Duru za siasa: Bunge la Katiba, upotoshaji na kiwewe cha kuzinduka Tanganyika

Duru za siasa: Bunge la Katiba, upotoshaji na kiwewe cha kuzinduka Tanganyika

Mchambuzi;8892593]Kuna hoja nyingine ya ccm inayojadiliwa sana na makada wake na inatarajiwa kubeba wingu kubwa la mjadala BLK litakapofikia kwenye article ya mfumo wa muungano, na suala hili ni kwamba - serikali tatu ni gharama kwa mlipa kodi

Huko nyuma tulijadili kwa kina kwanini mfumo wa shirikisho una gharama ndogo, na pia huu, nguruvi3 amefafanua kwanini mapendekezo ya rasimu ya katiba yatamwondolea mtanganyika gharama asizostahili.

Hoja ya makada wa ccm wanaodandia uwongo na upotoshaji wa gharama ni kwamba - gharama za kuendesha serikali tatu zitakuwa kubwa sana kutokana na nchi kuwa na marais watatu - rais wa zanzibar, tanganyika na muungano. Swali kwa nape na ccm ni je:

*Nani kasema kutakuwa na marais watatu?
Kwanini hili linajengewa hoja wakati hata katiba mpya bado haijaandikwa?

Je, ccm imeshaamua aina ya uongozi utakaukuwepo chini ya serikali tat iwapo itatokea hivyo?
Ili to prove nini, failure ya serikali tatu na kurudi kwa wananchi na kuwaambia "tuliwaambia ni gharama"?

Wapo makada wa ccm wanaojenga hoja pia kwamba tutakuwa kituko kwa dunia kwa kuwa nchi moja yenye marais watatu.

Hii hoja haina mashiko kwani mfumo wa serikali mbili tayari umewachekesha wenzetu wa nje kwa miaka mingi, lakini hili la katiba ya JMT kuvunjwa na zanzibar 2010 ndio limewamaliza kabisa mbavu.

Fine, tuseme basi kiongozi wa Tanganyika ataitwa Rais, ni cha ajabu hapo?

Kwa miaka 50 nchi yetu imekuwa na marais wawili, sasa ajabu ya marais watatu itakuwa ni ipi, tena bila ya kiini macho bali mfumo wa shirikisho?

Kama alivyojadili nguruvi3, rais wa zanzibar kwa miaka mingi ameleta tu usanii ndani ya muungano, na kuanzia 2010 baada ya katiba mpya rais wa zanzibar ataleta balaa ndani ya muungano wa serikali mbili, kwanini ccm haisemi rais wa tatu ataleta balaa lipi?

Kama mmoja wa washirika wa muungano, zanzibar kwa sasa ina rais, na makamo wawili wa rais, na kama mshirika mwingine wa muungano (Tanzania bara) ipo chini ya Rais wa muungano ambae yeye pia ana makamu wake na pia yupo waziri mkuu, jamani, mbali ya gharama kubwa, hatuoni kwamba tunafanya michezo ya kitoto?

CCM imekuwa ni chama cha ajabu sana, na marehemu kolimba aliona hili kwa kusema kimekosa dira na mwelekeo, na kauli ya Kolimba inakiandama CCM leo kwa mfano ufuatao:

CCM kwani kwa upande mmoja, kinahubiri suala la gharama kubwa zitazotokana na serikali tatu na marais watatu, pia ni chama kinachohubiri kwamba mfumo huu utaleta mgongano wa madaraka. Lakini kwa upande mwingine, CCM hii hii ndio iliyoamuru zanzibar iwe na makamu wawiwli wa rais na ndicho chama kilichoamuru uwepo wa marais watatu leo - rais wa jmt, makamo wa rais na rais wa zanzibar
Hoja ya gharama inatumiwa kupumbaza umma kwa kufinyanga data.

Nape na Pinda wamesahau mkataba wa mwaka 1964 umesema kutakuwa na rais wa JMT ambaye makamu wake atakuwa Rais wa znz na makamu wa pili atatoka Tanganyika. Ndivyo Nyerere, Karume na kawawa walivyokuwa.

Mfumo huo haujabadilika hadi leo. Yupo Rais wa JMT, Makamu wa Rais na Rais wa znz. Ukiongeza wengine yupo waziri mkuu, makamu wa kwanza wa rais znz na makamu wa pili wa rais znz.
Kipi kimeongezeka katika rasimu ya Warioba?

Tena rasimu ya warioba haikusema marais na maswali mengine aliyouliza mchambuzi.
Tukirudi kwenye gharama, uwepo wa serikali tatu utaleta nidhamu na kudhibiti gharama.

Kusema kuwa kutakuwa na ongezeko la gharama ni udanganyifu.
Ongezeko la gharama kwa serikali ipi? Kama wznz wataamua kuwa na bunge la wajumbe 600 hiyo itakuwa juu yao na wala serikali ya muungano haitahusika.
Kama Tanganyika itakuwa na bunge la wajumbe 20 hiyo ni juu yao na wala shirikisho halitahusika.

Yale mambo 22 yaliyopunguzwa na kuwa 7, 15 yaliyoonekana kupunguza gharama yalipunguza kwa upande wa Zanzibar na kumtwisha zigo hilo Mtanganyika.

Kwasasahivi kuna wizara inayoshughulikia muungano, hiyo tayari ni 'serikali ya 3' iliyojificha.
Tumewauliza akina Nape watuwekee takwimu za ongezeko hawajaweza kufanya hivyo, ni bla bla bla.

CCM wanapoongelea kuongezeka kwa gharama, siyo kwa shirikisho ua Tanganyika ni kwa znz.
Yale waliyokuwa wanatagemea kupitia uwekezaji wa jina ZNI yatarudi kwao, kwa Mtanganyika ni nafuu kwasababu hatabeba mzigo usiomhusu.

Tunapozungumzia shirikisho tunaongelea mambo 7 tu.
Kwasahivi tunaongelea zaidi ya mambo 22 na yote yakiangukia kwa gharama za Mtanganyika.

Nape anamaanisha kuwa Tanganyika inapobeba gharama za znz hiyo ni nafuu!!
Tanganyika ikitua mzigo na kumwachia mzanzibar hiyo ni kuongezeka kwa gharama.

Katika mambo 7 hatuiishii kusem yamekamilika.
Lazima wznz waeleze ulinzi na usalama wanachangia nini, mambo ya ndani wanachangia nini, mambo ya nje wanachangia nini ,Mapato yapi wanachangia katika shirikisho n.k

Ndio maana tunawaambia wajumbe wa BLK kutoka Tanganyika wangeelewa maana ya uwepo wao na Utanganyika wao, wangeanzia hapo kwanza.
Kama znz itawajibika kulipa gharama hilo litampunguzia Mtanganyika gharama zaidi katika hayo 7.

Rasimu imewapa znz uhuru wa kupokea misaada, kukopa na kuendeleza uchumi wao kwa jinsi .
Hiyo iambatane na wajibu wa kulipa bill zao. Hayo 7 yaangaliwe na znz iulizwe inachangia nini.

Hoja ya uchumi mdogo haina mantiki,znz inataka usawa wa kila kitu vipi isiwajibike japo 1/8 ya gharama za kila jambo la muungano.

Lakini kwa vile wznz wameshajenga mawazo ya kuitumia Tanganyika hoja za gharama hazipo katika brief case zao. Muda ukifika hoja ni kugawana madaraka na vyeo kwa kujua pia wao ndio waathirika na wafaidika wa hilo ndiyo watasimamia. Tanganyika wanasema, wait a minute ninyi wenzetu mnachangia nini kabla ya kudai madaraka na vyeo?

Watanganyika wanachokitaka ni kuepuka gharama zizisizowahusu.
 
Tuiangalie katiba ya znz ya mwaka 1984 kama ilivyorekebishwa mwaka 2010

SURA YA KWANZA
ZANZIBAR
Sehemu ya Kwanza
Zanzibar
1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la
Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka
na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Maana ya maneno hayo ni kuwa Zanzibar kama ilivyokuwa kabla ya April 26 1964. Mipaka yake imerudi kutoka katika mipaka ya Jamhuri ya muungano na kurejea kule ilikotoka. Kauli iliyopo ni 'mipaka' kabla ya muungano na Tanganyika.
Haikusema mipaka iliyokuwa ndani ya Tanzania kwasababu katiba ya 1984 iliitambulisha znz na ya 2010 ikaweka mipaka.
Sasa Pinda anaposema haelewi Tanganyika ipi, jibu lipo hapo. Tanganyika iliyoungana na znz ile ya kabla ya 1964 na ambayo imeachwa na znz

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
Katiba ya znz inasema ni nchi mbili. Haikusema ni zipi ingawa imesema zimezaa Tanzania.
Hivi hapa mh Pinda hajaona kuna tatizo kweli. Wao wznz wamesema nchi yao yenye mipaka imeungana na nchi nyingine na kupata Tanzania. Tujiulize iyo nchi nyingine ni ipi?


2A. Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais

aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo
kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la
Wawakilishi.

Halafu mh Pinda nasema shirikisho la serikali 3 rais wake atakuwa hana ardhi.
Kama Rais wa znz na kwa mamlaka ya katiba ya znz anaweza kugawa nchi yake kinyume na mkataba wa muungano na katiba ya 1977, Rais wa muungano wa sasa ana ardhi ipi ?

Pinda ana maana uwepo wa Tanganyika utamnyima rais wa serikali ya shirikisho ardhi, kwamba ardhi ya Tanganyika ndiyo ardhi ya shirikisho!!! Kweli! kweli mh Pinda.

Na muhimu zaidi ukiangalia vipengele hapo juu ni wazi kuwa Zanzibar ina utambulisho kufuatana na katiba ya 1984 iliyorekebishwa mwaka 2010. Pinda anapodai tatizo la znz ni utambulisho, ni upi huo zaidi ya katiba iliyoeleza kila jambo kwa uwazi bila kificho.
 
Wanajamvi
Tunapoeleza kuwa Tanganyika inapaswa izinduliwe hatuna maana ya chuki au inda. Tunazungumzia uhalisia wa mambo katika maisha ya kila siku.

Leo gazeti la Mwananchi limeandika habari hii kuhusu suala la Watanganyika kunyimwa ardhi

http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/CUF-yapinga-bara-kupewa-ardhi-Z-bar/-/1597296/2236540/-/79300kz/-/index.html
CUF yapinga bara kupewa ardhi Z'bar

Zanzibar. Chama Cha Wananchi(CUF) kimepinga wazo na rai ya kupunguza masharti ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ili kulegeza nguvu zake kisheria na kuwapa fursa Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani Zanzibar.

Msimamo huo umetolewa na Mkurugenzi wa Habari na Mwasiliano ya Umma wa CUF Salum Bimani katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana visiwani humo, siku chache baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Muungano) Samia Suluhu Hassan, kushauri Katiba ya Zanzibar kuangaliwa upya na kuwapa nafasi Watanzania Bara kumiliki ardhi Zanzibar.

Bimani alisema kuwa suala la ardhi siyo la Muungano tangu mkataba wa awali wenye orodha ya mambo ya Muungano na siyo sahihi kufanyika marekebisho ili kuwapa nafasi Watanzania Bara kumiliki ardhi Zanzibar kwani ni ndogo na ndiyo sababu hata waasisi wa Muumgano waliamua ardhi hiyo imilikiwe na wazanzibari pekee.
Huo ndio ukweli kuwa Mtanganyika hana nafasi ya kupewa ardhi huko visiwani. Katika mambo 11 ya mkataba wa awali ardhi haikuwemo. Katika mambo 22 yaliyoongezeka ardhi ilikuwemo. Katika mambo 15 yaliyoondolewa na tume ya warioba ardhi ni mojawapo.

Utaona kuwa kuongezwa nje ya mkataba kulikuwa na manufaa kwa wazanzibar ambao kwao kuja na kujitwalia ardhi ni rahisi kwasababu ni Watanzania. Kumbuka siyo Watanzania bara ya Pinda bali Watanzania

Wznz wanaohitaji manufaa ndani ya Tanganyika hujivika ngozi ya Tanzania na kuimba nyimbo zote tamu.
Hilo halitokei kwa Mtanganyika kule visiwani.

Njia waliyotumia ni kuweka vitambulisho ili kukabliana na Mtanganyika. Hivyo ardhi ya JMT ni ya Tanganyika na zanzibar, ardhi ya znz ni ya znz peke yao.

Kwa hili wana haki ya kuamua hivyo, tatizo lipo Tanganyika kwasababu utamzuiaje Mznz ambaye ni Mtanzania kuchuku hata kile asicho nacho.

Lau kana Tanganyika ingekuwa imezunduliwa wala hili lisingesumbua. Lilikuwa ni suala la Watanganyika kuweka utaratibu wao wa umiliki wa ardhi bila mawaa na wznz. Na wznz hawapaswi kulalamika au kuomba haki yoyote ya ardhi isiyokuwa yao.

Kwa kusoma maneno hayo ya gazeti mh Pinda lazima aone aibu pale anaposema rais wa shirikisho la serikali 3 atakuwa hana ardhi. Huyu wa serikali 2 hana ardhi seause wa serikali 3. Wzn wanasema ardhi ya znz ni kwa wznz, sasa serikali 2 zimewezaje kutatua tatizo.

Watanganyika fungueni macho, huu ni muda wa kuona kile msichokiona kwa njia za kawaida.
 
BILA YA KUWAPO KWA SERIKALI YA TANGANYIKA, ZANZIBAR YENYE MAMLAKA KAMILI HAIWEZEKANI

Nimeweka kichwa hiki kwa makusudi ili kuunga mkono hoja ya Nguruvi3 hapo juu kwamba tunaposema Tanganyika izunduliwe, hatufanyi hivyo kwa kwa chuki bali kwa nia njema kabisa. Kabla sijafafanua kichwa hapo juu, nikumbushie tu kwamba Mwalimu Nyerere aliwahi sema hivi:

Iwapo wazanzibari wataamua kujitoa kwenye muungano kwa hoja kwamba sisi wazanzibari, na wao ni watanganyika, watanganyika watabaki salama na maisha yao yataendelea kama kawaida. Lakini iwapo watanganyika wataamua kujitoa kwenye muungano kwa hoja kwamba sisi ni watanganyika, wao ni wazanzibari, watanganyika hawatabaki salama.

Nimeona niyaseme haya ya mwalimu kwa sababu watu wengi wanaposoma hoja za wadau kama kina Nguruvi3 juu ya utanganyika, wanaweza dhania kwamba watanganyika wana chuki na wazanzibari, kitu ambacho ni cha hatari. Ukweli ni kwamba watanganyika wengi wanaojenga hoja ya serikali ya tanganyika wanafanya hivyo baada ya wazanzibari kuwakataa watanganyika kwa njia mbalimbali likiwemo la vitambulisho vya makazi, umiliki wa ardhi, na sasa wameamua kabisa kuvunja muungano ambao unajengwa na katiba ya JMT (1977). Kwa mwendo huu, watanganyika wanazidi kuwa wamoja na kushikamana, hivyo wazanzibari wanahitaji kuwa waangalifu sana ili utabiri wa mwalimu usitimie.

Nikirudi kwenye hoja yangu ya msingi, zanzibar yenye mamlaka kamili itakuwa ni ndoto bila ya uwepo wa serikali ya Tanganyika, kwahiyo harakati za kuzinduka kwa Tanganyika kimsingi ni kwa manufaa ya wazanzibari pia, sio watanganyika tu.

Wazanzibari inapaswa waelewe kwamba mapendekezo ya CCM ya kina nape ni kuipa znz uhuru bandia kwani uhuru wa kweli utakuja pale tu serikali ya tanganyika itakapozinduliwa.hakuna jinsi nyingine. Hakuna muungano wa nchi mbili bila ya uwepo wa Tanganyika. Bila ya Tanganyika, kuna nchi moja tu ya zanzibar ambayo imeporwa mamlaka yake ya utawala na serikali ya muungano. Ndio maana bila uzinduzi wa Tanganyika, pamoja na uwepo wa katiba yao ya 2010, wanasiasa wa zanziba wataendelea tu kulalamika wanaonewa, wanaminywa n.k. Malalamiko yao hayataisha kwa kuwa na katiba ya znz ya 2010 huku muungano ukiwa ni wa serikali mbili, unless waamue kujitoa kwenye muungano. And in actual fact, ni malalamiko ya aina hii ndio yatakuwa ni kuni za moto wa kuua muungano. Tume ya warioba iliyaona haya yote na ndio maana ikaja na mapendekezo yake ya serikali tatu.

Kuna swali muhimu kwa ccm kujiuliza: kwanini wapo wazanzibari ambao leo wamehama kutoka hoja ya serikali tatu na kurudi serikali mbili lakini hapo hapo ni wanalalamika kwa mfumo wa muungano wa serikali mbili hauwatendeo haki? Kabla ya ccm kuendelea kulazimisha mfumo wa serikali mbili, wangekaa kwanza na kutafakari juu ya swali hili. Kwa kufanya hivyo, ccm ingegundua kwamba wanachotaka znz ni serikali tatu, mengine ni kama alivyojadili Nguruvi3. Vinginevyo iwapo wazanzibari wangekuwa wanataka serikali mbili, basi wasingesema aliyojadili hapo juu nguruvi3 - kwammba zanzibar ni nchi kamili ndani ya muungano, baraza lao la wawakilishi lisingepitisha azimio la kutaka serikali tatu, huku likiamuru sheria zote zinazotungwa na bunge la muungano dodoma kwanza zipate kibali cha BLW kabla ya kuanza kutumika znz. Iwapo wangekuwa wanataka serikali mbili kwa dhati wasingehitaji vitu kama bendea yao, wimbo wa taifa, uraia n.k.wazanzibari wasingezungumzia gesi yao, rasilimali zao, utalii wao. Wasingetaka kuwa na mipaka ya utawala kati ya serikali ya muungano na ya zanzibar kama alivyoainisha nguruvi3. Wasingemtaja Tanganyika kama mshirika mwenza wa muungano, huku serikali ya muungano ikiwa ni kama mbia wa zanzibar tofauti na katiba ya JMT (1977) waliyoikiuka, ambayo ilisena kwamba rais wa JMT pia ni mtawala wa znz kama alivyojadili nguruvi3. Wazanzibari wasingelalamika kwamba serikali ya muungano ni serikali ya Tanganyika huku wakilalamika jinsi gani inavyoidhulumu rasilimali zake.

Njia pekee ya kulinda muungano uliopo ni kukubali kuizindua serikali ya Tanganyika sambamba na ile ya znz. Kama anavyosema Nguruvi3, hoja za ccm dhidi ya serikali tatu haziendi sambamba na hoja juu ya jinsi gani serikali mbili zitatatua kero za muungano. Porojo za makada wa ccm kupinga serikali tatu ni kuchiba kaburi la ccm na la muungano kwani ni dhahiri sasa kwamba watanganyika wengi wanazidi kuelewa kinachoendelea na hakika CCM itajikuta ikiwalazimisha waukatae muungano. Ni kwa mantiki hii, atakayeua muungano ni CCM ya Nape Nnauye na wenzake.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mkandara, talaka ipo kwa kadhi, kadhi kaingia mjini wanao omba hawaonekani.
Huko kwa kasisi wanadai huu ni mwili mmoja ingawa hawaamini wakiondoka hapo.
Huyo mwanamke mwenye funguo za nyumba anaomba afunguliwe mlango gani tena ili atoke?

Mkuu unasema Znz ni sehemu ya Tanzania basi iangaliwe katika fedha za maendeleo kama mikopo na misaada. Hoja yako imetumiwa vizuri sana na wanasiasa kupotosha umma na ni chanzo cha tunayoshuhudia.

Kule kwa Malikia wanasema 'blessing in disguise' kwa Tanganyika.

Kwa muda mrefu znz imejenga hoja ya kuonewa katika misaada. Hakuna ukweli katika hilo.
Tanganyika imelipa zaidi kuliko hiyo misaada inayosemwa. Tunasababu za kusema hivyo.

1. Kama misaada ingekuwa dawa kwa nchi ndogo, Burundi na Rwanda zisingetaka kuwa sehemu ya jumuiya ya Afrika mashariki. Kuna faida gani iliziona zaidi ya kudhani misaada ndio chimbuko la maendeleo yao?

2. Wznz wanaoishi Tanganyika ni nusu ya waliobaki Zanzibar. Hii imeongeza social strains katika huduma za jamii kama afya,ajira na elimu. Gharama hizo anazibeba Mtanganyika siyo SMZ.

3. Katika mambo 22 yaliyoongezwa na kupunguzwa hadi 7 na tume hakuna hata moja lililoiathiri au kumuathiri Mtanganyika. Mambo 15 yalikuwa kwa gharama za Mtanganyika kwa jina la Tanzania yakimfaidisha mzanzibar.

4. Special treatment
Wazanzibar wanapata huduma maalumu kwa sababu tu ni wazanzibar ndani ya Tanganyika
i) Kuna ajira maalumu kwa ajili ya wznz ambazo haziwekwi katika monetary value
ii) Kuna nafasi maalum kwa wanafunzi wa znz kwasababu tu ni wzn(hazina monetary value)
iii) Kuna mikopo isiyorudishwa inayotolewa kwa wznz kama wanafunzi (haina monetary value)
n.k. n.k. Hayo yote Mtanganyika aishie znz hapati kwakuwa hana kitambulisho cha ukaazi na huchuliwa kama raia wa kigeni. Hivi kama hupewi leseni ya udereva utapewa huduma gani znz?

5. Gharama za kuendesha muungano huu wa JMT ni gharama ya Mtanganyika
i) Gharama za watumishi na uendeshaji wa wizara anabeba mtanganyika
a) SMZ haina bajeti ya ulinzi na usalama ambayo peke yake tukigawana kwa ratio ya 1:8 bado ni mzito kwa znz. Mwenyekiti wa BLW kamati ya fedha kathibitisha hayo.

b) Gharama za wizara ya mambo ya ndani ni mzigo wa Mtanganyika, mznz hana wizara kama hiyo
c)Gharama za mashirika ya kimataifa ambayo znz imejitoa katika muungano inalipwa na Tanganyika
-ZMO ni shirika la SMZ likisajili meli kwa manufaa ya znz. Gharama za ZMO kule IMO zinalipwa na Mtanganyika kwa jina la Tanzania

a) Zanzibar ina civil aviation yake. Gharama za chombo hicho kimataifa zinalipwa na Mtanganyika
c)Gharama za taasisi, mashirika na hata balozi ni za Mtanganyika. Mchango wa znz ni kupata ajira

5. Bajeti ya 2012/13 JMT ambayo Zanzibar haitambui imeipa znz bilioni 32. Kiasi hicho ni kikubwa ukilinganisha na fedha za maendeleo zilizotolewa kwa mkoa wa Singida, Kigoma na Lindi kwa pamoja.
Kwa maneno mengine walipa kodi wa Tanganyika wanachangia maendeleo ya znz kuliko ya maeneo yao.

6.Fursa za kiuchumi kama soko la ajira na bidhaa kwa watu milioni 40 wa Tanganyika lipo wazi kwa wazanzibar. Fursa hizo haziwekwi katika monetary value ili kutoa picha kamili kwasababu kufanya hivyo kutaondoa hoja hafifu ya misaada.

7. Ikumbukwe znz inapata mgao wa asilimia 4 ya pato la taifa. Mchango wa znz ni chini ya asilimia 1.

Ukiweka katika mizani znz inanufaika zaidi kuliko misaada inayotolewa. Tataizo kubwa la upotoshaji ni kuangalia dollar bila kujali huduma na mambo yasiyoweza kuwekwa katika tahamani ya pesa.

Hayo yanatokea huku Mtanganyika akiwa mgeni katika JMT ambayo znz ni mshiriki pale inapomhitaji Mtanganyika tu,kinyume chake Mtanganyika ni mgeni kama raia wa Nigeria, Vietnam n.k.

Hili ni jambo jema kwa Watanganyika, linatoa picha ya huu muungano wanaolalamikiwa kuuhodhi.
Ni kukosa maadili ya kiroho Mtanganyika wa kidatu anapolazmika kulipa umeme zaidi ili kufidia gharama za mzanzibar asiyelipa kwasababu ni mzanzibar!

Ni kukosa maadili mzazi wa Tanganyika anapominywa pay cheque yake kwa kodi ili itumike kutoa elimu ya bure kwa mwanafunzi wa kizanzibar huku mwanafunzi wa Kitanganyika ima akinyimwa kabisa au arudishe

Ni kukosa maadili mznz anapokuwa katika bodi ya NECTA, bandari, anga, halmashauri, miji au wizara na kumnyima Mtanganyika fursa ndani ya nchi yake kuihudumia nchi yake

Ni kukosa maadili Mtanganyika atakapolipa fedha za mbunge kutoka znz akiwa Dodoma kujadili mambo ya Tanganyika yasiyomhusu kwa mujibu wa katiba ya znz ya mwaka 2010

Labda tujiulize, hivi kuna sababu gani kwa mbunge wa znz kuwa mjumbe wa kamati ya bunge la JMT ambalo katiba ya znz hailitambui. Mbunge wa znz anapkagua shughuli za maendeleo Ngara ni ili achangie nini ikiwa nchi yake haitambui uwepo wa JMT.

Ni kwa msingi huu tunasisitiza kuwa sasa muungano uwe wa kichumi zaidi ukilenga kuleta mafao kwa pande mbili bila kubeba au kubebwa. Usawa huo ambao ni muhimu na lazima hauwezi kupatikana ikiwaipo nchi kati ya mbili haionekani.

Leo nani ataongelea madhila haya kule Dodoma? Tanganyika inawakilishwa na nani?
Tanzania bara ya Pinda haiwezi kusimamia Tanganyika kwa kishikizo cha jina ZNI.

Inahitajika serikali ya Tanganyika, kwa watu wa Tanganyika na kwa mnufaa ya Tanganyika.
Mazingaombwe ya kuviziana kwa herufi za majina na kuwekeza kwa herufi sasa yafike mwisho.

Watanganyika tumeliona hili, akina Nape hawawezi kuzuia tena kimbunga.
Wanaweza kuahirisha kwa miaka 2 lakini hawatazuia.

Hatuwezi kutumia muda wetu kufikiri namna ya kuishi na wznz badala ya kufikiri umasikini na adha nyingine. Wznz wameukana muungano kwa ushahidi wa katiba ya 2010, ninyi wabunge wa Tanganyika Dodoma hamuoni hilo?Mkuu Mkandara, misaada ipi zaidi ya hiyo inayotolewa?
Nitakujibu moja baada ya jingine kwa sababu naelewa sisi tunatafuta sababu kama vile wao wanavyozitafuta sababu pasipo kutafuta ukweli japo ukweli upo wazi kabisa.

1. Swala la Misaada ya maendeleo kwa nchi halizihusu nchi za jumuiya ya EAC maaa kila nchi ina mipango yake na hulipa madeni yake. Hivyo, kama ingekuwa misaada hiyo inaombwa kwa ajili ya EAC kisha ni Kenya Uganda na tanzania tu ndio wenye kupanga matunmizi ya fedha hizo hapo ungesikia kero na lawama lakini sivyo.

2. Wazanzibar wanaoishi bara ni wengi hilo halina Ubishi na vile vile kumbuka wanalipa kodi bara vile vile, wanaijenga bara vile vile hivyo huwezi kuchukua hicho kama kipimo cha social strains ikiwa wao wamekuja bata kama wawekezaji zaidi ya Wataguta kazi. Pili, gharama za ulipaji madeni huwezi kuzipima pasipo kuzingatia asilimia hiyo hiyo unayoitumia maana Ikiwa deni ni bil. 3 bara ikalipa asilimia 95 na Znz asilimia 5, ifahamike pia kuwa hao waZnz mil. 2, ni asilimia 5 ya population ya nchi nzima hivyo mchango wao hauna tatizo.

3. Umezungumzia mabo 22 kuwa kati yake 15 yanamnufaisha Znz lakini je hujui kwamba jambo 1 tu linaweza nkubeba mambo madogo madogo 10. kwa mfano, Ujenzi wa Airpost au bandari bara inaweza kuwa sawa na mfuko mzima wa bajeti ya Znz. Je, kuna tatizo gani serikali ya Muungano kujenga bandari Znz au kituo cha kuzalisha umeme! isipokuwa kila kitu wategemee kutoka bara, halafu tuwanange kuwa pasipo Bara hawana kitu!

4. Mkuu wangu hili la nafasi maalum linatokana na Hulka za kibinadamu maana pasipo kufanya hivyo Wazanzibar wasingeweza kusoma Bara, wasingeweza kupata ajira bara kwa sababu sisi MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO. Tuna mila na Utamaduni wa Ukabila, Udini na Jinsia haswa baada ya kuingia Ubepari. Nguvu kubwa ya madaraka na mamlaka imeshikwa na Bara na hata nisemavyo hivi leo pasipo kipengele maalum cha kusisitiza uongozi wa juu ktk Jamhuri uiweke Znz kama special treatment basi haitakuja siku rais, makamu wala waziri mkuu kutoka Zanzibar.

Bara tuna uchu sana wa madaraka kuondoka ktk umaskni na tunachofanya ni kugawana tu umaskini. Ebu nambie huo Uhaguzi wwa mwaka 2015 hakuna kingozi yeyote anayefikiriwa na wananchi atoke Zanzibar japo Mkapa na JK wote kwa awamu nne zilizopita marais na mawaziri wakuu wote wametoka bara. Ni bahati tu kifungu cha makamu ndicho kimeilinda nafasi hiyo laa sivyo zanzibar wasingekuwa na hata waziri.

Kwa kuongezea hili ebu tazama Wanawake, hadi leo hii miaka 50 baada ya Uhuru hatujawahi kuwa na waziri mkuu, makamu wala kmwanamke alokwisha fikiriwa kuchukua kiti cha Urais japo tunadai wanayo haki ya kugombea. Mind set zetu zimeshakuwa brain washed, haziruhusu kuongozwa na mwanamke, Hivyo Haki kama hizi zinatakiwa kulindwa japo mtasema ni special treatment.

5. Hizo gharama za uendeshaji serikali ya jamhuri linajibiwa tena na jibu langu ya kwamba lazima utazame asilimia ya watu kwanza kabla hujaweka madai kama haya. Ikiwa asilimia 90 ya Watanzania wanaishi Bara ulitegemea vipi Znz ilipe deni sawa na Bara wakati baba wa familia hii ni bara? sijui kama unanielewa!.

6. Fursa za Ajira ukitaka kuziweka wazi ndipo unaonyesha Utengano na kwamba tunashindwa kuelewa kuwa hatukuungana kuwa nchi moja isipokuwa tuna nchi mbili kuunda moja pasipo mke kupoteza nguvu zake na sababu ya kuolewa kama mke. Ni utaratibu unlojengwa kulinda haki za Zanzibar kama vile haki za Binadamu zinavyowalinda wanawake ktk ndoa. Hatuwezi sote kuwa midume kisha ukaita ndoa hiyo kuwa halali lakini hatutaki tuitwe mashoga.

Nitarudia kusema Muungano wa Tanzania ni special na one of its kind maana tumeunda Jamhuri inayotokana na mfumo wa Political Union. Na itambulike tu kwamba Znz ilikuwa nchi huru siku ya Mapinduzi kumuondoa Sultan na sii vinginevyo. Ule uhuru wa mwaka 1963 ilikuwa Uhuru wa bandia kama ule wa Ian Smith na Rhodesia hautambuliki.

Hivyo, Sisi bara kuingia gharama hizi kama baba mzazi wa Mapinduzi! na ikumbukwe kuwa CCM (Chama cha MAPINDUZI) kilichukua jina hilo tokana na Mapinduzi ya Znz. Hofu kubwa ilotangulia ni Znz kuwa chini ya Utawala wowote wa kigeni, iwe Sultan ama influence na mgeni yeyote ni tishio zima ktk usalama wa bara(Tanganyika), Afrika mashariki na Umoja wa nchi za Kiafrika. Hii ndio ilokuwa dream wa waasisi wetu wa UHURU kwa nchi zetu.

Hivyo sisi tulichukua jukumu na kiapo cha kuyalinda Mapinduzi yale kama vile baba anavyokubali kufunga ndoa akijua majukumu yatakayo mkabiri ktk ndoa, tena tumemuoa binamu yetu kwa lengo la kuhakikisha vizazi vyetu ndio watafaidika na Utajiri wa mali zetu na sii wageni.

Hatuwezi sema lazima mama pia achangie sawa na baba. Na mwisho, sisi watoto tulozaliwa na wazazi hawa hatuwezi kupanga utaratibu wowote wa ndoa ama talaka ya wazazi hawa, hilo sintoliafiki kabisa isipokuwa siku BLM na wala sii BLW linaloweza kuweka madai kuomba talaka - Huu ndio mtazamo wangu.

Na kuhusu bajeti ya Znz. Mkuu wangu wewe mwenyewe umekiri kwamba kuna Wazanzibar wengi bara kuliko Zanzibar hivyo kodi zao pia ni mchango ktk malipo ya gharama hizo. Hizo Bil.32 bila shaka ni katimaka maswala ya Muungano ambapo wao wanatazama sii tu kuyajenga majimbo bali ni kisu chao kama nchi ilojiunga.

Hata katika maisha ya kawaida huwezi kunambia tukiwa na Ubia na wewe basi mgao utatazama wewe una watoto wangapi badala ya wewe umeingia vipi ktk makubaliano ya kimkataba na yalisema nini ktk maswala ya Equity na ugawaji dividend. Umezungumzia tu faida lakini umesahau pia kwamba hasara zote zinazotokana na bara hata wao wanalipia wakati sisi ndio tumefanmya Ufisadi, Iwe EPA, Rada, wizi benki, IPTL,Richmond/Symbion na kadhalika. Na ukitazama kwa makini viongozi wetu wa bara ndio wana kesi na kulindana ktk Ufisadi kuliko tunavyowasikia Wazanzibar ktk serikali hii ya Muungano.

7. Ikiwa Zanzibar inapata asilimia 4 nwakati mchango wake ni asilimia 1 nadhani hapa tunakosea sana kwa sababu huwezi kumlipa mama fedha kutokana na mchango wake ktk familia. michango mingine haipimwi kwa fedha isipokuwa ushirika ulokuwepo baina ya nchi husika na mipango ya maendeleo ndio pekee inayoiwezesha Zanzibar kuchangia zaidi. Sasa ikiwa kila investment kubwa ya kitaifa itafanyika bara ulitegemea vipi zanzivar wachangie zaidi?... Kwa nini Muungano huu usihakikishe Zanzibar inapata investment za kutosha ili kuongeza mchango wake ktk mfuko wa Taifa!.

Swala hili hata sisi wananchi wa bara tunalo maana kila Investment kubwa hufanyika mkoa wa Dar es Salaam ikasahaulika mikoani. Leo gas imepatikana Mtwara lakini umeletwa Dar ili kuzalisha Umeme ambao ungeweza kabisa kuzalishwa kule kule.

Tutake tusitake pamoja na ujenzi wa bomba la gas bado nguzo za umeme zitahitajika kati ya Dar na Mtwara iwe kutoka upande wowote maana taifa haliwezi kuwa kizani isipokuwa mijini tu. Sasa kwa wale wanaosema Dar es salaam inahitaji fungu kubwa la maendeleo kuliko mikoa mingine ni kushindwa kuelewa kwamba mikoa hiyo ingeweza pia kuchangia zaidi ikiwa hizo investment zingewekwa huko.

Hao wabunge wa baraza la Katiba hawataweza kuijenga katiba mpya kwa sababu sisi wote ni wababaishaji tu. walafi na mafisadi kwa aina. Nilisema haitawezekana na kama itawezekana basi hakuna katiba mbadala. Sasa tazama hawa wabunge wanavuta laki 3 kwa siku, leo hii ni wiki ya 3 hawajamchagua hata mwenyekiti ina maana wameisha vuta zaidi ya mil. 5 kila mmoja wao kwa kazi isoonekana!, haya mazinmgaombwe gani? - Alamsiki.
 
Mkandara;8902718]2. Wazanzibar wanaoishi bara ni wengi hilo halina Ubishi na vile vile kumbuka wanalipa kodi bara vile vile, wanaijenga bara vile vile hivyo huwezi kuchukua hicho kama kipimo cha social strains ikiwa wao wamekuja bata kama wawekezaji zaidi ya Wataguta kazi. Pili, gharama za ulipaji madeni huwezi kuzipima pasipo kuzingatia asilimia hiyo hiyo unayoitumia maana Ikiwa deni ni bil. 3 bara ikalipa asilimia 95 na Znz asilimia 5, ifahamike pia kuwa hao waZnz mil. 2, ni asilimia 5 ya population ya nchi nzima hivyo mchango wao hauna tatizo
Wawekezaji ni wapi Mkandara? Ni hawa tunaobanana nao katika vyumba manzese! In short wamekuja kama wakimbizi wa kiuchumi.

Leo kitangaza warudi kwao kila mmoja atakimbilia kuchukua passport ya Tanganyika.
Hali ya znz nani asiyeijua. Ni kuulize Mtanganyika wa Simuyu ana hofu gani muungano ukifa?

Hoja ya kwamba asilimia 5% ya population ni wznz na hivyo wanapaswa kutochangia haina mantiki.
Mbona linapokuja suala la kuunda tume ya katiba walitaka wajumbe sawa? asilimia tano ipo wapi hapo mkuu.
Bunge hili wanawakilishwa na zaidi ya asilimia 40, mbona asilimia 5 haipo hapo mkuu.
Misaada wanayodhani ni mali sana wanataka kugawana sawa, asilimia 5 ipo wapi ?

Mkuu kama walivyo wznz ndivyo unavyowaza, kwamba kwenye manufaa hakuna udogo usawa mbele.
Kwenye kuwajibika kuna udogo wa znz. Hili mantiki yake ni ipi hasa, sielewi.
Nadhani ni jitihada tu za kujenga hoja lakini kimantiki hakuna hoja ya msingi.
Asilimia 5 inataka uwezo wa kuamua maamuzi ya asilimia 95, hilo lina mantiki yoyote mkuu.


Hiyo asilimia 5 unayodai inachangia chini ya asilimia 1 lakini inataka kupata kulingana au zaidi ya asilimia 5. Mkuu Mkandara hapo kuna mantiki ya aina yoyote kweli.
3. Umezungumzia mabo 22 kuwa kati yake 15 yanamnufaisha Znz lakini je hujui kwamba jambo 1 tu linaweza nkubeba mambo madogo madogo 10. kwa mfano, Ujenzi wa Airpost au bandari bara inaweza kuwa sawa na mfuko mzima wa bajeti ya Znz. Je, kuna tatizo gani serikali ya Muungano kujenga bandari Znz au kituo cha kuzalisha umeme! isipokuwa kila kitu wategemee kutoka bara, halafu tuwanange kuwa pasipo Bara hawana kitu!
Malalamiko ya wznz ni kuwa mambo 11 yameongezeka hadi 22 na hivyo kuwanyima fursa ya kimaendeleo.

Wakati wanalalamika wanadai mgao wa kile wasichokikubali. Hivi karibuni wametaka mchango wa elimu ya juu uongezwe, lakini elimu ya juu haipo katika mambo 11 ya awali. Ni hisani tu ya Watanganyika, sasa unapowatete unakinzana na hoja zao.

Hoja zao ni kuwa turudi katika yale 11 ambayo Warioba na tume imeyapunguza hadi 7.
Katika hayo 15 yaliyoondolewa hakuna hata moja linalomuathiri Mtanganyika zaidi ya ukweli kuwa ametua sehemu ya zigo la samadi. Utoe halafu upokee matusi, Mkandara anasema hiyo ni sawa kwasababu asilimia 5 ina haki ya kupewa zaidi na kutoa mitusi kwa vile ni wznz, binadamu special!
4. Mkuu wangu hili la nafasi maalum linatokana na Hulka za kibinadamu maana pasipo kufanya hivyo Wazanzibar wasingeweza kusoma Bara, wasingeweza kupata ajira bara kwa sababu sisi MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO. Tuna mila na Utamaduni wa Ukabila, Udini na Jinsia haswa baada ya kuingia Ubepari. Nguvu kubwa ya madaraka na mamlaka imeshikwa na Bara na hata nisemavyo hivi leo pasipo kipengele maalum cha kusisitiza uongozi wa juu ktk Jamhuri uiweke Znz kama special treatment basi haitakuja siku rais, makamu wala waziri mkuu kutoka Zanzibar.
Hapa umesahau kuwa ulisema hawa ni wawekezaji, kumbe wamekuja kusoma, kupata ajira n.k. Ndiyo maana yangu kuwa uwepo wao unaongeza social strains katika system yetu.

Halafu unadai wabara wamehodhi madaraka, wakati huo huo unasema wznz ni asilimia 5.
Probability zinaonyesha kuwa uwezekano wa asilimia 95 kutoa viongozi ni asilimia 95.
Lakini kwa vile lengo limekuwa ni kuitetea asilimia 5 Mkandara anahamisha goli, anasema asilimia 5 ipewe haki sawa kama asilimia 90.

Tunaposema hiyo iwe extended katika madeni na michango Mkandara anarudisha goli alipoling'oa na kusema hapana, wao ni wachache asilimia 5 na mchango wa mapato wanaoutoa ni haki kulingana na asilimi 5 yao.

Mkandara ni prototype ya jinsi wznz wanavyofikiri, exactly the same.
Kwamba they deserve right but not responsibility.
Bara tuna uchu sana wa madaraka kuondoka ktk umaskni na tunachofanya ni kugawana tu umaskini. Ebu nambie huo Uhaguzi wwa mwaka 2015 hakuna kingozi yeyote anayefikiriwa na wananchi atoke Zanzibar japo Mkapa na JK wote kwa awamu nne zilizopita marais na mawaziri wakuu wote wametoka bara. Ni bahati tu kifungu cha makamu ndicho kimeilinda nafasi hiyo laa sivyo zanzibar wasingekuwa na hata waziri.Kwa kuongezea hili ebu tazama Wanawake, hadi leo hii miaka 50 baada ya Uhuru hatujawahi kuwa na waziri mkuu, makamu wala kmwanamke alokwisha fikiriwa kuchukua kiti cha Urais japo tunadai wanayo haki ya kugombea. Mind set zetu zimeshakuwa brain washed, haziruhusu kuongozwa na mwanamke, Hivyo Haki kama hizi zinatakiwa kulindwa japo mtasema ni special treatment.
Mkandara umesahahu kuwa katika sehemu kama bunge la JMT wapo wanawake zaidi ya 106 waliokwenda bila kuchaguliwa, ni kwasababu tu wanavaa magauni.

Nafasi hiyo hawaitumii vema na nasema bila kumung'anya maneno hawana mchango wowote ndani ya bunge. Wanawake 106 wameshupalia posho wamesahau wenzao wantembea KM 10 kutafuta ndoo ya maji.

Kazi kubwa ni kuendeleza makundi ya kuwachagua wanaume na kujipamba kwa mavazi ya bei mbaya bila kujua wenzao huko vijijini hawawezi kununu pamba za kujisetiri.

Hawa wameonyesha kuwa hawajali wenzao and it is unlikely wanaweza kujali taifa.

Tumetoa nafasi za wao ku prove wanaweza, leo ni mwaka wa 8 watu wanongelea bunge la Sitta si la Makinda kwasababu ame prove failure.

Mifano ipo mingi na hivyo niseme failure ya wanawake inatokana na wao na wala si mfumo.
Mfumo umekubali kuwapa fursa, wao wameshindwa kuendeleza fursa.

Nilitegemea wagomee bajeti inayowataka wanunue nyembe wakati wa kwenda kujifungua, guess what wao wanaendekeza uchama,'mh spika naunga mkono hoja 100%, kwamba wenzao wajifungulie juu ya matenga ya baiskeli.

Nilitegemea wakemee bilioni 8 za kutengeneza bunge wakati wenzao wanazalia sakafuni, hebu angalia kinachoendelea Dodoma wamekaa kimya wanapaka lip stick kana kwamba mambo ni tambarare.
Mfumo dume utaendelea kuwaumiza kwasababu hawapo tayari kuthibitisha wanaweza.
Wamethibitisha vinginevyo.
5. Hizo gharama za uendeshaji serikali ya jamhuri linajibiwa tena na jibu langu ya kwamba lazima utazame asilimia ya watu kwanza kabla hujaweka madai kama haya. Ikiwa asilimia 90 ya Watanzania wanaishi Bara ulitegemea vipi Znz ilipe deni sawa na Bara wakati baba wa familia hii ni bara? sijui kama unanielewa!.
Ok na wale wajumbe 15 wa tume kutoka pande zote walipatakana kwa hesabu zipi? Unataka kutumabia ni asilimia 5.

Pili ubaba unatoka wapi wakati wznz wanasema ni wabia sawa wa muungano. Wao hawataki udogo kwenye meza ya chakula, wakati wa kusafisha meza wanadai ni wafupi hawafiki vema mezani, ni dhaifu hawawezi kubeba vyombo, asilimia 5 ya Mkandara wakati wa kugawana mbuzi baasi, kuzoa take znz ni wadogo waende kuchezea midoli na mdaku
Na kuhusu bajeti ya Znz. Mkuu wangu wewe mwenyewe umekiri kwamba kuna Wazanzibar wengi bara kuliko Zanzibar hivyo kodi zao pia ni mchango ktk malipo ya gharama hizo. Hizo Bil.32 bila shaka ni katimaka maswala ya Muungano ambapo wao wanatazama sii tu kuyajenga majimbo bali ni kisu chao kama nchi ilojiunga.
Hapa hujajibu hoja zangu, kama tunanaangalia population ni mantiki gani imetumika kupeleka bilioni 32 kwa watu laki 5 wakati kuna watu milioni 6 in total wanapewa chini ya kiasi hicho. Hapo ndipo swali lilipo.
7. Ikiwa Zanzibar inapata asilimia 4 nwakati mchango wake ni asilimia 1 nadhani hapa tunakosea sana kwa sababu huwezi kumlipa mama fedha kutokana na mchango wake ktk familia.

michango mingine haipimwi kwa fedha isipokuwa ushirika ulokuwepo baina ya nchi husika na mipango ya maendeleo ndio pekee inayoiwezesha Zanzibar kuchangia zaidi. Sasa ikiwa kila investment kubwa ya kitaifa itafanyika bara ulitegemea vipi zanzivar wachangie zaidi?... Kwa nini Muungano huu usihakikishe Zanzibar inapata investment za kutosha ili kuongeza mchango wake ktk mfuko wa Taifa!.
Mkuu sasa kama tunakubaliana kuwa michango mingine haina monetary value, uhalali wa kusema Tanganyika inachukua misaada zaidi unatoka wapi? Je tumeangalia maeneo yote ambayo mchango wake haupo katika monetary value?
 
Katika kuendelea kujadili hoja za Mkandara hasa suala la asilimia 5, tungependa tufahamishe kuwa asilimia 5 inatumika katika kuwazuia wznz wasitimize wajibu wao na inatumika kwa wznz kudai kisicho chao.

Katika bunge la JMT mashauri ya muungano yanahitaji 2/3 ya wabunge na 2/3 ya wabunge kutoka znz.
Kwa maneno mengine 2/3 ya wabunge wa znz wanaweza kabisa kuzuia jambo kisheria.

Sasa kama 2/3 wana uwezo huo na wao ndio 5% anayozungumzia Mkandara, udogo wa 5% upo wapi?
Hivi kuna 5% inayoweza kuzuia maamuzi ya 95% na ikabaki kuwa ndogo!

Zaidi ya hapo, jambo lililoamuliwa na bunge la JMT ambalo kuna wznz linapaswa kwenda kupata go ahead kwa Baraza la wawakilishi ambalo lina wajumbe 50 tu wanaowakilisha watu chini ya milioni 1 ambao ni sawa na jimbo la Ubungo.

Kwamba tukitaka kupitisha mswada wa kujenga vyoo vya shule zetu ni lazima BLW litoe kibali kwa mujibu wa katiba ya 1984 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2010.

Hivi hapa 5% ina udogo gani mkuu Mkandara. Kwamba wajumbe wa znz walioko katika bunge la JMT wana uwezo wa kuzuia jambo, na pia wajumbe 50 wa BLW wana uwezo wa kuzuia jambo lenye manufaa kwa 95% ya wananchi.
Mkandara, John Mnyika peke yaeke ni 5% na huyo ndiye mdogo. Znz haina udogo, ina ujeuri, ubwanyenye na kupenda kulia kivulini, wakati wa kuvuna na kuchambua mashudu wao ni wachache!!

Hawa ndio Mkandara anatushawishi ni wachache wana rasilimali kidogo, wapewe special treatment na miradi ielekezwe kwao kwasababu tu ni wznz ambao ni raia bora.

Inafikirisha sana.
 
Katika kuendelea kujadili hoja za Mkandara hasa suala la asilimia 5, tungependa tufahamishe kuwa asilimia 5 inatumika katika kuwazuia wznz wasitimize wajibu wao na inatumika kwa wznz kudai kisicho chao.

Katika bunge la JMT mashauri ya muungano yanahitaji 2/3 ya wabunge na 2/3 ya wabunge kutoka znz.
Kwa maneno mengine 2/3 ya wabunge wa znz wanaweza kabisa kuzuia jambo kisheria.

Sasa kama 2/3 wana uwezo huo na wao ndio 5% anayozungumzia Mkandara, udogo wa 5% upo wapi?
Hivi kuna 5% inayoweza kuzuia maamuzi ya 95% na ikabaki kuwa ndogo!

Zaidi ya hapo, jambo lililoamuliwa na bunge la JMT ambalo kuna wznz linapaswa kwenda kupata go ahead kwa Baraza la wawakilishi ambalo lina wajumbe 50 tu wanaowakilisha watu chini ya milioni 1 ambao ni sawa na jimbo la Ubungo.

Kwamba tukitaka kupitisha mswada wa kujenga vyoo vya shule zetu ni lazima BLW litoe kibali kwa mujibu wa katiba ya 1984 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2010.

Hivi hapa 5% ina udogo gani mkuu Mkandara. Kwamba wajumbe wa znz walioko katika bunge la JMT wana uwezo wa kuzuia jambo, na pia wajumbe 50 wa BLW wana uwezo wa kuzuia jambo lenye manufaa kwa 95% ya wananchi.
Mkandara, John Mnyika peke yaeke ni 5% na huyo ndiye mdogo. Znz haina udogo, ina ujeuri, ubwanyenye na kupenda kulia kivulini, wakati wa kuvuna na kuchambua mashudu wao ni wachache!!

Hawa ndio Mkandara anatushawishi ni wachache wana rasilimali kidogo, wapewe special treatment na miradi ielekezwe kwao kwasababu tu ni wznz ambao ni raia bora.

Inafikirisha sana.

Nikiwatafakari watu aina hii (wazanzibari) napata tabu kuamini ni kwa namna gani mtu anaweza kuungana nao! Wamejaa uroho, hila, tamaa, mkomoeni, ubinafsi, choyo, na kila aina ya umimi.
Ukishikana nae mkono wa kushoto, hakika atatumia wa kulia kukufinya au kukuibia. Ukishikana nae mkono wa kulia, atatumia wa kushoto kukufanyia hila. Na hata ukishikana nae mikono yote, bado kichwa na miguu na hata mwili, hautakuacha salama, vitakuandama tu! Sioni namna ya kuishi nao hawa nusunusu, HAIWEZEKANI. Ikumbukwe kinachowafungamanisha watu ni ITIKADI, sasa wenzetu wanatutazama tofauti kabisa vile sisi tunavyowatazama, TUTAFUNGAMANA NAO KWA NAMNA GANI?. Aje tuhangaikie muungano halikuwa kuna pande inatafuta kwa uwazi kabisa (bila aibu) aje itaifanye pande B kuwa kitoweo chake? Yaani Muungano kwao ni ushindani wa Nani atanufaika zaidi! Ni Ulimbukeni na Upuuzi!
Kama wananchi ndio wenye kufanya maamuzi, kosa lilianzia pale walipozuiwa kujadili Kuuvunja yasipofikiwa maafikiano sahihi, ndio maana kinachoendelea sasa ni Upuuzi tupu na kupotezeana muda!
Muungano sahihi ni wa Serikali 1, utakajengwa na ITIKADI MOJA ya Taifa Moja katika Nchi Moja! Ukishakuwa Mtanzania Taka Usitake, utafungwa na Itikadi moja, ambayo haitabagua huyu wa bara na huyu wa visiwani! Hili la Serikali 1 wanasema HALIWEZEKANI, option iliyobaki ilikuwa ni Kuuvunja Muungano! Haiwezekani utumwe nafaka dukani, umekuta bei juu, ukaamua ununue nguo! Wapi na wapi?
Hawa jamaa hawawezekani kuishi nao katka serikali 3 wala 2, Ila 1 au Ufe, ni Wabinafsi mno. Umoja ni jambo jema kuliko, ole ukawa na Mnafiki.
Nguvu yetu ni Umoja na Kuthubutu! Anaita sasa!
 
Wakuu Mkandara na Nguruvi3, profesa Shivji analigusia kidogo suala mnalojadiliana ingawa he doesn't do it in numbers but rather, principle. Anasema hivi:

Whatever form the new unity takes it ought to observe scrupulously the basic democratic principle of the right of people to self determination. This premise has two sides:

a) that between zanziba and tanganyika, as people and nations, we would have to respect the principle of equality on the one hand, and to be sensitive to legitimate national culture, history and sentiments of both parts, on the other. This means that those of us from the bigger nation, Tanganyika , and consider ourselves progressive and democrats, should be extra responsible and cautious in guarding against big nation chauvinism. By the same token, it is the responsibility of progressive opinion in zanzibar to guard against separatist euphoia based on creating illusions of island of prosperity (a la singapore) based on insular nationalism, religion and concomitantly undemocratic and absolutist political values.

b) The other side of principle of the right of people to self determination is that both the peoples should have state and social structures and institutions, which are based on people's participation and involvement in decision making at vaious levels from the neighborhood to villages to town etc up to national and state levels. In other words internal democracy within zanzibar and Tanganyika is the other side of the coin of the right to self determination. Just as a nation which oppresses another nation undermines its own internal democracy, so a nation, which is not democratic intenally, can hardly be democratic internationally.

Cc JingalaFalsafa



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Sarakazi ya kwanza muhimu kabisa kwenye kukataa serikali tatu, (isomeke kwenye kutandika njia ya kuvunja muungano) tayari imechezwa. Upigaji kura kwenye suala la serikali 3 hautakuwa wa ballot box, utakuwa finger counting. Lengo ni kuwatisha wale ndani ya CCM wanaotaka 3.
 
Nikiwatafakari watu aina hii (wazanzibari) napata tabu kuamini ni kwa namna gani mtu anaweza kuungana nao! Wamejaa uroho, hila, tamaa, mkomoeni, ubinafsi, choyo, na kila aina ya umimi.
Ukishikana nae mkono wa kushoto, hakika atatumia wa kulia kukufinya au kukuibia. Ukishikana nae mkono wa kulia, atatumia wa kushoto kukufanyia hila. Na hata ukishikana nae mikono yote, bado kichwa na miguu na hata mwili, hautakuacha salama, vitakuandama tu! Sioni namna ya kuishi nao hawa nusunusu, HAIWEZEKANI. Ikumbukwe kinachowafungamanisha watu ni ITIKADI, sasa wenzetu wanatutazama tofauti kabisa vile sisi tunavyowatazama, TUTAFUNGAMANA NAO KWA NAMNA GANI?. Aje tuhangaikie muungano halikuwa kuna pande inatafuta kwa uwazi kabisa (bila aibu) aje itaifanye pande B kuwa kitoweo chake? Yaani Muungano kwao ni ushindani wa Nani atanufaika zaidi! Ni Ulimbukeni na Upuuzi!
Kama wananchi ndio wenye kufanya maamuzi, kosa lilianzia pale walipozuiwa kujadili Kuuvunja yasipofikiwa maafikiano sahihi, ndio maana kinachoendelea sasa ni Upuuzi tupu na kupotezeana muda!
Muungano sahihi ni wa Serikali 1, utakajengwa na ITIKADI MOJA ya Taifa Moja katika Nchi Moja! Ukishakuwa Mtanzania Taka Usitake, utafungwa na Itikadi moja, ambayo haitabagua huyu wa bara na huyu wa visiwani! Hili la Serikali 1 wanasema HALIWEZEKANI, option iliyobaki ilikuwa ni Kuuvunja Muungano! Haiwezekani utumwe nafaka dukani, umekuta bei juu, ukaamua ununue nguo! Wapi na wapi?
Hawa jamaa hawawezekani kuishi nao katka serikali 3 wala 2, Ila 1 au Ufe, ni Wabinafsi mno. Umoja ni jambo jema kuliko, ole ukawa na Mnafiki.
Nguvu yetu ni Umoja na Kuthubutu! Anaita sasa!
Mkuu JLF na wanajamvi, pengine tunapoongelea haya tunaonekana kuwazulia wznz.
Tafadhali piti nyuzi ifuatayo hadi mwisho uone kile tunachokisema kila siku.

Kwa hisani ya gazeti la Habari leo
http://www.habarileo.co.tz/index.ph...2-haziepukiki-uchumi-zanzibar-unategemea-bara

Hapa nitaweka summary
Prof Hamhrey Moshi katika kitabu cha katiba bora amebainisha yafuatayo

-SMZ imekuwa ikipata huduma za muungano bila kulipia na madeni yake yakilipwa na serikali ya Muungano(Tanganyika)

-Kwa muundo wa serikali 3 SMZ itachangia muungano kwa uwiano na itakuwa hakuna maana kama haitachangia.

-Tangu mwaka 1964 Zanzibar imeachangia huduma za muungano mara tatu tu, anasema.
a) 1964/1965 gharama za muungano milioni 107, mchango wa Zanzibar milioni (asilimia 9)
b)1965/1966 gharama milioni 1976 mchango wa Zanzibar 8.1 (asilimia 5)
c)1966/1967 gharama milioni Mchango wa znz milioni 8 (sawa na asilimia 5) huku gharama zikiwa zimeongezeka.

Prof Humphrey anasema
Bajeti ya muungano kwa mwaka 2000 ilikikuwa bilioni 474 ambazo zililipwa na muungano (Tanganyika)

Bajeti ya muungano mwaka 2006 ilikuwa bilioni 556

Kati ya 2005 na 2010 Serikali ya Muungano ambayo wznz wanaituhumu kuvaa koti la muungano na ukweli kuwa ni ya Tanganyika imechangia asilimia 22 ya bajeti yake katika mambo ya muungano.

My take : Kwa wasomaji wetu mambo ya muungano ni yale 22 ambayo wznz wamekuwa wanayalalamikia. Kwa maneno mengine mchango wa Tanganyika ndio ulikuwa unaiendesha Zanzibar kwa ujira wa matusi

Prof Humphrey anaendelea
Anasema kwa miaka 5 mfulilizo znz haijachangia chochote katika muungano.

My take: Kwa miaka 5 Znz imekuwa inafadika na mambo 22 ya muungano bila kuchangia. Mchango wa maana ni mtusi na malalamiko wananyonywa na kuonewa. Endelea kumsoma Prof Humphrey

Mwaka 1977 kama ya shelukindo ilipendekeza Zanzibar ichangie asilimia 3.9 katika muungano, mapendekezo kama hayo yakatlewa na tume ya Nyalali (1992) na ya Kisanga (1988)

BoT imekuwa inatoa gawio la 4.5 asilimia ya pato la taifa (Mtanganyika) kila mwaka kiasi kilichopenekezwa na IMF.

Zanzibar hukopa kupitia waziri wa fedha wa JMT na pindi inaposhindwa deni hulipwa na Tanganyika(muungano)

Zanzibar ina madeni makubwa kama yale ya Tanesco ambayo inaposindwa muungano hulipa (Tanganyika)

Mya take: Zanzibar ambao hawachangii muungano ndio mabingwa wa kuomba nafasi sawa za madaraka, nafasi za kazi na ubalozi na kila aina ya upendeleo
.Wanaleta wanafunzi 1000 kila mwaka kusoma bure kwa kodi ya Mtanganyika wao wakiporomosha matusi kwa Watanganyika.

Wanapewa bilioni 32 bila kuchangia lolote(I mean sifuri) achilia mbali mishahara na mambo mengine serikali inapokwama.

Wanaleta wabunge kutoka kwao na Mtanganyika anawalipia gharama za kukaa Dodoma wakijadili muungano ambao basically hawana mchango kama tulivyoona na wamekataa muungano(katiba ya 2010)

Wakati wakiwa hawana mchango, znz imekuwa inapewa 2/3 katika bunge la muungano kuamua hatima ya Watanganyika. Na baada ya hapo watu 50 wanaoitwa BLW wana mamlka makubwa kuliko wale 320 walioko Dodoma.

Watu 50 wa BLK uwakilishi wao ni hafifu kuliko wabunge wawili wa Kigamboni na Ubungo. Lakini Watanganyika wamekasimu nchi yao kufanyiwa maamuzi na watu hao. Watu 50 ni sawa na madiwani wa kata za Wilaya ya Ilala, lakini wamepewa nguvu ya kuamua kama Tanganyika inataka kujenga wodi za wazazi au la

Hayo yote yakitokea akina Nape na Pinda hawaoni wanasema znz inahitaji neema zaidi kwa utambulisho. Hayo yakitokea wapo Watanganyika wanaoendekeza uchama bila kujua kodi zao haziwasaidii Watanganyika, zinavuka bahari kwenda kusaidia nchi ya jirani (katiba znz 2010) tena kwa ujira mwanana wa matusi, kashfa na kila aina ya upuuzi kutoka vinywani.

Kwa muktadha huo wznz wanapodai mamlaka kamili wapewe maana ni zigo mkubwa kwetu.

Wakitaka kuvunja muungano kama walivyofanya na kuwaacha Watanganyika wapewe fursa hiyo

Kupitia mabadiliko ya katiba ya 2010 znz imewatenga Watanganyika. Hakika haikuwa rahisi Mtanzania bara kujiita mtanganyika kwasababu alijiona ni Mtanzania.

Baada ya Wazanzibar kuwakimbia watanganyika wamebaki na mshangao, haa kumbe wenzetu wanatuacha. Watanganyika watabaki salama (Nyerere)
 
Mkuu JLF na wanajamvi, pengine tunapoongelea haya tunaonekana kuwazulia wznz.
Tafadhali piti nyuzi ifuatayo hadi mwisho uone kile tunachokisema kila siku.

Kwa hisani ya gazeti la Habari leo
http://www.habarileo.co.tz/index.ph...2-haziepukiki-uchumi-zanzibar-unategemea-bara

Hapa nitaweka summary
Prof Hamhrey Moshi katika kitabu cha katiba bora amebainisha yafuatayo

-SMZ imekuwa ikipata huduma za muungano bila kulipia na madeni yake yakilipwa na serikali ya Muungano(Tanganyika)

-Kwa muundo wa serikali 3 SMZ itachangia muungano kwa uwiano na itakuwa hakuna maana kama haitachangia.

-Tangu mwaka 1964 Zanzibar imeachangia huduma za muungano mara tatu tu, anasema.
a) 1964/1965 gharama za muungano milioni 107, mchango wa Zanzibar milioni (asilimia 9)
b)1965/1966 gharama milioni 1976 mchango wa Zanzibar 8.1 (asilimia 5)
c)1966/1967 gharama milioni Mchango wa znz milioni 8 (sawa na asilimia 5) huku gharama zikiwa zimeongezeka.

Prof Humphrey anasema
Bajeti ya muungano kwa mwaka 2000 ilikikuwa bilioni 474 ambazo zililipwa na muungano (Tanganyika)

Bajeti ya muungano mwaka 2006 ilikuwa bilioni 556

Kati ya 2005 na 2010 Serikali ya Muungano ambayo wznz wanaituhumu kuvaa koti la muungano na ukweli kuwa ni ya Tanganyika imechangia asilimia 22 ya bajeti yake katika mambo ya muungano.

My take : Kwa wasomaji wetu mambo ya muungano ni yale 22 ambayo wznz wamekuwa wanayalalamikia. Kwa maneno mengine mchango wa Tanganyika ndio ulikuwa unaiendesha Zanzibar kwa ujira wa matusi

Prof Humphrey anaendelea
Anasema kwa miaka 5 mfulilizo znz haijachangia chochote katika muungano.

My take: Kwa miaka 5 Znz imekuwa inafadika na mambo 22 ya muungano bila kuchangia. Mchango wa maana ni mtusi na malalamiko wananyonywa na kuonewa. Endelea kumsoma Prof Humphrey

Mwaka 1977 kama ya shelukindo ilipendekeza Zanzibar ichangie asilimia 3.9 katika muungano, mapendekezo kama hayo yakatlewa na tume ya Nyalali (1992) na ya Kisanga (1988)

BoT imekuwa inatoa gawio la 4.5 asilimia ya pato la taifa (Mtanganyika) kila mwaka kiasi kilichopenekezwa na IMF.

Zanzibar hukopa kupitia waziri wa fedha wa JMT na pindi inaposhindwa deni hulipwa na Tanganyika(muungano)

Zanzibar ina madeni makubwa kama yale ya Tanesco ambayo inaposindwa muungano hulipa (Tanganyika)

Mya take: Zanzibar ambao hawachangii muungano ndio mabingwa wa kuomba nafasi sawa za madaraka, nafasi za kazi na ubalozi na kila aina ya upendeleo
.Wanaleta wanafunzi 1000 kila mwaka kusoma bure kwa kodi ya Mtanganyika wao wakiporomosha matusi kwa Watanganyika.

Wanapewa bilioni 32 bila kuchangia lolote(I mean sifuri) achilia mbali mishahara na mambo mengine serikali inapokwama.

Wanaleta wabunge kutoka kwao na Mtanganyika anawalipia gharama za kukaa Dodoma wakijadili muungano ambao basically hawana mchango kama tulivyoona na wamekataa muungano(katiba ya 2010)

Wakati wakiwa hawana mchango, znz imekuwa inapewa 2/3 katika bunge la muungano kuamua hatima ya Watanganyika. Na baada ya hapo watu 50 wanaoitwa BLW wana mamlka makubwa kuliko wale 320 walioko Dodoma.

Watu 50 wa BLK uwakilishi wao ni hafifu kuliko wabunge wawili wa Kigamboni na Ubungo. Lakini Watanganyika wamekasimu nchi yao kufanyiwa maamuzi na watu hao. Watu 50 ni sawa na madiwani wa kata za Wilaya ya Ilala, lakini wamepewa nguvu ya kuamua kama Tanganyika inataka kujenga wodi za wazazi au la

Hayo yote yakitokea akina Nape na Pinda hawaoni wanasema znz inahitaji neema zaidi kwa utambulisho. Hayo yakitokea wapo Watanganyika wanaoendekeza uchama bila kujua kodi zao haziwasaidii Watanganyika, zinavuka bahari kwenda kusaidia nchi ya jirani (katiba znz 2010) tena kwa ujira mwanana wa matusi, kashfa na kila aina ya upuuzi kutoka vinywani.

Kwa muktadha huo wznz wanapodai mamlaka kamili wapewe maana ni zigo mkubwa kwetu.

Wakitaka kuvunja muungano kama walivyofanya na kuwaacha Watanganyika wapewe fursa hiyo

Kupitia mabadiliko ya katiba ya 2010 znz imewatenga Watanganyika. Hakika haikuwa rahisi Mtanzania bara kujiita mtanganyika kwasababu alijiona ni Mtanzania.

Baada ya Wazanzibar kuwakimbia watanganyika wamebaki na mshangao, haa kumbe wenzetu wanatuacha. Watanganyika watabaki salama (Nyerere)
Mkuu nimekusomam lakaini sijakuepewa kabisa! na sababu ni hii.

Ikiwa toka zamani tuna serikali 2 tu, serikali ya Zanzibar na ile ya Muungano. Iweje leo wewe na huyo Profesa mnaseme Tanganyika imechangia kiasi kadhaa ktk serikali ya Muungano, na Zanzbar haijachangia? wakati hiyo Tanganyika haipo?. Hii Tanganyika anayozungumzia Profesa kaipata wapi?

Hadi leo hii hatuna Tanganyika huyu Profesa kawezaje kutenganisha serikali ya Muungano ili kuipata hiyo Tanganyika? ama laa sivyo basi, kumbe serikali ya Tanganyika ipo siku zote na hawa wasomi wanajua kama ipo japo serikali ni 2.

Kwa maana nyingine unapoweza kuweka mahesabu ya namna hii ina maana siku nyingi tumekuwa tukiwadanganya Wadanganyika kwamba hatuna serikal 3, kumbe zipo serikali 3 na zinaendeshwa kwa njia ya Usiri na ndio maana Wazanzibar wanalalamika ktk swala ambalo sis Bara hatukujua ukweli wake.
 
Mkuu nimekusomam lakaini sijakuepewa kabisa! na sababu ni hii.

Ikiwa toka zamani tuna serikali 2 tu, serikali ya Zanzibar na ile ya Muungano. Iweje leo wewe na huyo Profesa mnaseme Tanganyika imechangia kiasi kadhaa ktk serikali ya Muungano, na Zanzbar haijachangia? wakati hiyo Tanganyika haipo?. Hii Tanganyika anayozungumzia Profesa kaipata wapi?

Hadi leo hii hatuna Tanganyika huyu Profesa kawezaje kutenganisha serikali ya Muungano ili kuipata hiyo Tanganyika? ama laa sivyo basi, kumbe serikali ya Tanganyika ipo siku zote na hawa wasomi wanajua kama ipo japo serikali ni 2.

Kwa maana nyingine unapoweza kuweka mahesabu ya namna hii ina maana siku nyingi tumekuwa tukiwadanganya Wadanganyika kwamba hatuna serikal 3, kumbe zipo serikali 3 na zinaendeshwa kwa njia ya Usiri na ndio maana Wazanzibar wanalalamika ktk swala ambalo sis Bara hatukujua ukweli wake.
Mkuu Mkandara kwanza niweke rekodi sawa. Prof ametaja Tanganyika sehemu moja tu pale aliposema muungano ambao wznz wanasema Tanganyika imevaa koti lake. Sehemu nyingine zote ametumia muungano.
Hivyo eneo unaloona lina Tanganyika ni ufafanuzi wangu.

Tunasema Tanganyika kwasababu zifuatazo
1. Kwanza znz haina mchango katika huo muungano wa nchi mbili
2. Mkataba wa muungano wa 1964 umetaja nchi mbili, moja ikatoweka katika mazingira yasiyojulikana
3. Tanganyika ndiyo Tanzania bara ila hawataki kusema kwasababu ya woga wa vyeo(Nape na Pinda)
4. Katiba ya Znz 1984 imeitambua kama Zanzibar na wala si Tanzania visiwani
5. Marekebisho ya 2010 yanaitambua znz kama nchi ambayo ina mipaka na imeungana na nchi nyingine
6. Wznz wamedai muungano ni Tanganyika iliyojivika koti
7.Watanganyika ni raia wa kigeni kule znz

Tumeonyesha kuwa wznz hawana mchango katika huu muungano zaidi ya kuwa mrija wa kuchukua hata kisicho chao.
Ile 5% uliyosema inachangia kidogo leo tunona haina mchango ni nominal tu, kupe.

Juzi wanasema ardhi si miongoni mwa mambo 11 ya mkataba, well hilo sawa.
Miezi 3 iliyopita walidai waongezewe nbajeti ya elimu ya juu ambayo si miongoni mwa mambo 11 ya awali

Kwamba wanapohitaji kitu wao ni Tanzania, wakitakiwa wachangie wao ni wznz. Hawa ni wabinafsi sana

Wanadai bandari iondolewe katika mambo ya muungano, ukweli ni moja kati ya yale 11. Halafu wanataka bandari hiyo huru iingize mizigo wailete bara bila kulipa ushuru kwasababu ni sehemu ya Tanzania.

Wameondoa bandari na mambo ya anga yaliyomo katika mkataba wa 1964 bila kujadiliana na wenzao. Ujeuri na kiburi tu halafu mkanadara anasema ni 5%

Mkuu Mkandara, hawa wameondoa baraza la mitihani kwasababu si mambo ya muungano. Bado wanataka wajumbe wa NECTA wachaguliwe kutoka znz kwasababu ni muungano. Angalua akili za hawa watu.

Kwamba wznz wana haki za ajira na kuamua mambo ya Watanganyika.
Huko Anga na Bandari ni wajumbe wa bodi pia.

Wametengeneza ZMO yao kutoka Tanzania martime.
Gharama za kule IMO inalipwa na Mtanzania.

Zanzibar hawalipi wanakusanya ushuru wa meli na kugawana kihuni tena haziingii SMZ. Ni wahuni tu wanagawana na sasa uhuni huo wanahamishia katika muungano.

Kwa vile wamewatenga Watanzania wenzao kwa kusema wao si Watanzania, Watanzania bara wakajiuliza wao nini nani? Jibu ni hili, ah wenzetu wametutenga, kumbe sisi ni Watanganyika. Wenzetu wametuacha kwasababu wao ni wznz na sisi ni Watanzania. Watanganyika watabaki salama.

 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mkandara kwanza niweke rekodi sawa. Prof ametaja Tanganyika sehemu moja tu pale aliposema muungano ambao wznz wanasema Tanganyika imevaa koti lake. Sehemu nyingine zote ametumia muungano.
Hivyo eneo unaloona lina Tanganyika ni ufafanuzi wangu.

Tunasema Tanganyika kwasababu zifuatazo
1. Kwanza znz haina mchango katika huo muungano wa nchi mbili
2. Mkataba wa muungano wa 1964 umetaja nchi mbili, moja ikatoweka katika mazingira yasiyojulikana
3. Tanganyika ndiyo Tanzania bara ila hawataki kusema kwasababu ya woga wa vyeo(Nape na Pinda)
4. Katiba ya Znz 1984 imeitambua kama Zanzibar na wala si Tanzania visiwani
5. Marekebisho ya 2010 yanaitambua znz kama nchi ambayo ina mipaka na imeungana na nchi nyingine
6. Wznz wamedai muungano ni Tanganyika iliyojivika koti
7.Watanganyika ni raia wa kigeni kule znz

Tumeonyesha kuwa wznz hawana mchango katika huu muungano zaidi ya kuwa mrija wa kuchukua hata kisicho chao.
Ile 5% uliyosema inachangia kidogo leo tunona haina mchango ni nominal tu, kupe.

Juzi wanasema ardhi si miongoni mwa mambo 11 ya mkataba, well hilo sawa.
Miezi 3 iliyopita walidai waongezewe nbajeti ya elimu ya juu ambayo si miongoni mwa mambo 11 ya awali

Kwamba wanapohitaji kitu wao ni Tanzania, wakitakiwa wachangie wao ni wznz. Hawa ni wabinafsi sana

Wanadai bandari iondolewe katika mambo ya muungano, ukweli ni moja kati ya yale 11. Halafu wanataka bandari hiyo huru iingize mizigo wailete bara bila kulipa ushuru kwasababu ni sehemu ya Tanzania.

Wameondoa bandari na mambo ya anga yaliyomo katika mkataba wa 1964 bila kujadiliana na wenzao. Ujeuri na kiburi tu halafu mkanadara anasema ni 5%

Mkuu Mkandara, hawa wameondoa baraza la mitihani kwasababu si mambo ya muungano. Bado wanataka wajumbe wa NECTA wachaguliwe kutoka znz kwasababu ni muungano. Angalua akili za hawa watu.

Kwamba wznz wana haki za ajira na kuamua mambo ya Watanganyika.
Huko Anga na Bandari ni wajumbe wa bodi pia.

Wametengeneza ZMO yao kutoka Tanzania martime.
Gharama za kule IMO inalipwa na Mtanzania.

Zanzibar hawalipi wanakusanya ushuru wa meli na kugawana kihuni tena haziingii SMZ. Ni wahuni tu wanagawana na sasa uhuni huo wanahamishia katika muungano.

Kwa vile wamewatenga Watanzania wenzao kwa kusema wao si Watanzania, Watanzania bara wakajiuliza wao nini nani? Jibu ni hili, ah wenzetu wametutenga, kumbe sisi ni Watanganyika. Wenzetu wametuacha kwasababu wao ni wznz na sisi ni Watanzania. Watanganyika watabaki salama.

Mkuu wangu, swali langu lilikuwa utasemaje Zanzibar haina mchango ikiwa hiyo serikali ya Muungano inaijumuisha Zanzibar ndani yake?. Kuna tofauti kubwa sana unaposema serikali ya Zanzibar na Zanzibar maana huwezi kuitaja Tanzania pasipo Zanzibar kuwepo ama serikali ya muungano pasipo Zanzibar ndani yake lakini serikali ya Zanzibar haina Ubia.

Hivyo, wewe na prosefa mmeweza vipi kuitenganisha Zanzibar toka ktk Muungano ili kuipata bara iwe ndio Tanzania?.. Na maneno haya hayaonyeshi kwamba kumbe wanavyolalamika Znz ni kweli kuwa Tanganyika inawatawala kwa kutumia jina la Tanzania.

Mmeweza vipi kuichambua serikali ya Muungano na kuiacha Zanzibar nje ya muungano huo! Unataka kunambia TRA haipo ama hawakusanyi kodi Zanzibar toka zamani? Na kama ipo ama ilikuwepo hizo fedha za ukusanyaji kodi zilikuwa zinakwenda wapi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu, swali langu lilikuwa utasemaje Zanzibar haina mchango ikiwa hiyo serikali ya Muungano inaijumuisha Zanzibar ndani yake?. Kuna tofauti kubwa sana unaposema serikali ya Zanzibar na Zanzibar maana huwezi kuitaja Tanzania pasipo Zanzibar kuwepo ama serikali ya muungano pasipo Zanzibar ndani yake lakini serikali ya Zanzibar haina Ubia.

Hivyo, wewe na prosefa mmeweza vipi kuitenganisha Zanzibar toka ktk Muungano ili kuipata bara iwe ndio Tanzania?.. Na maneno haya hayaonyeshi kwamba kumbe wanavyolalamika Znz ni kweli kuwa Tanganyika inawatawala kwa kutumia jina la Tanzania.

Mmeweza vipi kuichambua serikali ya Muungano na kuiacha Zanzibar nje ya muungano huo! Unataka kunambia TRA haipo ama hawakusanyi kodi Zanzibar toka zamani? Na kama ipo ama ilikuwepo hizo fedha za ukusanyaji kodi zilikuwa zinakwenda wapi.
Mkuu SMZ ndiyo chombo cha kuendesha Zanzibar.
Huwezi kutenganisha znz na SMZ. Nchi inazaa serikali na si kinyume chake.

Mchango wa znz ndani ya muungano ni jina na kisiasa lakini si kiuchumi.
Data zinaonyesha hawana wanalochangia lakini wana mengi wanayopata.
Kama Tanganyika ingalikuwa kama wao kuchangia porojo basi hakuna muungano.

Tanganyika ipo kwasababu ya mkataba wa mwaka 1964 uliotambua nchi mbili.
Tumelijadili sana na jinsi ambavyo ilipotea jina lake kimazingara kwa kutumia katiba ya muda ya 1965 na kufutwa na sheria 24 ya 1967.

Mwaka 1977 tukawa na katiba moja ya JMT.
Mwaka 1984 znz wakandika katiba yao na kujiondoa katika JMT kiaina.
Mwaka 1977 tulikuwa na Tanzania bara na Tanzania visiwani kama taifa moja lililoundwa na mtaifa mawili.

Baada ya 1984 tukawa na Tanzania bara ya Pinda na znz. Tanzania bara ikabaki hivyo ili kulinda jina Tanzania. Kimsingi tulikuwa na Tanganyika na ZNZ.

Mwaka 2010 wznz wakakaa kitako wenyewe. Wakakiuka katiba ya JMT kwa kuondoa baadhi ya mambo ya mkataba wa mwaka 1964, na kuongeza mengine ikiwemo kuwa nchi na mipaka.

Ikatoa uwezo kwa BLW lenye watu 50 wanaowakilisha watu milioni 1 kuwa na mamlaka zaidi ya katiba ya JMT. Hapo maana yake znz ikawa na mamlaka zaidi ya JMT a.k.a Tanzania bara ya Pinda a.k.a Tanganyika

Wazanzibar wakaukataa Utanzania na hata leo mznz anajisikia dhalili kuitwa Mtanzania.
Hilo likaleta mshangao kwaWatanganyika, ah wenzetu wametuacha, tukaanza kusikia Tanganyika. Tanganyika watabaki salama(Nyerere)

Sasa kama mchango katika muungano ni jina, mbona Tanganyika nayo ina jina?
Vipi Tanganyika ambayo ndiyo Tanzania kwavile imekimbiwa na wznz itoe sehemu kubwa mbia mwenzake akitoa sifuri?

Wakati mbia znz anachangia zero, mbia wa jina znz ni maarufu sana katika kutafuta vyeo, madaraka sawa na mgao sawa wa kile wasichokitafuta au kukichangia.

Wakiwa na madeni wanakimbilia JMT kama ambavyo deni la umeme kwao lilivyolipwa na JMT. Kwamba Mtanganyika wa kidatu ana haki ya kumlipia umeme mznz.
Hilo ndilo Mkandara anasema asilimia 5 ina haki ya kuchangia sifuri na kuchota 50%

Lau kana kelele zao za nafasi za ubalozi(stupid arguement) zingeambatana na mchango tungewaelewa. La hasha wao sasa hivi Dodoma akili yao ni nafasi za ajira.
Hapo ndipo tunasema tutaishi hivi hadi lini?

Muungano uwe wa kiuchumi si maneno. Sasa hivi wamefikia mahali wanakataa raia wa Tanganyika asimiliki hata nyumba katika nchi Mkandara anayosema wana jina. Hivi hapa mkuu huoni tatizo.

Wakati wanakataa mtanaganyika asimiliki nyumba wao wapo Kigamboni, Tua ngoma wakinunua viwanja kwa kutumia nafasi za kazi walizopata bara kama Watanzania.

Sisi hatutaki kuwatawala tunataka wajitawale. Kama wanataka muungano basi waweke kitu mezani si maneno na bla bala kila uchao.

 
Mkuu SMZ ndiyo chombo cha kuendesha Zanzibar.
Huwezi kutenganisha znz na SMZ. Nchi inazaa serikali na si kinyume chake.

Mchango wa znz ndani ya muungano ni jina na kisiasa lakini si kiuchumi.
Data zinaonyesha hawana wanalochangia lakini wana mengi wanayopata.
Kama Tanganyika ingalikuwa kama wao kuchangia porojo basi hakuna muungano.

Tanganyika ipo kwasababu ya mkataba wa mwaka 1964 uliotambua nchi mbili.
Tumelijadili sana na jinsi ambavyo ilipotea jina lake kimazingara kwa kutumia katiba ya muda ya 1965 na kufutwa na sheria 24 ya 1967.

Mwaka 1977 tukawa na katiba moja ya JMT.
Mwaka 1984 znz wakandika katiba yao na kujiondoa katika JMT kiaina.
Mwaka 1977 tulikuwa na Tanzania bara na Tanzania visiwani kama taifa moja lililoundwa na mtaifa mawili.

Baada ya 1984 tukawa na Tanzania bara ya Pinda na znz. Tanzania bara ikabaki hivyo ili kulinda jina Tanzania. Kimsingi tulikuwa na Tanganyika na ZNZ.

Mwaka 2010 wznz wakakaa kitako wenyewe. Wakakiuka katiba ya JMT kwa kuondoa baadhi ya mambo ya mkataba wa mwaka 1964, na kuongeza mengine ikiwemo kuwa nchi na mipaka.

Ikatoa uwezo kwa BLW lenye watu 50 wanaowakilisha watu milioni 1 kuwa na mamlaka zaidi ya katiba ya JMT. Hapo maana yake znz ikawa na mamlaka zaidi ya JMT a.k.a Tanzania bara ya Pinda a.k.a Tanganyika

Wazanzibar wakaukataa Utanzania na hata leo mznz anajisikia dhalili kuitwa Mtanzania.
Hilo likaleta mshangao kwaWatanganyika, ah wenzetu wametuacha, tukaanza kusikia Tanganyika. Tanganyika watabaki salama(Nyerere)

Sasa kama mchango katika muungano ni jina, mbona Tanganyika nayo ina jina?
Vipi Tanganyika ambayo ndiyo Tanzania kwavile imekimbiwa na wznz itoe sehemu kubwa mbia mwenzake akitoa sifuri?

Wakati mbia znz anachangia zero, mbia wa jina znz ni maarufu sana katika kutafuta vyeo, madaraka sawa na mgao sawa wa kile wasichokitafuta au kukichangia.

Wakiwa na madeni wanakimbilia JMT kama ambavyo deni la umeme kwao lilivyolipwa na JMT. Kwamba Mtanganyika wa kidatu ana haki ya kumlipia umeme mznz.
Hilo ndilo Mkandara anasema asilimia 5 ina haki ya kuchangia sifuri na kuchota 50%

Lau kana kelele zao za nafasi za ubalozi(stupid arguement) zingeambatana na mchango tungewaelewa. La hasha wao sasa hivi Dodoma akili yao ni nafasi za ajira.
Hapo ndipo tunasema tutaishi hivi hadi lini?

Muungano uwe wa kiuchumi si maneno. Sasa hivi wamefikia mahali wanakataa raia wa Tanganyika asimiliki hata nyumba katika nchi Mkandara anayosema wana jina. Hivi hapa mkuu huoni tatizo.

Wakati wanakataa mtanaganyika asimiliki nyumba wao wapo Kigamboni, Tua ngoma wakinunua viwanja kwa kutumia nafasi za kazi walizopata bara kama Watanzania.

Sisi hatutaki kuwatawala tunataka wajitawale. Kama wanataka muungano basi waweke kitu mezani si maneno na bla bala kila uchao.

Mkuu hadi sasa hivi sikuelewi kabisa yaani ndio unazidi kunipoteza. Nini maana ama kirefu cha JMT? na imetokana na nini? labda tuanzie hapo!...Kwa hiyo maadam Michigan ni nchi hivyo huwezi kusema Michigan ni USA ila ni Michigan kwa sababu Michigan ina serikali yake? Swala hapa ni jinsi gani wewe umeweza kutenganisha serikali ya Muungano ukaitoa Zanzibar wakati wewe mwenyewe umesema:- Nchi inazaa serikali na si kinyume chake.

Sasa ikiwa tunayo serikali ya Muungano na nchi yake ni Tanzania, wewe na huyo profesa mmeweza vipi kuiondoa Zanzibar ktk serikali hiyo (JMT)pale inapofikia kulipa madeni tu japo ktk matumizi mnaiweka ZnZ kama nchi iliyopo ktk serikali ya muungano (JMT)?
 
Nguruvi3,
mkuu Chukulia mtu mmoja tu, huyo Mpemba Bakhresa anachangia kiasi gani cha kodi yetu halafu nambie kama huyu sii Mtanzania ila ni Mzanzibar! Hizi serikali 3 mnataka kuleta vurugu za bure ambazo zinaweza kabisa kuepukwa maana hadi hivi sasa Wazanzibara wanaanza kutiwa vidole vya macho mbele kabisa ya mfumo wa serikali 3. Je ikitokea kweli itakuwaje?, Sii ndio siasa za Mtikila! Pasco anamjua vizuri yule Mpemba mwenye restaurant ya Chef Pride hapo mjini tayari anakiona cha moto! Acheni hadithi hizi za wanansiasa ambao kwao wanachotaka ni kukomeshana tu wakati wanaoumia ni wanbanchi wazawa.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,
mkuu Chukulia mtu mmoja tu, huyo Mpemba Bakhresa anachangia kiasi gani cha kodi yetu halafu nambie kama huyu sii Mtanzania ila ni Mzanzibar!

Hizi serikali 3 mnataka kuleta vurugu za bure ambazo zinaweza kabisa kuepukwa maana hadi hivi sasa Wazanzibara wanaanza kutiwa vidole vya macho mbele kabisa ya mfumo wa serikali 3.

Je ikitokea kweli itakuwaje?, Sii ndio siasa za Mtikila! Pasco anamjua vizuri yule Mpemba mwenye restaurant ya Chef Pride hapo mjini tayari anakiona cha moto!

Acheni hadithi hizi za wanansiasa ambao kwao wanachotaka ni kukomeshana tu wakati wanaoumia ni wanbanchi wazawa.
Mkuu Mkandara naona makusudi kabisa umeamua kuwa bias. Hoja ya asilimia tano inaonekana haina ushawishi sasa unasema Wazanzibar wanatiwa madole ya macho.

Madole ya macho, mbona hayo ni nafuu sana. Umesahau wznz wamewachoma moto Watanganyika!!

Unafumbia macho ubaguzi unaoendelea znz dhidi ya Watanganyika.Ni vipi leo uone uchungu restaurant ufumbie na si Mtanganyika asiyeruhusiwa ajira znz

Chuki za wznz kwa Watanganyika zipo wazi. Kwamba, Watanganyika wanaeneza uchangudoa znz hata kama kituo cha mashoga kwa EA. Kwamba, wanaeneza ulevi wakati Waitaliano wanauza kila mvinyo

Changudoa wa Mombasa ni lazima katokea Tanganyika. Hizo zote ni chuki si kwa mtu wa taifa jingine bali Mtanganyika. Leo akisotwa kidole unaona kaonewa una fumbia macho uhuni na udhalimu mkubwa kuliko

Mkuu Mkandara kwako wewe mpemba akitiwa dole la jicho kaumizwa, Mtanganyika akichomoto moto halali kabisa.

Ni mawazo ya Bimani wa CUF, mzanzibar akigombania viwanja Tua ngoma, vibijibweni n.k. ni halali.
Mtanganyika akitaka kununua nyumba znz marufukukwamba Mznz akija bara anapewa leseni ya Mtanzani.
Mtanganyika akienda unguja anapewa leseni ya mgeni. Mkandara haoni hayo anaona ya dole moja la macho

Yote yapo katika mawazo ya wznz kuwa ni bora, wasiguswe hata kama walipanda mbegu ya chuki

Hapa mkuu sikuelewi nina uhakika wengi hawakuelewi unless kuna hoja nyingine nyuma ya pazia.

Bakhresa analipa kodi umesahau kwa makusanyo ya soko la watu milioni 40 na si laki tano.

Zantel walijaribu ubaguzi wa kizanzibar, wakatambua watafunga biashara kwasababu hawawezi kuhudumia watu 5,000 wenye simu na kuacha soko la milioni 40. Wamehama wapo Dar

Bakhresa ni win win situation, ana soko na analipa kodi si
kama Mzanzibar bali mfanyabiashara mwingine wa Tanzania au Mkenya. KCB wanalipa lodi hatuna muungano na wala si kwasababu ni Wakenya.

Mkuu Mkandara , mwaka 2011 niliwahi kuweka bandiko(lipo hapa duru za siasa) kuwaasa Wazanzibar kuhusu mambo mawili

1. Kwanza, kwamba chuki wanazozijenga dhidi ya Watanganyika zitawaletea tabu mbele ya safari
2. Kwamba wanachodai kuzinduka Tanganyika kitakuwa na matatizo kwao.

Tulipofika hakuna namna nyingine. Thanks to wznz kwa kuwaamsha Watanganyika.
Leo Watanganyika wanajua muungano na gharama za kuendesha ni zao, wznz wakitumia jina kwa mafao tu

Watanganyika wanaelewa kumbe gharama za kodi zao ni sehemu ya maendeleo ya znz .
Nani alijua wanafunzi wa znz wanapewa upendeleo na pesa za masomo na si mikopo kama waliozaliwa na walipa kodi wenyewe.


Nani alijua bilioni 32 zimepelekwa znz sawa na zilizoplekwa Lindi, Singida na Kigoma combine.
Kwamba kodi za Tanganyika zinatumika zaidi znz kuliko Tanganyika.


Hakuna mahali wznz wamewahi kuulizwa au kueleza kwanini hawachangii.
Wao wanachukulia kila jambo ni haki yao. Wamegoma kuchangia tume ya Warioba kwa sababu ni jukumu la JMT, lakini wanadai wajumbe 15 kwasababu ni nchi kamili.
Haya ndiyo Mkandara anashauri tuendelee kuya entertain kwasababu wazn ni raia bora sana.


Ni vema kwanza ungelaani mbegu ya ubaguzi waliyopanda kabla ya kulaani madole yaliyoanza.

Tanganyika ndiyo suluhisho, tuishi kama majirani, hakuna wa kuzuia kuzinduliwa kwa Tanganyika.

Watazuia kwa muda kama walivyofanya huko nyuma, kwasasa ni point of no return.
Wataizuia Tanganyika mwezi huu na wa nne,June madai ya kudai Tanganyika yatarudi pale pale.

Ni heri ikazinduliwa na serikali maana wananchi wakiamua kuizindua Tanganyika yao hakutakuwa na control, si madole, si maguu na kingine chochote, hapo patachimbika.

Na mwisho, kama unadhani serikali 3 ni vurugu, wewe ungependekeza mfumo gani, kwasababu zipi na uendeshwe vipi mkuu wangu? Hebu nipe bayana zako.
 
Mkuu Mkandara naona makusudi kabisa umeamua kuwa bias. Hoja ya asilimia tano inaonekana haina ushawishi sasa unasema Wazanzibar wanatiwa madole ya macho.

Madole ya macho, mbona hayo ni nafuu sana. Umesahau wznz wamewachoma moto Watanganyika!!

Unafumbia macho ubaguzi unaoendelea znz dhidi ya Watanganyika.Ni vipi leo uone uchungu restaurant ufumbie na si Mtanganyika asiyeruhusiwa ajira znz

Chuki za wznz kwa Watanganyika zipo wazi. Kwamba, Watanganyika wanaeneza uchangudoa znz hata kama kituo cha mashoga kwa EA. Kwamba, wanaeneza ulevi wakati Waitaliano wanauza kila mvinyo

Changudoa wa Mombasa ni lazima katokea Tanganyika. Hizo zote ni chuki si kwa mtu wa taifa jingine bali Mtanganyika. Leo akisotwa kidole unaona kaonewa una fumbia macho uhuni na udhalimu mkubwa kuliko

Mkuu Mkandara kwako wewe mpemba akitiwa dole la jicho kaumizwa, Mtanganyika akichomoto moto halali kabisa.

Ni mawazo ya Bimani wa CUF, mzanzibar akigombania viwanja Tua ngoma, vibijibweni n.k. ni halali.
Mtanganyika akitaka kununua nyumba znz marufukukwamba Mznz akija bara anapewa leseni ya Mtanzani.
Mtanganyika akienda unguja anapewa leseni ya mgeni. Mkandara haoni hayo anaona ya dole moja la macho

Yote yapo katika mawazo ya wznz kuwa ni bora, wasiguswe hata kama walipanda mbegu ya chuki

Hapa mkuu sikuelewi nina uhakika wengi hawakuelewi unless kuna hoja nyingine nyuma ya pazia.

Bakhresa analipa kodi umesahau kwa makusanyo ya soko la watu milioni 40 na si laki tano.

Zantel walijaribu ubaguzi wa kizanzibar, wakatambua watafunga biashara kwasababu hawawezi kuhudumia watu 5,000 wenye simu na kuacha soko la milioni 40. Wamehama wapo Dar

Bakhresa ni win win situation, ana soko na analipa kodi si
kama Mzanzibar bali mfanyabiashara mwingine wa Tanzania au Mkenya. KCB wanalipa lodi hatuna muungano na wala si kwasababu ni Wakenya.

Mkuu Mkandara , mwaka 2011 niliwahi kuweka bandiko(lipo hapa duru za siasa) kuwaasa Wazanzibar kuhusu mambo mawili

1. Kwanza, kwamba chuki wanazozijenga dhidi ya Watanganyika zitawaletea tabu mbele ya safari
2. Kwamba wanachodai kuzinduka Tanganyika kitakuwa na matatizo kwao.

Tulipofika hakuna namna nyingine. Thanks to wznz kwa kuwaamsha Watanganyika.
Leo Watanganyika wanajua muungano na gharama za kuendesha ni zao, wznz wakitumia jina kwa mafao tu

Watanganyika wanaelewa kumbe gharama za kodi zao ni sehemu ya maendeleo ya znz .
Nani alijua wanafunzi wa znz wanapewa upendeleo na pesa za masomo na si mikopo kama waliozaliwa na walipa kodi wenyewe.


Nani alijua bilioni 32 zimepelekwa znz sawa na zilizoplekwa Lindi, Singida na Kigoma combine.
Kwamba kodi za Tanganyika zinatumika zaidi znz kuliko Tanganyika.


Hakuna mahali wznz wamewahi kuulizwa au kueleza kwanini hawachangii.
Wao wanachukulia kila jambo ni haki yao. Wamegoma kuchangia tume ya Warioba kwa sababu ni jukumu la JMT, lakini wanadai wajumbe 15 kwasababu ni nchi kamili.
Haya ndiyo Mkandara anashauri tuendelee kuya entertain kwasababu wazn ni raia bora sana.


Ni vema kwanza ungelaani mbegu ya ubaguzi waliyopanda kabla ya kulaani madole yaliyoanza.

Tanganyika ndiyo suluhisho, tuishi kama majirani, hakuna wa kuzuia kuzinduliwa kwa Tanganyika.

Watazuia kwa muda kama walivyofanya huko nyuma, kwasasa ni point of no return.
Wataizuia Tanganyika mwezi huu na wa nne,June madai ya kudai Tanganyika yatarudi pale pale.

Ni heri ikazinduliwa na serikali maana wananchi wakiamua kuizindua Tanganyika yao hakutakuwa na control, si madole, si maguu na kingine chochote, hapo patachimbika.

Na mwisho, kama unadhani serikali 3 ni vurugu, wewe ungependekeza mfumo gani, kwasababu zipi na uendeshwe vipi mkuu wangu? Hebu nipe bayana zako.
Vizuri umelizungumzia wewe mwenyewe swala la Wazanzibar kuwabagua Watanganyika.

Na ndio maana nikasema hii habari ya serikali 3 ni ubaguzi vie vile, ni shinikizo la kulipa kisasi iwe kwamba na sisi Bara tuanze kuwabagua Wazanzibar. Two wrong can't make it right! ni mwanzo wa kuvunja muungano na sii kweli kabisa kwamba serikali 3 inalenga kuimarisha muungano - Hilo moja.

Pili, swala la Bakhresa yeye ni mfanyabashara ambaye kaitumia fursa ya soko huria na Utandawazi kiasi kwamba anajitambulisha kama Mtanzania (Mzanzibara) na sii Mzanzibar, hivyo wewe unapowanyooshea kidole Wazanzibar ktk mchango wao kwa JMT ndio sababu ilonisukuma kukupa ukweli na sii siasa za majitaka wanazoeneza wanasiasa. Madai ya serikali 3 hayana tofauti kabisa na madai ya zanzivar kujitenga, kudai Uhuru kamili na kadhalika. Huu ni uhaini wa hali ya juu ambao --------- na wanasiasa kuubomoa muungano kwa sababu tu ya kero za koti likubanalo!

Labda tu nikukumbushe ya kwamba, Ubaguzi wa Wazanzibar umetokana na wanasiasa uchwara hao kina Jussa na Sharrif Hamad, udhaifu wa Shein na CCM kuruhusu kuruhusu Makhesikh kufanya kampeni za Udini misikitini. Kama utawala wetu ungekuwa makini na imara, wajinga hawa wasingepewa nafasi hiyo kabisa na wala leo tusingekuwa tunabishana humu. Ni kutokana na udhaifu wa JK na serikali nzima ya JK haya maswala mengi ya Udini, Ukabila, Uraia na kadhalika yameanza kujitokeza kwa kasi kiasi kwamba hata Wachagga na wana Kaskazini kina Lema wameanza kujiona wao ni bora kuliko Watanzania wa mikoa mingineyo.

Siasa hizi za majitaka sasa hivi zinatumiwa na kila mtu anayejitambulisha kama Mpambanaji sijui kamanda. Hata hao vijana wa Chadema wameanza pia kuzitumia wakisema ile mikoa inayoendelea kuichagua CCM ni mikoa ya watu wasiokuwa na elimu, wasiokuwa na maendeleo, ni waswahili na waislaam kazi yao kushinda ktk migahawa kiasi kwamba mimi binafsi nikaanza kuwa na wasiwasi na mrengo wa chama hiki ambacho pia uongozi wake umeanza kuonyesha Udhaifu. Chdema leo imeanza kuchukua sura ya CUF baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 ilipoanza kuelekea ktk Uzanzibar na Uislaam kuwa ndio mrengo wa chama. Na siasa hizi zinaonyesha zinashinda na ndio zinachukua nafasi kubwa ktk utunzi wa katiba mpya.

Hivyo, yote yalokwisha tokea na yanayo endelea iwe Zanzibar au Bara ni matokeo ya Udhaifu wa JK na serikali yake kuendekeza ujinga huu. leo hii Mapadre a Masheikh kutwa kutukana dini nyingine na waumini wake bila woga na ndio ilopelekea makanisa kuchomwa Mbagala na wasiadhibiwe, lakini akitokea Sheikh au Padre kuzungumzia tu udhaifu wa serikali ya CCM ataswekwa ndani na hata misikiti kuvamiwa, usalama wa Taifa umekuwa Usalama wa CCM na Ikulu.

Mmi natazama mbele ya safari, natazama hizi mbegu tnazopanda leo, kesho tutavuna nini? wakati nyie mnatazama hali ya hewa, mvua zinanyesha hivyo ni msimu wa kupanda na kupalilia pasipo kutazama mtavuna nini kesho na soko lake liko vipi. Mkuu nauona mwisho mbaya sana kutokana na hizi siasa za chuki na uchochezi ndio maana nimekuwa nikipiga vita sana Udini na Uzanzibar, na hakuna Mzanzibar anayeweza kunibeza kwa sababu naijua asili yao.

Hawa wote wanaopiga makelele na kuleta vurugu wamelishwa sumu ya maneno na wahaini kina Jussa ambao hawastahili hata kukaa ktk bunge la katiba, hastahili hata kuwa huru acha mbali Ubunge!. Tena basi wengi wao wazazi wao walikuwa wahamiaji kutoka Ngazija na Oman hivyo sioni sababu ya wao kutupa shida wakati sisi wote tunaelewa Zanzibar huru ni ile ilokombolewa na Mapinduzi. Na tunajua asili yao waliikuwa upande gani hivyo kupewa Uhuru na Uraia kama kina Ian Smith huko Zimbabwe haiwapi kichwa cha kuyatukana Mapinduzi ktk vyombo vya habari.

Kero na matatizo yote ya Muungano wetu hayahusiani kabisa na serikali ziwe ngapi. Iwe serikali 1, 2 au 3 matatizo na kero hizo zitaendelea kuwepo kwa sababu ugonvi wetu mkubwa ni ktk kugawana Umaskini. Mwl. Nyerere alilizungumzia sana swala hili ktk kupiga vita kuingia Ubepari wakati bado maskini lakini hatukusikia. Tukaamua kuingia Ubeari kichwa kichwa hivyo zinapotokea maliasili kama gas na mafuta, tujue pia ni hulka ya maskini kugombania. Yanayotokea Kongo, Nigeria, Niger, Sudan na kwingineko kote ni kutokana na UMASKINI. maliasili hizi zinapogunduliwa ni sawa na sahani la pilau limeshuka mkekani, usitegemee kabisa kutakuwa na ustaarabu wa kula maana umasikini wetu hatutumii meza, sahani, visu na umma kuchota chakula kwa kipimo na kufikiria wengine bali kila mtu anakata funika na matonge ya ajabu ajabu akitazama shibe yake kwanza.

Hakuna tatizo kabisa ktk serikali 2 zilizopo - hakuna. isipokuwa isipokuwa tatizo ni Ufisadi wa viongozi na Utawala huu wa CCM umeisahau Tanganyika/Zanzibar ktk mgao wa keki (mipango ya maendeleo). Na labda niseme hayati mwalimu Nyerere na Karume walifanya mengi ktk miundombinu ya nchi hii kuliko viongozi wote walofuata. Ubepari umetuletea Ubinafsi, Ufisadi hivyo iwe serikali 1, 2 au 3 bado mafisadi watakuwepo na tutaendelea kugombania maliasili zilizopo. Itafika wakati hata kununua kiwanja kama wewe sio msukuma basi utaambiwa ondoka Mwanza au Shinyanga, haijalishi kuna serikali ngapi bali hizi siasa za majitaka ndio mbegu tunayoipanda.
 
Mkuu Mkandara
Bado hujajibu maswali niliyouliza ba hasa la la mwisho,wewe unapendekeza mfumo gani, kwanini na uendeshweje.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom