Dunia inaelekea wapi? Watu wasio na akili wanazaliana kwa kasi, huku wenye akili hawazaliani

Najua unatuzungumuzia sisi wa Africa.
Jibu ni kwambia Africa utakuja kuongoza Dunia miaka inayokuja ngoja tuzaliane ndugu.
Kingine acha roho mbaya a
Kuzaliwa mtu wew kinakuchoma nini mkuu.
 
Laana zinawasumbua
Wewe ndo laana zinakusumbua. Make hutaki kukubali ukweli. Unakimbilia kwenye issue ya ushoga tu. Inaonekana kabisa wewe ni shoga Tena uliyekubuhu. Si kawaida mtu ambaye sio mlevi Kila ukimuuliza kitu lazima ataje ulevi. Kwa mwanaumme ambaye hajui hivyo vitu hawezi kuwa analitaja Kila sentensi yake. Na huu ndo ukweli mchungu kwako.
 
Concept ya pesa yenyewe ni mzungu ndio kaanzisha, hata "pesa ya Tanzania" ame print mzungu, na thamani yake inatokana na mifumo aliyoweka mzungu, achilia yote hayo hata Tanzania kama nchi imekuwa created na mzungu
Mentir. Systeme ya echange ima exist enzi kwa enz , watu wa ulaya waliechange mbuzi na grain, walivyokuja afriqa wameshangaa tunabadilishana kwa gold na cowrié shells
kila continent imekuwa na medium ya echange, from Afrique, uropa na south ameriqa. Kwa ameriqa wamekuja kuiga.
 
Mbon
Alizaliwa kwenye chain ya umaskn ndo maana akafa maskni bila hata Mtoto. Japo no wachache Sana wanaokosa kupata watoto ambao ni wako nje ya uwezo wa binadamu
Mbona mdogo wake ana watoto 6 ana miliki nyumba kadhaa jijini,ana magari kadhaa na kati ya hao watoto hakuna ambaye ana elimu chini ya degree bila kujali ni degree za nini na wakitimba nyumbani magari yanakuwa km ng'ombe wako zizini ilihali kaka yake hana mtoto wala unafuu wa maisha km alivyo mdogo wake?
 
Sasa kama mlikuwa sawa na wao ikawaje ukaachwa nyuma miaka 599,
umepata wapi hesabu ya takwimu? tu ne sais pas compter
Wao kuwa wachache ni balaa kwa Watu wasio na akili kama wewe maana utarudi kuvaa nyasi na ngozi
mujinga kweli ww umeona kwa fashion show? muzungu anavaa leather na kutembea utupu.

Hiyo ilikuwa akili kubwa muno. Kwasababu palikuwa hakuna no environmet catastrophes. Ukija ulaya utaona banatengeneza mashati kutumia nyasi(bio degradable). Bana tembea uchi kwa velo kwa baiskeli
Kuvaa nyasi na kutembea uchi mbaya imo kwa wapi? Mmako alivua nyasiyake kuttoombener na babako akakuanyamba akiwa uchi
 
hivi unajua kuwa mwanadamu mwenye IQ kubwa kuliko wote duniani hivi karibuni alikuwa Mnigeria? wala sio mzungu? unajua wanigeria wanaogopwa dunia nzima kwa akili?hadi utapeli wazungu wamenyoosha mikono. hao utawaita wajinga?
Jamaa amechukulia ngozi nyeusi ni ujinga
Ameathirika Imani juu ya ngozi nyeupe.
Kila watu wazaliane Sawasawa na ukubwa wa maeneo yao. Tunahitaji nguvu kazi zaidi na zaidi kuikwamua Afrika
 
Inasikitisha kwani wengi wanazaliana na kuwa waumini wa dini za maboti ambazo utaka wafuasi wake kuendelea kuwa wajinga tu na kuchezewa akili kila kukicha.
Nakala: Waarabu wa Luguruni na Mchambawima Zanzibar- Waione kwenye jalada.
 
Hapo ndipo na mimi namkatalia huyu mzungu,hakuna mtu asiyekuwa na akili lkn pia inaonekana hajui sababu mama iliyopelekea huko kwao uzunguni waweke vidhibiti uzazi ila anakariri tu.
 
Wekea posti moja nimesema shoga. kumayanyani yer mmako. imbecile
 
Le diacours de haine est surfait. c'est hommage pour JF mods & leaders. Ne pas liberte d'expresion.
 
Nb Waziri Dkt Mollel aje awaone wanae wanavyojadiliana.
 
Ndo akili zenyewe hizo wamezitumia kukuibia wewe usiye na akili, na bado wanaendelea kutumia hizohizo akili kukudhibiti wewe mjinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…