Kinachonisikitisha, huyu mama alikuwa na nafasi ya kipekee ya kupendwa na kukong'a nyoyo za watanzania.
Alitakiwa afanye mambo. matatu tu
1. Kuachana na pia kurekebisha mambo ya kijingajinga ya mtangulizi wake
2. Kuyafanyia kazi mazuri ya mtangulizi wake ikiwemo miradi mikubwa
3. Kufanya reforms za msingi za kiuchumi na kisiasa ili yale yaliyojitokeza kwa mwendazake yasijitokeze tena
Sasa unfortunately kaanza kukumbatia hata yale ya kijinga ya mwendazake kama kuonea, kutoheshimu katiba na kiapo alichokula.
Asipobadilika, wananchi watamchukia vibaya sana!