mandieta19
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 212
- 549
KabisaSio siku hizi, Sena wewe umekua mkubwa, wakati upo mtoto walikua wanakufa wakubwa ila hutilii maanan sasa umekua na wanakufa wakubwa wenzio
Kwani zamani misiba ndio ilikuwa michache?Siku hizi ni kawaida au pengine ishakuwa mazoea kusikia ,kuona au kutokea kwa msiba wa mtu fulani aidha wa mtaani kwako,jirani, ndugu,ofisini kwako au yoyote unaemfahamu.
Wengi wa Wanaokufa ni watu wenye nguvu bado,
Dunia ya leo je inaelekea mwisho?
Kwanini misiba ni mingi kuliko matukio mengine?
je ule mwisho u karibu?
tangu zamani wa2 walikuwa wanakufa ila walikuwa wachache!!Siku hizi ni kawaida au pengine ishakuwa mazoea kusikia ,kuona au kutokea kwa msiba wa mtu fulani aidha wa mtaani kwako,jirani, ndugu,ofisini kwako au yoyote unaemfahamu.
Wengi wa Wanaokufa ni watu wenye nguvu bado,
Dunia ya leo je inaelekea mwisho?
Kwanini misiba ni mingi kuliko matukio mengine?
je ule mwisho u karibu?
Si kwamba zamani walikuwa hawafi sana, ila sasa hiv taarifa zinafika kwa haraka. Zamani ni jamii au familia fulani ndio itajuaSiku hizi ni kawaida au pengine ishakuwa mazoea kusikia ,kuona au kutokea kwa msiba wa mtu fulani aidha wa mtaani kwako,jirani, ndugu,ofisini kwako au yoyote unaemfahamu.
Wengi wa Wanaokufa ni watu wenye nguvu bado,
Dunia ya leo je inaelekea mwisho?
Kwanini misiba ni mingi kuliko matukio mengine?
je ule mwisho u karibu?
Kwa hilo ulilosema,kuporomoka pia kwa maadili kunachangia sana,nyakati hizi,mfano enzi hizo hadi miaka ya 90's mtoto alikuwa kweli wa jamii akikengeuka jambo lolote la maadili hata jirani alimuadhibu,leo hii ni tofauti kabisa ukithubutu we jirani utaoga matusi yakutosha,ikibidi hata kipigo,.litoto unalikuta mfano linakinanilii kitoto cha watu ukithubutu kumkamata utakiona cha mtema kuni,hata utoe taarifa kwa mzazi wake atakuona ni kama umempelekea umbea tu,sasa jiulize kwanini mtoto asiharibikiwe?? Kimaisha na hata kuangamia?zamani walikuwa wanakufa wazazi wanawaacha watoto ila siku hizi wanakufa watoto wanaacha wazazi,
Je kama hujafanikiwa kuzaa? Zipo sababu mbalimbali za kutozaa,mi nadhani kumbukumbu nzuri ni kile kizuri ulichokifanya katika jamii yako au nchi yako,ndo maana twamtambua nyerere julius yeye kama yeye haswa,sio kupitia watoto wake.Acha uoga Comrade. Kufa kupo tu. Halafu mwisho wa dunia ni ile siku yako ya kufa. Na ukifa utaicha dunia na viumbe wengine kama ulivyoikuta.
Muhimu tu uhakikishe umejiandaa. Zaa watoto wako kadhaa ili siku yako ya kupunzishwa kaburini, msoma taarifa aseme kama marehemu umeacha watoto wangapi, wajukuu wangapi, nk.