Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

⚡️Developing News:
Marekani imekiri ya kuwa haijui ni lini wapi na saa ngapi Iran itaishambulia israel.

IMG_20240803_164011.jpg
Senior American official told the WSJ
 
Ayatollah anaenda kumalizwa na uhakika siku si nyingi, huko Tehran, sbb wayahudi wana tabia ya kuwaua viongozi wazi wazi na wao kupigwa risasi na kuuawa kuna mifano mingi, Ayatollah akae kwenye handaki au wapi watamfuata najua, kama ilivyo kwa Rais wa Iran alivyouawa kwenye ile ajali, Ayatollah nae akae chonjo sana sbb wayahudi ni wakata roho za watu kwa uhakika
Ndio maana kuna msemo wa iraeli mkata roho...
 
😂😂😂😂😂😂😂😂MKUU WEWE NI MUONGOO.
Embu nenda kahungame dhambi ya uongo kwanza.
Wewe nani kakwambia Iran anaiogopa Israel!?
Kama Iran anaiogopa Israel je angeweka jeshi Syria na Kuisaidia Hizbollah??
Hivi unajua kama Hizbollah inayoishambulia Israel tokea Oktoba 7 inasaidiwa na Iran!?
Kama angekua Iran anaiogopa Israel asingejisogeza Syria na Lebanon.
-Halafu uache UONGO kisasi cha Qassem Soleiman pale Iraq kililipwa kambi ya USA ilipigwa ikiwa na wanajeshi tena wengi wao wamepata ulemavu wa viungo na akili.Bahati yao walijificha katika mahandaki madogo ya ile kambi ndio pona yao wakapata ulemavu kwa kuumia viungo na wengine walemavu wa akili hadi sasa.
Ndugu wa hao wanajeshi walilalamika mitandaoni ndio Trump akajishaua kutuma battleships ziende Persian Gulf zikaishia pembezoni tu.

-Tukio la May lilihusisha kurushwa drone na makombora 300+ kama isingekuwa UK,USA na Jordan basi Israel ilikua inageuka majivu.
Maana ilikua ndio mara ya kwanza Iran anashambulia directly into Israel.
Hakuna mtu ambaye alitegemea,na Iran walisema kuwa it was the show of force not use of force.
-USA kujua kuhusu kushambulia ni kulingana na Intelijensia yake,maana hata uvamizi wa Russia ndani ya Ukraine USA wali predict na ikatokea vile vile.


Msitake kutudanganya hapa ilhali tunafahamu kila kitu huyo Israel anayemkingia kifua ni USA na UK.
Na kwa uwepo wa USA kunampa wakati mgumu Iran kwasababu anajua anatafutwa na maadui wengi huku akiwa na struggling economy yenye vikwazo vingi.
Absolutely true
 
⚡️Developing News:
Marekani imekiri ya kuwa haijui ni lini wapi na saa ngapi Iran itaishambulia israel.

View attachment 3060603 Senior American official told the WSJ

Unaweza ukakuta fundi seremala wa Tehran ndiyo amechonga sanaa hiyo ya silaha za mbao na ma box ya karatasi kutishia watu, kumbe makombora halisi hakuna.

Rejea :
WWII Operation Cascade deception operation during the Western Desert Campaign of World War II for North Africa.
Source : Operation Cascade (1942)
 
Na ndivyo watakavyofanya. Irani kuhalisia anaiogopa sana Israel na anajua nguvu yake. Anachokifanya ni kutengeneza katukio kuonyesha kuwa amelipa kisasi.

Na inawezekana huwa anawasiliana na Israel na Marekani kuwaomba kulipa kisasi kiaina na ndio maana Marekani muda wote hutoa taarifa ya muda . Tujikumbushe kisasi cha Iran dhidi ya Kambi ya Marekani kule Iraq ambapo hakuna aliyejeruhiwa hata mmoja, na juzijuzi alivyolipa kisasi kwa Israel kisasi kisichokuwa na madhara.

Kwahiyo ninaamini muda huu kamati imeundwa baina ya Israel, Iran na Marekani kupanga namna ya kulipiza ila malipizi yasiyo na madhara.

MTU MWENYE NIA HUWA HANA MATANGAZO MENGI
Tungojee maigizo ya Iran hapa hakuna jipya
 
inaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL.

Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki.

Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari.

Tayari hofu imetanda Huko Israel

Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL.

Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.

Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
Hiyo labda ni Iran ya Mkuranga kwa Shehe Asumani Kisukari. Halafu usisahau kwamba Israel amemiliki nyuklia toka hujazaliwa.

Mataifa yote duniani ni cha mtoto mbele ya Israel na kama hulijui hilo basi safari hii ndio utafahamu.

Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Urusi, China, India na waarabu wote wanaifahamu Israel na wanaifahamu vizuri sana DNA ya Israel kwamba Israel waga haijui matani.
 
Halafu unategemea Ayatollah abaki salama kweli.
Ayatollah safari hi kawachezea game hata US hajui sa ngapi vitu vina land Israel, safari zile aliwachia na kuwatangazia. Safari hi nyaa yupo kwenye tundu lake pale Tela Aviv anaogopa Iran wasimflush 😄
 
Unasema Israel anamlia timing ilhali sasa hivi Wazayuni wengine wanahama nchi!?
AISEE Wabongo mnajua sana kuropoka.
Raia wa Israel wanalalamika huko juu ya maamuzi ya viongozi wao maana washachoka kuwa internally displaced,wengine wamesusa jana wamekata tiketi maelfu kuondoka Israel kwa muda.
Netanyahu simu kuelekea Washington haziishi,wewe keyboard warrior upo JF ukisema eti Israel anamlia timing Iran.
Wazayuni wakikusikia watakupiga makofi.
Waisrael wakimbie nchi Yao Wakawe wakimbizi au? Israel watashinda kubali kataa
 

Attachments

  • IMG-20240803-WA0113.jpg
    IMG-20240803-WA0113.jpg
    109.4 KB · Views: 3
  • gettyimages-1663771068.jpg
    gettyimages-1663771068.jpg
    928.5 KB · Views: 2
  • download (31).jpeg
    download (31).jpeg
    12.9 KB · Views: 3
  • images (15).jpeg
    images (15).jpeg
    11.6 KB · Views: 2
  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    11.6 KB · Views: 3
  • download (27).jpeg
    download (27).jpeg
    11.4 KB · Views: 1
Waisrael wakimbie nchi Yao Wakawe wakimbizi au? Israel watashinda kubali kataa
😂😂😂😂😂😂😂Naona umeamua kuchanganya picha.
Picha za juu mbili ni HIZBOLLAH sio Iran.
Na ya mwisho ni Alqassam brigade Hamas.
-Waisrael WASHAKUA WAKIMBIZI na wataendelea kuwa wakimbizi.
Na idadi ya jews wanaohamia Israel inapungua kwasababu ya vurugu za kila siku.
-Unadhani Iran mchele mchele eeeh!?😂😂😂😂
Hapo kuna Fateh ballistic missiles,Bavar 373 ADS na.k n.k.
Akiamua kuitwanga Israel na Fatah hapo hapakaliki.

Embu tizama picha za jeshi la Iran na vifaa vyake kwanza halafu ukimaliza tizama ripoti inayoonesha idadi ya waisrael waliokimbia Israel tangia Oktoba 7 2023 hadi sasa ni wangapi.
Screenshot_2024-08-04-00-27-11-75_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-27-38-50_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-28-01-12_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-28-46-81_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-29-43-11_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-30-39-42_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-31-23-82_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-33-46-01_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-40-32-21_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-41-03-08_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-37-14-55_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-04-00-37-49-47_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Si ndio ninyi mliandamana wiki iliyo pita huku mkibeba mabango ya " stop the war.

Hivi wewe Kosugi, kaa na utafakari.
Hivi Waislamu wana ubavu wa kupambana na Wakristo ?
Na ndio mna Mungu Allah, muweza ya yote.

Magaidi wa Kiislamu wanatuchinja bila hatia nyinyi mpo kimya tu.
Mpo kimya kwakuwa mna wasapoti sana kimya kimya na sisi tunajua hilo kiundani kabisa.

Tukiamka kupambana mtatuweza ?
Kwasasa tunawasamehe tu.
Tunajua kuwa hamjui mlitendalo.
We jamaa huwa nishakuzoea unaropoka sana huwa huongei la maana.
Wanaoandamana ni DUNIA NZIMA kupinga udhalimu wa Israel kuwaonea Palestina.
Israel imekua ikiionea Palestina kimakusudi,tokea 1948 imekatalia Palestina kuwa na anga lake,mipaka yake ya bahari na jeshi lake.
Huku ikinyakua ardhi ya Palestina kila uchwao.
Westbank Jenin mwezi uliopita IDF imevunja hadi MAKANISA WA WAKRISTO WENZAKO ili kupisha ujenzi wa makazi ya Wazayuni.
Gaza kuna makanisa mawili yana umri wa miaka zaidi ya 300 IDF wameyalipua kimakusudi tena makanisa ya kihistoria.
Sherin Abu Akleh mkristo mwenzako ni Anglican alipigwa na sniper wa IDF kimakusudi akiwa katika majukumu yake ya uandishi wa habari.
Mwaka huu Wazayuni wamevamia kanisa katoliki Israel na kulitemea mate na makohozi na kufanyia fujo wakatoliki wasifanye ibada.
Halafu wewe fala mmoja punguani usiyejielewa unaleta habari za Udini.
Nani kakwambia vita ya Palestina na Israel ni vita ya kidini!??

Spain,Belgium,Norway,Brazil,Cuba,Venezuela kote huko Watu wameandamana wakisema free Palestina.
Halafu hata Israel raia wanaandamana mpaka leo wameandamana wakisema wamechoka na vita za kimakusudi zinazosababishwa na Netanyahu.
-Waislam tukiamua tupigane na ninyi wakristo hamchukui round kwasababu waislam tunaamini in martyrdom ilhali ninyi ni waoga kufa.
 
Back
Top Bottom