Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

The first African female president to practice dictatorship acts. Mwenzie Hellen Sirleaf Johnson wa Liberia aliingiza nchi ikiwa imetoka kwenye Vita hatari Tena wanaume na masilaha yao walimsikiliza na nchi ikataealika kwa amani sana, Ila hii style anayoiga itamcost.

I thought as a female leader angetafita namna mpya ya approach kwenye Mambo kama haya Ila anaonekana purely African woman she can't think independently rather aige kutoka kwa waliombeba na kumpa hiyo nafasi.

Nadhani imeanza kuprove mwanamke wa kiafrika Hana tofauti yeyote na mwanaume wa kiafrika kwenye madaraka since anashikiwa akili she can't think independently.

Amejichafua sana , hajui tu.
Hivi kwa namna gani angeweza kutimiza demand za upinzani ndani ya miezi minne? Tuwe rational kidogo.

Mama ameingia amekuta Hali ya uchumi mbaya kabisa kwa uharibifu wa magufuli. Private sector almost dead, graduates hawana ajira. Kuna janga la Corona ambalo solution yake bado ni kitendawili. Amekuta miradi mingi kuliko uwezo wa serikali ku finance miradi hiyo. Bado katika Hali hizo tunamtaka aanze kuwaita wabunge wale posho au kuitisha referendum ya katiba mpya? Are we serious? Hizo pesa zinatoka wapi na Hali ya uchumi ingekuwaje? Na Chama chake kingemuelewa vipi? Ametumia lugha ya kiungwana kwamba aanze na kuweka sawa uchumi then atageukia katiba. Definitely hayo ni maneno ya kutafuta namna ya kuongea na Chama chake ili agenda ya katiba airudishe. What's wrong with this approach? Sad, mnamtisha na mnaruhusu wavuta bange akina mdude watumie maneno ya kifedhuli huku tukitoa mashinikizo yasiyo na maana.

Sote tunajua kwa tuliyoyashuhudia kwa JPM, katiba mpya ni MUHIMU ili kuaddress changamoto zilizopo lakini kea namna gani katiba mpya tunaidai na kufanya katiba mpya kama ni agenda ya Chadema na si wananchi, hapo ndipo shida ilipo. Kwa maoni yangu yanayoendelea ni fundamental mistakes za Chadema wenyewe.
 
Hivi hamjaelewa tu where is the diverting point started? Mama alianza vizuri na infact hakutaka kabisa kuishi kwenye siasa za mivurugano na mitifuano. Anaamini kwenye kuliendea jambo kwa njia ya utaratibu na mazungumzo. Bado sijajua why intelligensia ya Chadema ni mbovu kiasi cha kushindwa kwenda naye na kupenyeza agenda zao na kuziweka sawa.

Sadly wakachagua njia ya vurugu. Ukizingatia tabia za wanawake kutopenda kuonekana wanyonge na nguvu kubwa iliyokuwa imezoea siasa za mipasho, umekuwa rahisi kwao kumshawishi mama kwamba "Hawa watu hawabebeki".

In short kinachoendelea ni kile kiitwacho LISILO BUDI HUTENDWA.

Katika hili sioni pa kumlaumu Samia zaidi ya bad approach ya Mbowe na Chama chake. Honestly speaking, Chadema imekuwa na utaratibu kutuchanganya tunaoiamini.
Haki inadaiwa na wala haiombwi.
 
kuhusu mbowe nahisi kuna mambo ambayo serikali na mbowe mwenyewe wanayajua sisi hatuyajui... tuache kudemka na ngoma zinazipigwa n gavamenti
 
Hivi kwa namna gani angeweza kutimiza demand za upinzani ndani ya miezi minne? Tuwe rational kidogo.

Mama ameingia amekuta Hali ya uchumi mbaya kabisa kwa uharibifu wa magufuli. Private sector almost dead, graduates hawana ajira. Kuna janga la Corona ambalo solution yake bado ni kitendawili. Amekuta miradi mingi kuliko uwezo wa serikali ku finance miradi hiyo. Bado katika Hali hizo tunamtaka aanze kuwaita wabunge wale posho au kuitisha referendum ya katiba mpya? Are we serious? Hizo pesa zinatoka wapi na Hali ya uchumi ingekuwaje? Na Chama chake kingemuelewa vipi? Ametumia lugha ya kiungwana kwamba aanze na kuweka sawa uchumi then atageukia katiba. Definitely hayo ni maneno ya kutafuta namna ya kuongea na Chama chake ili agenda ya katiba airudishe. What's wrong with this approach? Sad, mnamtisha na mnaruhusu wavuta bange akina mdude watumie maneno ya kifedhuli huku tukitoa mashinikizo yasiyo na maana.

Sote tunajua kwa tuliyoyashuhudia kwa JPM, katiba mpya ni MUHIMU ili kuaddress changamoto zilizopo lakini kea namna gani katiba mpya tunaidai na kufanya katiba mpya kama ni agenda ya Chadema na si wananchi, hapo ndipo shida ilipo. Kwa maoni yangu yanayoendelea ni fundamental mistakes za Chadema wenyewe.
Hakuna cha kutimiza Hawa Wana dharau na wametumwa sasa ni ndani hadi 2026 upuuzi kama huu hatuwezi kwenda nao.

Hao wapinzani ndio Watz pekee nchi hii? Aisee nilikuwa nawatetea wapinzani kipindi cha Magu lakini saizi nimegundua wanatumika na hawana adabu wakae huko huko na yeyote atakayeleta choko choko ashikishwe adabu pumbavu sana.
 
Haki inadaiwa na wala haiombwi.
Yes, lakini hata huko kudai kuna taratibu zake. Na pia ieleweke kwamba katiba si agenda ya Chadema na haitakuja kama approach itakuwa hivyo. Katiba ni dai la wananchi hivyo ni muhimu wananchi kwa ujumla wetu na makundi yetu kuhusika. Lakini kitendo cha Chadema kuichukua na kuwa agenda yao, tutachelewa.
 
kuna wakati tuache kuwa mashabiki wa siasa na wanasiasa itatusaidia sana....
Ni ujinga na upumbavu kushupaza shingo eti wazungu wanamshangaa Mama kubadirika..PUMBAVU KABISA, Hawa wazungu mmeshajiuliza Demokrasia gani wameipeleka Iraq, Libya na Afghanistan...Juzi Majeshi ys USA yameondoka Afghanistan kimyakimya na kuiacha nchi kwenye sintofahamu vipi wanaharakati wa Kizungu wapi wameandamana kumshinikiza Biden kitu... Wanigeria wanauwawa na Boko haram mbona hawaendi kuwasaidia, Msumbiji hapo IS wanatesa watu mbona hatuoni wakipekeleka jeshi kuwasaidia weusi wa msumbiji....MBS vs Kashogi pale turkey mmeshasikia USA kawafanya nini Saudia its all about maslahi muache kuwategemea na kuwaingiza sana Wazungu kwenye hizi mambo aisee....Lema na Lissu wamekimbilia ulaya na America na sio Africa hapahapa....hahahahahaha

Yaani CNN na Aljazeera kutangaza kukamatwa kwa Mbowe ndio imekuwa diiili....hivi mnawajua wamiliki wa hivi vyombo na maslahi yao Africa? UTOTO SANA AISEE,, hapa ndip ninapoona opposition Africa baaado saaana aisee ni sarakasi tu na ujinga + utoto na sinema za ukatuni....tunapotaka kujikomboa mara ya pili baada ya uhuru 1961 tuache kabisa kuwazungumzia na kuwatumia wazungu kwenye hizi movies, wana shida yao nyingine kabisa na Africa halafu na nyie mnajipeleka kwao na kuwarahisishia kazi...
 
Hivi hamjaelewa tu where is the diverting point started? Mama alianza vizuri na infact hakutaka kabisa kuishi kwenye siasa za mivurugano na mitifuano. Anaamini kwenye kuliendea jambo kwa njia ya utaratibu na mazungumzo. Bado sijajua why intelligensia ya Chadema ni mbovu kiasi cha kushindwa kwenda naye na kupenyeza agenda zao na kuziweka sawa.

Sadly wakachagua njia ya vurugu. Ukizingatia tabia za wanawake kutopenda kuonekana wanyonge na nguvu kubwa iliyokuwa imezoea siasa za mipasho, umekuwa rahisi kwao kumshawishi mama kwamba "Hawa watu hawabebeki".

In short kinachoendelea ni kile kiitwacho LISILO BUDI HUTENDWA.

Katika hili sioni pa kumlaumu Samia zaidi ya bad approach ya Mbowe na Chama chake. Honestly speaking, Chadema imekuwa na utaratibu kutuchanganya tunaoiamini.
Asante mkuu kwa mchango wako wa hoja. Hawa wapinzani wanapata mawaidha kutoka nje. Kuna vyombo ambabyo vina lenga deliberetly kusababisha msuko suko katika nchi ili wao waje ku-plunder rasilimali zetu.

Tanzania sasa ni focus yao. Na tusipoangalia itakula kwetu. Hayati Magufuli alifanikiwa kwa kiasi fulani kuwazuia wasiendelee kutuibia. Wamemtoa na huyu mama watamtoa tu.

Cha kufanya ni kuwaeliminate wasaliti wote. Nyie mnafikiri Tundu Lissu yuko Belgium kwanini? Wajerumani wako nyuma yake. Lema naye hayuko Canada ili kucheza. Hawa wote wamexhaguliwa kwa purpose.

Lengo lao ni moja tu kuiangusha serikali yetu na kuweka serikali wanayo itaka wao.
 
Naona mjadala kuhusu Katiba, Upinzani na Kesi fake ya Mheshimiwa Freeman Mbowe inatupaisha kimataifa. Mijadala yetu inajadiliwa kwenye vyombo vikubwa vya habari duniani.

Hongera sana sana sana
View attachment 1865313
Cnn hawana news siku hizi hivyo wanaweka chochote ili wawe hewani. The Fake News media yenye reporters wanaopiga punyeto laivu akiwa kwenye kipindi...
 
Tatizo watanzania huwa tunaprejudgement kwa saana kuliko kusubiri uhalisia wenyewe kabla ya kuvuka mto
 
Nimegundua hawa jamaa wanaelewa kila kitu kinachoendelea nchi hii.

Ukiacha hili la Mbowe,huyo Prof. anajua mpaka habari ya hizi tozo za laini za simu na wanasema kabisa ni za kututia watanzania umasikini.

Tuko uchi!
Niliwaambia watu ukikataa akili "magufuli" basi jaribu upumbaavu toka zenji ,toka lini wazembe wazenji watatumia akili kufikili
 
Asante mkuu kwa mchango wako wa hoja. Hawa wapinzani wanapata mawaidha kutoka nje. Kuna vyombo ambabyo vina lenga deliberetly kusababisha msuko suko katika nchi ili wao waje ku-plunder rasilimali zetu.

Tanzania sasa ni focus yao. Na tusipoangalia itakula kwetu. Hayati Magufuli alifanikiwa kwa kiasi fulani kuwazuia wasiendelee kutuibia. Wamemtoa na huyu mama watamtoa tu.

Cha kufanya ni kuwaeliminate wasaliti wote. Nyie mnafikiri Tundu Lissu yuko Belgium kwanini? Wajerumani wako nyuma yake. Lema naye hayuko Canada ili kucheza. Hawa wote wamexhaguliwa kwa purpose.

Lengo lao ni moja tu kuiangusha serikali yetu na kuweka serikali wanayo itaka wao.
Kuwaeliminate Wasaliti wote unamaanisha nini? Kuwaua???
 
Yaani alivyoshitakiwa SABAYA walishangilia hao CNN waliona kawaida tu leo alkael katika kupandikiza chuki na kuhamasisha wananchi waingie barabarani kufanya fujo na kumtishia kiongozi wetu mkuu na kumtamkia matamshi ya hovyo na mwenzake mdude mnoana sawa tu uhuru gani huo usio na mipaka kwanza nchi zinazosifika kwa democrasia hawafanyi mambo ya hovyo kama yanayofanywa na cdm mbona wakati wa Magufuli hawakufanya hayo mambo kama si kujaribu awamu ya sita na kurijaribu jeshi la polisi, Police wakichekea huyo jamaa yakatokea machufuko watu wakauwawa na kupoteza mali zao na kuharibiwa biashara za wananchi polisi watalaumiwa kwa utoto unaofanywa na cdm kwa tamaa zao za madaraka mbona wananchi tumetulia na kuendelea na shughuli zetu kama ni kodi ya uzalendo tumeshaeleshwa ni kwaajili ya maendeleo yetu wenyewe Watanzania na tayari tumeshazoea na kuona kawaida sasa tumebaki tunawashangaa cdm.
 
Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha. Wakati Sabaya anakamatwa Mbowe na genge lake walishangilia sana na kumuona mama kuwa ni mtoa haki pekee ambae hajawahi kupatikana toka dunia iumbwe, leo imekuwa zamu ya Mbowe watu waliomsifu mama wanaanza tena kumeza matapishi yao kwa kugeuza sifa zake kuwa matusi. Lkn hili wenye akili hatushangai maana ni kawaida upinzani kubadilika badilika, leo lowasa fisadi, kesho lowasa sio fisadi, leo kikwete dhaifu kesho kikwete ni raisi bora na magufuli ni dikteta, leo mama anaupiga mwingi, kesho mama ni katili zaidi ya ukatili wa magufuli nk.
Huna akili uzitoe wapi..Kagame kampeleka wanajeshi 1000 Msumbiji kupigana na magaidi(Al shabab)wamewauwa 30..hii ya Mbowe wale walinzi wake walishikwa toka mwaka Jana na Sabaya wakabambikiwa silaha na kesi ikaenda mahakamani..ghafla Leo hii anahusishwa Mbowe..shame on you and your whole family...
 
Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria uganye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi

Kelsi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?

Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdudr au kesi nyingine maamuzi yatatoka

Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
CHADEMA, wanataka katiba mpya inavyopunguza mamlaka ya rais, hapo hao wanamuomba mama aingilie mihimili mingine.... Sijui sasa wanataka nini
 
Hilo neno ugaidi litaogopesha wawekezaji na watalii kuja, aliyebuni hiyo muvi kaharibu sana image ya nchi yetu
 
Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria uganye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi

Kelsi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?

Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdudr au kesi nyingine maamuzi yatatoka

Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Mbowe au mama ndiye kajichonganisha na wananchi,
 
Nchi kama Marekani wala haina sifa kukosoa serkali nyingine duniani
Ina damu za watu mikononi
Tangu iipige Japan kuisaidia UK
Ikaua watu Iraq
Afghanistan
Libya
Inatumika kuwakandamiza Waarabu kupitia Israel.
Si ya kusikiliza, bora hata ingekuwa Uswiss wazungumze
Inafikirisha sana, sijui watu wengine huwa mnatumia nini kufikiri, lakini unakuta kuna watu wanakuita baba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom