Dunia nzima inaangalia masuala ya Kimila yanayofanyika UK

Noo sio huyu ni mfalme lakini wana waziri mkuu pia ambaye anachaguliwa na wananchi na ndio kiongozi mkuu wa serikali
Hilo nalijua ila hii familia ya kifalme inalitafuna taifa kifedha. Hata leo wapo waliojitoa muhanga wakanyanyua mabango ya "abolish kingdom", No more kingdom "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…