Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Wewe umesema neno achana na hawa wababaishaji na maswali yao yaleyale kila siku Mungu ni Amin na Hakika. Na ukisikia Mungu kaumba siku 7 haimanishi Alianza j,mos na kumaliza Ijumaa ila ni jumla ya siku saba alimaliza Uumbaji
 
kama wanasayansi ni wabaya hivo ukiumwa unaenda wapi, kanisani au hospitali
 
Tatizo lako unasoma biblia kaa novo
 
Hapa waliotuangusha ni wale wanafunzi wa Yesu,kwa sababu miongoni mwao kwa mujibu wa kitabu cha kikristu Biblia,walikuwa wasomi na mmoja wao ni Marko. Hawa walipaswa kumuuliza haya maswali na majibu ya Yesu yangesaidia sana leo.

Kwa hali ilivyo hivi sasa,Biblia na vitabu vingine vya Dini,haviaminiki tena. Na ni vigumu sana kuamini uwepo wa Mungu. Nadhani hii dhana ya uwepo wa Mungu ilikuwa mbinu tu ya watu kupiga hela!!
 
Sema wewe ndo huamini na si kosa lako maana hukuumbwa kuamini ila walioumbwa kuamini ni wengi na wanaongezeka katika jamii ya waaminio kila uchwao.
"Kondoo zangu huisikia sauti yangu" nae kila aisikiae sauti ya mchungaji (Yesu) huitika . Na ni kwa wakati uliokusudiwa kwake yeye aitwae.
Back to topic ni kwamba biblia iko clear na imeweka kila kitu wazi katika uumbaji hasa kitabu cha mwanzo. Kuna uumbaji wa roho katika mwanzo moja ukidhihirishwa katika mwili mwanzo mbili. Na kuna tofauti ya mamilioni kama sii mabilioni ya miaka katika umbaji hizi.
Kibaya zaidi katika ulimwengu wa kisayansi hawajui chochote kuuhusu huu ulimwengu wa roho. Wameishia tu kwa umbali mno kuwa na picha ya jicho la kisayansi katika sehemu ndogo sana kwenye hili eneo la allies na hata hivyo hawana maelezo ya kina juu ya hivi viumbe zaidi ya kuvibatiza jina la phenomena lisilo na maelezo zaidi.
 
Kuhusu hili kila upande una limited knowledge. Creationism hawaendi mbali kabisa, Wanasayansi wanaenda mbali lakini hawafiki mwisho. Ila ipo siku ukweli utajulikana.
 
1. Hata kama dunia ni older for 1000 years haitabatilisha theory ya evolution kwa sababu Evolution haina uhusiano sana na mabilioni bali inahusiana na mabadiliko ya kiumbe kutoka hatua moja kwenda nyingine.

2. Dunia inaweza kuwa old to 3billions na kuendelea lakini bado haimaanishi creation ni wrong. Who knows kama neno siku ni 24 hours? What if its a long period of time? Who knows!

Dating sio part ya evolution bali ni part inayojaribu kupima validity ya evolution.

I want you to tell you what I see here. You are resisting an idea rather than facing it. Usipoteze wakati kutaka kukataa idea bali isome na ichunguze zaidi na sio kukimbilia kuipinga au kuilinganisha na unachotaka kuelewa.

Sky is not the limit, The Mind is the limit.
 
Evolution pia inaweza kuwepo ndani ya Creation myth. Kama uhalisia kuwa creationist mnaamini kuwa Mungu alimuumba mwanadamu na akabadilika kuwa Africans, Indians, White n.k kutokana na mazingira na adaptation hapo tayari theory ya mageuzi imeshirikishwa katika maelekezo.



Tuache kukariri wrongly kuona evolution ni nyani kuwa mwanadamu tu, au mabillion ya miaka au inapinga creation au theory ya kishetani. Hizo ni limited delusions za jamii inayotaka kuelewa itakavyo.

Evolution kwa kifupi ina maana ya MAGEUZI. Kuwa viumbe havina appearance ya moja kwa moja bali hubadilika.

Tukiiweka hii theory simply na short ndipo mtaelewa kuwa its a logical argument na sio kelele.
 
Hivi umeelewa mada kweli wewe?

Mada haizungumzii kupinga chochote bali wewe sema unakubaliana na kitu gani....
 
Unapingana na Biblia halafu mada inakutaka useme wewe unakubaliana na kitu kipi au dhana ipi juu ya umri wa dunia,hujioni wewe wa ajabu?
 
Una hasira sana na Biblia siyo?

Anzisha thread yako utapata majibu huko....
 
Mada hii nakumbuka niliianzisha ktk group la shule lakn waliipotezea.

Mimi naamini Evolutionists kwa sababu. Natamani sana nitoe sababu ya kuamini
 
Unapingana na Biblia halafu mada inakutaka useme wewe unakubaliana na kitu kipi au dhana ipi juu ya umri wa dunia,hujioni wewe wa ajabu?
hivi unajielewa kweli wewe?
kupitia hayo maelezo yangu hapo juu nadhani umeshatambua nko upande gani.

ficha uppumbavu wako, kabla hujaanza kuharisha
 
Unapingana na Biblia halafu mada inakutaka useme wewe unakubaliana na kitu kipi au dhana ipi juu ya umri wa dunia,hujioni wewe wa ajabu?
hivi unajielewa kweli wewe?
kupitia hayo maelezo yangu hapo juu nadhani umeshatambua nko upande gani.

ficha uppumbavu wako, kabla hujaanza kuharisha
 
Nakurekebisha hapo hapo...! Binadamu hajatokana na sokwe..! Rekebisha kwanza hapo
 
Nakurekebisha hapo hapo...! Binadamu hajatokana na sokwe..! Rekebisha kwanza hapo
Chagua
Cell, bakteria, samaki, homo habils etc ni suala la muda gani tu. Mimi mtazamo wangu ni uumbaji nitaeleza kwa nini sio evolution. Na kwa nini naamini evolution ni suala la kidini au imani na sio sayansi kama Dunia inavyoaminishwa
 

Attachments

  • ourfacefish2man.jpg
    18.7 KB · Views: 58
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…