Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua kidogo tushirikishane hii elimu.Illuminats hao, usihangaike sana ukimfuatilia vzr uyo charles anatoka moja ya familia zile 11.
Kama china walibadili katiba nini ajabuNinyi pia mlitaka kutusimikia Mfalme wenu wa Kihutu hapa Tanzania mlianza kusema Katiba ibadilishwe ili atawale milele. Kirusi kikasema NO!
Pole sanaHalafu hao hao Waingereza wanatudanganya na mambo ya Democracy. Mseven na Kagame waendelee kutawala Tu.
Corona ilicheza kama Pele walahi.Ninyi pia mlitaka kutusimikia Mfalme wenu wa Kihutu hapa Tanzania mlianza kusema Katiba ibadilishwe ili atawale milele. Kirusi kikasema NO!
Noo sio huyu ni mfalme lakini wana waziri mkuu pia ambaye anachaguliwa na wananchi na ndio kiongozi mkuu wa serikaliHalafu hao hao Waingereza wanatudanganya na mambo ya Democracy. Mseven na Kagame waendelee kutawala Tu.
China ni nchi ya Kikomunist,uroho wa madaraka ulifanya corona ifanye kazi yake haraka.Kama china walibadili katiba nini ajabu
Kaka mbowe na yeye alikwa mroho wa nini,!?China ni nchi ya Kikomunist,uroho wa madaraka ulifanya corona ifanye kazi yake haraka.