Dunia inasubiri kuona insurrection ya Azimio. Kuona kama vijana wake Raila watathubutu kufanya insu-erection.

Dunia inasubiri kuona insurrection ya Azimio. Kuona kama vijana wake Raila watathubutu kufanya insu-erection.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Hali imekuwa very tense Kenya. Raila amekuwa na wasiwasi mkubwa kutangaza maandamano,ameona matatizo mengi,ameona mambo mengi yanayoleta hofu,lakini vijana wake wameonekana wako tayari kumchezea simba masharubu. Kwa hiyo tunasubiri kuona jambo gani litatokea. Inaonyesha masses wana akili ya peke yao,wana utashi wa peke yao. Insonyesha Mao Tse Tung hakuleta Mapinduzi ya China ya 1948,yeye aliyaongoza tu.
Inaonyesha Lenin hakuleta Mapinduzi ya Urusi ya 1917. Mapunduzi yalisababishwa na hali duni ya watu.
Kazi ya watu wa vyombo vya usalama siyo kazi rahisi. Ni kazi ambayo watu wanatakiwa kuwa determined kudumisha amani. No kazi ambayo hawezi kuwa sanitized ili walinzi wa usalama wafanye kazi kistaarabu. Na,bila shaka leo Ruto atawaamuru walinzi hawa kufanya mambo ambayo ni unsavoury. Lakini sasa challenge itakuwa kubwa sana kwa walinzi kuuzuia umati wa watu,kama watu watakuwa wengi sana.
 
Hali imekuwa very tense Kenya. Raila amekuwa na wasiwasi mkubwa kutangaza maandamano,ameona matatizo mengi,ameona mambo mengi yanayoleta hofu,lakini vijana wake wameonekana wako tayari kumchezea simba masharubu. Kwa hiyo tunasubiri kuona jambo gani litatokea. Inaonyesha masses wana akili ya peke yao,wana utashi wa peke yao. Insonyesha Mao Tse Tung hakuleta Mapinduzi ya China ya 1948,yeye aliyaongoza tu.
Inaonyesha Lenin hakuleta Mapinduzi ya Urusi ya 1917. Mapunduzi yalisababishwa na hali duni ya watu.
Kazi ya watu wa vyombo vya usalama siyo kazi rahisi. Ni kazi ambayo watu wanatakiwa kuwa determined kudumisha amani. No kazi ambayo hawezi kuwa sanitized ili walinzi wa usalama wafanye kazi kistaarabu. Na,bila shaka leo Ruto atawaamuru walinzi hawa kufanya mambo ambayo ni unsavoury. Lakini sasa challenge itakuwa kubwa sana kwa walinzi kuuzuia umati wa watu,kama watu watakuwa wengi sana.
Usichokijua Ruto sio uhuru hao wapuuz kama sukuma gang waliozoea deko la uhuru watalimwa risas hadi babayao awakimbie wajaribu kwenda ikulu waone nini kitawatokea.
 
Usichokijua Ruto sio uhuru hao wapuuz kama sukuma gang waliozoea deko la uhuru watalimwa risas hadi babayao awakimbie wajaribu kwenda ikulu waone nini kitawatokea.
Thubutu yake! Unadhani katiba ya Kenya ni ya kishenzi kama ya Tanzania ambayo Rais ni mungu mtu.

Katiba ya Kenya ni ya uwazi sana Rais asipoitii analiwa kichwa!
 
Ruto amkaribishe Odii serikalini, amkaribishe Asaidie kutatua changamoto za wananchi Kwa pamoja,kutatulia.

Akikaza shingo, hatomaliza muhula wake, hii ni Awamu ya Tano, yasijemkuta ya uncle.
 
Huyo mzee aache kuhamasisha vurugu kwa kisingizio cha siasa..............akalee wajukuu.
 
Usichokijua Ruto sio uhuru hao wapuuz kama sukuma gang waliozoea deko la uhuru watalimwa risas hadi babayao awakimbie wajaribu kwenda ikulu waone nini kitawatokea.
Mkuu unafuatilia siasa za Kenya au umeandika kisa upo JF?.
 
Hali ngumu ya maisha ndiyo muzee RAO anatumia kuelekea kwenye ile mass protest anayoifanya.

Although wananchi wengi wameonekana kumuunga mkono hiyo ni tofauti na mategemeo ya makamu wa Rais wa nchi hiyo ambaye alisisitiza kutoyumbishwa na wakola wa upande wa pili.
 
Back
Top Bottom