Tetesi: Dunia inasubiri Taarifa moja tu ya kutisha kutoka Russian federation

Tetesi: Dunia inasubiri Taarifa moja tu ya kutisha kutoka Russian federation

Anapolala Putin ni watu wachache sana wanapajua kwa sasa. Chakula chake pia kinaandaliwa mbali sana na ni dakika za mwisho waandaaji wanatajiwa Pa kukipeleka.
Dollar INA nguvu ya kununua.. lkn
 
We itakua unamsemea yule spider man wa mchongo sio mwamba wa miamba mjomba Putin
 
washabiki wa Ukraine baada ya kutembelea kichapo kwenye uwanja wa vita,Vipi Mbona Media za Magharibi zilimuaminisha Ukraine kuwa akipewa silaha na Askari watamshinda Urusi,Mbona sasa wanaulizana silaha zao zinaishia wapi hawaoni impact.Sasa wewe chawa wa mabeberu ndo unakuja na theories dhaifu za west eti Afya ya Putin imeguswa,story ya Parkinson Disease wanahangaika nayo mwaka wa pili sasa Putin anaendelea kudunda,Mbona huongelei Afya ya Sleepy Biden Rais wa USA ambaye anapoteza kumbukumbu hadharani na kusalimia hewa?kwa taarifa yako,Shirika la Ujasusi la Russia(KGB) liko macho halilali,Marekani na West Europe wanashangaa tu na Putin Majuzi kawapiga Mkwara kwa kuzindua Intercontinental Balistic Missile,I stand with Russia,Go Putin Piga hao mabeberu
Acha propaganda na wewe. Ukraine huwa anapewa silaha za kujikinga tu, hajawi kupewa silaha za kushambulia kwa vile nchi za Magharibi zilikuwa haziamini kuwa Ukraine inaweza kushindana na Urusi. Bbaada ya kuona udhaifu wa Urusi ndiyo sasa wameanza kupeleka silaha za Mashambulizi ambazo zinategemewa kufika kesho, kwa hivyo mapambano halisi yataanza baada yapo.
 
Back
Top Bottom