Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Hawa Chadema hawana upeo huo.

Reality hawaziangalii. Wanaishi kwenye dunia ya kusadikika
 
endelea kuwa mshabiki
 
Tena ni AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA TANZANIA YOTE
 
Alibugi kusema katiba isubiri uchumi, sasa atatumia urais wake kupambana na wapinzani.
Na atakumbukwa kama dikteta wa kwanza mwanamke.
Hahahahaa.

Hana muda mchafu, ni mbowe na genge lake ndio watatumia muda wao kupambana na polisi. Huku kazi zinasonga
 
Nimegundua hawa jamaa wanaelewa kila kitu kinachoendelea nchi hii.

Ukiacha hili la Mbowe,huyo Prof. anajua mpaka habari ya hizi tozo za laini za simu na wanasema kabisa ni za kututia watanzania umasikini.

Tuko uchi!
It didn't need rocket science to know hizo tozo hazimsaidii masikini
 
Mwanafunzi ujifunza kwa Mwalimu
 
Poleni sana mnaoiamini
 
Hata kama haitamzuia tembo kunywa maji tayari mmesimama jalalani,CNN inasikika duniani sio hapo geita ulipo peke yake.
 
Na tutasimama madhubuti.

Hatutokubali kuingia kwenye machafuko kamwe.

Amani ndio suala la msingi zaidi kwetu
 
I agree with you
Mbowe alijisahau akaanza kumtisha mama labda alisahau kuwa she is President
Bahati mbaya naona sympathy ya Wa TZ kwake imepungua sana
 
You nailed it mkuu.

Nobody could say it better
 
Tena wala asiwasikilize hao mabeberu waharibifu wa dunia
Mama nae alivyo anaweza akakusikiliza ushauri wako,kumbe unamwingiza chaka kwa masilahi yako ya kufisadi nchi hii.

Ccm mnajua katiba Mpya itawaondolea ulaji,itampa RAIA madaraka.
 
Haki inadaiwa na wala haiombwi.
Haya endeleeni kuidai, na katika kuidai huko tusiskie kelele za CNN wala ALJAZEERA wala wapumbavu wowote wale.

Nyinyi endeleeni kudai haki Sisi tunaendelea kujenga nchi yetu
 
I agree with you
Mbowe alijisahau akaanza kumtisha mama labda alisahau kuwa she is President
Bahati mbaya naona sympathy ya Wa TZ kwake imepungua sana
Huwezi ukawa na sympathy Kwa MTU ambaye hata Hana shukran
Mbowe was abused, people felt sorry for him, mama akamrudishia tumaini, jamaa akatoka Dubai alipokua analipwa na mabeberu, akarudi, akarudishiwa pesa zake, hata kabla hayajaisha, tayari kaanza kumtingisha yuleyule aliyemfanya awe na confidence ya kurudi

Nadhani angekua amesoma kidogo, angefanya mambo kisomi zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…