Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Dunia iingilie kati, wameua tena Kamanda wa Hezbollah Lebanon

Hongera IDF kwa utaalamu wa kuwasaka na kuwaua viongozi wa Magaidi huko walipo tofauti na wao wahuni wanaoteka vibibi vizee na meli za kiraia. RIP Mollel na Mtenga.
 
Bila uislamu kua imara hata wewe leo pengine usingekuwepo uislam ulikuja ukamkuta mwanamke anadhalilishwa ana dunishwa anaonekana sii lolote wengine watoto wakike wakizaliwa tu wanauliwa uislamu ukaja ukaondoa huu ujinga
Apa Kuna point kubwa nyingine uislam haukuwepo kabla ya Muhammad , ulikuja ukamkuta mwanamke anadhalilishwa ..

Watoto wa kike wakizaliwa tu wanauliwa , SWALI BINADAMU WALIONGEZEKA VIPI KAMA WATOTO WA KIKE WAKIZALIWA TU WANAULIWA
 
France official Na Blinken wametangaza kukutana Na Hassan Nasrallah kiongozi Wa Hizbollah ili kuzuia mashambulizi
Hilo tego tu,huyo ataliwa kichwa akionana tu na hao jamaa.
Nyie kobaz akili zenu zinawaza biriani tu na bikra ahera.
 
Hahahahaha mpaka mseme nyie magaidi wa kiislamu
Watasema Israel ambao washahamisha watu toka mpakani mpaka Karibu Na miji ya kanda ya Kati ya Israel Kwa kukimbia Hizbollah.
Ila Bora Uwe gaidi Wa kiislam kuliko kuwa mfuasi Wa mashoga ya kiisrael.
Pia ukumbuke katika hayo makundi ya Hamas Na Hizbollah Kuna mpaka wakristo wanaotetea ardhi zao.
Pia ukumbuke unaowashabikia hawataki kumsikia Yesu hata upunje kiasi cha kutemea mate madhabahu.
 
Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.

Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua kupiga kila anapoonekana adui. Nauliza ni suala la mateka tu au jingine? Mbona ni kama wana hasira sana? Russia na China ingilieni please. Iran unasubiri nini wewe Taifa kubwa?

Hawa Mayazuni wameyatimba sasa.... Nakuambia watakwisha. Makafir hawa wanatunyanya hivi? Hatutaacha kupambana nao kwenye mitandao mpaka nao waishe.

Ritz Malaria 2 ChoiceVariable tusikate tamaa ndugu zanguni. Nasi tulipize humu JF tusiwaache wenzetu ukiwa. Mpaka makafir waombe poooh.

====
A senior Hezbollah commander was killed in an Israeli drone strike on his car in southern Lebanon, a Lebanese security source told CNN on Monday, as fears of a wider regional conflict escalate.

The official, Wissam Tawil, is the most senior member of the Shiite militant group to be killed in an Israeli strike since Hezbollah and Israel began trading fire across the Lebanese-Israeli border on October 8, the day after Hamas carried out the deadliest terror attack in Israel’s history.

In a statement, Hezbollah also acknowledged the death of Tawil, who also went by the nom de guerre Hajj Jawad, in an Israeli attack. The paramilitary group shared pictures of him alongside other top Hezbollah officials and Qasem Soleimani, the former commander of the Iranian elite unit that handles the country’s overseas operations who was killed in a US airstrike fouryears ago, an apparent indication of Tawil’s stature.

Israel later claimed responsibility for Tawil’s death. “As for the hit in south Lebanon, we did take responsibility,” Israel’s foreign minister Israel Katz said in an interview with Israel’s Channel 14, “This is part of our war.”

“We are targeting Hezbollah’s people, the infrastructure, the systems they managed to put in place in order to deter Israel,” Katz said.

“We make them pay a price; we did not set a goal to thwart 150,000 missiles. We set a goal to restore security to the residents of the north, to restore security to the residents of the south and to the state of Israel,” the minister said.

CCN
😂😂😂
 
Nani watazaa na umesema watoto wakike walikuwa wanauliwa

Embu elezea huo uongo wa Muhammad nikuelewe au wanaume walikuwa wanazaa
Kwa bahati mbaya ama nzuri wala haikua wakati wa nabii Muhammad s.a.w

Ila kwakua umekaririshwa chuki dhidi ya uislam na Muhammad s.a.w ila sikulaumu kijana bado upo gizani
 
Apa Kuna point kubwa nyingine uislam haukuwepo kabla ya Muhammad , ulikuja ukamkuta mwanamke anadhalilishwa ..

Watoto wa kike wakizaliwa tu wanauliwa , SWALI BINADAMU WALIONGEZEKA VIPI KAMA WATOTO WA KIKE WAKIZALIWA TU WANAULIWA
Adam a.s ambae ndio binaadam wakwanza alikua muislam

Kuhusiana na watoto kuuliwa walikua wanauliwa nakuuliwa mpaka wakaja kukomeshwa na uislam kupitia nabii Mussa a.s kwahio uzao ukawa unaendelea mpaka leo hii
 
Adam a.s ambae ndio binaadam wakwanza alikua muislam

Kuhusiana na watoto kuuliwa walikua wanauliwa nakuuliwa mpaka wakaja kukomeshwa na uislam kupitia nabii Mussa a.s kwahio uzao ukawa unaendelea mpaka leo hii
Kwa hiyo uislam ulikuwepo na watoto wa kike walikuwa wanauliwa?
 
Kuhusiana na watoto kuuliwa walikua wanauliwa nakuuliwa mpaka wakaja kukomeshwa na uislam kupitia nabii Mussa a.s kwahio uzao ukawa unaendelea mpaka leo hii
Kwa hiyo uislam ulianza na nabii wa Allah aliekuwa anaitwa musa ? Kwa hiyo uislam ulivyo anzishwa tu na nabii musa muislamu ndio wakakomesha kuuwa watoto wakike?

Swali ni kwamba watu waliongezeka vipi kama kila mtoto mwanamke aliuwawa?
 
Ni wa aina gani walikuwa wanauliwa? Na kwa Nini?
Niwatoto wakike ndio walikua wanauliwa

Ila sababu ile nimeisahau kwa kweli ila nakumbuka kama ilisemekana kuzaa mtoto wakike nilaana kama sijakosea
 
Kwa hiyo uislam ulikuwepo na watoto wa kike walikuwa wanauliwa?
Uislamu ulikuepo kuna kipindi ukapoteza nguvu na hapa yakafanyika mabalaa yaliofanyika kabla ya kuja kupata tena nguvu nakueka mambo sawa

Uislamu ukiwa kama mtindo ama mfumi wa maisha kuanzia siasa uchumi nk umepitia mambo mengi panda shuka za hapa na pale

Kuna muda ulitawala siasa za dunia ukapotea ukatawala tena ukapotea nk nk nk
 
Back
Top Bottom