Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Na tutasimama madhubuti.

Hatutokubali kuingia kwenye machafuko kamwe.

Amani ndio suala la msingi zaidi kwetu
Machafuko yangetokea wapi kama polisi wangewaacha tu wafanye tu kongamano lao tena LA ndani bila bugudha.

Nchii hii mavhafuko yataletwa na ccm.
 
Hivi kwa namna gani angeweza kutimiza demand za upinzani ndani ya miezi minne? Tuwe rational kidogo.

Mama ameingia amekuta Hali ya uchumi mbaya kabisa kwa uharibifu wa magufuli. Private sector almost dead, graduates hawana ajira. Kuna janga la Corona ambalo solution yake bado ni kitendawili. Amekuta miradi mingi kuliko uwezo wa serikali ku finance miradi hiyo. Bado katika Hali hizo tunamtaka aanze kuwaita wabunge wale posho au kuitisha referendum ya katiba mpya? Are we serious? Hizo pesa zinatoka wapi na Hali ya uchumi ingekuwaje? Na Chama chake kingemuelewa vipi? Ametumia lugha ya kiungwana kwamba aanze na kuweka sawa uchumi then atageukia katiba. Definitely hayo ni maneno ya kutafuta namna ya kuongea na Chama chake ili agenda ya katiba airudishe. What's wrong with this approach? Sad, mnamtisha na mnaruhusu wavuta bange akina mdude watumie maneno ya kifedhuli huku tukitoa mashinikizo yasiyo na maana.

Sote tunajua kwa tuliyoyashuhudia kwa JPM, katiba mpya ni MUHIMU ili kuaddress changamoto zilizopo lakini kea namna gani katiba mpya tunaidai na kufanya katiba mpya kama ni agenda ya Chadema na si wananchi, hapo ndipo shida ilipo. Kwa maoni yangu yanayoendelea ni fundamental mistakes za Chadema wenyewe.
Well said

Chadema inaongozwa na MTU ambaye hata basic values Hana, kuanzia family, waliomzunnguka hata na elimu yake

Mbowe hajui what to prioritize, Hana uelewa wa context ya nchi wala.nini

Ndio maana agenda zake zinaToka Kwa mwamakula, shangazi,.kigogo nk

Hana strong executive political leaders wala strategic visionary advisors... Only one thing that unite him and lissu, ni kutukana na kujaribu mamlaka, because they are paid to do so.... Nothing else in common

A few online Republic ndio wanamjaza ujinga and most of them are outside the country
 
Mama nae alivyo anaweza akakusikiliza ushauri wako,kumbe unamwingiza chaka kwa masilahi yako ya kufisadi nchi hii.

Ccm mnajua katiba Mpya itawaondolea ulaji,itampa RAIA madaraka.
Hata mimi ni Raia katiba mpya sio kipaumbele kwangu, Mama apige kazi, Mbowe na genge lake wachunguzwe kama ni mawakala wa mabeberu
 
Mnataka kumvuruga Mama sasa afanyaje? Hii ya kulazimisha katiba bila hata kuwa na utaratibu, inaweza kuleta unrest. Mama lazima asimame kama Rais.
Katiba mpya inaanza tu bila mipangilio? Na kwanini watu wanaodai wanataka kuona nchi inachafuka? Kwa manufaa ya nani?
Kusema kweli, nawachukia sana wana siasa. Wengi wanataka tupate matatizo sababu ya agenda zao binafsi
 
Mtaa gani unaousemea? huku mtaani mbona mambo shwari tu?

Shida yenu CDM ni kutaka kuwin sympathy za watu wa nje,badala ya kupambana mpate sympathy ya wananchi wa Tanzania ambao kimsingi ndo waamuzi wa hatima yenu.Kwa kufanya hivyo mnaonekana kama chama cha vibaraka.
Na huo ndio ukweli.

Hawa ni vibaraka tu vya wale ambao walitutawala kipindi cha colonialism
 
Nimegundua hawa jamaa wanaelewa kila kitu kinachoendelea nchi hii.

Ukiacha hili la Mbowe,huyo Prof. anajua mpaka habari ya hizi tozo za laini za simu na wanasema kabisa ni za kututia watanzania umasikini.

Tuko uchi!
Mungu mkubwa, wote mlioshangilia JPM kufariki mnapopoana sasa! Bado Toto Tundu
 
Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria ufanye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi

Kesi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?

Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdude alishinda kesi bila, akina mbowe wakarudishiwa pesa zao, simply because mama alitaka haki itendeke, iweje Leo mnataka aingilie watu walewale waliowapa haki just a few weeks ago? Mimi nadhani tusubiri Tu kesi hii kama zilivyo nyingine na maamuzi yatatoka... Hata wale uamsho wanashukuru mama kuheshimu mahakama...

Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Strategy ya kutumia nguvu kwenye mambo ya kisiasa kwasababu ya kukosa ushawishi, huwa inakuwa na manufaa ya muda mfupi na kilio cha muda mrefu. Ninauona mwanzo wa kifo cha CCM
 
Strategy ya kutumia nguvu kwenye mambo ya kisiasa kwasababu ya kukosa ushawishi, huwa inakuwa na manufaa ya muda mfupi na kilio cha muda mrefu. Ninauona mwanzo wa kifo cha CCM
Toka mmeanza kuona bado kuchoka tuu? Nyie wapiga domo wa mitandaoni hamna kitu
 
Back
Top Bottom