Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Alinda umemjibu Barubaru vizuri sana. Hapo nyuma Barubaru kasema Zitto anaandamwa.

Tulikaa kimya tukijua majibu yapo, ndiyo hayo!


Kiongozi mkuu ameitaja Arusha kama sehemu moja ya watu walioweka miguu juu.

Hawezi kusema jambo baya bila kutaja mikoa ya kaskazini kama Arusha

Huyu ndiye kiongozi anatarajiwa kuongoza taifa akijenga nyufa za chuki jukwaani


Kuanzia dakika 14.17 anaeleza uenyekiti ndio tatizo.

Hakuwaeleza wananchi wake juu ya
Waraka!

Hakueleza juu yauchochezi aliousimamia miaka yote ukiwemo wa masalia, akina Shonzy n.k.

Supreme huwa anakaribisha mijadala bila kujua. Akiwa na vipaza sauti anahitaji washauri.

Ukisikiliza hiyo hotuba ukaanganisha na madudu yaliyofuata ya ACT utaweza kupata picha halisi ya mwenzetu.


Bado anahitaji muda mwingi kukua kiakili na fikra.



Unajua nimepatwa na mshangao:

kwamba wakati watu wa Kigoma wakipigwa virungu watu wa Arusha, Iringa na Singida walikuwa wamelala?? hivi ni kweli?
Kwamba watu wa Kigoma ndo wanamageuzi kuliko watu wa mkoa wowote hapa Tanzania?
Kwamba watu wa Iringa, Arusha na Singida wana midomo mirefu???
Hivi kosa la watu wa Arusha, Iringa na Singida ni nini? Wamemkosea nini Zitto?

Hivi hizi ni akili za kawaida kweli? Kwamba kiongozi anaweza kupanda jukwaani na kusimanga watu wa mkoa fulani? Yaani siku 45 za kukaa jela kwa Mzee Kasiko ndo ikufanya kudhalilisha wa mikoa fulani watu? Je watu waliopata vilema, watu waliokufa kwa ajili ya mageuzi hawa utawaitaje?

Hama kweli Zitto mwenyewe alisema "Msiwaamini wanasiasa"


Swali ninalojiuliza ni kuwa akienda Singida anatawambia kuwa "Nyie wana Singida fungeni midomo yenu mirefu kwani wakati wana Kigoma wanalalla jela nyie mlikuwa mnawakumbatia watawala?

Ila kiboko ni "Kwani mtu wa Kigoma haruhusiwi kuwa Mwenyekiti?? hii sentesi sijaielewa nini makusudi yake? Hivi alishindwa kusema "kwanini mimi Zitto siruhusiwi kuwa Mwenyekiti??" Nini siri ya hii sentensi?? Mkandara. JokaKuu , Mag3 , Adharusi na mengineo
 
Last edited by a moderator:
Unajua nimepatwa na mshangao:

kwamba wakati watu wa Kigoma wakipigwa virungu watu wa Arusha, Iringa na Singida walikuwa wamelala?? hivi ni kweli?
Kwamba watu wa Kigoma ndo wanamageuzi kuliko watu wa mkoa wowote hapa Tanzania?
Kwamba watu wa Iringa, Arusha na Singida wana midomo mirefu???
Hivi kosa la watu wa Arusha, Iringa na Singida ni nini? Wamemkosea nini Zitto?

Hivi hizi ni akili za kawaida kweli? Kwamba kiongozi anaweza kupanda jukwaani na kusimanga watu wa mkoa fulani? Yaani siku 45 za kukaa jela kwa Mzee Kasiko ndo ikufanya kudhalilisha wa mikoa fulani watu? Je watu waliopata vilema, watu waliokufa kwa ajili ya mageuzi hawa utawaitaje?

Hama kweli Zitto mwenyewe alisema "Msiwaamini wanasiasa"


Swali ninalojiuliza ni kuwa akienda Singida anatawambia kuwa "Nyie wana Singida fungeni midomo yenu mirefu kwani wakati wana Kigoma wanalalla jela nyie mlikuwa mnawakumbatia watawala?

Ila kiboko ni "Kwani mtu wa Kigoma haruhusiwi kuwa Mwenyekiti?? hii sentesi sijaielewa nini makusudi yake? Hivi alishindwa kusema "kwanini mimi Zitto siruhusiwi kuwa Mwenyekiti??" Nini siri ya hii sentensi?? Mkandara. JokaKuu , Mag3 , Adharusi na mengineo
sijui nyie mnaelewa vipi kuhusu content maana Zitto anazungumzia uongozi ndani ya Chama - CHADEMA. Kwa kumaanisha wakati yeye kama mbunge pekee wa Kigoma anapigania mageuzi watu kama Dr.Slaa na Lissu na huyo wa Iringa sijui nani walikuwa wamelala..(hakuwa na haja ya kuwataja majina lakini inaleeweka) Hii haiwahusu wananchi wa mikoa hiyo isipokuwa ujumbe mzima unahusu nafasi yake ndani ya Chadema na mizengwe alokutana nayo.

Kumbukeni miaka hiyo kazi kubwa ya viongozi wa Chadema ilikuwa kukitangaza chama, kusisitiza mageuzi na ndivyo nilivyomuelewa mimi na kusema kweli mwaka 2005 wakati Mbowe anagombania Urais Chadema tayari ilikuwa imejijenga hata kama Dr.Slaa na Lissu wasingejiunga chama kilikuwa tayari kimeshajiweka mahala pazuri. na ndivyo nilivyomuelewa mimi..
 
sijui nyie mnaelewa vipi kuhusu content maana Zitto anazungumzia uongozi ndani ya Chama - CHADEMA. Kwa kumaanisha wakati yeye kama mbunge pekee wa Kigoma anapigania mageuzi watu kama Dr.Slaa na Lissu na huyo wa Iringa sijui nani walikuwa wamelala..(hakuwa na haja ya kuwataja majina lakini inaleeweka) Hii haiwahusu wananchi wa mikoa hiyo isipokuwa ujumbe mzima unahusu nafasi yake ndani ya Chadema na mizengwe alokutana nayo.

Kumbukeni miaka hiyo kazi kubwa ya viongozi wa Chadema ilikuwa kukitangaza chama, kusisitiza mageuzi na ndivyo nilivyomuelewa mimi na kusema kweli mwaka 2005 wakati Mbowe anagombania Urais Chadema tayari ilikuwa imejijenga hata kama Dr.Slaa na Lissu wasingejiunga chama kilikuwa tayari kimeshajiweka mahala pazuri. na ndivyo nilivyomuelewa mimi..


Mkuu Mkandara unataka kubisha hata kitu unachosikia na kuona mwenyewe? Narudia kasema hivi " wakati wazee wetu wanapingwa virungu, watu wa Arusha, Singida, Iringa wanakumbatia watawala" Hivi kama alikuwa anamaanisha Lissu je alishindwa kusema Lissu alikuwa anakumbatia watawala?

Alichosema ni WATu WA...... inamaana wako wingi si Lema tu, si Lissu tu na wala si Msingwa tu bali watu wote wa hii mkoa walikuwa wanakumbatia watawala na wana midomo mirefu.. hiki nicho alichosema wewe unaweza kutafsiri unavyotaka ila ukweli unabaki kama ulivyo katika hiyo video.
 
Mkuu mkandala naona unageuza maneno ya zitto yanayosikika na anavyoonekana kusema na kuweka yale unayotaka yawe kwenye huu mjadala, kwa hili umepotoka pakubwa sana.
 
Mkuu Mkandara unataka kubisha hata kitu unachosikia na kuona mwenyewe? Narudia kasema hivi " wakati wazee wetu wanapingwa virungu, watu wa Arusha, Singida, Iringa wanakumbatia watawala" Hivi kama alikuwa anamaanisha Lissu je alishindwa kusema Lissu alikuwa anakumbatia watawala?

Alichosema ni WATu WA...... inamaana wako wingi si Lema tu, si Lissu tu na wala si Msingwa tu bali watu wote wa hii mkoa walikuwa wanakumbatia watawala na wana midomo mirefu.. hiki nicho alichosema wewe unaweza kutafsiri unavyotaka ila ukweli unabaki kama ulivyo katika hiyo video.
Kwani Uongo? Kuna kosa gani ikiwa mkoa mzima ulikuwa chini ya CCM wakiishangilia na kuwachagua wabunge wake. Mbona Kamanda wenu alipokuja Dar alisema wakazi wa Pwani wamelala? akasema hadi chakula wanachokula ndio sababu? au hadi tuseme majina..
 
Mkuu Mkandara unataka kubisha hata kitu unachosikia na kuona mwenyewe? Narudia kasema hivi " wakati wazee wetu wanapingwa virungu, watu wa Arusha, Singida, Iringa wanakumbatia watawala" Hivi kama alikuwa anamaanisha Lissu je alishindwa kusema Lissu alikuwa anakumbatia watawala?

Alichosema ni WATu WA...... inamaana wako wingi si Lema tu, si Lissu tu na wala si Msingwa tu bali watu wote wa hii mkoa walikuwa wanakumbatia watawala na wana midomo mirefu.. hiki nicho alichosema wewe unaweza kutafsiri unavyotaka ila ukweli unabaki kama ulivyo katika hiyo video.
Akasema'' wakati anajenga chama, katibu mkuu wa chama chake alikumbatia watawala'' inaeleweka katibu mkuu ni Slaa na chama chake ni Chadema. Hakuna tatizo hapo kwani anaeleza ugomvi wake na Dr Slaa.

Tatizo linazuka pale anapotumia mikoa katika vita yake na watu wake. Leo hatudhani wananchi wa Iringa, Singida wanajsikia vizuri kusikia walikuwa miguu juu. Tunakumbuka Iringa wamekufa watu wakieneza habari za siasa za Upinzani
Tunajua watu wamepoteza maisha Arusha na kwingineko.

Tendo la kutaja mikoa ni katika mkakati wake wa kupambana dhidi ya mikoa. Hii vita ya Zitto na mikoa ni mbaya sana. Hivi atakuwaje kiongozi wa eneo na si nchi?
 
Alinda , tena kasema 'wananchi wa Kigoma wana haki ya kusikia kutoka kwake'' ni kweli lakini pia wana haki ya kusikia si kile anachotaka wasikie bali kile kilichotokea.

Kaeleza kuhusu tatizo la Uenyekiti, hajawaeleza mkakati gani alitumia baada ya kuambiwa asubiri.

Wananchi wa Kigoma wana haki ya kusikia kuhusu WARAKA pia
 
Alinda , tena kasema 'wananchi wa Kigoma wana haki ya kusikia kutoka kwake'' ni kweli lakini pia wana haki ya kusikia si kile anachotaka wasikie bali kile kilichotokea.

Kaeleza kuhusu tatizo la Uenyekiti, hajawaeleza mkakati gani alitumia baada ya kuambiwa asubiri.

Wananchi wa Kigoma wana haki ya kusikia kuhusu WARAKA pia
Sasa kama wazee walimwambia asubiri Mbowe ataongoza muhula mmoja zaidi ulitaka Zitto asijiandae kugombea Uenyekiti? Je, umewahi kujiuliza kwa nini baada ya hapo kamati kuu walifuta muda kiongozi kukaa madarakani? Ni rahisi sana kusema kina Zitto waliifanya siri kuandika waraka lakini mnashindwa kujiuliza kwanza kwa nini kamati kuu walifanya marekebisho ya Katiba katika kipengele hicho kwa siri (kugushi)..
 
Sasa kama wazee walimwambia asubiri Mbowe ataongoza muhula mmoja zaidi ulitaka Zitto asijiandae kugombea Uenyekiti? Je, umewahi kujiuliza kwa nini baada ya hapo kamati kuu walifuta muda kiongozi kukaa madarakani? Ni rahisi sana kusema kina Zitto waliifanya siri kuandika waraka lakini mnashindwa kujiuliza kwanza kwa nini kamati kuu walifanya marekebisho ya Katiba katika kipengele hicho kwa siri (kugushi)..
Mkuu Mkandara.

Huko kote tunazunguka sijui waraka sijui usaliti, maneno mengi tu point ni hii.
Ni muhimu wana Chadema mkafahamu kwamba kitendo cha kuondolewa kwa kipengele hicho ndicho kinacholeta mpasuko leo kwenye chama unaotokana na Mbowe (Freeman) na Zitto- (Kabwe) kupigania uenyekiti.-"Kama kingekuwepo leo Mbowe alikuwa anakatazwa na Katiba kugombea kipindi cha tatu na hivyo vita iliyopo kati yake na Zitto isingekuwepo na chama kingekuwa imara zaidi. Ni dhahiri Mbowe aliondoa kipengele hicho kwa makusudi ili aweze kuendelea kugombea bila mwisho na huu ni udikteta kama ule tu wa akina Lyatonga Mrema, John Cheyo na wengineo, na wana Chadema hawpaswi kuuruhusu si kwa Mbowe tu, bali kwa yeyote atakayepata nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama chao."

Sasa watu wanakimbia ukweli wanataka tujadili wanayopenda sijui waraka wa Kitila sijui Zitto anataka kufanya mapinduzi unafanya mapinduzi kwenye chama cha siasa, mapinduzi yanafanywa kwenye dola.
https://www.youtube.com/watch?v=CIxzicGIixw&feature=youtube_gdata_player
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama wazee walimwambia asubiri Mbowe ataongoza muhula mmoja zaidi ulitaka Zitto asijiandae kugombea Uenyekiti? Je, umewahi kujiuliza kwa nini baada ya hapo kamati kuu walifuta muda kiongozi kukaa madarakani? Ni rahisi sana kusema kina Zitto waliifanya siri kuandika waraka lakini mnashindwa kujiuliza kwanza kwa nini kamati kuu walifanya marekebisho ya Katiba katika kipengele hicho kwa siri (kugushi)..
Kama hilo lilitokea akina Zitto walikuwa na wajibu wa kulisema, siyo kukimbia uani na kuandika uchochezi

Walitakiwa wasimame kwa kilicho sahihi, si kujificha na kuanza kuandika matusi. Too low for erudite
 
Kwani Uongo? Kuna kosa gani ikiwa mkoa mzima ulikuwa chini ya CCM wakiishangilia na kuwachagua wabunge wake. Mbona Kamanda wenu alipokuja Dar alisema wakazi wa Pwani wamelala? akasema hadi chakula wanachokula ndio sababu? au hadi tuseme majina..



Hakuna kitu ambacho huwa kinanisikitisha iwepo mtu anajenga hoja yake/zake kwa neno "Mbona"..

Kwahiyo Zitto alisema watu wa Iringa, Singida na Arusha wanamidomo mirefu kwa vile "Kamanda alisema wakazi wa Pwani wamelala?

Nilifikiri Zitto ana akili kubwa na Kamanda wetu wana akili ndogo, Sasa iweje mtu mwenye akili kubwa afanye mambo wanayoyafanya watu wenye akili ndogo?

Nilifikiri Zitto angekuwa mfano wa siasa safi, siasa zenye hoja, siasa zenye kuunganisha watu, siasa zenye kuthamini utu wa mtu hata kama ni kipenzi wa chama kingine, Nilifikri Zitto anaelewa kuwa binadamu tumetofautiana na ndo maana kuna CCM na wanachama wake, kuna Chadema na wanachama wake, kuna ACT na wanachama wake. Sasa iweje mtu adhalilishwe kisa tu kuwa ni mwanaccm???

Ziko wapi siasa za hoja?

by the way hivi ni kweli watu wa Iringa Singida na Arusha wana midomo mirefu?
 
"Mbona".. Kwahiyo Zitto alisema watu wa Iringa, Singida na Arusha wanamidomo mirefu kwa vile "Kamanda alisema wakazi wa Pwani wamelala? Kwahiyo kauli ya Kamanda wetu inaalalisha kauli ya Zitto? by the way hivi ni kweli watu wa Iringa Siginda na Arusha wana midomo mirefu?
Hawana utetezi, unakumbuka walisema Mbona Mbowe kasema ABCD. Yaani uhalali wa kauli za supreme unatokana na kauli za watu wengine

Hilo la midomo mirefu litamgharimu sana Kiongozi mkuu. Huwezi kuwa na tatizo na mtu ukalifanya la watu
Mikoa anayoshambulia inazidi , lengo la kiongozi mkuu ni lipi? Tunajua ya kaskazini keshamaliza, sasa anavamia Iringa na Singida huko nako wamemkosea nini?
 
Sasa kama wazee walimwambia asubiri Mbowe ataongoza muhula mmoja zaidi ulitaka Zitto asijiandae kugombea Uenyekiti? Je, umewahi kujiuliza kwa nini baada ya hapo kamati kuu walifuta muda kiongozi kukaa madarakani? Ni rahisi sana kusema kina Zitto waliifanya siri kuandika waraka lakini mnashindwa kujiuliza kwanza kwa nini kamati kuu walifanya marekebisho ya Katiba katika kipengele hicho kwa siri (kugushi)..


Ambacho hakueleza ni kuwa yeye hakutaka kugombea unyeketi ni toto na ujana ndo ulimsukuma kujaza ile fomu pale Airport baada ya kushindikizwa na "masalia" Hivyo alijaza ile fomu si kwa mapenzi mema ya kujenga chama kama anavyowadangaya hao wana Kigoma bali ilikuwa ni "Ngoja niwaonyeshe kuwa hata mimi ninaweza kuwa Mwenyekiti"

Wewe ni mtu wake wa karibu unafahamu fika kuhusu Unyekiti. Na kama hufahamu hii story kwa undani basi muulize na akiwa mkweli kwako ataongea nilichoandika hapo juu.
 
Kama hilo lilitokea akina Zitto walikuwa na wajibu wa kulisema, siyo kukimbia uani na kuandika uchochezi

Walitakiwa wasimame kwa kilicho sahihi, si kujificha na kuanza kuandika matusi. Too low for erudite

Kama kumbukumba zangu ziko sawa katiba ilibadilshwa Mwaka 2006... (I stand to be corrected)
 
Kama hilo lilitokea akina Zitto walikuwa na wajibu wa kulisema, siyo kukimbia uani na kuandika uchochezi

Walitakiwa wasimame kwa kilicho sahihi, si kujificha na kuanza kuandika matusi. Too low for erudite
Mkuu mtu/watu wanaoamua kubadilisha katiba huwezi kuona hii ni dharau kubwa kwa wanachama? Halafu kwa ujinga fulani wanadai kwa nini mtu hoyu hakupepeleka malalamiko toka mwaka 2006 wakati Katiba imeandikwa Upya. Ilihali wametokea mashahidi kibao wanaodai swala hilo hilo kwamba swala la UKOMO wa KIONGOZI halikuzungumziwa katika baraza kuu wala mkutano mkuu.
 
Mkuu mtu/watu wanaoamua kubadilisha katiba huwezi kuona hii ni dharau kubwa kwa wanachama? Halafu kwa ujinga fulani wanadai kwa nini mtu hoyu hakupepeleka malalamiko toka mwaka 2006 wakati Katiba imeandikwa Upya. Ilihali wametokea mashahidi kibao wanaodai swala hilo hilo kwamba swala la UKOMO wa KIONGOZI halikuzungumziwa katika baraza kuu wala mkutano mkuu.
Ni dharau kama ile ile waliyoitenda tena baada ya kujifunza. Katiba ikabadilishwa masaa 24 ku accomodate mtu na si chama.

Alinda kauliza, si ilikuwa 206 na wakati huo kiongozi mkuu akiwa naibu?

Hoja yangu ni kuwa linapotokea tatizo kiongozi anasimama na kulisema.
Kwenda kujificha maliwato na kuandika matusi is too low for elite
 
Ambacho hakueleza ni kuwa yeye hakutaka kugombea unyeketi ni toto na ujana ndo ulimsukuma kujaza ile fomu pale Airport baada ya kushindikizwa na "masalia" Hivyo alijaza ile fomu si kwa mapenzi mema ya kujenga chama kama anavyowadangaya hao wana Kigoma bali ilikuwa ni "Ngoja niwaonyeshe kuwa hata mimi ninaweza kuwa Mwenyekiti"

Wewe ni mtu wake wa karibu unafahamu fika kuhusu Unyekiti. Na kama hufahamu hii story kwa undani basi muulize na akiwa mkweli kwako ataongea nilichoandika hapo juu.
Dada demokrasia inamruhusu mtu yeyote kugombea Uenyekiti kwa sababu zake anazoziona yeye zinaweza kumpa ushindi. Kazi ya kamati za chama NEC ni kuchambua hizo sababu (sifa) kama kweli mtu huyo anafaa kuwa kiongozi.

Kumkataza mtu asigombee Uenyekiti kwa sababu mnazojenga wenyewe sio Demokrasia bali demokrasia ni kutomchagua mtu huyo, lakini ile haki yake ya kugombea inabakia pale pale. Mimi najua mengi sana ambayo yamefichwa fichwa kumbuka katiba ya mwanzo ya Chadema yenye kipengele hicho ya mwaka 2004, na Hivyo Ukomo wa kiongozi unaanzia pale sheria hii ilipokubaliwa lakini hawa jamaa zangu wakitetea hoja hiyo huanzia kurudi nyuma hadi mwaka 1995 kutaja viongozi wa zamani kabla ya sheria hiyo wakati kipengele hicho cha UKOMO kilikuwepo mwaka 2004, hivyo mgombea yeyote wa awali hatenguliwi na sheria kwa sababu itatazamwa nyuma alikuwepo miaka mingapi auawamu ngapi.

Ni utetezi wa kijinga tu maana mwisho wa siku yale yale walokuwa wakiyakataa kuwa ndio malengo yao na kusema haiwezekani wamerudi wenyewe kuchukua tena Uongozi. Haiwezekani katiba iandikwe mwaka 2004, ghafla miaka miwili tu baadaye Katiba mpya inaandikwa tena upya mkitegemea wanachama wataisoma yote na kuelewa kila kitu ndani yake. Mimi hapa hadi leo Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 sijaiweka kichwani iwe hiyo ya chama na yapo mambo nayagundua leo kuwa hayako sawa!.
 
Ni dharau kama ile ile waliyoitenda tena baada ya kujifunza. Katiba ikabadilishwa masaa 24 ku accomodate mtu na si chama.

Alinda kauliza, si ilikuwa 206 na wakati huo kiongozi mkuu akiwa naibu?

Hoja yangu ni kuwa linapotokea tatizo kiongozi anasimama na kulisema.
Kwenda kujificha maliwato na kuandika matusi is too low for elite
Mkuu sikiliza hiyo hotuba ya mtu wako ujue kina nani walihusika na marekebisho ya katiba.. Kitu ambacho huelewi katiba iliandikwa 2006 nqa ikapitishwa na baraza kuu na Mkutano mkuu kisha baadaye on whose command wakachaguliwa watu (msemaji kawataja akiwepo na yeye) kuifanyia marekebisho na hapo ndipo hatujui kilifanyika nini..

Wanachodai Viongozi wa Chadema ni kwamba hata ile ya kwanza 2006 (original) kabla ya marekebisho hakikuwepo kipengele hicho cha UKOMO, lakini msikilize vizuri msemaji utaona walikwenda kufanya baadaye mabadiliko hasa kwenye vipengele hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom