Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili na ndio maana umekubali kukiri huna,Watanzania, Wa Nigeria, Wazulu, Wacongo, Waislam , Walatino, n.k
Mkuu,samahani,Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile
Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?
View attachment 2844266
Unadhani ni nini kinachowafanya wasongezeke km siyo ushoga ulio yakumba mataifa hayo unayotaja kuwa watu wake wana unachokiita akili?Kwa nini
Tatizo itakuwa ni pili pili wanazokula hao Wa-Nigeria.Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile
Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?
View attachment 2844266
sasa 80% ya wanaume huko Germany ni mashoga, ulitegemea nini?!Ina maana ndani ya miaka 40 ujerumani wameongezeka watu mil 7 tu duuh
Sasa wanaume karibu wote huko wamekuwa mashoga na wanalindwa haki zao za kufumuliwa marinda kisawasawa, wataongezeka vipi?Hao walioongezeka ni wahamiaji
Kwahio tusubiri kuletewa fursa 😃 hao walio endelea fursa nani aliwa pelekeaKws
Waafrica si kwamba hatuna akili. Hatujapata fursa sawa na hao uliowataja wote. Chukua leo watoto 20 wa Kiafrica na hao wengine walee mazingira yanayofanana kila kitu uone kama hawatakuwa sawa.
Wala usijali tukifikia hatua hiyo tayar tutakuwa tunaongozwa na marobot. Kwa hiyo hakutaharibika kitu.Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile
Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?
View attachment 2844266
Bwahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa [emoji23]Wewe ni mtumwa wa fikra...
Kwanin hao unawaona wana akili kuliko sisi?
India hawazaliani?
Nyie ndio wale mnaodhani kujua kiingereza ndio msomi..
Canada na Japan wanatafuta Wananchi wengine toka nnje ya nchi kuendesha na kusimamia rasilimali zao maana non resources ni nyingi sana zaidi ya Human being resources.Mbona mifano ya nchi nilizotaja hawaongei Kiingereza, Kingereza hata Malawi wanaongea
Nimetaja Japan, Korea, Ujerumani....hao utawalinganisha na nchi za Afrika kama Tz , Uganda au Congo?
Au kutetea ngozi nyeusi ndio ujanja?[emoji23]
Shida nyingine inayowasumbua hao Germany na wenzao ni ushogaCanada na Japan wanatafuta Wananchi wengine toka nnje ya nchi kuendesha na kusimamia rasilimali zao maana non resources ni nyingi sana zaidi ya Human being resources.
Matokeo hayo ni sababu ya upumbavu uliouandika hapa kwa imani za kijinga kama zako, tena wengine wakiendekeza masterbation kama suluhisho la uselapimbi badala ya kuoa Wife materials na kuishi nao katika ndoa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
White people si waliiba wee mimali kedekede Africa kwa colonialism systems wakipokezana Mataifa mbali mbali kama Italiy, Germany, UK na sasa USA kupitia neocolonialism system, au unajisahaulisha tu Chifu?Kwahio tusubiri kuletewa fursa [emoji2] hao walio endelea fursa nani aliwa pelekea