Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Tatzo nyumbu wana akili ndogo sanaaaaaaa, ko wanataka mahakama iwe huru kumkamata sabaya tuu ila mungu wao mbowe asiguswe? Hii kitu ndo tunataka , wote tuwe sawa na syo wanasiasa wawe na kinga ya sheria kisa n wanasiasa,. Tusubiri kesi iende mahakaman tuone ushahid wa upande wa mashtaka na kama akionekana na hatia apelekwe KISONGO AKUTANE NA SABAYA😂😂😂
 
Mkuu,

Huna hoja ya kusema Mama haheshimu katiba aliyoapa kuilinda. Jambo kubwa kwa taifa hili ambalo ndio tunu nambari moja ni amani. Na mama is doing extremely well in preserving it.

Hatushughulishwi na mbwa wa kizungu wanaobweka huko CNN na ALJAZEERA
 
Samia alidhani kupaka wanja ndio urembo, kumbe ni hadaa tupu ambayo watu wanaitambua haraka!

Samia kwa sasa hana lolote analoweza kusifiwa kwamba kalisimamia vyema, uongozi wake ni wa mashaka sana.
Kwenu nyinyi yes.

Maana tunajua kwamba nyinyi hamna jema mnaloweza kufanyiwa mkaridhika.

Tutasimama na rais wetu iwe jua iwe mvua.
 
Aisee ndugu yangu...., kumbuka hata Mugabe-Zimbabwe alikuwa anazungumza propaganda na maneno kama haya unayosema......haya ndugu yangu, sie watazamaji tu......
hahaha !! I am just being sarcastic!!
Aisee ndugu yangu...., kumbuka hata Mugabe-Zimbabwe alikuwa anazungumza propaganda na maneno kama haya unayosema......haya ndugu yangu, sie watazamaji tu
 
Well said. Mkuu huu uzi mbona hukuniita mapema???
 
Dah! Uko vizuri. Asante sana[emoji106]
 
Wakuu wa Majeshi ya ulinzi ndo wanaongoza nchi hii hasa kwa Kumtishia maisha Mama Samia Suluhu Hassan
1.Inspector General of police(IGP)
- Simon Sirro
2.Commander of defence force(CDF)
- Venance Mabeyo
Hii ni legacy ya Magufuli
 
Raia gani wanasema? Raia wenyewe si ndiyo sisi? Kwanini wakimbilie nje? Kwani wao ndiyo wanawachagua au kuwapigia kura?
 
Nimegundua hawa jamaa wanaelewa kila kitu kinachoendelea nchi hii.

Ukiacha hili la Mbowe,huyo Prof. anajua mpaka habari ya hizi tozo za laini za simu na wanasema kabisa ni za kututia watanzania umasikini.

Tuko uchi!
Kama serikali inavyoelewa kila uchafu wenu- mko uchi kabisa maana mpaka mje mfike huko al jazeera mkiwa uchi mtakuwa mmeshaaibika sana.
 
Mifumo yote tunayotumia inatokana na wao

Camera, security systems nk. Lazima wajue kila kitu
Ni kweli yatokana na wao lakini si kweli kuwa lazima wafahamu kila kitu..

Unaweza kununua mitambo na kuiweka katika mazingira utakayo weye.

Cha msingi kuwa na watu ambao na uelewa katika kusimamia na kuindesha hiyo mitambo.
 
Hahahaahahahahha.

Kuwa wewe rais ufanye hivyo.
 
Aliambiwa apige chini sumu za jiwe,ngoja aendelee kubugia sumu.Tozo,kamatakamata cv ishabomolewa
 
hakika
 
Hivi nyie watu akili zenu ziko sawasawa??

Mtangulizi wake ndio nini?? Mheshimiwa rais alikuwa ni msaidizi nambari moja wa hayati Magufuli.

Halafu kwenu nyinyi kuheshimu katiba ni kuruhusu mikutano ya kisiasa tu???? Si mngeshinda nyinyi uchaguzi ili muje na hoja zenu mzifanyie kazi???
 
Tunawaangalia sasa huku tukiwasubiri wamlazimishe mama.

Wao walisema watamlazimisha
 
Kwani Za hegi kesi haijafunguliwa bado??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…