Nguruvi3,
Mkuu mimi sii mjuzi wa kuandika makala japo vitu vipo kichwani na kwa bahati mbaya kila napokusoma nakuona hukunielewa hivyo najiuliza jinsi gani niwepe sawa picha hii. Labda nijaribu kwa lugha nyepesi isokuwa fasaha na kwa wale wanaojua watakueleza vizuri. Na sintoweza kukujibu yote naomba twende kwa kituo tukianza na nini maana ya JMT na mamlaka yake. Nini serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na mamlaka yake.
Mkuu maelezo yangu yote yanazungumzia hapa TULIPO sasa na sii pendekezo wala sijagusia serikali 3. Labda niweke hivi badala ya kutumia neno NCHI niongezee langu la UTAIFA (Nation) ili kutofautisha baina ya NCHI na TAIFA.
Toka kuzaliwa kwake Tanzania ni TAIFA moja (One Nation) lenye bendera na wimbo wake wa Taifa. (sijui kama ndio kiswahili safi maana sijawahi kusikia tukisema tuna wimbo wa nchi au bendera ya nchi ila watu wote husema - wimbo wa TAIFA, bendera ya Taifa, Nationality yako kadhalika) anyway tuachane na huko. Nisikilize kwa makini na kwa lugha yangu ambayo nadhani itakuwa nyepesi Zaidi ukizingatia nachokisema badala ya tafsiri fasaha na matumizi ya maneno haya NCHI na TAIFA.
Na katika Taifa hili kuna nchi 2 (countries) zilizoungana (Tanganyika na Zanzibar) zikaunda TAIFA moja. Kila ardhi inayoitwa nchi huwa na mihimili mitatu 1. Serikali 2. Mahakama na 3. Bunge.. Hivo mihimili mitatu Zanzibar wanayo na ndio maana tunasema Zanzibar ni nchi. Tanganyika yetu haina na sio nchi isipokuwa tuna JMT, hivyo mamlaka yote ya mihimili mitatu 3 ya JMT inawahusu Tanganyika na Zanzibar ktk maswala ya Muungano.
Wazanzibar hawali huku na kule isipokuwa ni sehemu ya JMT. Hata sisi tunakula huku na kule maana katika mambo yote muhimu 22 ya JMT yanatuhusu sote hivyo hata sisi tunafaidika kutokana na kuwepo kwa Zanzibar yaani tunaingia moja kwa moja.. na kama sikosei mambo mengine kati ya hayo 22 yameongezwa kinyemela hayakuwepo zamani wakati wa makubaliano na kuzaliwa Tanzania, kulingana na madai ya Wazanzibar. Bahati mbaya sina orodha kamili ya mambo ya muungano yalokubaliwa mwaka 1977 nasikia tu kwamba yalikuwa 11 sijui 12. Mambo yasiyokuwa ya Muungano ni yote yaso orodheshwa ktk makubaliano ya muundo wa serikali ya JMT. Hivo ni serikali ya Zanzibar, mahakama yake na bunge lake ndio wenye mamlaka na wajibu wa utendaji na utekelezaji wa haki kwa jiamii yao na sio serikali ya Muungano.
Hivyo kimsingi ina maana Watanzania bara tumeweka nyavu zetu Znz pia na tunakula huku na kule kwa sababu hakuna vitu muhimu ktk uendeshaji wa serikali kama vilivyoorodheshwa ktk hayo maswala 22 na kero zilikuwepo tu juu ya maswala hayo 22 ambayo Wazanzibar waliona wamebanwa sana pasipo uhuru kamili wa kujiamria mambo yao, na sii swala la kula zaidi bara au nani analiwa. Kumbuka tu kuwa mihimili ya serikali, mahakama na bunge haizailishi utajiri wala sii source ya maendeleo bali majukumu yake ni hutunga policy, sheria na kusimamia utekelezaji ndio kusema Wazanzibar wamefungwa kamba miguu yote miwili kubanwa na policy za kwao na zile za JMT na sio wanakula huku na kule. Kula huku na kule tunakulla wote. Na Usipokubali kuliwa, hutakula - JMK
Ni majibu ya Mheshimiwa Pinda tu ndio yaloleta vuguvugu jipya kla Uzanzibar ikafikia wao kudai bendera yao, wimbo wao na kadhalika kwa sababu hawataki historia ipotoshwe kuwa Zanzibar sio nchi ktk muungano huu. Hivo hii ni retaliation ya kijinga waloifanya na kama nilivyosema JK ni dhaifu hakuweza kuwachukulia hatua ama kumsimamisha Pinda kama alivyofanya Nyerere kwa Malecela. Tulopoteza nchi ni sisi Bara. Tumepoteza tu jina la Tanganyika lakini kila kitu kipo ktk muundo wa JMT.
Mkuu mimi sii mjuzi wa kuandika makala japo vitu vipo kichwani na kwa bahati mbaya kila napokusoma nakuona hukunielewa hivyo najiuliza jinsi gani niwepe sawa picha hii. Labda nijaribu kwa lugha nyepesi isokuwa fasaha na kwa wale wanaojua watakueleza vizuri. Na sintoweza kukujibu yote naomba twende kwa kituo tukianza na nini maana ya JMT na mamlaka yake. Nini serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na mamlaka yake.
Mkuu maelezo yangu yote yanazungumzia hapa TULIPO sasa na sii pendekezo wala sijagusia serikali 3. Labda niweke hivi badala ya kutumia neno NCHI niongezee langu la UTAIFA (Nation) ili kutofautisha baina ya NCHI na TAIFA.
Toka kuzaliwa kwake Tanzania ni TAIFA moja (One Nation) lenye bendera na wimbo wake wa Taifa. (sijui kama ndio kiswahili safi maana sijawahi kusikia tukisema tuna wimbo wa nchi au bendera ya nchi ila watu wote husema - wimbo wa TAIFA, bendera ya Taifa, Nationality yako kadhalika) anyway tuachane na huko. Nisikilize kwa makini na kwa lugha yangu ambayo nadhani itakuwa nyepesi Zaidi ukizingatia nachokisema badala ya tafsiri fasaha na matumizi ya maneno haya NCHI na TAIFA.
Na katika Taifa hili kuna nchi 2 (countries) zilizoungana (Tanganyika na Zanzibar) zikaunda TAIFA moja. Kila ardhi inayoitwa nchi huwa na mihimili mitatu 1. Serikali 2. Mahakama na 3. Bunge.. Hivo mihimili mitatu Zanzibar wanayo na ndio maana tunasema Zanzibar ni nchi. Tanganyika yetu haina na sio nchi isipokuwa tuna JMT, hivyo mamlaka yote ya mihimili mitatu 3 ya JMT inawahusu Tanganyika na Zanzibar ktk maswala ya Muungano.
Wazanzibar hawali huku na kule isipokuwa ni sehemu ya JMT. Hata sisi tunakula huku na kule maana katika mambo yote muhimu 22 ya JMT yanatuhusu sote hivyo hata sisi tunafaidika kutokana na kuwepo kwa Zanzibar yaani tunaingia moja kwa moja.. na kama sikosei mambo mengine kati ya hayo 22 yameongezwa kinyemela hayakuwepo zamani wakati wa makubaliano na kuzaliwa Tanzania, kulingana na madai ya Wazanzibar. Bahati mbaya sina orodha kamili ya mambo ya muungano yalokubaliwa mwaka 1977 nasikia tu kwamba yalikuwa 11 sijui 12. Mambo yasiyokuwa ya Muungano ni yote yaso orodheshwa ktk makubaliano ya muundo wa serikali ya JMT. Hivo ni serikali ya Zanzibar, mahakama yake na bunge lake ndio wenye mamlaka na wajibu wa utendaji na utekelezaji wa haki kwa jiamii yao na sio serikali ya Muungano.
Hivyo kimsingi ina maana Watanzania bara tumeweka nyavu zetu Znz pia na tunakula huku na kule kwa sababu hakuna vitu muhimu ktk uendeshaji wa serikali kama vilivyoorodheshwa ktk hayo maswala 22 na kero zilikuwepo tu juu ya maswala hayo 22 ambayo Wazanzibar waliona wamebanwa sana pasipo uhuru kamili wa kujiamria mambo yao, na sii swala la kula zaidi bara au nani analiwa. Kumbuka tu kuwa mihimili ya serikali, mahakama na bunge haizailishi utajiri wala sii source ya maendeleo bali majukumu yake ni hutunga policy, sheria na kusimamia utekelezaji ndio kusema Wazanzibar wamefungwa kamba miguu yote miwili kubanwa na policy za kwao na zile za JMT na sio wanakula huku na kule. Kula huku na kule tunakulla wote. Na Usipokubali kuliwa, hutakula - JMK
Ni majibu ya Mheshimiwa Pinda tu ndio yaloleta vuguvugu jipya kla Uzanzibar ikafikia wao kudai bendera yao, wimbo wao na kadhalika kwa sababu hawataki historia ipotoshwe kuwa Zanzibar sio nchi ktk muungano huu. Hivo hii ni retaliation ya kijinga waloifanya na kama nilivyosema JK ni dhaifu hakuweza kuwachukulia hatua ama kumsimamisha Pinda kama alivyofanya Nyerere kwa Malecela. Tulopoteza nchi ni sisi Bara. Tumepoteza tu jina la Tanganyika lakini kila kitu kipo ktk muundo wa JMT.
Last edited by a moderator: