Dunia inaelekea wapi? Watu wasio na akili wanazaliana kwa kasi, huku wenye akili hawazaliani

Dunia inaelekea wapi? Watu wasio na akili wanazaliana kwa kasi, huku wenye akili hawazaliani

Nonesense!, stupid argument. Kwahiyo hao wazungu wa ulaya, wakorea, wajapan na wachina ndio wenye akili pekee hapa duniani?

Akili ni nini?

Kweli waAfrica tulistahili kuwa colonized.

Japo una point.

Tumia akili yako vizuri
Ndio watu wenye akili kuliko wengine, Na Afrika ilitakiwa kuwa colonized ndio
 
hivi unajua kuwa mwanadamu mwenye IQ kubwa kuliko wote duniani hivi karibuni alikuwa Mnigeria? wala sio mzungu? unajua wanigeria wanaogopwa dunia nzima kwa akili?hadi utapeli wazungu wamenyoosha mikono. hao utawaita wajinga?
, wenye akili wamevumbua teknolojia za kuisadia dunia na kurahisha maisha,
 
Wewe ni mtumwa wa fikra...
Kwanin hao unawaona wana akili kuliko sisi?
India hawazaliani?
Nyie ndio wale mnaodhani kujua kiingereza ndio msomi..
Mbona mifano ya nchi nilizotaja hawaongei Kiingereza, Kingereza hata Malawi wanaongea
Nimetaja Japan, Korea, Ujerumani....hao utawalinganisha na nchi za Afrika kama Tz , Uganda au Congo?
Au kutetea ngozi nyeusi ndio ujanja?😂
 
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2844266

Ww ndio huna akili kim jong mwenywe analia hadharan anataka watu wazae korea ukizaa unapewa na hela china leo wanahamasisha watu wazae mataifa yao yanakosa nguvu kazi za vijana ww unasema nini
 
Ww ndio huna akili kim jong mwenywe analia hadharan anataka watu wazae korea ukizaa unapewa na hela china leo wanahamasisha watu wazae mataifa yao yanakosa nguvu kazi za vijana ww unasema nini
Wewe bumunda si ndio ninachokisema hapa?
Mataifa kama Korea na China, Japan n.k hawazaliani tena, huku mabumunda kama wewe mnazaliana kama utitiri
 
Kws
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2844266
Waafrica si kwamba hatuna akili. Hatujapata fursa sawa na hao uliowataja wote. Chukua leo watoto 20 wa Kiafrica na hao wengine walee mazingira yanayofanana kila kitu uone kama hawatakuwa sawa.
 
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2844266
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and marrying so many wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2844266
Starehe pekee ya masikini ni sex
 
Back
Top Bottom