Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Hata mimi sifahamu anapolala na wala wandaaji wa chakula chake.Wewe umejua lkn wao wenyewe hawajui. Lea watoto wako mama, umeolewa ili ulee hao watoto na si kushinda mitandaoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi sifahamu anapolala na wala wandaaji wa chakula chake.Wewe umejua lkn wao wenyewe hawajui. Lea watoto wako mama, umeolewa ili ulee hao watoto na si kushinda mitandaoni.
'Wanamuondoa chap'. 'Only matter of time'. Kauli gongana.Huyo wanamuondoa chap only matter of time
Mbona hawajamuondoaHuyo wanamuondoa chap only matter of time
Mkuu infinix itoe, sema kashika kitecno chake! [emoji4][emoji4][emoji4]Utakuta Mtoa Mada Yupo Sigimbi huko Kashika Ki Tecno /Infinix chake Akiandika Ugoro tu
Ukiamka Usisahau Kuanika Hayo Magodoro uliyo Loweka
mejichekea kifalaaa sanaaa, pumbafuuu kabsaaUtakuta mtu kama wewe unaripoti kutoka kishumundu.pumbavu sana.
Nasubiria kwa hamu tangazo la kifo chake PutinNi kweli Putin ana umwa na afya yake sio nzuri ,tusubili muda utupe matokeo lakini mnatakiwa kuamini kwamba huu ndiyo mwisho wa Putin kama kiongozi wa Russia na Duniani pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapolala Putin ni watu wachache sana wanapajua kwa sasa. Chakula chake pia kinaandaliwa mbali sana na ni dakika za mwisho waandaaji wanatajiwa Pa kukipeleka.
Dollar INA nguvu ya kununua.. lknAnapolala Putin ni watu wachache sana wanapajua kwa sasa. Chakula chake pia kinaandaliwa mbali sana na ni dakika za mwisho waandaaji wanatajiwa Pa kukipeleka.
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu unamzungumzia PUTIN au PUNYETO
Mtu upo popobawa manzese unazungumzia top secret za dunia kweli mkuu?
Unayajua ya hapa nchini yanayoendelea kati ya yule askofu na kind lake la push gang?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Anapolala Putin ni watu wachache sana wanapajua kwa sasa. Chakula chake pia kinaandaliwa mbali sana na ni dakika za mwisho waandaaji wanatajiwa Pa kukipeleka.
Acha propaganda na wewe. Ukraine huwa anapewa silaha za kujikinga tu, hajawi kupewa silaha za kushambulia kwa vile nchi za Magharibi zilikuwa haziamini kuwa Ukraine inaweza kushindana na Urusi. Bbaada ya kuona udhaifu wa Urusi ndiyo sasa wameanza kupeleka silaha za Mashambulizi ambazo zinategemewa kufika kesho, kwa hivyo mapambano halisi yataanza baada yapo.washabiki wa Ukraine baada ya kutembelea kichapo kwenye uwanja wa vita,Vipi Mbona Media za Magharibi zilimuaminisha Ukraine kuwa akipewa silaha na Askari watamshinda Urusi,Mbona sasa wanaulizana silaha zao zinaishia wapi hawaoni impact.Sasa wewe chawa wa mabeberu ndo unakuja na theories dhaifu za west eti Afya ya Putin imeguswa,story ya Parkinson Disease wanahangaika nayo mwaka wa pili sasa Putin anaendelea kudunda,Mbona huongelei Afya ya Sleepy Biden Rais wa USA ambaye anapoteza kumbukumbu hadharani na kusalimia hewa?kwa taarifa yako,Shirika la Ujasusi la Russia(KGB) liko macho halilali,Marekani na West Europe wanashangaa tu na Putin Majuzi kawapiga Mkwara kwa kuzindua Intercontinental Balistic Missile,I stand with Russia,Go Putin Piga hao mabeberu
Kwanza viongozi wa Soviet wanajali Taifa mbele kabla ya starehe.Sasa ndio maisha gani hayo ? Rubbish !