Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

⚡️Developing News:
Marekani imekiri ya kuwa haijui ni lini wapi na saa ngapi Iran itaishambulia israel.

Senior American official told the WSJ
 
Ndio maana kuna msemo wa iraeli mkata roho...
 
Absolutely true
 
⚡️Developing News:
Marekani imekiri ya kuwa haijui ni lini wapi na saa ngapi Iran itaishambulia israel.

View attachment 3060603 Senior American official told the WSJ

Unaweza ukakuta fundi seremala wa Tehran ndiyo amechonga sanaa hiyo ya silaha za mbao na ma box ya karatasi kutishia watu, kumbe makombora halisi hakuna.

Rejea :
WWII Operation Cascade deception operation during the Western Desert Campaign of World War II for North Africa.
Source : Operation Cascade (1942)
 
Tungojee maigizo ya Iran hapa hakuna jipya
 
Hiyo labda ni Iran ya Mkuranga kwa Shehe Asumani Kisukari. Halafu usisahau kwamba Israel amemiliki nyuklia toka hujazaliwa.

Mataifa yote duniani ni cha mtoto mbele ya Israel na kama hulijui hilo basi safari hii ndio utafahamu.

Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Urusi, China, India na waarabu wote wanaifahamu Israel na wanaifahamu vizuri sana DNA ya Israel kwamba Israel waga haijui matani.
 
Bila kujali matokeo ya nani atashinda, israel nayo inapaswa kuonja joto ya jiwe. Sio wapalestina wateseke pekeyao.

Israel ni wanyama kabisa.
Nyie ndio wale popo hata msimamo hamna. Bure kabisa.
 
Halafu unategemea Ayatollah abaki salama kweli.
Ayatollah safari hi kawachezea game hata US hajui sa ngapi vitu vina land Israel, safari zile aliwachia na kuwatangazia. Safari hi nyaa yupo kwenye tundu lake pale Tela Aviv anaogopa Iran wasimflush 😄
 
Waisrael wakimbie nchi Yao Wakawe wakimbizi au? Israel watashinda kubali kataa
 

Attachments

  • IMG-20240803-WA0113.jpg
    109.4 KB · Views: 3
  • gettyimages-1663771068.jpg
    928.5 KB · Views: 2
  • download (31).jpeg
    12.9 KB · Views: 3
  • images (15).jpeg
    11.6 KB · Views: 2
  • images (14).jpeg
    11.6 KB · Views: 3
  • download (27).jpeg
    11.4 KB · Views: 1
Waisrael wakimbie nchi Yao Wakawe wakimbizi au? Israel watashinda kubali kataa
😂😂😂😂😂😂😂Naona umeamua kuchanganya picha.
Picha za juu mbili ni HIZBOLLAH sio Iran.
Na ya mwisho ni Alqassam brigade Hamas.
-Waisrael WASHAKUA WAKIMBIZI na wataendelea kuwa wakimbizi.
Na idadi ya jews wanaohamia Israel inapungua kwasababu ya vurugu za kila siku.
-Unadhani Iran mchele mchele eeeh!?😂😂😂😂
Hapo kuna Fateh ballistic missiles,Bavar 373 ADS na.k n.k.
Akiamua kuitwanga Israel na Fatah hapo hapakaliki.

Embu tizama picha za jeshi la Iran na vifaa vyake kwanza halafu ukimaliza tizama ripoti inayoonesha idadi ya waisrael waliokimbia Israel tangia Oktoba 7 2023 hadi sasa ni wangapi.
 
We jamaa huwa nishakuzoea unaropoka sana huwa huongei la maana.
Wanaoandamana ni DUNIA NZIMA kupinga udhalimu wa Israel kuwaonea Palestina.
Israel imekua ikiionea Palestina kimakusudi,tokea 1948 imekatalia Palestina kuwa na anga lake,mipaka yake ya bahari na jeshi lake.
Huku ikinyakua ardhi ya Palestina kila uchwao.
Westbank Jenin mwezi uliopita IDF imevunja hadi MAKANISA WA WAKRISTO WENZAKO ili kupisha ujenzi wa makazi ya Wazayuni.
Gaza kuna makanisa mawili yana umri wa miaka zaidi ya 300 IDF wameyalipua kimakusudi tena makanisa ya kihistoria.
Sherin Abu Akleh mkristo mwenzako ni Anglican alipigwa na sniper wa IDF kimakusudi akiwa katika majukumu yake ya uandishi wa habari.
Mwaka huu Wazayuni wamevamia kanisa katoliki Israel na kulitemea mate na makohozi na kufanyia fujo wakatoliki wasifanye ibada.
Halafu wewe fala mmoja punguani usiyejielewa unaleta habari za Udini.
Nani kakwambia vita ya Palestina na Israel ni vita ya kidini!??

Spain,Belgium,Norway,Brazil,Cuba,Venezuela kote huko Watu wameandamana wakisema free Palestina.
Halafu hata Israel raia wanaandamana mpaka leo wameandamana wakisema wamechoka na vita za kimakusudi zinazosababishwa na Netanyahu.
-Waislam tukiamua tupigane na ninyi wakristo hamchukui round kwasababu waislam tunaamini in martyrdom ilhali ninyi ni waoga kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…