the infrastructure, the systems they managed to put in place in order to deter Israel,” Katz said.

“We make them pay a price; we did not set a goal to thwart 150,000 missiles. We set a goal to restore security to the residents of the north, to restore security to the residents of the south and to the state of Israel,” the minister said.

CCN
Hakuna kuingilia Kati Wacha zipigwe.
Alipouliwa Saleh Arouri Hizbollah walilipua makazi ya jeshi la IDF Mullat Na hakuna mwanajeshi Wa Israel alopona.
Alipouliwa Commander Wa Hizbollah Kambi kuu ya mpakani ya IDF Galilee imelipuliwa Na wanajeshi kadhaa wameuawa.
Na Jana wameua Askari wanne Wa Hizbollah sikilizieni kisasi.
IDF ilisema kuwa imevunja uti Wa mgongo Wa Hamas Gaza cha ajabu Jana wameuawa wanajeshi Tisa Wa IDF ndani ya Gaza kaskazini.
Hakuna aliepoa vijana.
Hassan Nasrallah amesema Kwa kila shambulizi wao watalipiza kisasi.
 
Wafuasi wa pedophile Muhammad mna ujinga wa kiwango Cha juu Sana [emoji23][emoji1787]


Sasa watoto wa kike wakiuliwa watu walikuwa wanaongezeka vipi?
Kwani watu wakifa hua hawazaliwi wengine

Sasa hapo mie na wewe nani ana PhD ya ujinga?
 
Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.

Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua kupiga kila anapoonekana adui. Nauliza ni suala la mateka tu au jingine? Mbona ni kama wana hasira sana? Russia na China ingilieni please. Iran unasubiri nini wewe Taifa kubwa?

Hawa Mayazuni wameyatimba sasa.... Nakuambia watakwisha. Makafir hawa wanatunyanya hivi? Hatutaacha kupambana nao kwenye mitandao mpaka nao waishe.

Ritz Malaria 2 ChoiceVariable tusikate tamaa ndugu zanguni. Nasi tulipize humu JF tusiwaache wenzetu ukiwa. Mpaka makafir waombe poooh.

====
A senior Hezbollah commander was killed in an Israeli drone strike on his car in southern Lebanon, a Lebanese security source told CNN on Monday, as fears of a wider regional conflict escalate.

The official, Wissam Tawil, is the most senior member of the Shiite militant group to be killed in an Israeli strike since Hezbollah and Israel began trading fire across the Lebanese-Israeli border on October 8, the day after Hamas carried out the deadliest terror attack in Israel’s history.

In a statement, Hezbollah also acknowledged the death of Tawil, who also went by the nom de guerre Hajj Jawad, in an Israeli attack. The paramilitary group shared pictures of him alongside other top Hezbollah officials and Qasem Soleimani, the former commander of the Iranian elite unit that handles the country’s overseas operations who was killed in a US airstrike fouryears ago, an apparent indication of Tawil’s stature.

Israel later claimed responsibility for Tawil’s death. “As for the hit in south Lebanon, we did take responsibility,” Israel’s foreign minister Israel Katz said in an interview with Israel’s Channel 14, “This is part of our war.”

“We are targeting Hezbollah’s people, the infrastructure, the systems they managed to put in place in order to deter Israel,” Katz said.

“We make them pay a price; we did not set a goal to thwart 150,000 missiles. We set a goal to restore security to the residents of the north, to restore security to the residents of the south and to the state of Israel,” the minister said.

CCN
Cha Kuongezea France official Na Blinken wametangaza kukutana Na Hassan Nasrallah kiongozi Wa Hizbollah ili kuzuia mashambulizi ama vita Kuongezea.
Maana walichosema Hizbollah kosa walilofanya Israel Ni kushambulia ndani ya Beirut.
 
Hakuna kuingilia Kati Wacha zipigwe.
Alipouliwa Saleh Arouri Hizbollah walilipua makazi ya jeshi la IDF Mullat Na hakuna mwanajeshi Wa Israel alopona.
Alipouliwa Commander Wa Hizbollah Kambi kuu ya mpakani ya IDF imelipuliwa Na wanajeshi kadhaa wameuawa.
Na Jana wameua Askari wanne Wa Hizbollah sikilizieni kisasi.
IDF ilisema kuwa imevunja uti Wa mgongo Wa Hamas Gaza cha ajabu Jana wameuawa wanajeshi Tisa Wa IDF ndani ya Gaza kaskazini.
Hakuna aliepoa vijana.
Hassan Nasrallah amesema Kwa kila shambulizi wao watalipiza kisasi.
Israhell na idf wao waongo waongo sana majamaaa

Mwanzoni kabisa walitudanganya kama wameigawa ghaza kusini na kaskazini ila mpaka leo kimyaaa

Yaani kuigawa ghaza kaskazini na kusini wangefanikiwa kweli hii vita ingekua imeishakwisha zamani sana
 
Hakuna kuingilia Kati Wacha zipigwe.
Alipouliwa Saleh Arouri Hizbollah walilipua makazi ya jeshi la IDF Mullat Na hakuna mwanajeshi Wa Israel alopona.
Alipouliwa Commander Wa Hizbollah Kambi kuu ya mpakani ya IDF Galilee imelipuliwa Na wanajeshi kadhaa wameuawa.
Na Jana wameua Askari wanne Wa Hizbollah sikilizieni kisasi.
IDF ilisema kuwa imevunja uti Wa mgongo Wa Hamas Gaza cha ajabu Jana wameuawa wanajeshi Tisa Wa IDF ndani ya Gaza kaskazini.
Hakuna aliepoa vijana.
Hassan Nasrallah amesema Kwa kila shambulizi wao watalipiza kisasi.
Vitani vifo haviepukiki, idadi ya wanaokufa ndio hasara.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
MA- yahudi, MA-Kafiri, MA-Zayuni, MA-Naswara!!!! Ma ma ma ma ma!! Kweli hii IMANI imejengwa ktk CHUKI NA UBAGUZI, ndiyo maana Waislamu wa Bosnia enzi zild, China Chechnya, Myanmar, Rohingya, Sudan, etc etc wanauwa kama nzige ila hatusikii DUNIA ingilie kati!!! Wanaonewa ni UKRAINE huko wamevamiaa, hawa Makamasi na Hizbora wameyatafuta wenyewe, Hongera IDF kwa utaalamu wa kuwasaka na kuwaua viongozi wa Magaidi huko walipo tofauti na wao wahuni wanaoteka vibibi vizee na meli za kiraia
 
Back
Top Bottom