Dunia ni mortgage: Nadharia hii kuhusu sababu ya binadamu kuletwa duniani inafikirisha sana

Cosmology is the study of the universe; its birth, evolution, and ultimate fate. This includes further developing and refining the prevailing model, the Big Bang theory, investigating the universe's rate of expansion, and measuring radiation left over from the Big Bang, the so-called cosmic microwave background. yawezekan haipo sawa 100% lakin mungu siku moja anampongeza mtu apa for good try.

Nchi fulani mwanasayansi mmoja ametengeneza coiled drumg zinazo zunguka kwa spend kubwa sana kuna element ameziweka ndani zitengeneze mlipuko kama wa big bang theaory coz walitega vinasa sauti kutoka kwenye space ya mbali sana kipindi cha nyuma walisikia sauti flani ambayo inafanana na sauti inayo toka kwenye hii cioled drum ya sasa.
maana yake there is a place where is the heart of the universe and its active up to today explosion never end, expand more and more and more. nimeandika kwa uchache coz siikumbuki vizur nilisoma muda kidogo
 
theory yako ikideal na binadam tu tayari ni very wrong theory very wrong. good theory lazima iweze kuelezea kilakitu. the theory of evething
 
Mbingu Ni mfumo. It is not a physical place. Ni mfumo Mpya wa utawala..
 
theory yako ikideal na binadam tu tayari ni very wrong theory very wrong. good theory lazima iweze kuelezea kilakitu. the theory of evething
Nimesema Dunia Ni nyumba YENYE Kila kitu ( furnished) ambayo imekuwa mortgaged Kwa binadamu..Hivyo vitu vingine kama Wanyama, mimea etc Ni furniture's Na mapambo
 
Kila binadamu anae zaliwa anazaliwa akiwa Na FINGER PRINTS zake yeye mwenyewe. Hakuna binadamu anae zaliwa Na finger prints zinazo fanana Na finger prints ZA binadamu mwingine hata kama wamezaliwa mapacha.


Sio kweli, wapo mapacha wanafanana mpaka finger print fuatilia uthibitishe mwenyewe.

Kuna story amaizing juu ya pacha wanaaofanana ambapo moja aliiba vito, wakamdaba akasema sio yeye ikabidi aachiwe cuz ilishindikana kuwatofautisha
 
 
Mbingu Ni mfumo. It is not a physical place. Ni mfumo Mpya wa utawala..
Mfumo upya wa utawala !! utawala upii? wa kutoka wapi na utakuja lin? ata uwanzisha nani na kwann?
 
Umeupiga mwingi ntarudi ngoja nmalizie homework
 
Nimesema Dunia Ni nyumba YENYE Kila kitu ( furnished) ambayo imekuwa mortgaged Kwa binadamu..Hivyo vitu vingine kama Wanyama, mimea etc Ni furniture's Na mapambo
Binadamu huyu wa juzi. hiyo dunia yenyewe mwenyewe ni mgeni ni kama mtalii nae anashangaa . mfano pyraminds hatujui nani kajenga kuna mashimo ambayo hatujui mwisho na hatujui nani kachimba kuna majengo hatujui nan kajenga alafu unasema dunia iko mortgaged kwa ajili ya binadamu unacho andika unakijua kwel au unafanya kuburudisha
 
Sio kweli, wapo mapacha wanafanana mpaka finger print fuatilia uthibitishe mwenyewe.

Kuna story amaizing juu ya pacha wanaaofanana ambapo moja aliiba vito, wakamdaba akasema sio yeye ikabidi aachiwe cuz ilishindikana kuwatofautisha

same case imewahi kutoka seoul, south korea!
 
U think too much bro
 
Kwani ikulu ya DSM unajua Nani kaijenga?
 
Mmmmmh I smell something wrong here!
Ngoja nihifadhi nondo Kwa matumizi ya baadae
Usimwage Michele Kwenye kuku wengi ila hiyo theory Ina contradiction nyingi Sana!

Ila Kwa upande wa wafia dini hapo umegonga penyewe!
 
Mmmmmh I smell something wrong here!
Ngoja nihifadhi nondo Kwa matumizi ya baadae
Usimwage Michele Kwenye kuku wengi ila hiyo theory Ina contradiction nyingi Sana!

Ila Kwa upande wa wafia dini hapo umegonga penyewe!
Hakunaga theory isiyo kuwa Na contradiction
 
Mfumo upya wa utawala !! utawala upii? wa kutoka wapi na utakuja lin? ata uwanzisha nani na kwann?
Mkuu ukitaka straight answers jaribu na wewe kutoa majibu yaliyo straight..

Ebu tueleezee kidogo juu ya hayo uliyo yaandika hapo juu... Labda tutaanzia hapo.

Ni element zipi zilitumia/kuziweka kwenye hiyo coil?
Space ya mbali, ipi?
Space ipi hiyo ambayo inakuwa regarded kama heart of the universe?
 
It was a nice read, tho nilianza kuhisi nimerudi kanisani. I don't agree with some things, or rather some things are questionable/debatable/unresolved, mfano Yesu kufufuka, but you gave me something to think about.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…