Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
-
- #761
Mkuu nadhani tumwache tu aamini kuwa Qorro alishinda! Hakuna namna unaweza kumbadilisha au kumweleweshaSawa kabisa sasa inajulikana kwamba Zitto alitumia GDP kuonyesha jinsi mfumo mbovu wa mikataba unavyoweza kuwagharimu wananchi wa Shinyanga. kama nilivyosema toka zamani Chadema ilikuwa sera yao kuhakikisha mikoa hiyo inafaidika na maliasili zilizopo sasa nashangaa sana kusikia leo wanalalamika juu ya kutajwa Kilimanjaro wakati walikuwa wakizungumzia Mtwara na Lindi dhidi ya Dar sijui ilikuwa dhidi ya wazaramo?
Na toka lini watu wakafikiria kwamba unapoisema Kilimanjaro una maana Wachagga? Je, isije kuwa kweli ndivyo wanavyo fikiri kuwa Kilimanjaro ni ya wachagga na haitakiwi kuzungumziwa! wamekuwa kama Wayahudi ukisema ubaya wa serikali na Utawala wao tayari ni Anti- Semitic kwa sababu wao wenyewe wanaamini Israel is for Jews only!
Ni katika kuchepuka na kuondoa focus. Facts zinaonyesha Slaa alikuwa mbunge, sijui nini tatizo