TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Kukamatwa Kwa mbowe hakuna madhara yoyote yale Ka kiuchumi wala kisiasa na kidiplomasiaWewe hujui madhara yake kiuchumi tukuache tu na upungufu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukamatwa Kwa mbowe hakuna madhara yoyote yale Ka kiuchumi wala kisiasa na kidiplomasiaWewe hujui madhara yake kiuchumi tukuache tu na upungufu wako
Wewe kama unawaogopa CNN huo ni ujinga wako, nchi ina taratibu zake na namna yake ya kuhakikisha inakuwa salamaAngalia mwendawazimu mwingine huyu
Machafuko yangetokea wapi kama polisi wangewaacha tu wafanye tu kongamano lao tena LA ndani bila bugudha.Na tutasimama madhubuti.
Hatutokubali kuingia kwenye machafuko kamwe.
Amani ndio suala la msingi zaidi kwetu
Well saidHivi kwa namna gani angeweza kutimiza demand za upinzani ndani ya miezi minne? Tuwe rational kidogo.
Mama ameingia amekuta Hali ya uchumi mbaya kabisa kwa uharibifu wa magufuli. Private sector almost dead, graduates hawana ajira. Kuna janga la Corona ambalo solution yake bado ni kitendawili. Amekuta miradi mingi kuliko uwezo wa serikali ku finance miradi hiyo. Bado katika Hali hizo tunamtaka aanze kuwaita wabunge wale posho au kuitisha referendum ya katiba mpya? Are we serious? Hizo pesa zinatoka wapi na Hali ya uchumi ingekuwaje? Na Chama chake kingemuelewa vipi? Ametumia lugha ya kiungwana kwamba aanze na kuweka sawa uchumi then atageukia katiba. Definitely hayo ni maneno ya kutafuta namna ya kuongea na Chama chake ili agenda ya katiba airudishe. What's wrong with this approach? Sad, mnamtisha na mnaruhusu wavuta bange akina mdude watumie maneno ya kifedhuli huku tukitoa mashinikizo yasiyo na maana.
Sote tunajua kwa tuliyoyashuhudia kwa JPM, katiba mpya ni MUHIMU ili kuaddress changamoto zilizopo lakini kea namna gani katiba mpya tunaidai na kufanya katiba mpya kama ni agenda ya Chadema na si wananchi, hapo ndipo shida ilipo. Kwa maoni yangu yanayoendelea ni fundamental mistakes za Chadema wenyewe.
Hata mimi ni Raia katiba mpya sio kipaumbele kwangu, Mama apige kazi, Mbowe na genge lake wachunguzwe kama ni mawakala wa mabeberuMama nae alivyo anaweza akakusikiliza ushauri wako,kumbe unamwingiza chaka kwa masilahi yako ya kufisadi nchi hii.
Ccm mnajua katiba Mpya itawaondolea ulaji,itampa RAIA madaraka.
CNN ni wapiga domoHakuna kitu Kama hiko usalama wa nchi ni jukumu la Mama Samia, CNN ni wapiga domo tuuu wasio na faida yeyote
Mnataka kumvuruga Mama sasa afanyaje? Hii ya kulazimisha katiba bila hata kuwa na utaratibu, inaweza kuleta unrest. Mama lazima asimame kama Rais.View attachment 1865155
View attachment 1865208
Hao ni CNN
View attachment 1865476
Na hao ni Aljazeera
Out of nowhere, they want to bring the agenda of new constitution. And they want it to happen now now. Why????Hata mimi ni Raia katiba mpya sio kipaumbele kwangu, Mama apige kazi, Mbowe na genge lake wachunguzwe kama ni mawakala wa mabeberu
Wamewatoa chambo , lazima serikali iwe imaraOut of nowhere, they want to bring the agenda of new constitution. And they want it to happen now now. Why????
Kule Syria yule Assad anawatwanga tuu waaasi, na juzi ameapa tena kuwa Rais, CNN anabwabwaja tu na BBCCNN ni wapiga domo
Bobby wine Yuko wapi??
Wameshamtosa
Na huo ndio ukweli.Mtaa gani unaousemea? huku mtaani mbona mambo shwari tu?
Shida yenu CDM ni kutaka kuwin sympathy za watu wa nje,badala ya kupambana mpate sympathy ya wananchi wa Tanzania ambao kimsingi ndo waamuzi wa hatima yenu.Kwa kufanya hivyo mnaonekana kama chama cha vibaraka.
Ntaisikiliza baadaye saa hizi niko bize.View attachment 1865155
View attachment 1865208
Hao ni CNN
View attachment 1865476
Na hao ni Aljazeera
Mungu mkubwa, wote mlioshangilia JPM kufariki mnapopoana sasa! Bado Toto TunduNimegundua hawa jamaa wanaelewa kila kitu kinachoendelea nchi hii.
Ukiacha hili la Mbowe,huyo Prof. anajua mpaka habari ya hizi tozo za laini za simu na wanasema kabisa ni za kututia watanzania umasikini.
Tuko uchi!
Wewe in RAIA ndio ila sio RAIA mwema.Hata mimi ni Raia katiba mpya sio kipaumbele kwangu, Mama apige kazi, Mbowe na genge lake wachunguzwe kama ni mawakala wa mabeberu
Strategy ya kutumia nguvu kwenye mambo ya kisiasa kwasababu ya kukosa ushawishi, huwa inakuwa na manufaa ya muda mfupi na kilio cha muda mrefu. Ninauona mwanzo wa kifo cha CCMSamia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria ufanye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi
Kesi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?
Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdude alishinda kesi bila, akina mbowe wakarudishiwa pesa zao, simply because mama alitaka haki itendeke, iweje Leo mnataka aingilie watu walewale waliowapa haki just a few weeks ago? Mimi nadhani tusubiri Tu kesi hii kama zilivyo nyingine na maamuzi yatatoka... Hata wale uamsho wanashukuru mama kuheshimu mahakama...
Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Toka mmeanza kuona bado kuchoka tuu? Nyie wapiga domo wa mitandaoni hamna kituStrategy ya kutumia nguvu kwenye mambo ya kisiasa kwasababu ya kukosa ushawishi, huwa inakuwa na manufaa ya muda mfupi na kilio cha muda mrefu. Ninauona mwanzo wa kifo cha CCM
Uelewa wako ni mdogo sana na ni mpuuzi tu kama wewe atakayeona mashtka ya Mbowe yana maanaWewe kama unawaogopa CNN huo ni ujinga wako, nchi ina taratibu zake na namna yake ya kuhakikisha inakuwa salama
Cha msingi kuwa na watu ambao na uelewa katika kusimamia na kuindesha muitambo.
Unaskia we msambaa kwani hatuna macho ya kuona?.Ndio Mbowe ana midanganya hivyo? pole sanaaaa msukule
Wacha polisi wafanye kazi yao wanayoijua, nyie misukule ya Mbowe kila kitu mnajua nyieUelewa wako ni mdogo sana na ni mpuuzi tu kama wewe atakayeona mashtka ya Mbowe yana maana