Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

πŸ˜‚ babu mbona kama unayumbisha vijana? Unatushauri tuwekeze nguvu kubwa kwenye mapenzi au maendeleo?
Mi nadhani ni kuukubali uhalisia tu.
 
Demu ukiwa real kwake anakuelewa bila hata kutumia pesa kum lobby ili eti aoneshe hisia kwako. Ukijifanya kimwaga Atakudanga tu!
 
This is called WIN WIN SITUATION. Maisha ni mtanange unapompa bila kupata faraja ya moyo daima utahuzunika so ili maisha yaende hakuna namna NIPE NIKUPEπŸ˜„ na hii iwe principle maishani
Kwa maisha ya sasa ya usasa hili halikwepeki kirahisi si washaweka wazi matakwa yao.
 
Umeongea point, ila nina swali, unajua kumwambia mwanamke unaekutana nae Leo kwa mara ya kwanza kwamba unataka mburudishane for one night stand, halafu akubali, ni rahisi kuongea kuliko kutenda

Mwanamke gani asiejiuza barabarani utamwambia straight, kuwa unataka muwe friends with benefitsz just one night stand, akubali? Labda mwanaume uwe na status ya diamond au alikiba, ila kwa sisi wanaume average Joe's, ukimwambia mwanamke unataka one night stand, hata kama alikuwa na mpango wa kukubali, atakataa atasema umemdharau na kumuona malaya Dr Lizzy

Labda miamba Extrovert Half american Zemanda waongezee neno
 
Juzi nikiwa Bar fulani majira ya saa 8 za usiku nilishudia bonge moja la muvi.

Kuna mwamba alikuja na manzi sijui walikutana wapi wakala wakanywa na kusaza mwisho wa siku manzi akawa anagoma kutoka na mshikaji..

zilipigwa ndondi za kufa mtu af wote walikua tungi manzi mrefu mshikaji mfupi, but guess what.., bodaboda walimsaidia mwamba kumpandisha manzi kwenye pikipiki akaondoka naye kwenda kulipia alichokula πŸ˜€

All in all wanaume tutafuteni hela, ukiwa nazo wanajipitisha wenyewe kazi yako inakua ni kuzibandua tu
 
Vipi na mwanaume anaetanguliza kupata kipochi manyoya? Siku hizi upendo wa kweli umepungua kama si kupotea kabisa, kila mtu anamvizia mwenzake.
Statement yako ipo kana kwamba mwanamke hasikii raha aki-sex na mwanaume.

Mwanaume akikuomba kipochi manyoya, kwenye tendo faida mnapata wote

Mwanaume akitoa hela kukupa wewe, hapo ni upande mmoja unafaidika, mwanamke ana-gain, mwanaume ana-lose Kelsea
 
Umepita mule mule upo sahihi ngoja ajibu
 
Boda kwa kutoa ushirikiano nawapa A. Huyo bidada hakuelewa mchezo alidhani yupo na boya amlie vyake alafu atokomee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…