Dunia nzima inaangalia masuala ya Kimila yanayofanyika UK

Dunia nzima inaangalia masuala ya Kimila yanayofanyika UK

Hapo kuna symbolism nyingi sana za ancient Christianity, watu ujuaji mwingi hatufanyi tafiti, symbolism ipo kila mahali.
 
Ingekuwa hapa wajuwaji wengi wangesema mambo haya yamepitwa na wakati
FvcMd48WcAAxn26

FvbouEEWAAEtaop
Halafu sisi tulidharau tamaduni na tawala zetu tukaua zile tawala za Kichifu kwa kuamini hazifai. Hakika tuliporwa akili kabisa aiseeh
 
Wakatuletea ukristo. Tumeacha tamaduni zetu tunaparamia mila na desturi za watu.
Wametuletea mazuri pia laa sivyo tungekuwa tunalogana pasipo na sababu.

Kwa mfano bila Waingereza kupiga vita utumwa mpaka leo Wajasiriamali wa Kiarabu wangekuwa wanatusomba na kwenda kutuuza Utumwani.
 
Ninyi pia mlitaka kutusimikia Mfalme wenu wa Kihutu hapa Tanzania, mlianza kusema Katiba ibadilishwe ili atawale milele. Kirusi kikasema NO!
😄😆😅😁😁Yule Asingetoka Ilionekana Tu, Amekaa Kama Kota Pin Ya Baiskeli Tena Phonex
 
Utakufa na umaskini wako. We kila maendeleo ni illuminati. Kwa hiyo huyo mungu wako anachukia maendeleo na utajiri wa mtu?

Uzuri mimi sio maskini Nashukuru Mungu kwa kunipa maisha mazuri. Nadhani huijui vzr historia ya UK.
 
Karume na Mahamali wenzake wa Forodhani waliuondoa Usultani Zanzibar, na sisi Watanganyika ni Republicans, Tanzania haiwezi kuwa Nchi ya Kifalme.
 
Ninyi pia mlitaka kutusimikia Mfalme wenu wa Kihutu hapa Tanzania, mlianza kusema Katiba ibadilishwe ili atawale milele. Kirusi kikasema NO!
Mhutu alikubutua akakuachia mimba ambayo hujawahi kujifungua mpaka leo
 
Nmeona bbc jana wanasema katika hatua hizo za uapisho kuna hatua ya kwenda chumba au sehemu ambapo hakuna kamera wala chombo cha habari chochote kina ruhusiwa.

Sasa jiulize yapi yanakuwa yanatendeka huko?
 
Back
Top Bottom