Dunia nzima inaangalia masuala ya Kimila yanayofanyika UK

Dunia nzima inaangalia masuala ya Kimila yanayofanyika UK

Hilo nalijua ila hii familia ya kifalme inalitafuna taifa kifedha. Hata leo wapo waliojitoa muhanga wakanyanyua mabango ya "abolish kingdom", No more kingdom "
Viongozi wa maandamano wamewekwa ndani
 
Vikosi vyote viko hapa leo
Hii ndio application ya kazi ya mda mrefu kuwahi kutokea hapa [emoji636]
Yaani kupata kazi ya ufalme kasubiri miaka 70
Ingekuwa sisi?

King Chaz hana neno mtu poa sana
Wewe mwafrika unafaidika na nini kwa Charles kuwa mfalme?
 
Kweni nayeye alikuwa mpenzi wa sehemu ya haja kubwa?

Nilikuwa sijui.
Yap alikuwa anapenda sana kuwala magasho kama nyie!

Na mpo wengi humu mnalialia hovyo tu eti alikuwa anawafanyia ukatili
 
Mimi nina uraia na watoto wangu wamefaidika kwa mambo mengi kama The prince's Charities foundation

Kwa hiyo in a way nimefaidika sana tu
I suppose you are black......kuwa na uraia wa Uingereza hata sisi wengine tulikuwa nao huko nyuma kabla ya kurudi nchini kujiendeleza zaidi. Hiyo Prince's Foundation ni NGO tu iliyokuwa chini ya the then Prince Charles, wanao hawajaifungua na hawahusiki na chochote humo zaidi ya kufanya kazi (charity works), labda ungejisifia kuwa unajiona umekuwa Muingereza japo ni Mtanzania asiye na thamani huko.
 
Illuminats hao, usihangaike sana ukimfuatilia vzr uyo charles anatoka moja ya familia zile 11.
Chata za freemason kila sehemu si mavazi,si viti, si mapambo fully masonic tupu
 
Yap alikuwa anapenda sana kuwala magasho kama nyie!

Na mpo wengi humu mnalialia hovyo tu eti alikuwa anawafanyia ukatili
Nilikuwa sijui kuwa Magufuli alikuwa Shoga asante kwa taarifa.
 
I suppose you are black......kuwa na uraia wa Uingereza hata sisi wengine tulikuwa nao huko nyuma kabla ya kurudi nchini kujiendeleza zaidi. Hiyo Prince's Foundation ni NGO tu iliyokuwa chini ya the then Prince Charles, wanao hawajaifungua na hawahusiki na chochote humo zaidi ya kufanya kazi (charity works), labda ungejisifia kuwa unajiona umekuwa Muingereza japo ni Mtanzania asiye na thamani huko.
Ana Charities zaidi ya 19 na wanasaidia vijana kwa njia nyingi tu

Sijui unanishambulia kwa sababu zipi
Huo uingereza wako ni wa kwako
Ila mimi umeniuliza swali nikajibu

Uwe na amani mkuu
 
Uzi mzuri lkn kuna mijitu inakuja kuharibu na chuki zao za kisiasa, kuna baadhi ya Topic mambo ya chadema na ccm muyaache jamani mnatia aibu.

Anyway back to topic, hao waingereza ni wachawi na washirikina kuliko hata waafrika.

Hao ndio main controller wa taasisi nyingi za siri zinazofanya maovu dunian bila kusahau wafadhiri wa uhuni mwingi.

Walituaminisha demokrasia ni nzur, ijapokuwa nchi yao yaongozwa kifalme kwa kificho cha kumuweka Prime minister kama head of state, kumbe behind kuna KING ambaye kiuhalisia ana nguvu kuliko huyo mwanasiasa anayechaguliwa kama waziri mkuu, King ana mamlaka ya kumng'oa huyo waziri , kiufupi King ananguvu kulko waziri.

Hakuna demokrasia dunian bali kuna fitna na uongo mwingi.

Uchawi wa watu weupe ni tofaut na uchawi wa wabongo, King wa UK kiuhalisia ni King wa mataifa mengi kimaamuzi na kiutawala mybe kisiri mfano kwa nchi walizozitawala kikolon ama kiuhalisia kwa nchi zilizoongozwa chini ya ufalme wa uingereza.

King wa UK ni moja wapo wa viongoz wenye nguvu sana dunian ukiwatowa wale baadhi ya viongoz wa kidini hususan kiongoz wa kanisa la Catholic pia rais wa USA, France, german, na baadhi yao, hawa ndio wanaiongoza dunia iwe kisiri ama kiuhalisia, iko hivyo hata wapumbavu wapinge vipi hili jambo halibadiliki, ukweli siku zote ni ukweli tu, haijalishi ukwel huo unapendwa ama haupendwi, iwe unauma ama hauumi, ukweli haubadiliki.

Tufuatilie mambo wajameni tuache ubishi wa kitoto
 
Anasimikwa??! au anatawazwa?!😏
Kusimikwa- kuwekwa kwenye nafasi
kutawazwa- kupewa mamlaka ili kutekeleza wajibu wa nafasi
JIBU LAKO NI YOTE
 
Uzi mzuri lkn kuna mijitu inakuja kuharibu na chuki zao za kisiasa, kuna baadhi ya Topic mambo ya chadema na ccm muyaache jamani mnatia aibu.

Anyway back to topic, hao waingereza ni wachawi na washirikina kuliko hata waafrika.

Hao ndio main controller wa taasisi nyingi za siri zinazofanya maovu dunian bila kusahau wafadhiri wa uhuni mwingi.

Walituaminisha demokrasia ni nzur, ijapokuwa nchi yao yaongozwa kifalme kwa kificho cha kumuweka Prime minister kama head of state, kumbe behind kuna KING ambaye kiuhalisia ana nguvu kuliko huyo mwanasiasa anayechaguliwa kama waziri mkuu, King ana mamlaka ya kumng'oa huyo waziri , kiufupi King ananguvu kulko waziri.

Hakuna demokrasia dunian bali kuna fitna na uongo mwingi.

Uchawi wa watu weupe ni tofaut na uchawi wa wabongo, King wa UK kiuhalisia ni King wa mataifa mengi kimaamuzi na kiutawala mybe kisiri mfano kwa nchi walizozitawala kikolon ama kiuhalisia kwa nchi zilizoongozwa chini ya ufalme wa uingereza.

King wa UK ni moja wapo wa viongoz wenye nguvu sana dunian ukiwatowa wale baadhi ya viongoz wa kidini hususan kiongoz wa kanisa la Catholic pia rais wa USA, France, german, na baadhi yao, hawa ndio wanaiongoza dunia iwe kisiri ama kiuhalisia, iko hivyo hata wapumbavu wapinge vipi hili jambo halibadiliki, ukweli siku zote ni ukweli tu, haijalishi ukwel huo unapendwa ama haupendwi, iwe unauma ama hauumi, ukweli haubadiliki.

Tufuatilie mambo wajameni tuache ubishi wa kitoto
Kongele kwa ufafanuzi mzuri na hasa kwa onyo ulilotoa la kukemea mihemuko na porojo
 
Hilo nalijua ila hii familia ya kifalme inalitafuna taifa kifedha. Hata leo wapo waliojitoa muhanga wakanyanyua mabango ya "abolish kingdom", No more kingdom "
Kuna haja pia kudumisha mila na desturi.
Ndio maana hata sisi tuna chief Hangaya
 
Kwani chifu hangaya aliposimikwa tukio halikufuatiliwa duniani?
 
Mimi nina uraia na watoto wangu wamefaidika kwa mambo mengi kama The prince's Charities foundation

Kwa hiyo in a way nimefaidika sana tu
Mkuu hivi ukikaa huko siku nyingi ule moshi wa kichawi wa mwenge unakutoka unaanza kuwa na fikra huru,hivi ni kweli?
 
Back
Top Bottom