mandieta19
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 212
- 549
Ndo maana nikaza na mambo ya lishe. Kunyanduana kunahitaji mwili wenye afya. Mwili wako ni dhaifu ndo utaupata afya kwenye kunyanduana.
Pia inatakiwa uwelewe kwny kunyanduana mwanaume anatoa na mwanamke anapokea. Hapa anaepoteza kwa kiasi kikubwa ni mwanaume. Kile ambacho mwanaume anakitoa kinatengenezwa na vyakula.
Unasema umri wa miaka 15 mama zetu walikuwa wanaolewa, vipi baba zetu walikuwa wanaoa wakiwa na umri wa miaka 15?
Pia inatakiwa uwelewe kwny kunyanduana mwanaume anatoa na mwanamke anapokea. Hapa anaepoteza kwa kiasi kikubwa ni mwanaume. Kile ambacho mwanaume anakitoa kinatengenezwa na vyakula.
Unasema umri wa miaka 15 mama zetu walikuwa wanaolewa, vipi baba zetu walikuwa wanaoa wakiwa na umri wa miaka 15?