Labda Kama umesema Put inNasubiria kwa hamu tangazo la kifo chake Putin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Kama umesema Put inNasubiria kwa hamu tangazo la kifo chake Putin
Unaota? Osama hakuwa na Selikari, jeshi wala chanzo chochote cha mapato imewachukua miaka 12+ America na allies wao kusema wamemuua Osama. Putin ni Jasusi, Mkuu wa KGB mstaafu, Rais wa Russia, ana jeshi, ana nyuklia, ana Silaha sio za kununua ni kuchukua tu, unadhani itawachukua miaka mingapi kwa hawa script writers wa Washington kuandaa picha na matamshi ya kifo?Wengi uwenda hawato amini na uwenda wengi watafikiri ni uchawi ila jambo zito kutoka ndani ya Russia Federation lita iyacha dunia midomo wazi na vita kusimama.
Habari ambazo sio Rasmi upo uwezekani Kremlin ikapigwa na kitu kizito mpaka sasa ninavyo andika majasusi wa dunia wakiongozwa na Team hatari ya Mossad wapo ktk kazi nzito kuiyacha dunia ktk mtanzinko mkubwa na uwenda kuziacha serikali nyingi za ki imla kujiuliza maswali mara mbilimbili.
Nini hasa chanzo cha Taarifa hii na kwa nini sasa.
Vita Ya Ukraine ni vita ilikuwa ina julikana na idara za usalama za dunia zilijuwa.
Zipo tetesi mpango wao kumuondoa Putin haukufanikiwa japo zipo tetesi wamefanikiwa kumkata makali pamoja na kuigusa afya yake.
Jambo nchi za magharibi wanajuwa ni hakika kwa sasa ni Putin kutumia silaha za hatari za nyuklia kitisho hichi kina siri nzito sana na siri hii niuwenda Putin ameweza kupata top secret juu ya mpango wa nchi za magharibi na kuamua kama mbwai iwe mbwai tu. Nakama unavyo juwa ktk mambo yasiri nyeti kama hizi nilazima mwenye siri hiyo apotezwe au awapoteze.
Kiukweli kitisho cha nyukilia kina fanya mataifa kama marekani na washirika wake kutokulala nakutafuta mbinu zaku silence mission za Putin.
Mbaya kuliko yote nchi za magharibi wameamua kutumia intelligence yao kuhakikisha wana mpata mtu mmoja kuliko vita.
Hali kwa sasa ni ya hatari kwa maeneo yote ya magharibi midege yao wanaita Beast Hunters ipo tayari kwa plan B . If pla A ita faile hakuna njia ila kumuondoa Putin ktk kiti but silence mission with conspiracy. Hii ni mission ngumu hasa ukizingatia ndani ya Kremlin wanajuwa hili litatokea. Japo hawajuwi litatokeaje. Maana hizi taasisi za kijasusi wanazidiana maujanja na mpaka sasa uwenda jamaa wamesha muweka kwenye target zao.
Subiri tangazo officialLabda Kama umesema Put in
Tofauti na wa huku wanajali familia zaidi kuliko Taifa wanaloliongoza.Kwanza viongozi wa Soviet wanajali Taifa mbele kabla ya starehe.
Kuna taarifa zimezagaa jiji la Petersburg Urusi kuwa Putin kafariki dunia
Ungekua na vigor hivi kwenye mambo ya nchi yako tungekua mbali sanaWengi uwenda hawato amini na uwenda wengi watafikiri ni uchawi ila jambo zito kutoka ndani ya Russia Federation lita iyacha dunia midomo wazi na vita kusimama.
Habari ambazo sio Rasmi upo uwezekani Kremlin ikapigwa na kitu kizito mpaka sasa ninavyo andika majasusi wa dunia wakiongozwa na Team hatari ya Mossad wapo ktk kazi nzito kuiyacha dunia ktk mtanzinko mkubwa na uwenda kuziacha serikali nyingi za ki imla kujiuliza maswali mara mbilimbili.
Nini hasa chanzo cha Taarifa hii na kwa nini sasa.
Vita Ya Ukraine ni vita ilikuwa ina julikana na idara za usalama za dunia zilijuwa.
Zipo tetesi mpango wao kumuondoa Putin haukufanikiwa japo zipo tetesi wamefanikiwa kumkata makali pamoja na kuigusa afya yake.
Jambo nchi za magharibi wanajuwa ni hakika kwa sasa ni Putin kutumia silaha za hatari za nyuklia kitisho hichi kina siri nzito sana na siri hii niuwenda Putin ameweza kupata top secret juu ya mpango wa nchi za magharibi na kuamua kama mbwai iwe mbwai tu. Nakama unavyo juwa ktk mambo yasiri nyeti kama hizi nilazima mwenye siri hiyo apotezwe au awapoteze.
Kiukweli kitisho cha nyukilia kina fanya mataifa kama marekani na washirika wake kutokulala nakutafuta mbinu zaku silence mission za Putin.
Mbaya kuliko yote nchi za magharibi wameamua kutumia intelligence yao kuhakikisha wana mpata mtu mmoja kuliko vita.
Hali kwa sasa ni ya hatari kwa maeneo yote ya magharibi midege yao wanaita Beast Hunters ipo tayari kwa plan B . If pla A ita faile hakuna njia ila kumuondoa Putin ktk kiti but silence mission with conspiracy. Hii ni mission ngumu hasa ukizingatia ndani ya Kremlin wanajuwa hili litatokea. Japo hawajuwi litatokeaje. Maana hizi taasisi za kijasusi wanazidiana maujanja na mpaka sasa uwenda jamaa wamesha muweka kwenye target zao.
Huna hata ndugu au rafiki jiji la Petersburg urusi uwasiliane naye kuhusu hili?Taarifa kutoka wapi ! All main stream international media hakuna hiyo kitu !
Kwanza viongozi wa Soviet wanajali Taifa mbele kabla ya starehe.
Wewe nabii mwanasiasa unayesihi Tanga umeanza tena eeeh?Wengi uwenda hawato amini na uwenda wengi watafikiri ni uchawi ila jambo zito kutoka ndani ya Russia Federation lita iyacha dunia midomo wazi na vita kusimama.
Habari ambazo sio Rasmi upo uwezekani Kremlin ikapigwa na kitu kizito mpaka sasa ninavyo andika majasusi wa dunia wakiongozwa na Team hatari ya Mossad wapo ktk kazi nzito kuiyacha dunia ktk mtanzinko mkubwa na uwenda kuziacha serikali nyingi za ki imla kujiuliza maswali mara mbilimbili.
Nini hasa chanzo cha Taarifa hii na kwa nini sasa.
Vita Ya Ukraine ni vita ilikuwa ina julikana na idara za usalama za dunia zilijuwa.
Zipo tetesi mpango wao kumuondoa Putin haukufanikiwa japo zipo tetesi wamefanikiwa kumkata makali pamoja na kuigusa afya yake.
Jambo nchi za magharibi wanajuwa ni hakika kwa sasa ni Putin kutumia silaha za hatari za nyuklia kitisho hichi kina siri nzito sana na siri hii niuwenda Putin ameweza kupata top secret juu ya mpango wa nchi za magharibi na kuamua kama mbwai iwe mbwai tu. Nakama unavyo juwa ktk mambo yasiri nyeti kama hizi nilazima mwenye siri hiyo apotezwe au awapoteze.
Kiukweli kitisho cha nyukilia kina fanya mataifa kama marekani na washirika wake kutokulala nakutafuta mbinu zaku silence mission za Putin.
Mbaya kuliko yote nchi za magharibi wameamua kutumia intelligence yao kuhakikisha wana mpata mtu mmoja kuliko vita.
Hali kwa sasa ni ya hatari kwa maeneo yote ya magharibi midege yao wanaita Beast Hunters ipo tayari kwa plan B . If pla A ita faile hakuna njia ila kumuondoa Putin ktk kiti but silence mission with conspiracy. Hii ni mission ngumu hasa ukizingatia ndani ya Kremlin wanajuwa hili litatokea. Japo hawajuwi litatokeaje. Maana hizi taasisi za kijasusi wanazidiana maujanja na mpaka sasa uwenda jamaa wamesha muweka kwenye target zao.
Punguza gubu ww mwanamkeHata mimi sifahamu anapolala na wala wandaaji wa chakula chake.
Nimecheka kifala sanaMkuu unamzungumzia PUTIN au PUNYETO
Mtu upo popobawa manzese unazungumzia top secret za dunia kweli mkuu?
Unayajua ya hapa nchini yanayoendelea kati ya yule askofu na kind lake la push gang?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Putin sio jiwe ebowTunasubiri kwa hamu na tunawaombea wafanikiwe
Yaani wewe ndo bure kabisa,eti zinafika kesho? zote zitaishiwa kuwa destroyed as Russian Legitimate Target.Sasa hizo silaha alizopewa kujikinga ziko wapi mbona kuchezea kichapo ndo kunashika kasi?huko Mariupol Urusi ime-besiege Mji zaidi ya three weeks mbona hizo za kujikinga hazijasaidia? I stand with Putin chapa hao Vibaraka Raisi wa Ukraine kazi kuongea daily bila focus,leo anataka mazungumzo,kesho anaomba silaha, nadhani sasa huyo kibaraka Zelensiky a Comedian ndo anaona reality kuwa vita siyo filamu za hollywood.Go Russia! Putin piga vibarakaAcha propaganda na wewe. Ukraine huwa anapewa silaha za kujikinga tu, hajawi kupewa silaha za kushambulia kwa vile nchi za Magharibi zilikuwa haziamini kuwa Ukraine inaweza kushindana na Urusi. Bbaada ya kuona udhaifu wa Urusi ndiyo sasa wameanza kupeleka silaha za Mashambulizi ambazo zinategemewa kufika kesho, kwa hivyo mapambano halisi yataanza baada yapo.
Usifananishe punyeto na vitu vya kijinga ni kuikosea heshimaMkuu unamzungumzia PUTIN au PUNYETO
Mtu upo popobawa manzese unazungumzia top secret za dunia kweli mkuu?
Unayajua ya hapa nchini yanayoendelea kati ya yule askofu na kind lake la push gang?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Umepewa mafunzo ya ushushs nao mkuu!!?Russia ina mfumo mgumu sana wa intelligence,ni vigumu mno kuihujumu.ni vigum mno
Hahahaha eti " Uwenda Uwenda" nyambaf 😁Utakuta mtu kama wewe unaripoti kutoka kishumundu.pumbavu sana.
Naona unafurahia Urusi kuivamia Ukraine na kuuwa raia wengi wasio na hatia vile, lakini elewa kuwa mpaka sasa hivi Urusi yenyewe imeshapoteza majenerali 7, makanali zaidi ya 17 (mmoja akiuwawa na askari wake mwenyewe waliokata tamaa), askari zaidi ya 23,000, mateka takriban 600, vifaru zaidi ya 680, Magari ya deraya takriban 2000, ndege za kivita zaidi ya 100 (ikawalazimu wasitumie mashambulizi ya ndege tena kwa vile zilikuwa zinaangushwa sana) na helicopter za kivita zaidi ya 250, na meli kubwa zaidi ya kivita ya Moscow imewalazimu kuhamisha meli zao zote kuzitoa mpakani na kuzipeleka mbali sana ndani ya bahari nyeusi. Hii meli ya Moscow ndiyo ilikuwa inarusha makombora ya masafa marefu ili kupiga ndani ya Ukraine. Ukraine ilipoteza ndege zake nyingi mwanzoni mwa vita ikiwemo na ile ndege ya Mriya kwa sababu ya kuvamiwa zikaharibiwa nyingi zikiwa airport kabla hazijaingia vitani.Yaani wewe ndo bure kabisa,eti zinafika kesho? zote zitaishiwa kuwa destroyed as Russian Legitimate Target.Sasa hizo silaha alizopewa kujikinga ziko wapi mbona kuchezea kichapo ndo kunashika kasi?huko Mariupol Urusi ime-besiege Mji zaidi ya three weeks mbona hizo za kujikinga hazijasaidia? I stand with Putin chapa hao Vibaraka Raisi wa Ukraine kazi kuongea daily bila focus,leo anataka mazungumzo,kesho anaomba silaha, nadhani sasa huyo kibaraka Zelensiky a Comedian ndo anaona reality kuwa vita siyo filamu za hollywood.Go Russia! Putin piga vibaraka