Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Kijijini wapi huko nianze safari usiku huu?

Mimi huwa nachukua namba na kinachofuata ni urafiki ambao baadae hugeukia mahusiano(hii imewahi kuzaa matunda japo baada ya muda tuliachana). Natamani iwe hivyo tena na tena ila kuwapata wa hivyo ni shughuli pevu.
 
Unafurahia huu uzi wenzako huko palestina hawana internet. Yani watanzania tumekosa ubinadamu sana. Akili zetu ziko kwenye kutandaza miti tu wakati wapalestina wanauwawa kwa makundi.

100 others Alwaz brazaj adriz
I don't know about Jews living in Tanzania, but I have met some Tanzanians that claim to be Jews, One of them is Maghayo 🤣😂
 
Nili wahi omba namba kwa mdada daktari, sijui ali jihisi ni mtoto wa malaika.
She said she was too busy, so hawezi recall namba yake.

These days naenda hapo, she laughs & talks funny things.
Ila mi sioni maajabu tena 😂😄
 
Na kama hamko tayari kutoa pia msitegemee kupokea papuchi😂😂😂😂 au sio
Hilo linajulikana tokea zamani,ila mnaambiwa nyie kwasababu unakuta mizigo mnazungusha kutoa ila hela mnaomba.Ukikutana na boya unamlia hela weeee,halafu mzigo unampa maramojamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…