Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Hii inavutia

Ni nani aliyebuni sheria tatu za msingi za COVID kutulinda?

1 - Kukaa mbali
2 - Usafi wa mikono
3 - Kutumia barakoa

Sheria hizi lilipewa taifa la Israeli miaka 3,500 iliyopita. Ulipata kufahamu? Kwa hiyo itafute katika Biblia!

1 - Kutoka 30: 18-21: 'Osha mikono yako ili usife'

2 - Mambo ya Walawi 13: 45, Ikiwa una dalili, kaa mbali, funika mdomo wako na epuka kugusana

3 - Mambo ya Walawi 13: 4-5, Ni nani ameambukizwa lazima akae katika karantini kwa siku 7 hadi 14

Na bado kuna wale wanaotilia shaka kuwa Biblia si kitabu cha hekima!

Ninapenda mfano huu:
Wakati MUNGU alipotaka kuumba samaki, alizungumza na bahari. Wakati MUNGU alipotaka kuumba miti, Alizungumza na ardhi. Lakini wakati MUNGU alipotaka kumuumba mwanadamu, alijigeuza MWENYEWE. Hivi ndivyo MUNGU alisema: "Tufanye mtu kwa mfano na kwa sura yetu".

Kumbuka:
Ukivua samaki kutoka kwenye maji, atakufa; na unapoondoa mti ardhini, pia hufa. Vivyo hivyo, wakati mwanadamu anapokata mawasiliano na MUNGU, hufa. MUNGU ndiye mazingira yetu ya asili. Tuliumbwa kuishi katika uwepo WAKE. Lazima tuunganishwe na Yeye kwa sababu maisha yapo kwa Yeye tu.

Wacha tuendelee kuwasiliana na MUNGU. Tukumbuke kuwa maji bila samaki bado ni maji, lakini samaki bila maji si chochote Udongo bila mti bado ni udongo, lakini mti bila udongo si kitu Mungu bila mwanadamu bado ni Mungu, lakini mtu bila MUNGU si kitu.

Kwa kweli ikiwa ujumbe huu umekufanya utafakari *unaweza kupata furaha kueneza na kushiriki kwa wengine. Huu unaitwa Uinjilishaji*kila jema
 
Wahuni wanamshauri Bi mkubwa awe katili, muonevu kama Jiwe, wakimdanganya kuwa eti akiwaruhusu wapinzani kuenjoy haki zao za kisiasa basi watainuka kisiasa. Na yeye anauchukua huu ushauri wa kipuuzi Matokeo yake anageuka "Dictatress".

Alikuwa anakwenda vizuri ktk siku zake za awali za utawala wake, Sasa hivi ndo anakunjua makucha yake kutuonysha kutoheshimu kwake katiba aliyoapa kuilinda!

Asipogutuka na kuwa sober nchi itamshinda!
Mbaya zaidi amekua karibu kiutendaji na JPM hivyo baada yakumrithi ni dhahiri dunia inamulika Yale waliofanya na anayoyafanya yeye kama yeye na ni dhahiri wahuni wamechomoa betri tatu 1).Tozo
2).katiba
3).mbowe
 
Nchi kama Marekani wala haina sifa kukosoa serkali nyingine duniani
Ina damu za watu mikononi
Tangu iipige Japan kuisaidia UK
Ikaua watu Iraq
Afghanistan
Libya
Inatumika kuwakandamiza Waarabu kupitia Israel.
Si ya kusikiliza, bora hata ingekuwa Uswiss wazungumze
 
Kelele za CHURA hazimzuii TEMBO kunywa maji.....

Hiyo CNN na hiyo DUNIA imeshaongea sana kuhusu RWANDA....Mh.Kagame bado yupo.....M7 yupo....

CNN hawajapewa kibali cha KUWAAMULIA WENGINE WAISHI VIPI.....

TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY ,WE AS THE PEOPLE KNOW MUCH ABOUT OURSELVES THAN FOREIGNERS

#KaziIendelee
#NchiKwanza
#AmaniKwanza
 
Wahuni wanamshauri Bi mkubwa awe katili, muonevu kama Jiwe, wakimdanganya kuwa eti akiwaruhusu wapinzani kuenjoy haki zao za kisiasa basi watainuka kisiasa. Na yeye anauchukua huu ushauri wa kipuuzi Matokeo yake anageuka "Dictatress".

Alikuwa anakwenda vizuri ktk siku zake za awali za utawala wake, Sasa hivi ndo anakunjua makucha yake kutuonysha kutoheshimu kwake katiba aliyoapa kuilinda!

Asipogutuka na kuwa sober nchi itamshinda!
Alikuwa na nafasi moja nzuri sana ya kujijenga kisiasa na kupata heshima kubwa ya kukumbukwa kama kiongozi aliyeibadili Tanzania kutoka kwenye janga.

Miaka minne hii, angejikita katika kufanya mabadiliko ya kisiasa nchini, akasimamia haki, utawala wa sheria.
Angewanyima wapinzani ajenda ya kumsumbua, na 2025 asingepata upinzani wa kumtisha.

Haya yote kayatupilia mbali kwa muda mfupi sana. Lililobaki kwake sasa ni kuzidi kukandamiza zaidi ili yeye na chama chake waendelee kuwepo madarakani.
Hii ni kazi ngumu. Hakuna ajuae Tanzania itaendelea kuvumilia kuwa chini ya udikteta.
 
Ndugu zangu,sisi tunachangia kwa kutukanana bila ushahidi wowote wa Ugaidi nchini.
CNN wanachambua kwa hoja bila kujali neno GAIDI ni hatari.

Mwisho wanasema huo ni mwendelezo wa awamu ya tano ambayo haikupenda demokrasia na ilitamka kuwa Katiba mpya sio kipaumbele

CNN na wachambuzi wamedai walifurahi kusikia hotuba ya Rais Samia kuwa atadumisha demokrasia na ameonyesha katika siku zake mia moja,lakini amegeuka ghafula.
CNN ni nani hadi watujue inn and out
 
Nimegundua hawa jamaa wanaelewa kila kitu kinachoendelea nchi hii.

Ukiacha hili la Mbowe,huyo Prof. anajua mpaka habari ya hizi tozo za laini za simu na wanasema kabisa ni za kututia watanzania umasikini.

Tuko uchi!
Ukon uchi? Ndio Miafrika yenyewe ndio kazi kushitaki kwa wazungu.
Nenda twiter huko utajua.
Hebu jiulize Great Britain, imeitawala kwa nguvu Scot, mbona hatusikii hizi kelele za kutaka demokrasia?
 
Wana best intelligence inayowapa up to date information ya kinachojiri.

Samia anaanza kuonekaba kituko mbele ya Dunia iliyostaarabika, Sijui nani alimdanganya avunje kiapo chake cha kutenda haki bila kuonea!
Dunia ipi iliyostaarabika? Ile ambayo raia wake weusi wanauwawa kama mbwa na polisi wazungu huku hakuna hatua ya maana iliyochukuliwa ili kukomesha mambo hayo yasiendelee kutokea au unazungumzia dunia ipi?
 
Mbaya zaidi amekua karibu kiutendaji na JPM hivyo baada yakumrithi ni dhahiri dunia inamulika Yale waliofanya na anayoyafanya yeye kama yeye na ni dhahiri wahuni wamechomoa betri tatu 1).Tozo
2).katiba
3).mbowe
Kinachonisikitisha, huyu mama alikuwa na nafasi ya kipekee ya kupendwa na kukong'a nyoyo za watanzania.
Alitakiwa afanye mambo. matatu tu

1. Kuachana na pia kurekebisha mambo ya kijingajinga ya mtangulizi wake

2. Kuyafanyia kazi mazuri ya mtangulizi wake ikiwemo miradi mikubwa

3. Kufanya reforms za msingi za kiuchumi na kisiasa ili yale yaliyojitokeza kwa mwendazake yasijitokeze tena

Sasa unfortunately kaanza kukumbatia hata yale ya kijinga ya mwendazake kama kuonea, kutoheshimu katiba na kiapo alichokula.

Asipobadilika, wananchi watamchukia vibaya sana!
 
Ndugu zangu,sisi tunachangia kwa kutukanana bila ushahidi wowote wa Ugaidi nchini.
CNN wanachambua kwa hoja bila kujali neno GAIDI ni hatari.

Mwisho wanasema huo ni mwendelezo wa awamu ya tano ambayo haikupenda demokrasia na ilitamka kuwa Katiba mpya sio kipaumbele

CNN na wachambuzi wamedai walifurahi kusikia hotuba ya Rais Samia kuwa atadumisha demokrasia na ameonyesha katika siku zake mia moja,lakini amegeuka ghafula.
CNN ni nani hadi watujue inn and out
Mbowe yuko ndani lisu na lema wako nje
 
Wahuni wanamshauri Bi mkubwa awe katili, muonevu kama Jiwe, wakimdanganya kuwa eti akiwaruhusu wapinzani kuenjoy haki zao za kisiasa basi watainuka kisiasa. Na yeye anauchukua huu ushauri wa kipuuzi Matokeo yake anageuka "Dictatress".

Alikuwa anakwenda vizuri ktk siku zake za awali za utawala wake, Sasa hivi ndo anakunjua makucha yake kutuonysha kutoheshimu kwake katiba aliyoapa kuilinda!

Asipogutuka na kuwa sober nchi itamshinda!
Nchi haimshindi KATU.....

Haikumshinda Hayati kipenzi chetu JPM kupelekea Mh.Mbowe kuishi DUBAI..... pamoja na ninyi KUMSHAMBULIA VYA KUTOSHA bado wengi wa WALALAHOI wanamkumbuka mpaka sasa.....

Serikali ni mfumo.....

Pamoja na yote....mh.Kagame bado yupo.....

Pamoja na yote.....mh.Museveni bado yupo.....

CCM si Sawa na CHADEMA....endeleeni KUJIOTESHA NDOTO MPENDAZO


#NchiKwanza
#AmaniKwanza
#JMTKwanza
#PundaAfeMzigoUfike
#KaziInaendelea
 
Mama alianza vizuri kina mbowe wenyewe wamembadilisha,kwa walichokifanya kina mbowe naombea sabaya aachiwe apewe ukuu wa wilaya wake kule kule hai,mdude akamatwe atuambie watanzania wembe aliemnyolea magu ni upi ambao anadai atamnyolea samia wembe huo huo,mtu alishaanza kuweka mambo sawa mnaanza kumletea ujinga!
 
Kwani dola hata ikiwa kandamizi watu wanyamaze, hivi wangenyamaza kina nyerere hata wewe ungeweza kupata muda wa kuandika haya?
Dola ni lazima ipigiwe kura na raia wengi na waipitishe, acha kufananisha Dola halali na serikali za wakoloni, na zungumzia kupingana na Dola halali , lazima rungu limshukie mpingaji
 
Kekele za CHURA hazimzuii TEMBO kunywa maji.....

Hiyo CNN na hiyo DUNIA imeshaongea sana kuhusu RWANDA....Mh.Kagame bado yupo.....M7 yupo....

CNN hawajapewa kibali cha KUWAAMULIA WENGINE WAISHI VIPI.....

TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY ,WE AS THE PEOPLE KNOW MUCH ABOUT OURSELVES THAN FOREIGNERS

#KaziIendelee
#NchiKwanza
#AmaniKwanza
Siku si nyingi utakuwa ukiwalilia waje wakusaidie na vibaraka wenzako.

Una uhakika Samia atakuwa M7 au Kagame? Omba sana kwa shetani wako apishie mbali.
 
Siku si nyingi utakuwa ukiwalilia waje wakusaidie na vibaraka wenzako.

Una uhakika Samia atakuwa M7 au Kagame? Omba sana kwa shetani wako apishie mbali.
🤣🤣
Mkuu uliyasema hayo kipindi kile baada ya UCHAGUZI WA 2020....Robert Amsterdam HAKUTOKEA na zile "issue" za THE HAGUE.....🤣

Nimekugusia mh.Kagame na mh.Museveni kukuonesha ni jinsi gani kuwa PAMOJA NA DUNIA NA WANAHARAKATI kuwaandama kwa maneno mengi na makali ila BADO WAPO....sembuse Tanzania ya CCM ?!! Sembuse Rais wetu mh.SSH?!!!

#HakunaNamnaKaziInaendeleaTu
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiAmaniYaNchi
#MzigoNiUtulivuWaNchi
#JMTMilele
 
Wana best intelligence inayowapa up to date information ya kinachojiri.

Samia anaanza kuonekaba kituko mbele ya Dunia iliyostaarabika, Sijui nani alimdanganya avunje kiapo chake cha kutenda haki bila kuonea!
Tatizo umetengeneza picha kichwani kwako dunia inajali sana viongozi wastaarabu kitu ambacho si kweli. Museveni, Kagame na Magufuli wote wana tabia zinazofanana lakini ni wapi uliwahi kusikia wameadhibiwa kwa tabia zao za hovyo. Tigray (TPLF) wa Ethiopia ni kundi la kigaidi lakini ni mshirika wa Marekani wapi umewahi kusikia wanaandikwa vibaya kwenye vyombo ya kimataifa.

Je Marekani inaonekana kituko kwa kuendelea kumshikilia Julian Assange Uingereza kwa kesi za kubumba. Hakuna anaeguswa na kinachoendelea Tanzania labda Mama akosee hesabu kwa wakubwa wa dunia hii ndio ataundiwa zengwe.

Dunia iliyostaarabika haiwataki viongozi wastaarabu wasio na maslahi kwa wakubwa (Evo Morales wa Bolivia).
 
Back
Top Bottom