Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama wasikuzengue hao ni akina Tundu Lissu hao wanao wapa habari. Hivyo ndiyo vyombo vyao vya kuleta Terror duniani.
stupid, kuandaa kongamano lililo ndani ya atiba ni makosa?Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria uganye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi
Kelsi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?
Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdudr au kesi nyingine maamuzi yatatoka
Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Angalia mwendawazimu mwingine huyuHakuna kitu Kama hiko usalama wa nchi ni jukumu la Mama Samia, CNN ni wapiga domo tuuu wasio na faida yeyote
Nchi ilishamshindaNchi haimshindi KATU.....
Haikumshinda Hayati kipenzi chetu JPM kupelekea Mh.Mbowe kuishi DUBAI..... pamoja na ninyi KUMSHAMBULIA VYA KUTOSHA bado wengi wa WALALAHOI wanamkumbuka mpaka sasa.....
Serikali ni mfumo.....
Pamoja na yote....mh.Kagame bado yupo.....
Pamoja na yote.....mh.Museveni bado yupo.....
CCM si Sawa na CHADEMA....endeleeni KUJIOTESHA NDOTO MPENDAZO
#NchiKwanza
#AmaniKwanza
#JMTKwanza
#PundaAfeMzigoUfike
#KaziInaendelea
Umemsikia spika NDUGAI?!!Nchi ilishamshinda
Ameacha madeni wanaamua Kuongeza kodi kwenye miamala ya simu
Stupidest kabisastupid, kuandaa kongamano lililo ndani ya atiba ni makosa?
Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria uganye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi
Kelsi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?
Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdudr au kesi nyingine maamuzi yatatoka
Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Mama anaupiga mwingiKunya anye kuku, akinya bata kaharisha. Wakati Sabaya anakamatwa Mbowe na genge lake walishangilia sana na kumuona mama kuwa ni mtoa haki pekee ambae hajawahi kupatikana toka dunia iumbwe, leo imekuwa zamu ya Mbowe watu waliomsifu mama wanaanza tena kumeza matapishi yao kwa kugeuza sifa zake kuwa matusi. Lkn hili wenye akili hatushangai maana ni kawaida upinzani kubadilika badilika, leo lowasa fisadi, kesho lowasa sio fisadi, leo kikwete dhaifu kesho kikwete ni raisi bora na magufuli ni dikteta, leo mama anaupiga mwingi, kesho mama ni katili zaidi ya ukatili wa magufuli nk.
Wewe hujui madhara yake kiuchumi tukuache tu na upungufu wakoWaendelee kushangaa hivyo hivyo, kila Rais ana mambo yake, huwezi kucheka na Nyani mda wote, utavuna mabua
Hard factsSamia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria uganye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi
Kelsi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?
Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdudr au kesi nyingine maamuzi yatatoka
Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Ajenge kwa kupika data labda maana wawezeshaji ndo hao wameshamstukia,tozo za simu wadau hatutumii siku hizi. Hiyo revenue atapata wapi?Huyu mzanzibar kashitukiwa mapema sizani kama atafika popote huo uchumi anaowaza kuujenga sjui kama atafanikiwa