Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Hao ni CNN
Na hao ni Aljazeera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana best intelligence inayowapa up to date information ya kinachojiri.Nimegundua hawa jamaa wanaelewa kila kitu kinachoendelea nchi hii.
Copy and paste ya kitu chochote haijawahi kufanikiwa,badala ya kiongozi mpya kuja na ubunifu wake amebakia kuigaiga kila kitu hata visivyo na mantiki kabisa -Very primitiveView attachment 1865155
Hao ni CNN
Waendelee kushangaa hivyo hivyo, kila Rais ana mambo yake, huwezi kucheka na Nyani mda wote, utavuna mabuaView attachment 1865155
Hao ni CNN
Hakuna kitu Kama hiko usalama wa nchi ni jukumu la Mama Samia, CNN ni wapiga domo tuuu wasio na faida yeyoteWana best intelligence inayowapa up to date information ya kinachojiri.
Samia anaanza kuonekaba kituko mbele ya Dunia iliyostaarabika, Sijui nani alimdanganya avunje kiapo chake cha kutenda haki bila kuonea!
She is Magufuli wannabe!Copy and paste ya kitu chochote haijawahi kufanikiwa,badala ya kiongozi mpya kuja na ubunifu wake amebakia kuigaiga kila kitu hata visivyo na mantiki kabisa -Very primitive
Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria ufanye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZiView attachment 1865155
Hao ni CNN
Mama samia,kasimu majaliwa,hii nchi itawashinda mmeshatia doa kuna wahuni watawaharibia vibaya na tutaishia pabaya ....rekebisheni hizi vitu mapemaView attachment 1865155
Hao ni CNN
Wahuni wanamshauri Bi mkubwa awe katili, muonevu kama Jiwe, wakimdanganya kuwa eti akiwaruhusu wapinzani kuenjoy haki zao za kisiasa basi watainuka kisiasa. Na yeye anauchukua huu ushauri wa kipuuzi Matokeo yake anageuka "Dictatress".Mama samia,kasimu majaliwa,hii nchi itawashinda mmeshatia doa kuna wahuni watawaharibia vibaya na tutaishia pabaya ....rekebisheni hizi vitu mapema
Nyani ni nani? Au wanao dai katiba mpya ndio manyani?Waendelee kushangaa hivyo hivyo, kila Rais ana mambo yake, huwezi kucheka na Nyani mda wote, utavuna mabua
Yeyote ambaye anakwenda kinyume na Dola huyo ni Nyani lazima rungu limshukieNyani ni nani? Au wanao dai katiba mpya ndio manyani?
Ata bi mkubwa akienda kunya wanamcheki tu yeye anajifanya mwambaNimegundua hawa jamaa wanaelewa kila kitu kinachoendelea nchi hii.
Ukiacha hili la Mbowe,huyo Prof. anajua mpaka habari ya hizi tozo za laini za simu na wanasema kabisa ni za kututia watanzania umasikini.
Tuko uchi!