imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Tukatangaziwa kutoka Mzena na Bi Tausi.Corona ilicheza kama Pele walahi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukatangaziwa kutoka Mzena na Bi Tausi.Corona ilicheza kama Pele walahi.
Wewe ni kilaza tu hujui kama kuna conspiracies zinapita kama ushuzi kama uharo wako wa illuminantDunia ipo under conspiracy.
Vilaza kama nyie hamuwezi elewa,udhani mambo ujiendea tu
Badilisheni samia atawale mileleMama yako aliyekuzaa
Conspiracy theory nyingi ni za uongoWewe ni kilaza tu hujui kama kuna conspiracies zinapita kama ushuzi kama uharo wako wa illuminant
😂😄😆😅😁Badilisheni samia atawale milele
Usiku wa giza zaidi ya simba na Yanga kipi unajuaWewe ni kilaza tu hujui kama kuna conspiracies zinapita kama ushuzi kama uharo wako wa illuminant
Bado wewe ni kilaza tu huwezi kukwepa maana you have drawn to conspiracy theories like a brainless insect. Issue za free manson na takataka zote ni illusion na walioanzisha huu uchafu wamefanikiwa kiasi chakeUsiku wa giza zaidi ya simba na Yanga kipi unajua
Watu wengi wanakuwa drawn to conspiracies kwa sababu ni kawaida binadamu kupenda uzushiConspiracy theory nyingi ni za uongo
Kusimikwa- kuwekwa kwenye nafasi
kutawazwa- kupewa mamlaka ili kutekeleza wajibu wa nafasi
JIBU LAKO NI YOTE
Kwani we ni memba wao naona makasiriko kibaoBado wewe ni kilaza tu huwezi kukwepa maana you have drawn to conspiracy theories like a brainless insect. Issue za free manson na takataka zote ni illusion na walioanzisha huu uchafu wamefanikiwa kiasi chake
Kujifunza na kuelimika sio dhambi ila tambua uki spread conspiracy theories unakuwa bado ignorant, unapaswa kuwa rational ku overcome the frenzy of conspiracies. Kwa mfano kuna consipira theories nyingi kwetu kama remote from msoga, sukuma gand na the likes.Kwani we ni memba wao naona makasiriko kibao
Asante sana mkuu kwa kuona mbali, tukifanya sisi Waafrika tunaonekana tumechelewaIngekuwa hapa wajuwaji wengi wangesema mambo haya yamepitwa na wakati
![]()
![]()