Mkuu ntarudi kufafanua nilichomaanishaSawa mkuu labda unifahamishe Yanga inaendeshwa na kina nani? ama hayo yoote ulosema kama ni mchango wa wanachama wa chama cha siasa huwezi kuyaona kwenye chama cha Mpira!
Haya usemayo hayana ukweli kabisa kwa sababu hata huko Marekani kwenye wapiga kura zaidi ya millioni 100, wanachama wa vyama vikuu hawafiki asilimia 10. Wanachama ni wajenzi wa chama, unaweza kuwa na wanachama 10 mkaifanya kazi kubwa kuliko wenye wanachama 100 kwa sababu lengo sii kuwa na chama kikubwa chenye jengo kubwa. Lengo la chama ni kuishawishi jamii ya wapiga kura kwamba chama hiki ndicho chenye itikadi, sera la Ilani itakayo waletea maendeleo wananchi. Sasa ili iweze kuwashawishi wananchi wakupe kura zao unatakiwa kufanya nini?mkuu mkandala chama chochote cha siasa ni wanachama, na wanachama hufuata sera, (japo kwa hapa kwetu Tanzania wanachama ukiwauliza sera za vyama vyao, katika kumi mmoja ndo anaweza akakujibu, wengi hawajui, wengi hufuata mkumbo, wengi hufuata majina ya watu,wanasiasa wanatumia advantage hiyo ya wanaowaongoza kwa maslahi binafsi, ACT kuchukua wanachama wa CHADEMA sio dhambi, je walichokuwa wanakipigia makelele wakiwa chadema mbona ndicho wafanyacho wakiwa ACT? kama tatizo sio uenyekiti ni nini?
Sheria yoyote ama kanuni husimamma haijalishi ufahamu wa wananchi. Kama unaamini ktk Demokrasia ni lazima misingi inayojenga Demokrasioa ifuatwe laa sivyo hakuna demokrasia. Kila nchi inaunda katiba yake pasipo wananchi wake kufahamu yaliyomo. Mwongozo wa chama chochote lazima uwe wazi hata kama wananchi hawafahamu, hii ni kazi ya waasisi wa chama hicho.mkuu Mkandara hapo ndipo mimi ninapopapinga hivi unaweza kufananisha pale CCM ilipoanzia na ilipoanzia CDM??
N i wazi kwamba huwez kulinganisha na likewise huwez kulinganisha pale CDM ilipoanzia na ilipoanzia ACT. kwanini nasema hivyo??
1) ufaham wa walio wengi kuhusu demokrasia haukuwa mkubwa kama ulivyo sasa.
2) uwazi na wenyewe haukuwepo kama ilivyo sasa
3) uhuru wa kushiriki siasa haukuwa mkubwa kama ulivyo sasa
kwasababu hizo hapo juu ni wazi kwamba kwa sasa tulitegema ACT iliyobora zaid kuliko chama chochote cha siasa nchini hapa akwasababu
1) wameshajifunza mengi kuhusu siasa za kileo
2) wanauelewa mpana zaid juu ya elimu ya demokrasia
3) wanayoexperience yakutosha kuhusu makosa ambayo yametendwa na vyama vingine vya siasa na hivyo kujitahd kuyakwepa kama sio kuyapunguza.
sina chuki na ACT wala mimi sina nia ya kuitetea CDM ila nataka kuonyesha tu kwamba lazima tukue kidemokrasia tuache kutenda mambo kwa mazoea. ACT naamini ingetoa upinzani mzuri zaid kama wangeyaelewa haya na kuyafanyia kazi ila wao wamekimbilia kwenye kutafuta uongozi kabla hata ya kuweka sera zao sawa.
Mkandara anaamini katika watu wala si sera za chama. Ndiyo maana tumesema wazi kuwa siasa alizofanya Kitila zinasikitisha sana na inatia majonzi pale akina Mkandara wakimkingia kifua wakati imekuwa ni tamaduni wa Kitila kutoka kiajabu ajabu na kibubusa kila maramkuu Mkandara hapo ndipo mimi ninapopapinga hivi unaweza kufananisha pale CCM ilipoanzia na ilipoanzia CDM??
N i wazi kwamba huwez kulinganisha na likewise huwez kulinganisha pale CDM ilipoanzia na ilipoanzia ACT. kwanini nasema hivyo??
1) ufaham wa walio wengi kuhusu demokrasia haukuwa mkubwa kama ulivyo sasa.
2) uwazi na wenyewe haukuwepo kama ilivyo sasa
3) uhuru wa kushiriki siasa haukuwa mkubwa kama ulivyo sasa
kwasababu hizo hapo juu ni wazi kwamba kwa sasa tulitegema ACT iliyobora zaid kuliko chama chochote cha siasa nchini hapa akwasababu
1) wameshajifunza mengi kuhusu siasa za kileo
2) wanauelewa mpana zaid juu ya elimu ya demokrasia
3) wanayoexperience yakutosha kuhusu makosa ambayo yametendwa na vyama vingine vya siasa na hivyo kujitahd kuyakwepa kama sio kuyapunguza.
sina chuki na ACT wala mimi sina nia ya kuitetea CDM ila nataka kuonyesha tu kwamba lazima tukue kidemokrasia tuache kutenda mambo kwa mazoea. ACT naamini ingetoa upinzani mzuri zaid kama wangeyaelewa haya na kuyafanyia kazi ila wao wamekimbilia kwenye kutafuta uongozi kabla hata ya kuweka sera zao sawa.
nimeupitia huu uzi kwa makini sana na hapa nimejikuta nina swali la msingi sana ambalo sijaona jibu lake kwenye hoja zilizojadiliwa humu ndani swali langu ni
je! bado wananchi tunaamini mtu/ kikundi fulan kinaweza kutupa msaada tuutakao ili tupige hatua katika kuijenga tanzania yetu??
na je ndani ya Tanzania hakuna watu wanaofaa kuwa viongozi zaidi ya hawa ambao kila siku tunawaona na hawana jipya kwetu??
Tanzania DaimaMWENYEKITI wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amemkaribisha Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye kujiunga na chama chake ili kuendeleza mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa. Mbowe alitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati wa sherehe za ufunguzi wa jengo jipya la ibada zilizofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Usharika wa Lole Mwika na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali na kanisa ambapo Sumaye alikuwa mgeni rasmi.
Alisema hoja ya rushwa inayozungumzwa na Sumaye ambayo CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kuipiga vita ina msingi, hivyo viongozi wengine wanapaswa kumuunga mkono na kuliomba kanisa lizidi kuwaombea viongozi wa aina hiyo ili wazidi kupaza sauti zao bila hofu.
Ndugu zangu hoja ya rushwa iliyozungumzwa mahali hapa na Sumaye ni hoja ya msingi sana, haki katika taifa hili ni bidhaa adimu na wale wanaotetea haki katika taifa hili wengine wanailipa kwa gharama ya maisha yao, alisema.
Alisisitiza kuwa ni vyema viongozi wakawa na mipaka ya vyama vyao vya siasa na kuwa na lengo moja la kusimamia hatma ya taifa kwa kupigania haki bila uwoga ili kuepusha mateso kwa wananchi.
Viongozi wote kama tukaamua kusimamia hii hoja bila ya kuona huyu yuko chama gani, yule yuko chama gani, tukafanya hili suala la rushwa ni la taifa, basi tunaweza kupiga hatua, na kama hatutasahau mipaka ya vyama vyetu hakika nchi hii bado wananchi wa kawaida wataendelea kuteseka sana, alisema.
Mbowe aliomba kanisa lisaidie katika suala hilo ili kuepusha taifa kupasuka kutokana na viongozi kuweka itikadi mbele na kusahau kuwa siasa ni masuala yanayopita.
Alisema hivi sasa vyama vya siasa vimetafsiriwa kama vyombo vya kugombanisha watu, huku baadhi ya viongozi kwa makusudi wakisahau kuwa vyama vya siasa ni vyombo vya uchaguzi vinavyotumika kupata viongozi.
Tunauana kwa mabomu, tunauana kwa risasi, tunafungana kwa ajili ya siasa, siasa ni kazi ya kupita, kama Mungu amemuandika mtu kuwa na uongozi atapata uongozi bila ya kujali yuko chama gani, kwa hiyo niombe kanisa lifanye suala la uchaguzi kuwa ajenda ya kudumu ya kanisa, alisema.
Akizungumzia mwaka mpya 2014, Mbowe alisema ni mwaka wa kutisha kwa watu ambao wapo katika siasa adhimu (active politics) wanaoona namna siasa zinavyobadilika na kuwa ni mambo ya kutishia uhai wa watu.
Huu ni mwaka wa majaribu makubwa na tunaliomba kanisa lisikae mbali, kanisa lina wajibu mkubwa wa kutusaidia wanasiasa maana tunapokuwa ndani ya nyumba za ibada kama hizi kwa kiwango fulani tunaheshimiana, alisema.
Mkuu Nguruvi3 Nadhani Kitila Mkumbo siyo mwanachama wa kwanza wa chama cha siasa kumkaribisha kwenye mwanachama mwingine kama utakumbuka Freeman Mbowe alishawahi kumkaribisha Sumaye kujiunga na CDM. kusema Kitila kamteua ZZK kuwa Mwenyekiti ni kumuonea bure kwani pale alikuwa anatoa tu maoni yake ikizingatiwa kuwa ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kama mwanachama mpya.
Nifikiri kama umemsoma Nguruvi3 vizuri hana tatizo na Zitto kukaribishwa katika chama, kwani swala la kakaribishiwa katika chama ni jambo la kawaida hata mwananchi wa kawaida anakaribishwa katika chama kwa njia mbali mbali kama ukashawishiwa na sera za chama na nk. Lakini tatizo liko iwapo unamkaribisha mtu katika chama chako na kumpa uongozi kabisaa, Je utakuwa na uhakika gani kama mtu huyu sio cheo kilichomfanya kujiunga na chama chenu?
Pili tatizo ambalo mimi linanipa shida ni hili mambo ya kunyang'anyana wanachama, Kama kuna watanzania zaidi ya million 20 wasikuwa na chama chochote kwanini vyama visibuni mbinu za kuwashawishi hawa watu ambao sio wanachama wa chama chochote kujiunga na vyama vyao kuliko kushinda mnanyang'anyana wanachama.. Maana wanachama aliyekuwa CCM na kuamia Chadema, kuna uwezekano mkubwa kuwa kesho atakwenda kwenda ACT na kesho kutwa kurudi CCM/Chadema. Wanachama hawa wanategemea na upepo unapoelekea. Kwa mtizamo wangu ni bora kuwapa elimu wanachama 10 wakaelewa sera za chama, misingi ya chama katiba ya chana na nk. maana hawa watawapa elimu na kushawishi watu mbali mbali, kuliko kupata wanachama 100 unapokwenda kuhutubia katika mikutano ya chama kwa muda wa dk 5 (maana viongozi wengi katika mikutano mara nyingi uhutubia si zaidi ya dk 20) Wanachama hawa mara nyingi ni wafuata mkumbo, wanahamua jambo hapo hapo bila kufikiria na kuelewa sababu ni kwa nini nimejiunga na chama hiki (ingawaje sio wote) na pia kushawishika na kujiunga na chama kingine kirahisi..
Hivyo basi natarajia kuona hiki chama kipya chenye wasomi (kama wanavyojihita) wabuni mbinu za kisomi kuweza kupata wanachama wao kuliko kutumia njia za vilaza(maana tunaambiwa baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa ni vilaza) kujenga chama chao.
linda;9569975]Mkuu Nguruvi3 Nadhani Kitila Mkumbo siyo mwanachama wa kwanza wa chama cha siasa kumkaribisha kwenye mwanachama mwingine kama utakumbuka Freeman Mbowe alishawahi kumkaribisha Sumaye kujiunga na CDM. kusema Kitila kamteua ZZK kuwa Mwenyekiti ni kumuonea bure kwani pale alikuwa anatoa tu maoni yake ikizingatiwa kuwa ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kama mwanachama mpya.[/QUOTEAlinda ,nadhani Mtamile hajapitia mabandiko na kuona kiini cha hoja.Nifikiri kama umemsoma Nguruvi3 vizuri hana tatizo na Zitto kukaribishwa katika chama, kwani swala la kakaribishiwa katika chama ni jambo la kawaida hata mwananchi wa kawaida anakaribishwa katika chama kwa njia mbali mbali kama ukashawishiwa na sera za chama na nk. Lakini tatizo liko iwapo unamkaribisha mtu katika chama chako na kumpa uongozi kabisaa, Je utakuwa na uhakika gani kama mtu huyu sio cheo kilichomfanya kujiunga na chama chenu?
Pili tatizo ambalo mimi linanipa shida ni hili mambo ya kunyang'anyana wanachama, Kama kuna watanzania zaidi ya million 20 wasikuwa na chama chochote kwanini vyama visibuni mbinu za kuwashawishi hawa watu ambao sio wanachama wa chama chochote kujiunga na vyama vyao kuliko kushinda mnanyang'anyana wanachama.. Maana wanachama aliyekuwa CCM na kuamia Chadema, kuna uwezekano mkubwa kuwa kesho atakwenda kwenda ACT na kesho kutwa kurudi CCM/Chadema. Wanachama hawa wanategemea na upepo unapoelekea. Kwa mtizamo wangu ni bora kuwapa elimu wanachama 10 wakaelewa sera za chama, misingi ya chama katiba ya chana na nk. maana hawa watawapa elimu na kushawishi watu mbali mbali, kuliko kupata wanachama 100 unapokwenda kuhutubia katika mikutano ya chama kwa muda wa dk 5 (maana viongozi wengi katika mikutano mara nyingi uhutubia si zaidi ya dk 20) Wanachama hawa mara nyingi ni wafuata mkumbo, wanahamua jambo hapo hapo bila kufikiria na kuelewa sababu ni kwa nini nimejiunga na chama hiki (ingawaje sio wote) na pia kushawishika na kujiunga na chama kingine kirahisi..
Hivyo basi natarajia kuona hiki chama kipya chenye wasomi (kama wanavyojihita) wabuni mbinu za kisomi kuweza kupata wanachama wao kuliko kutumia njia za vilaza(maana tunaambiwa baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa ni vilaza) kujenga chama chao
Labda nimkumbushe kuwa mazingira aliyoongelea Mbowe na ya Kitila yana tofauti kubwa.
Kwa Mbowe inaweza kuwa sehemu ya maongezi ya kuchangamsha hadhira.
Hata hivyo Mbowe alisema sera za chama chake zinashabihiana na maono ya Sumaye kuhusu rushwa hivyo ajiunge ili atetee hoja yake ya rushwa.
Mbowe alikuwa na hoja ya sera aliyoitumia kumvutia Sumaye so as to speak, ingawaje hilo lisingetokea.
Mbowe na Sumaye hawajawahi kuwa katika 'treni moja' kiasi cha kuhusisha maneno yao.
Siyo maswahiba.
Kitila alisema wana maono yanayoshabihiana na Zitto.
Tunajua walikuwa watu wa waraka kwa pamoja.
Kitila amejiunga na ACT juzi ambapo alimtaka Zitto (mwanachama wa CDM) awe mwenyekiti.
Kitila hakutanguliza sera za kumshaiwishi Zitto, from no where akamteua mwenyekiti.
Katiba ya ACT haijawa tayari, wapi Kitila anapata nguvu za uteuzi na ni kwa mamlaka yapi.
Tunafahamu wana maono sawa ya kisiasa, Kitila angemshauri kwanza Zitto aondoe kesi, ajiunge na ACT halafu mambo mengine yafuate kwa taratibu.
Alichokifanya ni kutulaghai kana kwamba hamjui Zitto. Ni ushauri wa kilaghai ili kumpa Zitto nafasi ya kukimbia mahakamani kwani bunge la katiba halina mwelekeo.
Kitila aliyepinga udinteta alikotoka, sijui kuteua mtu ambaye si mawnachama inaitwa nini.
Ukichanganya na mambo mengine bandiko I, kuna maswali mengi zaidi ya majibu.
Hivi kweli tukae kimya mtu au watu wakitifanya mazezeta? Wakaifanya siasa za kichovu namna hiyo? Lengo lao ni kutaka ZZK aondoke na wanchama JingalaFasalafa anasema wanapulizwa kama upepo.
Hilo wafanye lakini si kwa kutufanya mabubusa.
Kuhusu suala la kuchukua wanachama, mimi hata sioni mantiki yake. Kwa dunia ya leo tulitegemea sera ndizo ziongoze uungwaji mkono, eti bado tunasiasa za majina.
Kuchukuliana wanachama si kwamba kuna ni njia duni kwasababu tatizo si vyama vya upinzani, tatizo ni papa ambaye badala ya kuunganisha kukabliana naye, wapinzani wanapigana vita.
Hizi ndizo siasa za kileo tunazoambiwa! No, lazima watu wabadilike.
Tunahitaji sera si majina, wenye majina wakae nayo mifukoni waache demokrasia istawi.
Mwalimu Nyerere aliwahi tamka kwamba upinzani wa kweli kwa ccm utatoka ccm. Baada ya ujio wa viongozi wa aina ya Zitto nilianza to question iwapo mtazamo wa Mwalimu ulikuwa bado relevant nyakati za leo. Nimekuja gundua kwamba maneno ya Mwalimu bado yanasimama kwani upinzani unaojengwa na ACT unapata nguvu kutokana na kuungwa mkono sana na CCM. Leo Wapo wajumbe wa NEC na hata wa kamati kuu ya CCM ambao wanamuona zitto kama ndiye kiongozi anayefaa kuongoza chama kikuu cha upinzani nchini na wanaweka wazi hilo. Hii maana yake nini kama sio upande mwingine wa shilingi wa hoja ya Mwalimu?
Kuna dalili kwamba ACT kinaelekea kuwa mbadala wa wana ccm kwa wana ccm kuliko mbadala kwa wananchi wanaotafuta mabadiliko.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Then kwa logic hiyo unapindisha maana halisi ya alichokusudia Mwalimu, Mwalimu alikusudia upinzani ulio mbadala wa CCM kwa ajili ya manufaa ya umma, na si upinzani kwa CCM for the case ya upinzani tu, ingekuwa hivyo basi hoja ya mwalimu ingekuwa irrelevant!, hata hivyo mwalimu aliyesema CCM siyo mama yake, ni dhahiri hakuwa mnazi wa CCM, bali alikuwa mtetezi wa wananchi, na kwa hiyo basi alikuwa radhi hata CCM imeguke ikiwa tu mmeguko huo ni kwa manufaa ya wananchi. na pia kitu kingine ni kwamba alipigia debe uwanzishwaji wa vyama vya upinzani ili ukipatikana mmbadala bora kwa CCM basi uunde dola!.
Iwapo wana CCM wakiona ACT ina sera nzuri kuliko za chama chao, na ina nidhamu ya kidemokrasia basi si vibaya wakajiunga nacho, au iwapo wataweka upinzani ndani kwa ndani ndani ya chama chao, basi kwa namn0a hizi ndio muktadha haswa wqwa hoja ya mwalimu
Mwalimu Nyerere aliwahi tamka kwamba upinzani wa kweli kwa ccm utatoka ccm. Baada ya ujio wa viongozi wa aina ya Zitto nilianza to question iwapo mtazamo wa Mwalimu ulikuwa bado relevant nyakati za leo. Nimekuja gundua kwamba maneno ya Mwalimu bado yanasimama kwani upinzani unaojengwa na ACT unapata nguvu kutokana na kuungwa mkono sana na CCM. Leo Wapo wajumbe wa NEC na hata wa kamati kuu ya CCM ambao wanamuona zitto kama ndiye kiongozi anayefaa kuongoza chama kikuu cha upinzani nchini na wanaweka wazi hilo. Hii maana yake nini kama sio upande mwingine wa shilingi wa hoja ya Mwalimu?
Kuna dalili kwamba ACT kinaelekea kuwa mbadala wa wana ccm kwa wana ccm kuliko mbadala kwa wananchi wanaotafuta mabadiliko.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kwa mujibu wa redio ya sauti uhuru, Katibu Mkuu wa ACT Samson Mwigamba amenukuliwa akisema kwamba - ujio wa Muungano wa UKAWA umevuruga malengo ya chama chake.
Mwigamba ananukuliwa akisema:
"Lengo kubwa la chama cha ACT ni kuwaunganisha wananchi na kuwaeleza ubovu wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema."
"Imekuwa vigumu kueleza uovu wa Chadema wananchi wakaulewa kwa sababu imetokea wananchi wanaiamini UKAWA na hawataki useme chochote kuhusu mshirika wa umoja huo".
"Naamini kwamba UKAWA utasambaratika kabla ya 2015 na hapo ndipo wananchi wataelewa kuhusu vita ya ACT na Chadema."
Maneno haya yanaimarisha hoja iliyopo mbele yetu kwamba chama cha ACT ni mpini wa CCM kumaliza upinzani.
cc Mkandara, JingalaFalsafa, Gamba la Nyoka, Ng'wamapalala, zumbemkuu, Alinda, Kitila Mkumbo
Kwamba tatizo lao ni upinzani si CCM waliodumaza hii nchi kwa miaka 50.Kwa mujibu wa redio ya sauti uhuru, Katibu Mkuu wa ACT Samson Mwigamba amenukuliwa akisema kwamba - ujio wa Muungano wa UKAWA umevuruga malengo ya chama chake.
Mwigamba ananukuliwa akisema:
"Lengo kubwa la chama cha ACT ni kuwaunganisha wananchi na kuwaeleza ubovu wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema."
"Imekuwa vigumu kueleza uovu wa Chadema wananchi wakaulewa kwa sababu imetokea wananchi wanaiamini UKAWA na hawataki useme chochote kuhusu mshirika wa umoja huo".
"Naamini kwamba UKAWA utasambaratika kabla ya 2015 na hapo ndipo wananchi wataelewa kuhusu vita ya ACT na Chadema."
Maneno haya yanaimarisha hoja iliyopo mbele yetu kwamba chama cha ACT ni mpini wa CCM kumaliza upinzani.
Alinda , tulipoleta mada tulikuwa tumejiridhisha kabisa kuwa kuna tatizo kwa kuangalia historia, mwenendo na mtazamo wa ACT na viongozi wake. Kuanzisha chama si tatizo wala kujitenga na kuanzisha upinzani mwingine halijawa tatizo. Tatizo ni malengo ya hawa ndugu.Wakati ndugu yangu Nguruvi3 analeta hii hoja, nilijua ni katika haraka za "kuchokonua" kilicho nyuma ya ACT. sikutarajia kuwa alichoandika ndio ukweli wenyewe! Staki kuamini kuwa Kitilya, Mwigamba na Zitto wanaweza kusaliti umma wa watanzania na kuwa nyuma ya huu mfumo wa chama kimoja (CCM). Nauita mfumo wa chama kimoja kwani CCM haija kupata mshindani tangu kuzaliwa kwake mpaka mwaka 2010 baada ya watanzania kuamuka na kuipata CCM wakati mgumu hasa katika kinyanganyiro cha kiti cha urais..
Sikutarajia hawa wasomi kuanzisha chama ili kushindana na Chadema, nilitegemea wanaanzisha chama ili kumkomboa mtanzania kutoka katika huu ukiritiba wa CCM, Nilitengemea kuona sera za ushindani sio sera za kuua chadema, nilitegemea kusikia malengo ya hiki chama katika swala zima la maendeleo ya nchi yetu, ila kwa bahati mbaya malengo yao ni kuua Chadema, na chadema kikisha kufa basi hata ACT itauwawa baada lengo la kuanzishwa kwake litakuwa limetimia. Kwa bahati mbaya kutaendelea kutawaliwa na watu wale wale na koo zile zile. Hakika
CCM wamejipanga....Nikifikiri kuanzia Ugaidi wa Lwakatare, kwenda katika Mabomu Arusha, Kashfa mbali mbali kwa viongozi wa Chadema, Udini, Ukabila, sasa Act hakika ni vema na haki kuwapa pongezi viogozi hawa maana wanapitia mengi.
Mkuu nadhani sasa mnazitafuta sababu kila kona ili kuonyesha kwamba hiki chama ACT sii chama cha wananchi ila ni chama cha kina ZZJK, kitila na wenzake ilihali vyama vyote vya upinzani vimeanzishwa na wasisi wake kuwa viongozi pasipo Uchaguzi wa awali.Soma hii habari kwanza
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...anzania-kwa-vyama-vyote-vya-siasa-nchini.html
Kinachoonekana ni unafiki wa kusema ni chama cha watu wote wakati ambapo katibu mkuu wao jana kasema kimekuja kupambana na wapinzani.
Halafu, mwandishi anasema kuna watu wanaojifanya ni wa ACT na kuandika habari mitandaoni kuwachafua.
Ukisoma habari hiyo huwezi kujua nani kaandika kwasababu idara ya uenezi haielezi ni nani.
At the same time wanazungumzia uwazi. Uwazi na unafiki siyo synonymous. Uwazi ni jambo moja na unafiki ni lingine.
Tulitegemea basi wangekuja kukanusha au kusahihisha kauli ya Mwigamba kwa hoja, hawajafanya hivyo.
Wanachokifanya ni kuficha alichosema Mwigamba na kutufunika na blanket chafu kana kwamba ni taarifa tu haina uhusiano.
Ukweli utabaki kuwa bila kukanusha maneno ya Mwigamba, hiyo ndiyo dhima na mwelekeo wa ACT
Lakini pia majuzi wametoa kauli iliyoashiria mapambano na upinzani(UTU). Uzi upo na imetolewa na uenezi.
Leo wanataka kutufanya mazuzu kwamba wao hawana vita na upinzani. You can't fool us !
Swali ni kuwa hivi tatizo la Tanzania ni wapinzani au nyangumi CCM?
Wapinzani hawajwahi kushika dola, vipi leo akina Zitto/Kitila na Mwigamba watuaminishe kuwa wao ndio tatizo la nchi hii kwa miaka 50.
Tunarudia tena, chama hakitangazwi kwa uadui wanaofanya ACT. In the end hawataweza kufikisha taifa kule tunakokusudia.
Ni mkakati mbovu sana kiasi cha kuifkiria huu ndio mbadala anaousema Kitila ?
So far wamefanikiwa sana katika kuwasaidia CCM.
ACT politics rahisi kama hizo hazisaidii taifa,tunarudi kwa NCCR, CUF n.k.
Mkuu nadhani sasa mnazitafuta sababu kila kona ili kuonyesha kwamba hiki chama ACT sii chama cha wananchi ila ni chama cha kina ZZJK, kitila na wenzake ilihali vyama vyote vya upinzani vimeanzishwa na wasisi wake kuwa viongozi pasipo Uchaguzi wa awali.
Kaka yangu @Mkandara,
Kwa maelezo ya kaka yangu @Mchambuzi, kutoka kwa Katibu wa ACT ni dhahiri ya kuwa hiki ni chama cha Kitilya and Co. kwani kingekuwa chama wa wananchi basi kingepingania matatizo ya wananchi walao wapate haki zao ya msingi kama elimu,afya bora na nk. lakini hiki chama kimeanzishwa ili kueleza uchafu wa viongozi wa Chadema. Sasa kweli utasema hiki ni chama cha wananchi?
Mimi sipendi kupakana choo kwa sababu tu ya ushabiki lakini ukweli utasimama kwamba Maadui wa Mtanzania sasa hivi ni hivi vyama vya Upinzani ambavyo kwa namna moja ma nyingine vinazaliwa kutokana na kutoelewana ndani ya vyama. Na hii imewapotosha sana wananchi hivyo tuliomba kabla ya mwaka 2005 vyama hivi viache tofauti nzao waungane na kuunda nguvu moja dhidi ya CCM lakini majibu tuloyapata toka viongozi wa vyama hivi inadhihirisha wazi kwamba maslahi yao binafsi na ya vyama vyao yalitangulia. Na yalitangulia kwa sababu kila chama kinakula ruzuku toka mfumo wa taifa (wananchi) unachotakiwa ni mtaji tu wa kundi la wapiga kura toka majimbo kadhaa.
Hapa tupo pamoja tena kibaya zaidi ni wanasiasa kutufanya sisi ni mazozo tusioelewa kitu chochote huku wakitumia migogo yetu kujineemisha.
Na nikitazama historia ya siasa za Tanzania naipata picha halisi ya kwamba hao viongozi wetu wote toka vyama vyote wao ndio wa kutazamwa zaidi maana hakuna kati yao anayekubali kuachia kiti iwe kwa kushindwa ama kukubali mtu mwigine aongoze. Tazama CUF na Maalim Seif/ Lipumba, TLP na Mrema na vyama vinginevyo vyote kila mgombea wake kiti cha uenyekiti inabakia kwa waasisi wa chama..
NCCR Mageuzi tu ambayo kidogo imeonyesha demokrasia ya kweli nayo imetokana na viongozi wake waasisi kujitoa moja baada ya mwingine ili kuanzisha chama kipya. Kati ya wanasiasa wote wenye vyama vya sisa nchini wametoka CCM ama NCCR kwa sababu zile zile za kutoelewana na wanachama wenzake.
Hapo kwenye blue sijakuelewa vizuri yaani demokrasia ya kweli ni kujitoa katika chama na kuanzisha chama kipya?
Mwanachama yeyote anapotoka katika chama chake cha awali na kuunda chama kipya kwa vyovyote vile kuna vitu hasivyokubaliana navyo ndani ya chama kile inawezekana hakubaliani na sera za chama chake au hakubaliani na viongozi wake wanavyotekeleza zile sera.. na kwa hilo mimi sina tatizo maana sio lazima sera za chama fulani zikubaliwe na kila mtu yule ambaye anaona kuna anaweza kufanya vizuri zaidi basi ni kujiondoa katika hicho chama na kuanzisha chama kingine.. hilo halina tatizo.. tatizo linakuja unapoanzisha chama kwa madhumuni ya kuua chama chako cha awali hapo lilipo tatizo...
Hivyo, Hii ya ACT sio mwanzo wa kutoelewana bali tunatafuta sababu zetu wenyewe kuonyesha mabaya ya ACT maana hata Mzee wetu Mtei alipoondoka CCM alianzisha chama chake cha CDM pasipo uchaguzi wa ndani kumteuwa yeye kuwa mwenyekiti bali alipendekezwa na wenzake japo ilikuwa Obvious kwa kiswahili safi tunasema - Nani mwingine kama sio yeye!
Hapo ndugu yangu ninakipangana na wewe yaani kwa vile Mzee Mtei alianzisha chama kwenye miaka ya 90 na hakuitisha uchanguzi wa ndani basi kila chama kinachoanzishwa kifanya alivyofanya Mzee Mtei? Kwanini hawa viongozi wanaoanzisha vyama vipya wasije na mkakati mzuri zaidi na bora zaidi kwa kujifunza uanzishwaji wa vya vyama vipya kutoka ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania? Nini maana ya kuwa na wasomi katika vyama? Yaani hiki chama kimeanzishwa na wasomi tena ni wasomi haswa badala ya kuja na kitu kipya basi wanaendeleza vitu vile vile alivyofanya Mzee Mtei? kweli?..
Ninategemea wasomi kuwa wabunifu, kuja na mbinu mpya, mikakati mpya na huu ndio maana ya usomi, usomi sio cheti tu usomi ni pamoja na kuonyesha kwa vitendo ni jinsi gani unaweza kutumia elimu yako kujisaidia wewe mwenyewe na jamii iliyokuzunguka..
Jamani watanzania yatupasa kuwa wabunifu (nitoke nje ya mada kidogo) Mfn Sisi watanzania ubunifu ni msamiati mkubwa sana kwetu, yaani unakuta vitu vilivyobuniwa na mababu yetu ndio tulivyanavyo mpaka leo mfn Mkoani Mwanza ni wakulima wa mahindi, katika mahindi unaweza kupika ugali au kukoroga uji, tangu enzi ya mababu zetu process ni zile zile, kupanda, kuvuna , kusanga mahindi, kupika ugali au kukoroga uji hakuna zaidi ya hapo.. hakuna msomi anaye take risk kusema let us try this labda kutengeneza mkate wa mahindi,au kutengeza spharghetti za mahidi na nk.. Hakuna, wasomi wetu wako kurundika na maisha yanaendelea......
ACT ni mfululizo wa kutoelewana na kama kweli tunataka kubadilika basi tuanze na hawa viongozi wa vyama vyetu waklubali ushindani, wakubali kukosolewa, wakaubali kuachia ngazi maana sii ajabu kabisa uchaguzi ujao ukasikia wamechukua form kugombea tena nafasi zao walizoshika kwa miaka zaidi ya 20 huku wakiwa bado wameshikilia mpini Kama kweli kuna kiongozi yeyote anayetaka kugombea nafasi hiyo basi aachie ngazi kwanza miaezi sita kabla ya Uchaguzi kisha agombee nafasi hiyo pasipo mamlaka alokuwa nayo kama mwenyekiti maana hawa watu hutumia madaraka walokuwa nayo kufunga milango yote ya Ushindani dhidi yao.
Kama kuna wanachama yeyote anayehama chama kwa vile tu Kiongozi amechukua form ya kutetea kiti chake,kwangu mimi huyu ni kiongozi hasiye na uvumilivu na pia mpenda madaraka. Maana kama wewe unataka kuwa kiongozi na unategeshea viongozi wako wasichukue form ili wewe upate urahisi wa kushinda basi kwangu mimi neno demokrasia limenipita kushoto, Ninavyoelewa maana ya demokrasia ni kila mtu aliyetimiza masharti (waliojiwekea) ana haki ya kugombea uongozi haijalishi kama huyu mtu ni kiongozi, au ana undugu ya kiongozi cha muhimu ni kupewa haki sawa kwa kiongozi na hasiye kiongozi.
Wadhungu wanasema- Fight the power! Hili neno halina maana moja kwa chama tawala ama utawala bali hata huku chini tulipo kuna nguvu ya viongozi ndani ya vyama ambayo pia huwakwaza watu wengine ktk kuitaka haki na demokrasia ya kweli.