Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

ACT wameanza na mguu mbaya kwa kuelekeza nguvu na focus yao kwenye kusambaratisha CHADEMA. Kwa wao kama chama cha siasa hii inawapotezea resources nyingi ambazo wangezitumia kujenga chama chao na kuhubiri sera zao kwa wananchi.

Lets assume this once kwamba lengo lao hilo la kusambaratisha CHADEMA linatimia...then whats next??
-Wanaamini kuwa wao automatically watachukua nafasi ya CHADEMA kuwa chama kikuu cha upinzani?
-Na iwapo watachukua nafasi hiyo wana mipango madhubuti ya kuchukua nchi 2015 tofauti na wapinzani wa sasa? -Wamejiandaa vipi kukabiliana na upinzani mkali pamoja na manyanyaso ya dola kutoka chama tawala? Au wanaamini kwamba kwa mipango yao watachukua dola kiulaini mikononi mwa CCM ambao wako tayari hata kumwaga damu ili kubaki madarakani?

Wajifunze kidogo kutokana na historia ya waliojaribu mchezo huu wa kuondoka chama fulani ili uanzishe chako uwasambaratishe ulikotoka...TLP ya Mrema ina hali gani kwa sasa kulinganisha na NCCR?
 
Wakuu tuna sheria yoyote inayozuia uwepo wa redundancy ya vyama? Sioni mantiki ya kuruhusu kuanzishwa kwa chama ambacho katiba yake haitofautiani na vyama vilivyopo.
Sidhani kama sheria hiyo ipo. Njia rahisi ilikuwa kuvi ignore hivyo vyama katika national stage. Nashangaa JK kawachagua hadi akina Kuga Mziray wenye wanachama kama ka ukoo kutambua uwepo wao katika bunge la katiba.

Lakini mkuu unadhani tatizo hasa ni vyama, tatizo ni kiu na uchu wa madaraka. Ukiangalia chimbuko la ACT ni kutokana na resentment, grudge na kukosa subira kwa baadhi ya watu. Ndio maana leo unasikia watu wanamwenyekiti hata kabla ya sera. Tayari wanaye mfukoni wanasubiri kukamilisha taratibu.Taratibu zile zile walizomsema ni mbovu, lakini this time ni nzuri !!!

Walilaani udikteta, sometime down the road wanasema eeh, mhh aah, inakubalika ni sehemu ya uwazi
 
Sidhani kama sheria hiyo ipo. Njia rahisi ilikuwa kuvi ignore hivyo vyama katika national stage. Nashangaa JK kawachagua hadi akina Kuga Mziray wenye wanachama kama ka ukoo kutambua uwepo wao katika bunge la katiba.

Lakini mkuu unadhani tatizo hasa ni vyama, tatizo ni kiu na uchu wa madaraka. Ukiangalia chimbuko la ACT ni kutokana na resentment, grudge na kukosa subira kwa baadhi ya watu. Ndio maana leo unasikia watu wanamwenyekiti hata kabla ya sera. Tayari wanaye mfukoni wanasubiri kukamilisha taratibu.Taratibu zile zile walizomsema ni mbovu, lakini this time ni nzuri !!!

Walilaani udikteta, sometime down the road wanasema eeh, mhh aah, inakubalika ni sehemu ya uwazi

Naona walichosema Baraza kuu la CDM kuhusu Mh Zitto Kabwe ni kweli, jamaa ana uchu wa uenyekiti au uchu wa uongozi wa ujumla. Mwanzoni nilidhani kuwa ZItto anasimamia sera za Chadema ambazo kimsingi kama anaenda kwenye chama kingine ina maana atakuwa na sera kama za CDM. Kama akienda na kuwa mwenyekiti wa Chama ambacho sera zake ni tofauti na CDM, ina maana kwake sera hazina maana ila chenye maana ni uongozi, bila kujali sera.

Dr Kitila Mkumbo anajidhalilisha sana pia, alijijengea heshima kubwa lakini sasa heshima yake yote aliyojijengea inaporomoka. ACT no doubt itakuwa joke.
 
Naona walichosema Baraza kuu la CDM kuhusu Mh Zitto Kabwe ni kweli, jamaa ana uchu wa uenyekiti au uchu wa uongozi wa ujumla. Mwanzoni nilidhani kuwa ZItto anasimamia sera za Chadema ambazo kimsingi kama anaenda kwenye chama kingine ina maana atakuwa na sera kama za CDM. Kama akienda na kuwa mwenyekiti wa Chama ambacho sera zake ni tofauti na CDM, ina maana kwake sera hazina maana ila chenye maana ni uongozi, bila kujali sera.

Dr Kitila Mkumbo anajidhalilisha sana pia, alijijengea heshima kubwa lakini sasa heshima yake yote aliyojijengea inaporomoka. ACT no doubt itakuwa joke.
Katika swala hili nadhani tusipende sana kuwalaumu kina Zitto kwa sababu lazima tutazame na tufuate siasa za Bongo zikoje. Mimi naamini kabisa ya kwamba hata wanachama wote wa Chadema sii waumini wa kweli wa mrengo wa kati kulia, na pengine wote hawafahamu hata maana ya mrengo huo.Ikisha hata viongozi wa Chadema wapo ambao sii waumini wa mrengo wa kati kulia tunawasikia wakisema hovyo majukwaani dhidi ya mrengo huo japo wamepewa dhamana ya kukiongoza chama ktk misingi ambayo wao wenyewe sii waumini. Hizi ndizo siasa za Bongo hakuna swala la ITIKADI ktk vyama - HAKUNA ila katika maandishi na ndimi zao.

Ni sawa na mtu aloingia Uislaaam au Ukristu kwa sababu ya masharti ya ndoa upande wa pili, maadam kampenda Binti/Sharobaro swala la imani linawekwa kando anaingia na kubatizwa lakini hana imani ya kweli. Kilichompeleka kusilimishwa dini sii imani bali mapenzi yake ya mke/mume. Hivyo huwezi kumtegemea mtu huyu kufuata imani ya dini ama kuongoza sala japo anaweza kuwa msemaji mzuri lakini lengo lake la awali ni Ubinafsi wake yeye na ktk kuwafurahisha wakwe zake. Hivyo matakwa ya wakwe zake ndio yamesababisha mtu kuingia Uislaam/Ukristu na sii imani. Ndio kusema - Siasa za Bongo watu wanaingia kufuata mapenzi yao na sii imani zao.

Hivyo basi Kitila na Zitto sii wakosa ni sehemu yetu ni reflection yetu na wanaelewa siasa za Bongo kwa maana ya kwamba kama kweli tunafuata imani na misingi ya kiitikadi basi huwezi kumfukuza mtu uanachama ila unaweza kumuengua uongozi. Huwezi kumfukuza mtu ktk Ukristu au Uislaam kwa sababu ya kanuni za kanisa au msikiti ila mnaweza kumzuia mtu huyo kuingia kanisani/msikitini au kuongoza kanisa/msikiti huo. Atafukuzwa ama kujiengua mwenyewe ktk dini kama atavunja Ibada za kiimani na misingi ya imani ya dini hii lakini pia bado huwezi kuiondoa imani yake kwa sababu hafuati ibada.

Kwa maana hiyo hakuna mtu anayeweza kumvua mtu mmwingine imani yake ya kitikadi hadi apende mwenyewe. Na ndio maana tuna Waislaam jina, na tuna Wakristu jina kwa sababu hawafuati ibada za imani yao. Hivyo hata katika siasa kuna watu wanaoamini ktk Ujamaa lakini wao wenyewe wanaishi Kibepari. Tuna Wadanganyika wengi wanaupenda Ujamaa lakini wanaishi kikabaila toka wakati wa Nyerere na hawakunyang'anywa uraia wao.

Hii habari ya fukuza fukuza ndio inazidi kupotosha maana ya demokrasia nchini yaani leo tunampa Padri au Sheikh nguvu ya kubatiza na kufukuza watu na ndio maana tuna makanisa mengi (madhehebu) ya kiimani japo wote wanafuata biblia moja ni kutokana na kuwapa WATU ubwana wa kufukuza na kuajiri hata katika maswala ya kiimani. Hawa kina Zitto na Kitila wameachwa pasipo choice ni kama wamefukuzwa kanisa hilo la Chadema hivyo kuanzisha kanisa lao hawaoni kosa wala tatizo bali tatizo ni uongozi wa kanisa la Chadema. hivyo wao kulazimika kuanzisha chama chenye mrengo ule ule, mafundisho yale yale ila vichwa tofauti ktk kutafsiri kanuni za demokrasia ya kweli na sii ya chama kama ilivyokuwa kwa vyama vinginevyo vilivyowatangulia.

Kuwepo kwa vyama 20 vyenye mrengo sawa, imani sawa (Itikadi) tena basi sidhani kama kuna chama hata kimoja chenye kusimamia hifadhi ya mila na tamaduni zetu (conservative) kwa kuchelea kuitwa chama cha Mabepari na Mabwanyeye, au chama cha KIJAMAA kwa kuchelea kufananishwa na Ujamaa wa Nyerere. wote wamesimama kati na ukiwauliza kati ya nini hawajui zaidi ya kusema kushoto au Kulia.. Kulia kwa nani? hili litakuwa swali jipya!

Hivyo vyama vyote vimeegemea zaidi ktk U Liberali ambao unapingana na siasa za mwalimu lakini pia havikubali Ubepari japo ktk maamuzi yao tutawaweka ktk Ubepari ulopitiliza (CCM)...Ukiwauliza CCM wamesimama wapi watasema wao ni Wajamaa wa Kiafrika (Nyerere) ulofanyiwa ammendments..Kweli? jamani eeeh! kuvaa kanzu, baraghashia au Hijab kichwani hakumfanyi mtu kuwa Muislaam hata kidogo! huwezi kuamini ktk Ujamaa wa Kiafrika wakati unauza nchi (uhuru wao) kwa wageni..

Tupo kina sisi tunaojali maslahi ya Wakulima na Wafanyakazi japo hatuna chama halisi kinachotuwakilisha na tumejiunga Chadema kwa sababu ndio chama pekee chenye kuitangaza imani yetu kwa kusimamia mustakabali wa wanyonge (Wakulima na Wafanyakazi) japo tunaongozwa na viongozi waloingia uanachama kwa kufuata misingi ya demokrasia ya Kiafrika yaani demokrasia yetu mtu anafuata mapenzi yake ya roho (ndoa) na sii imani yao ktk kuwakomboa wazawa wanaojenga asilimia 80 ya Watanzania.
 
Kwa mujibu wa redio ya sauti uhuru, Katibu Mkuu wa ACT Samson Mwigamba amenukuliwa akisema kwamba - ujio wa Muungano wa UKAWA umevuruga malengo ya chama chake.

Mwigamba ananukuliwa akisema:

"Lengo kubwa la chama cha ACT ni kuwaunganisha wananchi na kuwaeleza ubovu wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema."

"Imekuwa vigumu kueleza uovu wa Chadema wananchi wakaulewa kwa sababu imetokea wananchi wanaiamini UKAWA na hawataki useme chochote kuhusu mshirika wa umoja huo".

"Naamini kwamba UKAWA utasambaratika kabla ya 2015 na hapo ndipo wananchi wataelewa kuhusu vita ya ACT na Chadema."


Maneno haya yanaimarisha hoja iliyopo mbele yetu kwamba chama cha ACT ni mpini wa CCM kumaliza upinzani.


cc Mkandara, JingalaFalsafa, Gamba la Nyoka, Ng'wamapalala, zumbemkuu, Alinda, Kitila Mkumbo

Yap! Na hivyo ndivyo asilimia kubwa ya Wanaafrika wanatenda pale unapowapa kinachoitwa Uhuru wa Kidemokrasia. Ni kujidanganya kuweka tumaini kwao. Yanatimia ila bado hatuamki, kwakuwa nasi ni aina ya hao wanaotumia Uhuru huo wa kidemokrasia. HULKA kwanza KUFIKIRI baadae, ni majanga na kuendeleza giza la unyonge wetu!
Mungu wetu yu tayari kutushindia vitani. Anaita sasa!
 
waafrika tuna matatizo sana

CDM, UDP, TLP, CUF ni conflict ya hao waasisi individual na CCM-sawa!

Leo ACT inafuata trend ile ile ya conflict yake na CDM --kosa!


i would be proud of chadema kuzaa mtoto

Mkuu Waberoya,

Sidhani Kama umeelewa vizuri hoja ya msingi ya mleta mada.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Waberoya,

Sidhani Kama umeelewa vizuri hoja ya msingi ya mleta mada.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Nimemuelewa sana labda ningesema 'mtoto'

internal conflicts/ misunderstandings ndio zina wafanya watu wajiengue na kuunda vikundi vingine

kutokukubaliana kwa mtei na Nyeree, akina kasera bantu, fundikira n.k .....na Mrema ndio kulizaa vyama vyote hivyo

siwezi kuwahukumu ACT kwa sababu yeyote ile na I will never waste my time blaming them kuwa wanaingia walivyoingia ...Vingine vyote vimetokea huko huko-kutoelewana/kutokukubaliana, ACT kesho nayo wasipoelewana 'itazaa' vingine!!!

ubinafsi na kutokubali kutokukubaliana ndio utaendeleza kuzaa utitiri wa vyama. haingii akilini vyama kushindwa ku control internal conflicts na kusababisha wengine wajiengue.....I do believe vitashindwa hata kuendesha nchi

penye conflicts ndipo panapozaa giants wa kubeba conflicts, kuzitatua, kuzimeza( absorb) na busara; penye conflicts ndipo panapozaa viongozi na ndipo watu wanapounganishwa na kupatanishwa......then they become stronger

conflicts zikiwepo na watu wakiwa excommunicated....na kuzushiwa basi hakuna viongozi hapo kuna waoga tu

ACT ni zao la chadema, either kwa uzuri au ubaya; kuwa ACT ni kisababishi, au CDM ni kisababishi cha KUTOELEWANA haijalishi,

lakini kitu kingefanyika, tunarudi nyuma sana kupambana na CCM, kibaya tumekuwa wanafiki wa kutosema ukweli hasa wapenzi wetu wnavyokosea

hatukuwa makini kuzuia ACT isitokee kwa kujitahidi kutatua matatizo ya ndani..hey!! yai hiloo lishatagwa tunalaumu limetokea wapi...hili hali wakati jogoo anamkimbiza tetea tulikuwa tunashangilia???
 
Nimemuelewa sana labda ningesema 'mtoto'

internal conflicts/ misunderstandings ndio zina wafanya watu wajiengue na kuunda vikundi vingine

kutokukubaliana kwa mtei na Nyeree, akina kasera bantu, fundikira n.k .....na Mrema ndio kulizaa vyama vyote hivyo

siwezi kuwahukumu ACT kwa sababu yeyote ile na I will never waste my time blaming them kuwa wanaingia walivyoingia ...Vingine vyote vimetokea huko huko-kutoelewana/kutokukubaliana, ACT kesho nayo wasipoelewana 'itazaa' vingine!!!

ubinafsi na kutokubali kutokukubaliana ndio utaendeleza kuzaa utitiri wa vyama. haingii akilini vyama kushindwa ku control internal conflicts na kusababisha wengine wajiengue.....I do believe vitashindwa hata kuendesha nchi

penye conflicts ndipo panapozaa giants wa kubeba conflicts, kuzitatua, kuzimeza( absorb) na busara; penye conflicts ndipo panapozaa viongozi na ndipo watu wanapounganishwa na kupatanishwa......then they become stronger

conflicts zikiwepo na watu wakiwa excommunicated....na kuzushiwa basi hakuna viongozi hapo kuna waoga tu

ACT ni zao la chadema, either kwa uzuri au ubaya; kuwa ACT ni kisababishi, au CDM ni kisababishi cha KUTOELEWANA haijalishi,

lakini kitu kingefanyika, tunarudi nyuma sana kupambana na CCM, kibaya tumekuwa wanafiki wa kutosema ukweli hasa wapenzi wetu wnavyokosea

hatukuwa makini kuzuia ACT isitokee kwa kujitahidi kutatua matatizo ya ndani..hey!! yai hiloo lishatagwa tunalaumu limetokea wapi...hili hali wakati jogoo anamkimbiza tetea tulikuwa tunashangilia???
Nami ''mtoto'' ambaye naweza kuwa stupid nichangie hoja zako muungwana tafadhali.

Kwanza, umemaliza vizuri sana kwa kusema tunarudi nyuma kupambana na CCM kutokana na utitiri wa vyama.
Nimelisema sana hili katika bandiko tulilo nalo, na naomba credit kwa wewe kulitumia leo.

Kama umenisoma nimeeleza mara nyingi, sina tatizo na ujio wa chama chochote au mwanachama kuhama chama kimoja kwenda kingine.Hiyo ni sehemu ya demokrasia na haki za msingi za kila mtanzania.

Nina tatizo na aina ya wanasiasa uchwara wanaotumia uelewa finyu wa jamii kuwapoteza kwasababu tu ya matumbo, na si kile wanachokihubiri.

Ninachokikataa ni wasomi kutumia kalamu na elimu zao kuupotosha umma wakitubabaisha wana mbadala.

Kusuluhisha migogoro ni jambo jema na ni sehemu ya ukomavu wa vyama.
Hata hivyo kuna kiwango ambacho kuvumilika inakuwa ni tatizo kubwa kuliko kuwaondoa.

Migogoro huwa ni sehemu ukomavu, lakini pia kumbuka chama kikongwe kama CCM kimemfukuza Mansour Himid kwasababu zao. Kwenye fizikia wanasema, vitu vina yield point, beyond that kunatokea jambo jingine.

Naelewa wewe ni swahiba wa Zitto, niwie radhi nitakapokugusa.
Zitto na Kitila ni mfano mzuri wa wanasiasa wanaotia shaka na hofu ,kimantiki, weledi na moral authority.
In fact kwangu mimi ni political opportunists tu.

Unafahamu ZZK alikuwa ni tatizo CDM,amevumiliwa sana akikingiwa kifua na Mbowe.
Baraza kuu liliwahi kutoa maazimio kumhusu,akavumiliwa.

Zitto ni chanzo cha migogoro akiongoza vijana wa Bavicha waliomtaja kwa kila aina ya ushiriki na ushahidi.
Alikuwa nyuma ya Juliana akitetewa na Kitila magazetini wakizorotesha CDM ili hali ni viongozi waandamizi.
Ni mshiriki wa Masalia and thanks to Ben Saanane who came to the rescue at the right time.

Mpango wa Juliana uliposhindikana, ukaundwa mpango wa Waraka.
Ikafika mahali ZZK akiwa katibu mkuu anacheza upande wa pili kutuhuma chama chake yeye akiwa kiongozi.
Mpango wa Waraka ambao ukiusoma ni mpango wa hovyo uliposhindwa ndipo ACT ikaanza kuundwa.

Katika kubabaisha watu ZZK akakimbilia mahakamani. Tunajua alitaka kuwa ndani ya BMLK, wala si kutaka kutetea haki.

Katika kumhamisha, Kitila kaanza kutudanganya anamshwishi ajiunge na ACT.
Tunafahamu hawa ni washirika katika shughuli zao, lengo la Kitila lilikuwa kuwaanda washabiki wasioelewa kumfuata Zitto.
Hilo nalo si tatizo, tatizo ni kutufanya sote ni vilaza kama kundi wanalolenga. Hapo tunasema, ney! stop

Tatizo linalojitokeza ni mkakati wa ACT kupambana na wapinzani badala ya CCM.
Hapa ndipo hoja ilipo, hivi hawa wasomi wanatumia nyenzo gani wakati wa kufikiri?

Tumeona kifo cha NCCR, halafu CUF na jinsi upinzani ulivyozorota na nyangumi CCM akitamba kwa ufisadi.
Hawa wasomi akili zao si kuondoa CCM ni kupambana na upinzani, REAL!

Ikifika hapo swahiba wako Zitto ni tatizo kubwa la siasa za nchi.Mshirika wake Kitila anaamini nchi hii lazima iongozwe na Zitto.

Na yote hayo yalizaa vurugu wakati wa chaguzi huku Zitto akileta sintofahamu, Kitila akiwachochea akina Juliana katika jitihada za kukimaliza chama chao wenyewe, na wao wakiwa viongozi.

Zitto katibu mkuu anatangaza kuwania urais wakati mgombea wa chama chake yupo katika kampeni.
Kwa uvivu na uzembe wa CDM walimvumilia kama unavyomvumilia, kwasababu ni mtu muhimu sana kwenye siasa za nchi hii. Real!

Tunazidi kupata ushahidi wa ushirikiano wa Kigoma, CDM,Ludovic, Mwigamba, Zitto, Kitila, Msaki,Lwakatare, CCM,Polisi kila uchao.Ipo siku tutasikia mengine achilia mbali yale ya masalia, text, waraka n.k.

Katika unafiki wa namna hiyo , ni akina Waberoya wanaoweza kuamini hawa watu wanastahili kupewa benefit of doubt katika nyanja za siasa.Pitia mabadiko ya ACT , hakuna sera ni mipasho tu halafu tunaaminisha ni mbadala wa CCM.

Narudia tena 'mtoto' sikuwahi kuandika chochote kuhusu ACT hadi ilipopata usajili na zaidi ya hapo.
Nimeanza kuandika baada ya akina Kitila na Zitto kuanza kutufanya umma wa Watanzania ni mazezeta.
Tunachojaribu kuwaambia hapa ni kuachana na siasa za majitaka za kitoto na watangulize usomi katika kufanya mambo.

Haya wanayofanya yanatokea kwa PPPT, jahazi au TLP na wala hayatushughulishi.
Kinachotushughulisha kwa hawa wasomi ni kuwa, wao ndio walioandika sera wanazosema ni mbaya leo hii.

Hawa ndio walipiga vita udikteta, wakitaka demokrasia itamalaki.Leo wanakuja na majitaka yale yale waliyokataa huko walikotoka.

Sisi tunasimama na kusema, umma lazima uwaelewa. Hatuwezi kuishi na wanafiki wa CCM miaka nenda rudi na tukae kimya wengine wakizaliwa na tukiwaona.

Lengo la ACT ni kuja kuua upinzani. Hatujali upinzani ni wa chama gani, tunacholaani ni ACT ya Zitto na Kitila kutaka kuturudisha kwa akina Mabere na Mrema. Ni kulaani kurudi kwa CUF ya Seif na Hamad Rashid. CUF ya Seif na Mapalala.

Tunalaani mbinu za kutibu matumbo kama anavyofanya Mrema.
Kukaa kimya ni kufumbia macho gonjwa baya la udanganyifu na siasa uchwara.Tunataka tutoke tulipo na si kuamini majina au watu.

Sina tatizo na ACT hata kidogo kwasababu hata sera zao sijaziona.
Nina tatizo na wanafiki wa ACT wanaotaka kutumia ignorance ya jamii kufanya political exploitation.

Ney, tutasimama, narudia tutasimama kuueleza umma kuhusu wanafiki, wazandiki na wasaliti wanaotibu njaa zao kwa kuwatumia wasiobahatika kuwa na uelewa kama ngazi za kujenga matumbo yao.

Na hapa simungunyi maneno, Kitila na Zitto ni national disaster in political sphere.

Waberoya, Nguruvi3 haangalii makunyanzi. Nimeshamwambia(Nipo katika rekodi) Mbowe mara nyingi, Dr Slaa tena mara ya mwisho ni mwezi uliopita, Mwigulu, Nape, Seif, Lema, Jusa, JK,Mrema na wengine.

Ninasema ninachotaka kukuambia na si kile unachotaka kusikia.
 
Nami ''mtoto'' ambaye naweza kuwa stupid nichangie hoja zako muungwana tafadhali.

Kwanza, umemaliza vizuri sana kwa kusema tunarudi nyuma kupambana na CCM kutokana na utitiri wa vyama.
Nimelisema sana hili katika bandiko tulilo nalo, na naomba credit kwa wewe kulitumia leo.

Kama umenisoma nimeeleza mara nyingi, sina tatizo na ujio wa chama chochote au mwanachama kuhama chama kimoja kwenda kingine.Hiyo ni sehemu ya demokrasia na haki za msingi za kila mtanzania.

Nina tatizo na aina ya wanasiasa uchwara wanaotumia uelewa finyu wa jamii kuwapoteza kwasababu tu ya matumbo, na si kile wanachokihubiri.

Ninachokikataa ni wasomi kutumia kalamu na elimu zao kuupotosha umma wakitubabaisha wana mbadala.

Kusuluhisha migogoro ni jambo jema na ni sehemu ya ukomavu wa vyama.
Hata hivyo kuna kiwango ambacho kuvumilika inakuwa ni tatizo kubwa kuliko kuwaondoa.

Migogoro huwa ni sehemu ukomavu, lakini pia kumbuka chama kikongwe kama CCM kimemfukuza Mansour Himid kwasababu zao. Kwenye fizikia wanasema, vitu vina yield point, beyond that kunatokea jambo jingine.

Naelewa wewe ni swahiba wa Zitto, niwie radhi nitakapokugusa.
Zitto na Kitila ni mfano mzuri wa wanasiasa wanaotia shaka na hofu ,kimantiki, weledi na moral authority.
In fact kwangu mimi ni political opportunists tu.

Unafahamu ZZK alikuwa ni tatizo CDM,amevumiliwa sana akikingiwa kifua na Mbowe.
Baraza kuu liliwahi kutoa maazimio kumhusu,akavumiliwa.

Zitto ni chanzo cha migogoro akiongoza vijana wa Bavicha waliomtaja kwa kila aina ya ushiriki na ushahidi.
Alikuwa nyuma ya Juliana akitetewa na Kitila magazetini wakizorotesha CDM ili hali ni viongozi waandamizi.
Ni mshiriki wa Masalia and thanks to Ben Saanane who came to the rescue at the right time.

Mpango wa Juliana uliposhindikana, ukaundwa mpango wa Waraka.
Ikafika mahali ZZK akiwa katibu mkuu anacheza upande wa pili kutuhuma chama chake yeye akiwa kiongozi.
Mpango wa Waraka ambao ukiusoma ni mpango wa hovyo uliposhindwa ndipo ACT ikaanza kuundwa.

Katika kubabaisha watu ZZK akakimbilia mahakamani. Tunajua alitaka kuwa ndani ya BMLK, wala si kutaka kutetea haki.

Katika kumhamisha, Kitila kaanza kutudanganya anamshwishi ajiunge na ACT.
Tunafahamu hawa ni washirika katika shughuli zao, lengo la Kitila lilikuwa kuwaanda washabiki wasioelewa kumfuata Zitto.
Hilo nalo si tatizo, tatizo ni kutufanya sote ni vilaza kama kundi wanalolenga. Hapo tunasema, ney! stop

Tatizo linalojitokeza ni mkakati wa ACT kupambana na wapinzani badala ya CCM.
Hapa ndipo hoja ilipo, hivi hawa wasomi wanatumia nyenzo gani wakati wa kufikiri?

Tumeona kifo cha NCCR, halafu CUF na jinsi upinzani ulivyozorota na nyangumi CCM akitamba kwa ufisadi.
Hawa wasomi akili zao si kuondoa CCM ni kupambana na upinzani, REAL!

Ikifika hapo swahiba wako Zitto ni tatizo kubwa la siasa za nchi.Mshirika wake Kitila anaamini nchi hii lazima iongozwe na Zitto.

Na yote hayo yalizaa vurugu wakati wa chaguzi huku Zitto akileta sintofahamu, Kitila akiwachochea akina Juliana katika jitihada za kukimaliza chama chao wenyewe, na wao wakiwa viongozi.

Zitto katibu mkuu anatangaza kuwania urais wakati mgombea wa chama chake yupo katika kampeni.
Kwa uvivu na uzembe wa CDM walimvumilia kama unavyomvumilia, kwasababu ni mtu muhimu sana kwenye siasa za nchi hii. Real!

Tunazidi kupata ushahidi wa ushirikiano wa Kigoma, CDM,Ludovic, Mwigamba, Zitto, Kitila, Msaki,Lwakatare, CCM,Polisi kila uchao.Ipo siku tutasikia mengine achilia mbali yale ya masalia, text, waraka n.k.

Katika unafiki wa namna hiyo , ni akina Waberoya wanaoweza kuamini hawa watu wanastahili kupewa benefit of doubt katika nyanja za siasa.Pitia mabadiko ya ACT , hakuna sera ni mipasho tu halafu tunaaminisha ni mbadala wa CCM.

Narudia tena 'mtoto' sikuwahi kuandika chochote kuhusu ACT hadi ilipopata usajili na zaidi ya hapo.
Nimeanza kuandika baada ya akina Kitila na Zitto kuanza kutufanya umma wa Watanzania ni mazezeta.
Tunachojaribu kuwaambia hapa ni kuachana na siasa za majitaka za kitoto na watangulize usomi katika kufanya mambo.

Haya wanayofanya yanatokea kwa PPPT, jahazi au TLP na wala hayatushughulishi.
Kinachotushughulisha kwa hawa wasomi ni kuwa, wao ndio walioandika sera wanazosema ni mbaya leo hii.

Hawa ndio walipiga vita udikteta, wakitaka demokrasia itamalaki.Leo wanakuja na majitaka yale yale waliyokataa huko walikotoka.

Sisi tunasimama na kusema, umma lazima uwaelewa. Hatuwezi kuishi na wanafiki wa CCM miaka nenda rudi na tukae kimya wengine wakizaliwa na tukiwaona.

Lengo la ACT ni kuja kuua upinzani. Hatujali upinzani ni wa chama gani, tunacholaani ni ACT ya Zitto na Kitila kutaka kuturudisha kwa akina Mabere na Mrema. Ni kulaani kurudi kwa CUF ya Seif na Hamad Rashid. CUF ya Seif na Mapalala.

Tunalaani mbinu za kutibu matumbo kama anavyofanya Mrema.
Kukaa kimya ni kufumbia macho gonjwa baya la udanganyifu na siasa uchwara.Tunataka tutoke tulipo na si kuamini majina au watu.

Sina tatizo na ACT hata kidogo kwasababu hata sera zao sijaziona.
Nina tatizo na wanafiki wa ACT wanaotaka kutumia ignorance ya jamii kufanya political exploitation.

Ney, tutasimama, narudia tutasimama kuueleza umma kuhusu wanafiki, wazandiki na wasaliti wanaotibu njaa zao kwa kuwatumia wasiobahatika kuwa na uelewa kama ngazi za kujenga matumbo yao.

Na hapa simungunyi maneno, Kitila na Zitto ni national disaster in political sphere.

Waberoya, Nguruvi3 haangalii makunyanzi. Nimeshamwambia(Nipo katika rekodi) Mbowe mara nyingi, Dr Slaa tena mara ya mwisho ni mwezi uliopita, Mwigulu, Nape, Seif, Lema, Jusa, JK,Mrema na wengine.

Ninasema ninachotaka kukuambia na si kile unachotaka kusikia.

You are totally OP , haukuelewa niliposema 'mtoto' mtoto nilimaanisha ACT, kuwa ni mtoto wa CDM

Unaandika mambo mengi sana na kujenga hoja nzuri kwa mtizamo wako. Ukweli hauko huru mkuu, wewe ni chadema na tofauti ya hapo jiweke wazi

ninasimamia ukweli na sina fitina, na akili zangu sishikiwi na mtu yeyote, I will stand with zitto na Kitila kwa sababu ya mitazamo yao

ninachokuzuia ni kuwa HUWEZI KUZUIA WATU KUANZISHA VYAMA KWA SABABU NA AGENDA IWAYO YOYOTE ILE-IT IS NATURE, IT IS THERE AT LEAST SERVE THAT ENERGY FOR OTHER THINGS, huna uwezo huo na utapata presha, nimesema hata ACT wakiwa na migogoro nao watazaa mtoto mwingine---I mean chama kingine kwani hivi vyote vimetokea CCM!!!

Sijaona wala sijui nilipokuita wewe mtoto na ukajitanguliza na kujiita stupid!

waandikie hao hao article ndefundefu-boring, biased, which they are not fit for matured mind

sijaona mantiki ya wewe na akili zako kupoteza muda ku analyze CDM or CCM affairs, you must be stupid thinking Mbowe slaa na akina kinana they have anything positive to do with Tanzanians!! at least in that juncture I can identify you as stupid not 'stupid'

Hakuna sehemu yeyote niliyo i ssuport ACT!! I wonder

ulichofikiri na kukosea ni kuwa haukutegema kuna GT kama mimi--oh yes I am , ambaye atakukumbusha hata CDM ni results za hizo hizo conflict na kuwa akina Mtei, seif sharif, kasera bantu, tumbo, fundikira, mrema walikuwa rejected ndani ya CCM..ulilisahau hili??-pole

Kikubwa ninachohuzunika, uliposema ACT wameanzisha kwa visasi..kimantiki nilikubaliana na wewe!!! pole tena

sidhani kama nina muda wa kujibishana na wewe ambaye unaweka historia za akina zitto, ben saanane, na story za chadema hapa, ona kichefuchefu kupoteza nguvu nyingi kwa hawa wanasiasa wasio na msaada wowote ule note that mpk sasa chadema washalamba 10b Tsh na CCM over 100b Tsh...wewe unakula nini?? tusimamie ukweli jamani!!

Ukiwa peke yako jaribu kujitahidi kuwa na independent mind, usipende kutaka favor za hawa wanasiasa, BE YOU, STAND FIRM

Mtu na akili zako unaposema ACT inakuja kuua upinzani una tofauti gani na CCM wakati CDM inaanzishwa walisema wataleta vita nchini?? una uthibitisho gani tangible wa kusema ACT inaua upinzani au story za vijiweni na blah blah?? huna evidence unajenga hoja za kufikirika kwa UPEO WAKO then count yourself STUPID with capital letters

hata makanisani wakitofautiana wanaanzisha makanisa yao, ulitakiwa ujue ni NATURE -is humanly, hata bendi za muziki wakitofautiana wanaanzisha bendi nyingine...in bible PETRO NA PAULO WALIPOTOFAUTIANA KILA MMOJA ALIENDA NJIA YAKE!!! kuhubiri the same thing....mifano iko mingi kila sekta,

Nguruvi ulikuwa haujui hili?? au kwa sababu mimi ni swahiba wa zitto hata hili ambalo liko obvious linahitaji rocket science??
 
Waberoya
Sitakujibu kwa matusi kwasababu sijawahi kushinda shindano au mtihani wa aina hiyo.
Ninafahamu unakerka Zitto anapoguswa. Nilidhani ungeona positive side umshauri mbinu mpya za kisiasa.
Kwa kiwango cha sasa bado ana safari ndefu na kwangu, Kitila na Zitto wameonyesha immaturity kisiasa, sad!

Nimesema , kwa kiwango cha elimu zao, mambo wanayofanya ni aibu. Nilisema huko nyuma na nitaendelea kwasababu sifungwi na mtazamo au mawazo ya mtu, hawa watu wameshindwa kutumia usomi na uzoefu wao kuleta mbadiliko chanya, wanaingia katika siasa za mitaani, too low for erudite, disappointing the least to say.

Sikuwahi kusema lolote kuhusu ACT na wala sikuwa na nia ya kusema lolote. Kilichonitia kichefu chefu ni Kitila kuanza kuandika na kusema maneno akitaka kuufanya umma wote ni mazezeta. He can do it to you, not me! ney.

Zitto ameongeza makundi machafu na kufikia mahali pa kuingiza ushirikina.
Pamoja na public trust aliyopewa, ameshindwa kusimama na kusema kilicho sahihi, huku akijificha nyuma ya vijana akiongoza hujuma dhidi ya wenzake anaokula nao.

Ukiangalia mtiririko wa matukio yake kisiasa, mtu unabaki kujiuliza, kuna nini tena unahitaji kubaini kutoka kwa ZZK?Well, akina Wabe walioapa kusimama naye watasimama nayE, ni haki yao ya kibinadamu na kidemokrasia.

Siwezi kuzuia kuanzishwa vyama, na sina sababu au nia ya kufanya hivyo. Ninasababu za kuuleza umma ninachokiona kwa mtazamo wangu na si lazima kifanane na mtazamo wa Waberoya. Ni makosa kunizuia, kashifu au kunitusi kwa kutumia haki yangu ya kutoa maoni.

Kwani, ungekaa pembeni kama ulivyokuwa siku zote nini kingeharibika kwako?
Nafahamu unaguswa swahiba wako kuelezwa ukweli, hatuwezi kukusaidia! tutamuweke mbele na wazi, tutaeleza mazuri yak na mizigo aliyobeba. ZZK ni public figure na hana immunity ya mtu au watu. We will take him on perfect and square, without fear or favor. For the time being Zitto is a failure role model and national disgrace.

Huna sababu za kujua nakula nini, nalala wapi nina mia ngapi na natumia muda wangu vipi.
Hizo milioni 10 au 100 unazijua wewe. Ninachokusudia na ambacho hakuna wa kunizuia ni kueleza maoni yangu kwa ukweli uwazi na uhuru. Nitaeleza bila unafiki ili kjitofuatisha na watu kama Zitto.

Mwigamba, 'aliyeuza silaha' na mshiriki M3 baada ya MM Zitto na Kitila katika Waraka, kasema nia ya ACT ni kuua upinzani. Waberoya kasema hata vyama vilivyopo vimetokana na migogoro.
Wote wanakusudia turudi nyuma katika siasa za nchi badala ya kwenda mbele.

Kitila kaandika makala akilaani CCM na CDM. Ni yule yule 'brain behind CDM' akiutaarifu umma kuwa CCM ni tatizo.
Leo anageuga na kusema CDM aliyoasisi ni tatizo.
Tunaambiwa mtu anayeyumbisha umma kiasi hiki tunahitaji ushahidi wa kumwelezea.Well, kuna mambo mawili, ima ni njaa au anatumika au vyote pamoja. No more no less!

Zitto alipoambiwa msaliti watu walitaka ushahidi. Hakukuwa na ushahidi hadi pale mwenyezi mungu alipoamua kuutoa.
Tumesoma text zake, habari zake zikawekwa hadharani zikiwemo za ushirikina. Eti tunatakiwa tutoe ushahidi zaidi!!!

Waraka upo wazi, na hata leo umetoka mwingine photocopy ya ule wa Kitila.
Tunaambiwa tulete ushahidi.
Hivi kama si Mwigamba kuuza silaha tungejuaje Zitto na Kitila! Mungu ni mwema jamani.

Waberoya, nimesimama na kumwambia Mbowe kile nilichokusudia na rekodi zipo.
Nimemwambia Mwigulu, Nape, Slaa na swahiba yangu Maalim Seif. Rekodi zipo wazi.

Mgogoro unaouona leo nimeuzungumzia 2010/2011 hadi leo. Rekodi zipo hapa JF.
Kinachonisukuma si kutafuta ngazi ya kisiasa kwasababu huko si mahali pangu na sitakwenda.
Kinachonisaidi ni kuwa mtu huru kuutumikia umma hata kwa malipo ya matusi.

Ninafahamu kuwa pale nilipojaaliwa kupaona, wapo wengi hawakubahatika kuona.
Nina dhima ya kiroho kutoa nilicho nacho hata kwa ujira wa matusi ikiwa kufanya hivyo ni kwa faida ya umma

Kinachonisadia na kunipa nguvu ni kuwa huru, nikiishi kwa nguvu zangu, bila kumtegemea mtu anigawie allowance, au kumlamba mtu miguu nipate ulwa! Siishi kwa kazi za kutumwa hata kuikalifisha nafsi yangu kwa kukataa ukweli na kushangilia ujahilia.Udhalili huo hauna nafasi kwangu!

Nikushukuru kwa mchango wako, na hakika nakuombea kwa mwenyezi akuongoe, akuepushe na jazba, akupe hekma, akujaliie riziki zako kwa njia nyepesi, akuondolee mabalaa.
Mungu akupe nguvu za kuisiaidia jamii kwa busara, na akufunilie kile usichokiona ili utakapojaaliwa uwe mfano mwema kwa wanao na vijana, hapa jamvini na huko mitaani, Amina!!
 
Waberoya
Sitakujibu kwa matusi kwasababu sijawahi kushinda shindano au mtihani wa aina hiyo.
Ninafahamu unakerka Zitto anapoguswa. Nilidhani ungeona positive side umshauri mbinu mpya za kisiasa.
Kwa kiwango cha sasa bado ana safari ndefu na kwangu, Kitila na Zitto wameonyesha immaturity kisiasa, sad!

Nimesema , kwa kiwango cha elimu zao, mambo wanayofanya ni aibu. Nilisema huko nyuma na nitaendelea kwasababu sifungwi na mtazamo au mawazo ya mtu, hawa watu wameshindwa kutumia usomi na uzoefu wao kuleta mbadiliko chanya, wanaingia katika siasa za mitaani, too low for erudite, disappointing the least to say.

Sikuwahi kusema lolote kuhusu ACT na wala sikuwa na nia ya kusema lolote. Kilichonitia kichefu chefu ni Kitila kuanza kuandika na kusema maneno akitaka kuufanya umma wote ni mazezeta. He can do it to you, not me! ney.

Zitto ameongeza makundi machafu na kufikia mahali pa kuingiza ushirikina.
Pamoja na public trust aliyopewa, ameshindwa kusimama na kusema kilicho sahihi, huku akijificha nyuma ya vijana akiongoza hujuma dhidi ya wenzake anaokula nao.

Ukiangalia mtiririko wa matukio yake kisiasa, mtu unabaki kujiuliza, kuna nini tena unahitaji kubaini kutoka kwa ZZK?Well, akina Wabe walioapa kusimama naye watasimama nayE, ni haki yao ya kibinadamu na kidemokrasia.

Siwezi kuzuia kuanzishwa vyama, na sina sababu au nia ya kufanya hivyo. Ninasababu za kuuleza umma ninachokiona kwa mtazamo wangu na si lazima kifanane na mtazamo wa Waberoya. Ni makosa kunizuia, kashifu au kunitusi kwa kutumia haki yangu ya kutoa maoni.

Kwani, ungekaa pembeni kama ulivyokuwa siku zote nini kingeharibika kwako?
Nafahamu unaguswa swahiba wako kuelezwa ukweli, hatuwezi kukusaidia! tutamuweke mbele na wazi, tutaeleza mazuri yak na mizigo aliyobeba. ZZK ni public figure na hana immunity ya mtu au watu. We will take him on perfect and square, without fear or favor. For the time being Zitto is a failure role model and national disgrace.

Huna sababu za kujua nakula nini, nalala wapi nina mia ngapi na natumia muda wangu vipi.
Hizo milioni 10 au 100 unazijua wewe. Ninachokusudia na ambacho hakuna wa kunizuia ni kueleza maoni yangu kwa ukweli uwazi na uhuru. Nitaeleza bila unafiki ili kjitofuatisha na watu kama Zitto.

Mwigamba, 'aliyeuza silaha' na mshiriki M3 baada ya MM Zitto na Kitila katika Waraka, kasema nia ya ACT ni kuua upinzani. Waberoya kasema hata vyama vilivyopo vimetokana na migogoro.
Wote wanakusudia turudi nyuma katika siasa za nchi badala ya kwenda mbele.

Kitila kaandika makala akilaani CCM na CDM. Ni yule yule 'brain behind CDM' akiutaarifu umma kuwa CCM ni tatizo.
Leo anageuga na kusema CDM aliyoasisi ni tatizo.
Tunaambiwa mtu anayeyumbisha umma kiasi hiki tunahitaji ushahidi wa kumwelezea.Well, kuna mambo mawili, ima ni njaa au anatumika au vyote pamoja. No more no less!

Zitto alipoambiwa msaliti watu walitaka ushahidi. Hakukuwa na ushahidi hadi pale mwenyezi mungu alipoamua kuutoa.
Tumesoma text zake, habari zake zikawekwa hadharani zikiwemo za ushirikina. Eti tunatakiwa tutoe ushahidi zaidi!!!

Waraka upo wazi, na hata leo umetoka mwingine photocopy ya ule wa Kitila.
Tunaambiwa tulete ushahidi.
Hivi kama si Mwigamba kuuza silaha tungejuaje Zitto na Kitila! Mungu ni mwema jamani.

Waberoya, nimesimama na kumwambia Mbowe kile nilichokusudia na rekodi zipo.
Nimemwambia Mwigulu, Nape, Slaa na swahiba yangu Maalim Seif. Rekodi zipo wazi.

Mgogoro unaouona leo nimeuzungumzia 2010/2011 hadi leo. Rekodi zipo hapa JF.
Kinachonisukuma si kutafuta ngazi ya kisiasa kwasababu huko si mahali pangu na sitakwenda.
Kinachonisaidi ni kuwa mtu huru kuutumikia umma hata kwa malipo ya matusi.

Ninafahamu kuwa pale nilipojaaliwa kupaona, wapo wengi hawakubahatika kuona.
Nina dhima ya kiroho kutoa nilicho nacho hata kwa ujira wa matusi ikiwa kufanya hivyo ni kwa faida ya umma

Kinachonisadia na kunipa nguvu ni kuwa huru, nikiishi kwa nguvu zangu, bila kumtegemea mtu anigawie allowance, au kumlamba mtu miguu nipate ulwa! Siishi kwa kazi za kutumwa hata kuikalifisha nafsi yangu kwa kukataa ukweli na kushangilia ujahilia.Udhalili huo hauna nafasi kwangu!

Nikushukuru kwa mchango wako, na hakika nakuombea kwa mwenyezi akuongoe, akuepushe na jazba, akupe hekma, akujaliie riziki zako kwa njia nyepesi, akuondolee mabalaa.
Mungu akupe nguvu za kuisiaidia jamii kwa busara, na akufunilie kile usichokiona ili utakapojaaliwa uwe mfano mwema kwa wanao na vijana, hapa jamvini na huko mitaani, Amina!!

Asante kwa ushauri na maombi mwanachadema
 
Asante kwa ushauri na maombi mwanachadema
Unaweza kuniita au kutukana kwa jinsi ulivyojaaliwa. Nafahamu siwezi kuwa mwema nikiwa na urafiki na ukweli. Nitabaki kuwa na rafiki 'ukweli' kwasababu ananiweka huru.

Sipo tayari kukaa kimya Zitto akikusanya vijana wakapigwe chale za makalioni.
Siwezi kukaa kimya Zitto akituhumu matumizi mabaya ya serikali huku akitetea ujenzi wa jengo la bilioni 2.5 kwa interest zake.

Waberoya, waambie akina Zitto/Kitila waendelee na siasa zao, lakini hutakaa kimya wala hatutapumzika wakati wakitumia kalamu zao kupotosha na kughilibu umma.

Lengo la elimu ni kumsaidia mwanadamu, si kuwa chaka la uovu.
Tutawaweka mbele na wazi bila kuwaonea au kuwahurumia kwasababu kwetu sisi wengine, haki ni utamaduni.

Tuna nguvu za kusema na kutenda kwavile maisha yetu hayategemei allowance ya utumishi au bungeni, mgao au kulamba miguu watu. Tunaishi kwa vichwa vyetu na si miongoni mwa wale waliotandikwa chale za makaioni kwa woga na hofu. Kwa njaa na dhalili

Haki na ukweli unatuweka huru.
 
Unaweza kuniita au kutukana kwa jinsi ulivyojaaliwa. Nafahamu siwezi kuwa mwema nikiwa na urafiki na ukweli. Nitabaki kuwa na rafiki 'ukweli' kwasababu ananiweka huru.

Sipo tayari kukaa kimya Zitto akikusanya vijana wakapigwe chale za makalioni.
Siwezi kukaa kimya Zitto akituhumu matumizi mabaya ya serikali huku akitetea ujenzi wa jengo la bilioni 2.5 kwa interest zake.

Waberoya, waambie akina Zitto/Kitila waendelee na siasa zao, lakini hutakaa kimya wala hatutapumzika wakati wakitumia kalamu zao kupotosha na kughilibu umma.

Lengo la elimu ni kumsaidia mwanadamu, si kuwa chaka la uovu.
Tutawaweka mbele na wazi bila kuwaonea au kuwahurumia kwasababu kwetu sisi wengine, haki ni utamaduni.

Tuna nguvu za kusema na kutenda kwavile maisha yetu hayategemei allowance ya utumishi au bungeni, mgao au kulamba miguu watu. Tunaishi kwa vichwa vyetu na si miongoni mwa wale waliotandikwa chale za makaioni kwa woga na hofu. Kwa njaa na dhalili

Haki na ukweli unatuweka huru.

message received and noted sir
 
MGOGORO NDANI YA CHAMA CHA ACT

NI WAASISI DHIDI YA 'WAASI''

Takribani miezi miwili sasa kumekuwa na mgogoro unaofukuta ndani ya chama cha ACT
Yametolewa matamko na viongozi wa kkambi zinazopingana kila uchao.

Awali ,gogoro ulipoanza kwa taarifa ya Nayakarungu katika magazeti, viongozi wa kambi ya 'waasi' walikimbilia katika vyombo vya habari wakisema, ndani ya ACT hakuna kufukuzana. Kila jambo humalizwa mezani.

Kuelekea uchaguzi serikali za mitaa, hali ilionekana kuwa na suluhu na ACT waliyoshinda mengi ni ya mkoa wa Kigoma.
Hakuna sababu nyingine isipokuwa ile 'kiongozi ajaye' anatoka mkoa huo na alihitaji kuungwa mkono.
Hata baadhi ya viongozi walitamka hilo wakiwa katika mkoa huo

Kwa bahati mbaya sana, matokeo ya Kigoma ambayo yalikuwa ya awali kwa ACT tangu kianzishwe yalileta na UKAWA.
Chama hicho kipya kilijikita kujinasibu na ushindi dhidi ya wapinzani na si kubwa lao CCM

SUala la mzozo na vyama vingine haukuwa mkakati mzuri. Ilikuwa ni kuinyonga ACT au kuidumazaisifike maeneo mengine ya nchi kwa jinsi viongozi walivyochukuliwa matokeo na kuyapima na wapinzani wala si CCM

Picha ya awali ilikuwa ACT kuwa msadizi wa CCM, lakini pia ilionyesha mzozo wa viongozi wa upinzani waliofarakana unavyochukuliwa ki maeneo. Ni mkakati mbaya wa ACT. Chama cha ACT ahkiwezi kuwa cha mkoa kikafanikiwa kisiasa!

Mgogoro unaorindima umehusishwa na CHADEMA kwa upande mmoja, kuna nyakati ikisemwa ni suala la demokrasia, na wakati mwingine ni kuhusu uchaguzi ndani ya chama hicho. Ni ili mradi kutafuta mchawi ingawa anajulikana hasa ni nani

Watu wanaosema sema wameweka vipande vya habari ambazo zikiunganishwa zinatoa jibu

Kwa mfano, kambi ya mwenyekiti Limbu inasema uchaguzi uahirishwe na kwamba kuna mkakati wa kuondoa viongozi waasisi waliopo kwa kuweka wengine waliofukuzwa au kuhama vyama vingine.

Kambi ya 'waasi' ikiongozwa na katibu Mwigamba, hoja yao kubwa ni kutaka kufanya uchaguzi ndani ya chama.
Ukisoma maelezo yao, uchaguzi unatakiwa ufanyike ima kabla ya mwezi May na si zaidi ya hapo.
Kambi hii inasisitiza katika demokrasia, kwamba hata walikotoka ndicho walichopigania.

Ukisoma aya hizo mbili hapo juu utagundua tatizo ni kupigania nafasi za uongozi na wala hakuna demokrasia.

Kundi la waasisi linaona wakati wa kutupwa nje sasa umewadia, na haliridhiki na jinsi lilivyoachwa nje ya ujenzi wa chama na wahamiaji wengi wakitokea Chadema na wenye ushawishi

Kundi hilo la mwenyekiti au waasisi limesema wazi, hofu yao ni kutekwa kwa chama na kundi la wahamiaji linalojulikana kama waasi.

Kundi la katibu Mwigamba na Kitila Mkumbo linataka uchaguzi ufanyike kwa udi na uvumba.

Halitaki uchaguzi ufanyike mwezi 6 na kuendelea, bali linasisitiza ufanyike kabla ya mwezi May.

Inajulikana chama ni kichanga na kitaingia uchaguzi mkuu kikiwa kichanga.
Hakuna matarajio ya kupata mgombe wa Urasi

Hivyo iilikuwepo haja ya kuwa na uongozi utakaokivusha katika hatua za madiwani na wabunge.
Hilo linawezekana kwa uongozi wa sasa kuendelea wakisadiwa na viongozi wa kundi la wahamiaji.

Tatizo linalojitokeza kwa waasi ni kuwa, mkakati wao ni kuhakikisha 'wanayemtaka' anakuja kuchukua nafasi ya uongozi wa chama kuelekea uchaguzi mkuu.

Hilo litamhakikishia uwezekano wa kuwa mbunge kupitia ACT
Wanayemtaka kwasasa hana makao maalumu, na ni tishio kwa nafasi yake.

Mkakati uliokuwepo ni kufuta kesi mahakamani na kuhamia ACT kwa muda wa miezi 5 iliyobaki kabla ya kuvunjwa bunge, jambo ambalo lisingekuwa na athari kisiasa.

Huo ndio msingi mkubwa wa kung'ang'ania uchaguzi mwezi May

Kwa hali ilivyo, mgogoro huu ni mkubwa na umeshaingia nyongo.
Hakuna uwezekano wa makundi hayo kukaa kitako na kumaliza tofauti zinazohusu masilahii ya kambi zao.

Endapo kambi ya Limbu itashinda, basi wahamiaji watakuwa na wakati mgumu sana wa kuendelea na shughuli za chama

Endapo wahamiaji au waasi watashinda, hoja ya kwamba walitaka kuondoa waasisi ili kuleta mtu wao itakivuruga chama

Katika sakata hili kuna waathirika

Waathirika ni makundi hasimu kwa namna moja au nyingine, na Zitto Kabwe anayehusishwa sana na mgogoro wa uongozi ingawa jina hilo halijitokezi wazi kwa kuwa lina 'code''.


Tutaendelea kuangalia waathirika wa sakata hili kwa kina


Inaendelea....
 
WAATHIRIKA WA MGOGORO NA HATIMA YAO

HAMKANI SI SHWARI ACT, MATAMKO NA KAULI HOVYO

NCCR ILIANZA KAMA ACT, KUFICHA UKWELI SI JAWABU

Wiki nzima sasa kuna juhudi za matamko, maazimio, kauli na kila aina ya kelele kutoka kwa wapiga debe wa ACT
Hakuna mwenye uhakika nani ni msemaji wa chama, uhakika uliopo ni kila mtu mwenye nafasi kutoa kauli

Katika siku za karibuni mgogoro huo umehusishwa na chama cha CHADEMA.
Kadri siku zinavyosonga watu zaidi wanahusishwa. Mwl Kaijage naye anamtuhumu Saed Kubenea kama chanzo cha mgogoro.

Huko nyuma NCCR ilikuwa na mgogoro wa uongozi. Nao kama ACT walitumia magunia kuficha uvundo kwa kutuhumu CCM kuingilia kati. Inawezekana ikawa ni hivyo na hata haya ya Chadema yanawezekana.
Hatuwezi kusema ni kweli au si kweli kwa vile hatuna ushahidi wa kutosha

Hata hivyo, endapo kuna watu wanatumiwa kuvuruga chama na wanachama wanakubali kuvurgwa, basi chama hicho hakipaswi kupewa uongozi hata wa kijiji.

Tukiangalia mgogoro wa NCCR na huu wa ACT kuna ufanano mkubwa
NCCR ilikuwa ina waasisi akina Mabere Marando, kisha alikuja 'masiah' Mrema.
Kama ACT, NCCR ilikuwa na waasisi na wahamiaji ambao nao walikuja kubainika ni waasi.

Yaliyotokea NCCR ni vipigo kama kile cha Tanga, chama kuvurugika na kupoteza mweleko.
Wapo waliohama, waliobaki na wengine walirudi CCM, kama Mh Lamwai

ACT hawapaswi kukwepa ukweli kwa kutafuta wachawi.
Mgogoro unahusu waliomenyeka kuanzisha na kueneza chama dhidi ya wahamiaji.
Na kubwa zaidi, wahamiaji wanatfuta njia za kumweka kiongozi wanayemtaka kwa gharama kubwa ya kisiasa, Mh Zitto.

Ni ujinga endapo atatokea mtu akipinga uhusiano wa ACT, Kitila, Mwigamba na Zitto
Ni fair kabisa kusema Zitto ni sehemu muhimu sana ya mgogoro akiwa nje ya eneo

Kiini hasa ni waasi kuona wanatupwa nje, na wahamiaji wanakuja na mtu wao.

Hili ndilo tatizo na ACT hawawezi kukataa ukweli huu kwa kutafuta maneno au wachawi.
Kauli za 'sisi ni wamoja' tutashinda n.k. ni za kujilaghai. Jeraha lililopo haliponi kwa kutafuta wachawi nje ya ukweli unaowakabili

Hata kama jereha litapona, ACT haiwezi kuwa wamoja tena na yale ya NCCR yanaweza kujirudia
Tayari kuna kutoaminiana, husda, kutiliana mashaka, na maslahi kwa ujumla.

Ni vita inayosubiri muda muafaka
Wakati huo huo, ACT inapoteza wanachama walioiona mbadala ingawa tayari ilishaonekana tatizo kutokana na historia chafu ya watendaji na washauri wao


WAATHIRIKA

Waasisi hawana majina katika medani za kisiasa nchini. Wana uwezo wa kwenda popote kuendeleza shughuli zao za kisiasa.
Na hapa tunasema, zaidi ya kumenyeka kukianzisha na kusimika chama, hawana cha kupoteza

Waasi au wahamiaji wana tatizo. Kwamba,yaliyosemwa dhidi yao yanaonekana kuwa na ukweli.
Na nje ya ACT waasi hawana pa kujibanza isipokuwa sehemu moja tu, CCM.

Hilo linawezekana kama alivyokuwa Masumbuko Lamwai.
Tayari katika vyama vya siasa waasi wanaangaliwa kama tatizo
Hilo ndilo linawasukuma kukomaa na ACT na wala si kueneza demokrasia

Mh Zitto na Wafuasi.
Hili kundi lina wafuasi watiifu sana wa mheshimiwa.
Ni kundi lisilojali mh yupo wapi au kwanini bali lipo tayari kuandamana naye kule anakoelekea.
Mgogoro wa ACT unalisumbua kundi hili.

Kwanza, hali yao ya kisiasa ya siku za baadaye, na pili hali ya kisiasa ya kiongozi wao

Mh ana machaguo ya kutosha katika hali iliyopo sasa

1. Kuelekea ACT kwa nguvu za aina yoyote na kutumia ushawishi wa kisiasa kuleta makundi hasimu pamoja.
Gharama ni muda utakao mrudisha nyuma kisiasa kwa kuanza ujenzi wa chama, kurudisha imani na kuendelea pale walipokwama
Gharama nyingine ni kufungwa mikono ili asiwatumikie waliompigania au kuwapendeza waasisi. Hili nalo litapunguza nguvu yake kisiasa

2. KUbaki Chadema: Kuna uwezekano wa kusulihishwa kwa viongozi wanaotofautiana.
Tatizo lipo kwa manazi na mashabi walioondoa imani kwake.
Nalo pia litamsumbua sana kwasababu atatumia muda mwingi kujijenga upya badala ya kwenda mbele kisiasa

3. Kuhamia vyama vingine. Hapa uwezekano ni CUF.
Tatizo linalomkabili ni ile nadharia yake inavyopingina na sehemu kubwa ya nadharia ya CUF.
Kwenda kubadili chama, hilo hana nguvu nalo tukijua CUF sehemu kubwa inashikiliwa na wazanzibar wenye chama na mitazao yao

4. Kukaa nje ya siasa kwa muda.
Gharama za hili ni kutoweka katika majukwa. Siasa ni kazi inayomtaka awaye kuwa machoni mwa watu kila mara.

Ikitokea Zitto akachukua likizo, atakaporejea atakuwa na kazi mbili, kujijenga na kushindana na wengine wanaojichomoza
Ni mwiba wenye ncha mbili

ACT wafanye nini katika mazingira yaliyopo?

Itaendelea..
 
ACT WAFUKUZANA NA KUVURUGANA
NI TIMUA TIMUA, WAKILAMBA ‘MATAPISHI' YAO

Wiki hii zipo habari za chama cha ACT kuwatimua wananchama wake
Habari si ya kushangaza kwa mazingira ya vyama vya siasa nchini

Kinachoshangaza ni pale wale walioamini hakuna kufukuzana, sasa wanafukuzana

Kwanza, kundi la mwenyekiti liliwatimua wahamiaji.
Na sasa wahamiaji wamewatimu waasisi. Kilichopo ni fukuza fukuza

Wahamiaji walipofukuzwa CDM, hoja kubwa ilikuwa ni kwamba hakuna sababu za kufukuzana katika vyama.

Kila jambo linawekwa mezani na kuzungumzwa.
Na hata mgogoro wa ACT ulipoanza, wahamiaji waliificha kwa mtazamo wa kuzungumza.

Umma umetunduwaa, iweje waumini wa kustahimiliana wamegeuka mawe?

Duru tulisema, kufukuzana si suala la mfanano.
Mazingira ndiyo yanayoamua aina ya hatua dhidi ya mkosaji.
Endapo hatua za kumtimua mwanachama au wananchama ndio uongofu, hilo na liwe

Tulisisitiza kwa dhati katika kutoa hukumu, kusiwepo na uonevu wa aina yoyote.
Tulisimama na mbunge wa CCM Mansour Himid aliyefukuzwa kwa kutofautiana mitazamo na chama chake.

Mansour hakuwa na kundi la watu, wala hakuwa anayasema pembeni.
Alisema wazi kuwa ni muumini wa serikali 3 au mkataba.

Na hilo si jambo la ajabu. Tume ya Warioba imeonyesha viongozi waandamizi wa CCM kusemea pembeni kuhusu mfumo uliopo.

Tofauti yao na Mansour ni kusema hadharani na kifichoni.

Kwa Mansour, haki haikutendeka. Hakuna anayeweza kusema kwa uhakika kosa la Mansour Himid ni kitu gani.

Huko ndiko kufukuzana tunakosema hakufai.
Na hapo ndipo yanapowezekana mazungumzo mezani

Tofauti na Mansour, wahamiaji wa ACT walianza timbwili kwa kuhujumu chao cha wakiwa viongozi.

Walileta migongano isyo ya lazima, wakiwa wamejificha na si kwa uwazi kama ilivyo kwa Mansour Himid.

Wao walitenda Uasi na si demokrasia kama wanavyodai

Na huko ACT nako madai hayohayo yamewakuta.
kwa mtazamo wa makundi, kuna sababu za kuamini hali ile waliyoondoka nayo CDM ndiyo wanaiendekeza.

Lakini pia viongozi nao walaumiwe. Nao walikuwa mstari wa mbele kulaani kile kile kilichowaondoa CDM ambacho wamekitenda kwa kufunga osisi na kugeuza chama mali yao

Tumalizie kwa kusema, mgogoro wa ACT hauna afya kwa upinzani.

Hata hivyo unatoa mwanga mzuri wa aina ya viongozi waliopo.
Na hili la ACT linajieleza vema.

Tusemezane
 
quote_icon.png
By Dotto C. Rangimoto

Naomba mrejee ahadi yangu jana kuhusu fedha zinazosemekana anadaiwa Mwigamba, jana nilisema kuwa nitalifafanua hili katika nukta saba. kwa waliosoma post yangu ya jana naomba tuende sawa.

Mosi.
Mwigamba hadaiwi hata senti tano kipande.

Samson Mwigamba hadaiwi hata senti tano na Gerald. Kwahivyo ni kitendo cha udhalilishaji cha kutangaza hili na kwa vyovyote vile ni jinai na Mwigamba akiamua anaweza kuwachukulia hatua za kisheria Gerald na kundi lake lenye njama hizi chafu.

Pili.
Hiyo mil 1 inayotajwa ni ya nini?

Hiyo mil 1 anayosema Gerald anamdai Mwigamba ni michango ya wanachama wa ACT mkoa wa ARUSHA walioichanga kwaajili kufanikisha zoezi la usajili wa chama. Baadhi ya wanachama waliombwa wachangie ufanikishaji wa zoezi na hapo baadae chama kitawarudishia. Hivyo kama kuadaiwa inadaiwa taasisi na si mtu.

Tatu.
Kwanini Gerald anaidai?

Gerald anaidai sababu ni mmoja kati ya wanachama waliochanga hiyo mili 1. Kwahivyo utagundua kiasi halisi cha fedha anayodai Gerald si mil 1 sababu hizo fedha hakuchanga peke yake. Mwenyekiti wa mkoa wa Arusha Bw Kivuyo na mwenyekiti wa ngome ya wazee Bw Malla ambaye anatokea Arusha hili jambo wanalijua vizuri sana.

Nne.
Kwanini Gerald alizungumzia hiyo mil 1 katika kikao cha halmashauri kuu iliyoketi Singida?

Kwa vyovyote vile sababu iliyomfanya Gerald kuizungumzia hiyo pesa katika halmashauri kuu iliyofanyika Singida chama kilishindwa kulipa hiyo fedha kwa wakati. Sababu iliyopelekea fedha isilipwe ni maandalizi ya kikao cha halmashauri kuu amabayo wajumbe wake wanatoka kote nchini yaani bara na visiwani, hivyo kikao kile kilikuwa na gharama kubwa na chama kilijielekeza kwanza kwenye kikao kile kutokana na umuhimu wake. Hivyo chama kiliwaomba wanachama wa Arusha wavute subira na hizo fedha zitalipwa mara baada ya kikao cha halmashauri kuu.

Gerald bila kushirikisha uongozi wa mkoa wa Arusha akaliibua hilo katika kikao cha halmashauri kuu katika ajenda ya mengineyo. Aliamini kuwa chama kitalipa kwa haraka endapo jambo hilo likizungumzwa katika halmashauri kuu.

Tano.
Kwanini Habib Mchange aliahidi kuilipa?

Baada ya Gerald kuibua hilo deni, na kusema kuwa chama lazima kiwalipe haraka iwezekanavyo na hata ikibidi shughuli zake izisitishe hadi pale deni litakapolipwa, ndipo Habib Mchange akasema deni hilo atalilipa yeye na ya kwamba asikisumbue tena chama. Hivyo siku ile jambo hilo likawa limeisha hivyo kwa Habibu kuahidi kulilipa hilo deni mara baada ya kufika Dar es salaam.

Sita.
Kwanini Mchange hakuilipa?

Mara baada ya kumaliza kikao usiku ule, viongozi wa Arusha waliketi na kuanza kumuhoji Gerald iweje aibue hoja ile katika kikao bila kuwashirikisha, wakasema kitendo chake kimewadhalilisha watu wa Arusha kwasababu viongozi wa mikoa yote wanajua chama hakina fedha, na wao pia wanajua kuwa chama hakina fedha na ikizingatiwa kikao cha kile kilitumia fedha nyingi hivyo kuibua hoja ile ni sawa na kuonesha watu wa Arusha hawana uchungu na ACT.

Katika kikao chao hicho watu wa Arusha walimwambia Bw Gerald kuwa hizo fedha hukuchanga peke yake hivyo alitakiwa wazungumze na kukubaliana kwa pamoja kabla ya kuchukua hatua ya kulalamika au kuwasilisha mbele ya wajumbe wenzao toka mikoa mingine. Wakaamuuliza " kwanini sisi tulichanga Tsh ngapi katika ile mil1?", Gerald akajibu kwa kuwambia "mmechanga Tsh 400,000/= "

Hivyo ikaonekana kiasi halisi cha fedha ambacho Gerlad anakidai chama ni Tsh 600,000/= Hivyo Mchange akapata sasa deni halisi ambalo linatakiwa kulipwa kwa Gerald ni Tsh 600,000/=. Pamoja na hayo na kabla hiyo Tsh 600,000/= haijajulikana kama ndio kiasi halisi anachostahili Gerald kulipwa, likaibuka suala la mahesabu ya mkoa wa Arusha kuwa tata, Gerald ndio mwekahazina wa mkoa. Mkoa ukatoa sharti kwamba Gerald asilipwe hadi aweke sawa mahesabu ya mkoa, kwani Tsh 500,000/= zilikuwa hazionekani zilipo. Kwa kuzingatia sharti hilo ndio maana Mchange hakulipa hizo fedha.

Pamoja na hayo, mwekahazina wa chama taifa chini ya ofisi ya katibu mkuu iliamua kumlipa deni analolidai Gerald kwa sharti pia na huku ikisisitiza mkoa wa Arusha ulifanyie kazi suala la mahesabu ya mkoa. Chama kitalipa Tsh 400,000/= na hizo fedha tayari Gerald ameshalipwa, lakini Tsh 200,000/= haitamaliziwa hadi pale Gerald atakapoweka sawa mahesabu ya mkoa kama ilivyoamuliwa na chama mkoa. Kwahivyo sasa hivi kiasi halisi anachodai Bw Gerald ni Tsh 200,000/= na hizo fedha hawezi kulipwa hadi aweke sawa mahesabu ya mkoa wa Arusha.

Kwa taarifa leo hii chama mkoa wa Arusha kinakutana, pamoja na mambo mengine kitamjadili Bw Gerald kwa kitendo chake cha kusambaza urongo kuwa anamdai Mwigamba katibu mkuu wetu ili hali hamdai, na kubwa zaidi hii imeonekana ni mwendelezo wa kuwadhalilisha wanachama wa ACT MKOA WA ARUSHA kama ilivyofanyika Singida.

Saba.
Kwanini Nyakarungu ananyamaza kimya na kushabikia pamoja na kwamba ukweli anajua?

Sijui kwanini Grayson M Nyakarungu ananyamaza kimya na kushabikia hili pamoja na kwamba anajua huu ukweli. Sijui, lakini huenda uadui wake wa kisiasa na Mwigamba sasa unavaa sura mpya, na sura hii naigopa sana kwani inaweza kupelekea hawa mabwana wasisalimiane na wala kuombana japo maji ya kunywa.

Sababu Nyakarungu anajua kuidai CCM si kumdai Kinana, na kuidai CHADEMA si kumdai Slaa, iweje sasa kwa ACT iwe ni Mwigamba? Badala ya Nyakarungu kushabikia hili alitakiwa amuelimishe Gerald sababu nina shaka na upeo wa Gerald na kuelimika kwake. Kusoma kote kwa Nyakarungu nilijua kuwa ameelimika na kuelimika kwake kungetumika kumzindua Gerald hata ajue tafauti kati ya tasisi na mtu aliyechaguliwa au teuliwa kuongoza hiyo taasisi.

Kunyamaza na ushabiki wa Nyakarungu juu ya hili ni kiashiria cha dhamiri yake ya kumpiga Mwigamba kwa pigo lolote hata lile ambalo linakwenda kinyume na sheria au kanuni za ngumi za ridhaa. Ndio maana marefa wanatakiwa kuwapo ili kuahikisha hakuna kurusha mateke wala kung'atana, na niko na imani nimefanya kazi yangu vizuri kama refa.

Napiga filimbi, ngumi ziendelee, tafadhali Nyakarungu usikimbilie kung'ata tena kama umeishiwa pumzi au kama huwezi mpambano lala chali kama mende na hiyo ndio itakuwa salama na heshima kwako kinyume chake ni kuendelea kujidhalilisha.

MWISHO.
Kuna suala sijui la kanisani, sijui Mwigamba alikwapua fedha huko, yaani watu wanasema ni shidaaa!, mimi si mshirika wa kanisa tajwa, hivyo wanahabari na watanzania tuache uvivu, badala ya kushabikia hili ni bora tukaulize huko kanisani.

Pamoja na hayo, naomba niseme kitu kimoja hapa, kwa maelezo yangu ya hapo juu nafikiri tayari mmeshagundua urongo wa huyu Bw Gerald. Kama anaweza kusema kuwa anadai mil 1 badala ya Tsh 200,000/= na kama anasema anamdai Mwigamba badala ya ACT, hatashindwa nini kuongopa kuwa Mwigamba ameiba au amedhulumu fedha kanisani?

Sisi katika uislamu ili hadithi iwe na nguvu sharti lake kubwa mpokezi wa hiyo hadithi awe hakuwahi kuthibitika kusema urongo, pale itakapothibiti huyo swahaba aliwahi kusema urongo basi hadithi zake zote juu mtume Muhamd(s.a.w) huitwa dhaifu na hazifai kutumika katika sheria za kiislamu.

Ndio huyu Bw Gerald kwa urongo wake huu juu ya hizi fedha unatupatia sababu ya kuacha kuamini kila analolisema juu ya Mwigamba na kwa vyovyote vile anachokifanya anakijua na si kingine bali utekelezaji wa mradi makhususi kwa kuiua ACT. Wanachama wenzangu tukijenge chama chetu na tujikite na uchaguzi wa ndani, chukua fomu na gombea, kama unakereka kinachoendelea ndani ya ACT na kama unataka kufanya mabadiliko basi gombea au chagua kiongozi mwenye uwezo wa kumaliza kadhia hii na hata atufikishe kwenye uchaguzi mkuu wa nchi tukiwa wamoja.

NAIPENDA ACT, SINILAUMU BILASHI.

Njano5.
0762845394/0715845394/0784845394

cc Nguruvi3 Mchambuzi Mkandara Waberoya Pasco Kitila Mkumbo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom