fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Mimi siangalii hayo matambiko!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ni rais wa nchi gani?Kaka mbowe na yeye alikwa mroho wa nini,!?
Kubadili katiba inaruhusiwa tu kwa nchi za kikomunist!?
Israel ya Netanyahu nayo ni ya kikomunist.
Halafu sisi tulidharau tamaduni na tawala zetu tukaua zile tawala za Kichifu kwa kuamini hazifai. Hakika tuliporwa akili kabisa aiseehIngekuwa hapa wajuwaji wengi wangesema mambo haya yamepitwa na wakati
![]()
![]()
Si unajua tena tumekuwa brain washed na wazungu!!Ingekuwa hapa wajuwaji wengi wangesema mambo haya yamepitwa na wakati
![]()
![]()
Amebaki Mbowe tu sasaNinyi pia mlitaka kutusimikia Mfalme wenu wa Kihutu hapa Tanzania, mlianza kusema Katiba ibadilishwe ili atawale milele. Kirusi kikasema NO!
Atuvushe kwanza.Amebaki Mbowe tu sasa
Wakatuletea ukristo. Tumeacha tamaduni zetu tunaparamia mila na desturi za watu.Huku kwetu waliua mambo ya machifu wakatuletea utawala wa ukandamizaji
Si mko na chifu hangaya au?Huku kwetu waliua mambo ya machifu wakatuletea utawala wa ukandamizaji
Wametuletea mazuri pia laa sivyo tungekuwa tunalogana pasipo na sababu.Wakatuletea ukristo. Tumeacha tamaduni zetu tunaparamia mila na desturi za watu.
😄😆😅😁😁Yule Asingetoka Ilionekana Tu, Amekaa Kama Kota Pin Ya Baiskeli Tena PhonexNinyi pia mlitaka kutusimikia Mfalme wenu wa Kihutu hapa Tanzania, mlianza kusema Katiba ibadilishwe ili atawale milele. Kirusi kikasema NO!
Utakufa na umaskini wako. We kila maendeleo ni illuminati. Kwa hiyo huyo mungu wako anachukia maendeleo na utajiri wa mtu?
Muombeni Mungu apishe mbali kama kirusi kikipita tena mnapata MHUTU mwingine!!Corona ilicheza kama Pele walahi.
Sawa mkuuAtuvushe kwanza.
Ingekuwa hapa wajuwaji wengi wangesema mambo haya yamepitwa na wakati
![]()
![]()
Mhutu alikubutua akakuachia mimba ambayo hujawahi kujifungua mpaka leoNinyi pia mlitaka kutusimikia Mfalme wenu wa Kihutu hapa Tanzania, mlianza kusema Katiba ibadilishwe ili atawale milele. Kirusi kikasema NO!
Kweni nayeye alikuwa mpenzi wa sehemu ya haja kubwa?Mhutu alikubutua akakuachia mimba ambayo hujawahi kujifungua mpaka leo