Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Mkuu wangu Mkandara sijui kwa nini hili jibu hawalitaki wakati limeeleza wazi.

Zitto,

Tanga ni ya 8 katika kuchangia Pato la Taifa. Pia ni mkoa wa 8 kwa kiwango cha maendeleo ya watu wake.Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7.Mikoa iliyo nyuma zaidi kimaendeleo nchini ni Kigoma, Singida, Dodoma, Kagera na Tabora. Hata hivyo Tabora ni mkoa wa 10 kwa kuchangia katika Pato la Taifa na Kagera ni mkoa wa 11 katika GDP.Mikoa yenye mchango mdogo zaidi kwenye Pato la Taifa ni Pwani (1.85%), Lindi (1.89%) na Singida (1.92%). Hata hivyo Lindi inashika nafasi ya 9 kwa Maendeleo, juu ya Shinyanga inayochangia 6% katika GDP.Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu.
Ndio maana nasema unachafua mjadala.
Upo katika rekodi hujui alisema nini Shinyanga. Haya unayoaweka ni katika kuchafua mjadala.
Please unaweza kusoma au kutosoma si kujaza vitu watu wanajua haviina ukweli.
Tuikuulize hiyo ni hotuba ya wapi? kama hujui mi hoyuba ya aliyotoa wapi, tafadhali unaweza kusoma tu, ni vema pia

Na katika kuonyesha ubabaishaji, hakuna anayeweka hotuba kamili wala video.
Mnafahamu matatizo yake. Hivi alipanda na kuanzia hapo tu! achilia mbali hujui alisema nini wapi!Tunarudia hujui alisema nini wapi

Upo katika rekodi ukisema hukujua kasema nini. Na hatudhani unajua tunazungumzia nini.


Mkandara tunasubiri majibu

1. Mikoa mingine imenyimwa haki gani?
2. Fursa gani anazopigani kiongozi mkuu zinazokandamizwa na wananchi wa maeneo mengine?
 
Ndio maana nasema unachafua mjadala.
Upo katika rekodi hujui alisema nini Shinyanga. Haya unayoaweka ni katika kuchafua mjadala.
Please unaweza kusoma au kutosoma si kujaza vitu watu wanajua haviina ukweli.
Tuikuulize hiyo ni hotuba ya wapi? kama hujui mi hoyuba ya aliyotoa wapi, tafadhali unaweza kusoma tu, ni vema pia

Na katika kuonyesha ubabaishaji, hakuna anayeweka hotuba kamili wala video.
Mnafahamu matatizo yake. Hivi alipanda na kuanzia hapo tu! achilia mbali hujui alisema nini wapi!Tunarudia hujui alisema nini wapi

Upo katika rekodi ukisema hukujua kasema nini. Na hatudhani unajua tunazungumzia nini.


Mkandara tunasubiri majibu

1. Mikoa mingine imenyimwa haki gani?
2. Fursa gani anazopigani kiongozi mkuu zinazokandamizwa na wananchi wa maeneo mengine?
Nachafua mjadala upi Nguruvi3 kupingana na hoja zenu ndiyo kuchafua mjadala? Nguruvi3 JF siyo mali yako kupangia watu vitu vya kuandika unataka niandike vitu vya kukufurahisha wewe hapana mie siwezi hii dhana ya kutofautiana na mtu fikra na mitazamo mnaita kuchafua mjadala? Yaani nyie mpotoshe kwa kutumia fikra zenu mkipingwa nachafua mjadala, Nguruvi3 usijione wewe supreme leader wa ili jukwaa kila utakacho kiandika wewe ni msahafu watu tusipinge tafadhali sana please usinipangie cha kuandika humu JF umegeuka kuwa msemaji wa watu wote hayo mamlaka umeyapata wapi? Wewe unavyokesha kumchafua Zitto si unajaza server tu au wewe ndiyo una mamlaka ya kuandika pekee yako wengine wakiandika unasema wanajaza vitu eboo!!

Ahsante.
 
Last edited by a moderator:
Hitimisho na point kubwa ya ujumbe wake wote ni kaitka maandishi hayo mekundu (Huwezi kuwa na nchi tajiri lakini watu wake Maskini!...) Mimi sio mtu wa Shinyanga wala Kigoma inakuwaje naona kuna matatizo ya Kimfumo hapa ktk kuwapa haki yao lkn hawa jamaa zangu wanaona tu Kilimanjaro na Arusha!
..
Ndio maana tunakuuliza mkuu, kwani haki ipi unayoona wamenyimwa ili sote tusimame pamoja?

Ni kipi haswa walichotendewa ndivyo sivyo

Je mkuu unaamini kuna maeneo yamewaonea hao unaosema hawatendewi haki?

Kama mfumo una matatizo, kwanini kiongozi mkuu abebeshe watu lawama badala ya mfumo unaosema?
 
SWali zuri sana ukipata jibu naomba unimention...
Subiri subiri nyuzi isonge mbele, tukidanikiwa kupewa tutakualika. Kwasasa ''subiri subiri'' maswali tuliyouliza yakishafunikwa funikwa tutarejea !
 
Ndio maana nasema unachafua mjadala.
Upo katika rekodi hujui alisema nini Shinyanga. Haya unayoaweka ni katika kuchafua mjadala.
Please unaweza kusoma au kutosoma si kujaza vitu watu wanajua haviina ukweli.
Tuikuulize hiyo ni hotuba ya wapi? kama hujui mi hoyuba ya aliyotoa wapi, tafadhali unaweza kusoma tu, ni vema pia

Na katika kuonyesha ubabaishaji, hakuna anayeweka hotuba kamili wala video.
Mnafahamu matatizo yake. Hivi alipanda na kuanzia hapo tu! achilia mbali hujui alisema nini wapi!Tunarudia hujui alisema nini wapi

Upo katika rekodi ukisema hukujua kasema nini. Na hatudhani unajua tunazungumzia nini.


Mkandara tunasubiri majibu

1. Mikoa mingine imenyimwa haki gani?
2. Fursa gani anazopigani kiongozi mkuu zinazokandamizwa na wananchi wa maeneo mengine?
mkuu wewe una tatizo kubwa sana la kusahau ama unafanya makusudi maana hiyo hotuba sio tu imeeandikwa na Ritz kuna mada nyingine humu upande wa siasa kuna mtu aliiweka na niliinukuu kukuonyesheni aloyasema Ritz ni sawa kabisa na kilichoandikwa kwenye mada hiyo. Sasa siwezi kurudi nyuma kutafuta niliandika wapi wewe unayebisha itafute hotuba ya Zitto Shinyanga iko hapa hapa JF..Ama tuwekee wewe uloisikia wewe maana tuna ubishi usokwisha.

Kwa mwenye kusoma na kujua maana hawezi kuendelea kubisha ovyo ikiwa sera za Chadema zenyewe ni za majimbo kwa maana ile ile kwamba maendeleo ya sehemu nyingine yanacheleweshwa hivyo bora kufumua mfumo huu wa serikali kuu na kuweka majimbo. Halafu mkuu nikuulize kitu..Wewe umewahi kuishi Shinyanga au hata kufika..Mkoa hadi leo hii hawana maji unauliza wamenyimwa nini. Unawapigia kelele kuwa CCM wameshindwa kutawala wakati huoni kama kuna haki na fursa zimenyimwa, halafu waniuliza mimi haki na fursa gani... sikuwezi..
 
Mkuu nakumbuka sana, hotuba inayosemwa ni ya Shinyanga aliweka Adharusi.
Ritz akasema ''mkuu nashukuru umenifumbua macho'' akimaanisha hakujua hotuba.


Kabla ya hapo alisema amesikiliza hotuba kupitia radio.Tulipomhoji akasema ni ile ya viwanja vya furahisha Mwanza.
Ghafla imegeuka ndio hotuba ya kiongozi mkuu bila kusema ni ya wapi.

Ukiangalia,haiwezekani hotuba ikaanza
kama alivyoleta hata kama itakubalika. Kuna sehemu muhimu zimenyofolewa


Tumelinganisha ile ya Adharusi na Ritz zinatofautiana. Kwa maneno mengine kilichofanyika ni kubadili maneno.
Ndio msingi wa kusema, hajui anaongelea hotuba ipi, na alishakiri hajui sasa kuleta kitu asichokijua kila siku haina maana


Kuhusu Shinyanga, si kuwa nimepita bali nimeishi pia.Ninamshukuru Mungu nchi ya Tanzania nimeishi sehemu nyingi. Tatizo la Shinyanga kuhusiana na maji linafahamika. Hakuna anayeuliza kwanini mradi wa maji-Victoria ulipelekwa kule. Nadhani mradi ulichelewa sana, ilitakiwa ufanyike mapema

Matatizo kama hayo yalikuwepo Mtwara. Ujenzi wa daraja ilikuwa ni faraja kwa taifa si watu wa kusini.
Leo kila mtu anasafiri bila tatizo na hayo ndiyo maendeleo


Ujenzi wa daraja la Kirumi ulikuwa ukombozi kwa wananchi waTarime. Ni ukombozi kwa nchi kwasababu wakati tunasafiri kupitia Kenya safari ilikuwa rahisi. Daraja hili likijengwa na Waitalia na kubomolewa na matete nimeona kwa macho yangu

Daraja lilikuwa ukombozi kwa watanzania waliokuwa wanakwenda Shirati Hospitali.
Hiyo ndiyo Hospitali iliyokuwa ina uwezo wa kutibu Baurkit'sLymphoma hapa nchini.

Ilikuwa chini ya bodi na mwenyekiti akiwa Kembo Migire,mkuu Jasusi nisahihishe kama nimekosea.


Mafanikio yetu ni ya ujumla. Tunachokataa ni hizi habari za kiongozi wetu mkuu kusema eti matatizo ya eneo fulani ni matokeo ya eneo jingine.

Kusema, anayechangia sana apate zaidi. Well, kama mwendo utakuwa huo,Singida, Kigoma n,k watakuwa katika hali gani?

Tunachopinga ni kuwapumbaza watu kwa kauli na tawkimu zisizona maana.

Nadhani umesoma habari wa wananchi wa Nronga. Kama mkoa mzima unamwamko huo, kwanini tuchukue sehemu yao kupeleka kwingine
eti kugawana maendeleo?

Kwanini tuwalaumu wananchi wa Nronga au kwinginewanaojiendeleza kwa kuwa kikwazo kwa wengine?
Kuna kosa gani mkoa ukiendelea kwa jitihada zake

Kama kuna matatizo ya serikali kuu basi yawe hivyo na yasemwe hivyo, hatuwezi kuwatwisha lawama wananchi wasiohusika kwa namna yoyote kwa sera mbovu za CCM

Badala ya kuiendea mikoa kwa hasira, kiongozi mkuu angeiendea CCM.

Hakufanya hivyo, na hapo tunauliza, huo si mpini wa
CCM?
 
Mkuu nakumbuka sana, hotuba inayosemwa ni ya Shinyanga aliweka Adharusi.
Ritz akasema ‘’mkuu nashukuru umenifumbua macho’’ akimaanisha hakujua hotuba.


Kabla ya hapo alisema amesikiliza hotuba kupitia radio.Tulipomhoji akasema ni ile ya viwanja vya furahisha Mwanza.
Ghafla imegeuka ndio hotuba ya kiongozi mkuu bila kusema ni ya wapi.

Ukiangalia,haiwezekani hotuba ikaanza
kama alivyoleta hata kama itakubalika. Kuna sehemu muhimu zimenyofolewa


Tumelinganisha ile ya Adharusi na Ritz zinatofautiana. Kwa maneno mengine kilichofanyika ni kubadili maneno.
Ndio msingi wa kusema, hajui anaongelea hotuba ipi, na alishakiri hajui sasa kuleta kitu asichokijua kila siku haina maana


Kuhusu Shinyanga, si kuwa nimepita bali nimeishi pia.Ninamshukuru Mungu nchi ya Tanzania nimeishi sehemu nyingi. Tatizo la Shinyanga kuhusiana na maji linafahamika. Hakuna anayeuliza kwanini mradi wa maji-Victoria ulipelekwa kule. Nadhani mradi ulichelewa sana, ilitakiwa ufanyike mapema

Matatizo kama hayo yalikuwepo Mtwara. Ujenzi wa daraja ilikuwa ni faraja kwa taifa si watu wa kusini.
Leo kila mtu anasafiri bila tatizo na hayo ndiyo maendeleo


Ujenzi wa daraja la Kirumi ulikuwa ukombozi kwa wananchi waTarime. Ni ukombozi kwa nchi kwasababu wakati tunasafiri kupitia Kenya safari ilikuwa rahisi. Daraja hili likijengwa na Waitalia na kubomolewa na matete nimeona kwa macho yangu

Daraja lilikuwa ukombozi kwa watanzania waliokuwa wanakwenda Shirati Hospitali.
Hiyo ndiyo Hospitali iliyokuwa ina uwezo wa kutibu Baurkit’sLymphoma hapa nchini.

Ilikuwa chini ya bodi na mwenyekiti akiwa Kembo Migire,mkuu Jasusi nisahihishe kama nimekosea.


Mafanikio yetu ni ya ujumla. Tunachokataa ni hizi habari za kiongozi wetu mkuu kusema eti matatizo ya eneo fulani ni matokeo ya eneo jingine.

Kusema, anayechangia sana apate zaidi. Well, kama mwendo utakuwa huo,Singida, Kigoma n,k watakuwa katika hali gani?

Tunachopinga ni kuwapumbaza watu kwa kauli na tawkimu zisizona maana.

Nadhani umesoma habari wa wananchi wa Nronga. Kama mkoa mzima unamwamko huo, kwanini tuchukue sehemu yao kupeleka kwingine
eti kugawana maendeleo?

Kwanini tuwalaumu wananchi wa Nronga au kwinginewanaojiendeleza kwa kuwa kikwazo kwa wengine?
Kuna kosa gani mkoa ukiendelea kwa jitihada zake

Kama kuna matatizo ya serikali kuu basi yawe hivyo na yasemwe hivyo, hatuwezi kuwatwisha lawama wananchi wasiohusika kwa namna yoyote kwa sera mbovu za CCM

Badala ya kuiendea mikoa kwa hasira, kiongozi mkuu angeiendea CCM.

Hakufanya hivyo, na hapo tunauliza, huo si mpini wa
CCM?
Nguruvi3.

Kanda ya ziwa kote alikopita Zitto hotuba zake karibia zote zilikuwa zinafanana wewe ambaye unabisha tumekuambia tuwekee basi hiyo hotuba ya ukweli ya Zitto huna.

Hapo juu mkuu Mkandara kakuelewesha vizuri sana lakini bado hautaki.

Kwa faida ya Wanaukumbi naweka hii link muipitie muone hiyo hotuba ambayo imewekwa na mfuasi wa Chadema siyo Ritz wala Adharusi.na kaifungulia uzi jukwaa la siasa kabla yetu sisi.

Wanaukumbi hii hapa link...

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-mikoa-yenye-maendeleo-zaidi-tanzania-8.html

Sasa Nguruvi3 tuambie huyo jamaa wa Chadema anayepingana na Zitto kaitoa wapi hiyo hotuba au naye kaongeza maneno yake halafu hapo hapo anapingana na Zitto daah!!!.


Wanaukumbi nadhani mmeona wenyewe mimi sijaongeza kitu kwenye hayo maneno nakuuliza Nguruvi3 hotuba ya Zitto uliyoshika mkononi kama ushahidi ipo wapi kwa faida ya Wanaukumbi tuwekee hiyo hotuba tuosome tukate mzizi wa fitna kama hauna basi utaendelea kujifungia ndani na laptop na kutengeneza drama zako zisizo isha na kuziwekea vionjo.

Mkuu huu uzi utakuachia majeraha mengi sana.
 
Last edited by a moderator:
Ritz,
Mimi nimeshachoka na hawa jamaa zetu wameufanya ukumbi huu kuwa wa ushabiki badala ya great thinker maana wanaenda kila kona kutafuta sababu zao tu. Na ndio maana nchi hii kupata maendeleo itakuwa shida kwa sababu watu wanatumia unazi katika kuchagua badala ya kuamini na ndio maana neno HAKI ama FURSA hawalioni katika utekelezaji isipokuwa pale penye maslahi yao.
Mimi kama Mjamaa naamini ELIMU,AFYA ni HAKI ya kila mwananchi. Sasa unakuta mkoa umeachwa nyuma katika huduma hizi kwa sababu chama au watawala ni waumini wa Ubepari na kwamba Elimu na Afya ni privilege sio Right ya wananchi halafu tunqqnzq kubishana pasipo kuzingatia itikadi hizo ila tunavyojisikia ktk unazi huu inakuwq vigumu kwangu kujibu kila hoja maana naona kama wanafanya mzaha, ni watu wanaopenda kucheza na akili za watu kama kwamba maisha ya wananchi ni sehemu ya majaribio. Kwa hiyo wakati mwingine wapuuze kwa sababu juko mbele sitoshangaa Nguruvi akiomba tena hotuba ya Zitto Shinyanga au kuuliza alisema nini...Anyway watu wameua Tower yangu juzi nilikuwa JF ghafla ikaganda mara ntolee motherboard imekufa naambie videovard ndio ili trigger yote...
 
Last edited by a moderator:
Ritz,
Mimi nimeshachoka na hawa jamaa zetu wameufanya ukumbi huu kuwa wa ushabiki badala ya great thinker maana wanaenda kila kona kutafuta sababu zao tu. Na ndio maana nchi hii kupata maendeleo itakuwa shida kwa sababu watu wanatumia unazi katika kuchagua badala ya kuamini na ndio maana neno HAKI ama FURSA hawalioni katika utekelezaji isipokuwa pale penye maslahi yao.
Mimi kama Mjamaa naamini ELIMU,AFYA ni HAKI ya kila mwananchi. Sasa unakuta mkoa umeachwa nyuma katika huduma hizi kwa sababu chama au watawala ni waumini wa Ubepari na kwamba Elimu na Afya ni privilege sio Right ya wananchi halafu tunqqnzq kubishana pasipo kuzingatia itikadi hizo ila tunavyojisikia ktk unazi huu inakuwq vigumu kwangu kujibu kila hoja maana naona kama wanafanya mzaha, ni watu wanaopenda kucheza na akili za watu kama kwamba maisha ya wananchi ni sehemu ya majaribio. Kwa hiyo wakati mwingine wapuuze kwa sababu juko mbele sitoshangaa Nguruvi akiomba tena hotuba ya Zitto Shinyanga au kuuliza alisema nini...Anyway watu wameua Tower yangu juzi nilikuwa JF ghafla ikaganda mara ntolee motherboard imekufa naambie videovard ndio ili trigger yote...
Mkuu Mkandara.

Nimekuelewa kiundani mno kwenye hii bayana yako shukran sana.
 
Last edited by a moderator:
Ritz,
Mimi nimeshachoka na hawa jamaa zetu wameufanya ukumbi huu kuwa wa ushabiki badala ya great thinker maana wanaenda kila kona kutafuta sababu zao tu.

Na ndio maana nchi hii kupata maendeleo itakuwa shida kwa sababu watu wanatumia unazi katika kuchagua badala ya kuamini na ndio maana neno HAKI ama FURSA hawalioni katika utekelezaji isipokuwa pale penye maslahi yao.

Mimi kama Mjamaa naamini ELIMU,AFYA ni HAKI ya kila mwananchi. Sasa unakuta mkoa umeachwa nyuma katika huduma hizi kwa sababu chama au watawala ni waumini wa Ubepari na kwamba Elimu na Afya ni privilege sio Right ya wananchi halafu tunqqnzq kubishana pasipo kuzingatia itikadi hizo ila tunavyojisikia ktk unazi huu inakuwq vigumu kwangu kujibu kila hoja maana naona kama wanafanya mzaha, ni watu wanaopenda kucheza na akili za watu kama kwamba maisha ya wananchi ni sehemu ya majaribio.

Kwa hiyo wakati mwingine wapuuze kwa sababu juko mbele sitoshangaa Nguruvi akiomba tena hotuba ya Zitto Shinyanga au kuuliza alisema nini...Anyway watu wameua Tower yangu juzi nilikuwa JF ghafla ikaganda mara ntolee motherboard imekufa naambie videovard ndio ili trigger yote...
Kusimama katika haki kama ni ushabiki, basi na uwe. Hatutakaa kimya watu wakilaani kuchezewa katiba kisha wakaenda si kuichezea bali kuivurunda.
Hayo hamtaki kusikia, wakweli watasimamama na kusema 'katiba kubadilishwa kwa ajili ya mtu withini 24 hr ni sawa?

Kuchonganisha mikoa ni kosa kubwa sana kimaadili, kifikra na kimakuzi.

Huwezi kutukana watu wote mtaani kwasababu una ugomvi na mzee Wang'ing'ombe au Masawe.
Kama kukemea uhuni ni ushabaiki,hewala na iwe. Kushambulia mikoa bila sababu, hapana

Kutupa data za kuwatia hasira wananchi ni kutafutia balaa taifa hili. Kama kukemea ni ushabiki, na iwe hivyo!

Nyote mnakubali kuwa kazi ya kukemea ni nzuri. Alinda kasema ndio maana mnasema mbona Mbowe kasema, mbona abcd mkijua kuwa alichosema kiongozi mkuu ni batili, ni hafifu, ni dhalili na ni utoto uliokithiri.

Msichotaka kusikia ni mwendelezo wa makemeo, mnataka kwa ushabiki tufunike uvundo

Hapana! taifa hili ni letu sote. Tutalilinda dhidi ya wahuni wanaotaka kulivuruga na kuligawa.

Hatupo tayari kuiona Tanzania ya 'wahutu na watusi''. Hapana! tunaogopa ! no way, wanaopenda uhutu na utusi wavuke mpaka !
Tutakemea tu

Kuhusu Elimu, Mkandara hakuna mkoa ulioachwa! Hivi ule uliofunga shule kwa kukosa wanafunzi umeachwaje nyuma?
Lazima uangalie kulia na kushoto, si kuandika tu mkuu.

Tunasema, maendeleo ni zao la fursa iliyokutana na jitihada! Maendeleo iwe ya afya, elimu n.k. hayaletwi kama kontena la ubuyu au mitumba mkuu. Ni jitihada za wahusika. Leo wapo wanaotaka sehemu x zivutwe nyuma kusubiri Z !
 
Ritz,
Mimi nimeshachoka na hawa jamaa zetu wameufanya ukumbi huu kuwa wa ushabiki badala ya great thinker maana wanaenda kila kona kutafuta sababu zao tu...

Umedokeza jambo ambalo limekuwa linanisumbua sana.

Nguruvi, Alinda ufike wakati tujiulize kama hii Zittophobia iliyokuwa specialized hapa ina vigezo vya kuwa kwenye jukwaa la great thinkers.

Na twende mbele zaidi tujiulize kama haya yaliyomo kwenye thread hii yanalisaidia taifa au yanaligawa zaidi.
Ni wakati wa kujihoji wenyewe na kuchukua hatua.
 
Last edited by a moderator:
Umedokeza jambo ambalo limekuwa linanisumbua sana.

Nguruvi, Alinda ufike wakati tujiulize kama hii Zittophobia iliyokuwa specialized hapa ina vigezo vya kuwa kwenye jukwaa la great thinkers.

Na twende mbele zaidi tujiulize kama haya yaliyomo kwenye thread hii yanalisaidia taifa au yanaligawa zaidi.
Ni wakati wa kujihoji wenyewe na kuchukua hatua.
Prove us wrong dude!

Hakuna Phobia ya aina yoyote. Kilichopo ni kuonyesha, na kukemea siasa maji taka, siasa muflisi za mhangaiko

Huwezi kusema mkoa fulani upo nyuma kimaendeleo kwasababu mikoa abcd ndicho chanzo wenye akili wakakuelewa!

Yaliyomo katika thread hii yanasaidia sana taifa. Leo tunajua nani wapo tayari kulivuruga taifa na kuligawa kwa misingi ya ukanda na ukabila. Hawa wamebeba mabango wakitaka ujamaa wa Nyerere bil haya wala soni.
Ndio wanahubiri demokrasia nyuma ya pazia wakbadili n katiba na kufukuza wenzao kwa mtindo walioukataa!
vigeugeu na genge la wahuni litaanikwa bila kuomba msahama

Kitu ambacho hukikumbuki au hukukipitia ni ukweli kuwa tuliwahi kumtahadharisha kiongozi mkuu
Tulisema ' yapo makundi 3 tukayelezea, na kisha kuhitimisha kuwa kiongozi mkubwa amejiweka katika nafasi anayotakiwa kuwa mwangalifu sana wa maneno na kauli zake tkijua uzito na ugumu unaomkabili kutokana na makosa yake. Tulimuonya!

Kinachowakera ni kuonyesha utapeli, lakini hatujali kama watu 10 watakereka kwa faida ya watu milioni 45.
Leo chuki ipandwe na kundi la watu kwa ajili ya mtu mmoja tukae kimya! tunalitendea haki taifa kweli

Tunadhani mngejiuliza, kauli za supreme leader zina maana katika taifa hili? Zinalisaidiaje taifa hili?
Tulichoona ni kuamsha chuki, sasa hilo linajenga vipi taifa?
 
“First they ignore you, then they ridicule you, then they fight you, and then you win.”
Mahatma Gandhi
Wamevuka stage ya kwanza ya kum-ignore, ndio maana wanamfuatilia kila anapopita.
Saizi wapo kwenye stage ya pili,kumkashifu na kumzomea,
Kisha Zitto atafight back kwa kuendelea kusimama na hoja zenye nguvu,kushinda ubunge, kuendelea kuwa kinara wa hoja zenye maslahi ya taifa, kupambana sana na serikali bungeni.
Baada ya hapo hawa hawa, watasalimu amri na kukukubali kuwa alionewa ,
watampa ushindi.
 
"First they ignore you, then they ridicule you, then they fight you, and then you win."
Mahatma Gandhi
Wamevuka stage ya kwanza ya kum-ignore, ndio maana wanamfuatilia kila anapopita.
Saizi wapo kwenye stage ya pili,kumkashifu na kumzomea,
Kisha Zitto atafight back kwa kuendelea kusimama na hoja zenye nguvu,kushinda ubunge, kuendelea kuwa kinara wa hoja zenye maslahi ya taifa, kupambana sana na serikali bungeni.
Baada ya hapo hawa hawa, watasalimu amri na kukukubali kuwa alionewa ,
watampa ushindi.
Muhimu tu atuachie taifa letu kama watu wamoja. Asituvuruge wala kugawa taifa

Hakuna anayemzuai, tunamtakia kila la kheri kwa kila nafasi anayotaka

Hatutakaa kimya wahuni na uhuni ukitamalaki. Siasa maji taka zikitawala. T
aifa likivurugwa kwa chuki za kikabila na kikanda. '' uhutu na utusi'' ukipandwa

Hatutakaa kimya uhuni kushambulia mikoa na kanda ukifanyika.

Uhuni wa kutaka kura bila kujali damu ya wananchi na umoja wa taifa. Tutakemea bila haya, huruma au uonevu.
 
Kwanini tuwalaumu wananchi wa Nronga au kwinginewanaojiendeleza kwa kuwa kikwazo kwa wengine?
Kuna kosa gani mkoa ukiendelea kwa jitihada zake

Kama kuna matatizo ya serikali kuu basi yawe hivyo na yasemwe hivyo, hatuwezi kuwatwisha lawama wananchi wasiohusika kwa namna yoyote kwa sera mbovu za CCM

Badala ya kuiendea mikoa kwa hasira, kiongozi mkuu angeiendea CCM.

Hakufanya hivyo, na hapo tunauliza, huo si mpini wa
CCM?

Nianze na hadithi kidogo,samahani:
Kulikua na safari moja ya kwenda mbugani kutalii ya watu wawili,msomi na asie msomi.walipofika porini usiku wakafungua hema wakalala,usiku wa manane asiekua msomi,akashtuka.
Asiekua msomi:Akamuamsha msomi,akauliza umegundua nini angani?
Msomi:akajibu,nimegundua uumbaji mzuri sana wa dunia,nyota ang'avu,mbalamwezi n.k,alafu msomi akamuuliza swali asiekua msomi,wewe umegundua nini?
Asiemsomi:akajibu,nimegundua Hema letu limeibiwa,maana hema lingekuwepo msomi asingeona nyota.mwisho wa Hadithi
Nauliza Swali,hivi Zitto alipokua shinyanga na akasema tatizo letu ni mfumo,wa nchi hauko sawa KATIKA mgawanyo wa Rasilimali,hivi hapa unatakiwa ufike chuo kikuu KUJUA kuwa anaisema serikali ya CCM,ulidhiki mpaka litajwe neno CCM, hakuna sehemu Zitto alipotajwa watu wa sehemu Fulani wanachangia kidogo,kazungumzia mkoa(watu mchanyiko,kabila,dini)wewe ndio ulieleta Mambo ya kabila.
 
Nianze na hadithi kidogo,samahani:
Kulikua na safari moja ya kwenda mbugani kutalii ya watu wawili,msomi na asie msomi.walipofika porini usiku wakafungua hema wakalala,usiku wa manane asiekua msomi,akashtuka.
Asiekua msomi:Akamuamsha msomi,akauliza umegundua nini angani?
Msomi:akajibu,nimegundua uumbaji mzuri sana wa dunia,nyota ang'avu,mbalamwezi n.k,alafu msomi akamuuliza swali asiekua msomi,wewe umegundua nini?
Asiemsomi:akajibu,nimegundua Hema letu limeibiwa,maana hema lingekuwepo msomi asingeona nyota.mwisho wa Hadithi
Nauliza Swali,hivi Zitto alipokua shinyanga na akasema tatizo letu ni mfumo,wa nchi hauko sawa KATIKA mgawanyo wa Rasilimali,hivi hapa unatakiwa ufike chuo kikuu KUJUA kuwa anaisema serikali ya CCM,ulidhiki mpaka litajwe neno CCM, hakuna sehemu Zitto alipotajwa watu wa sehemu Fulani wanachangia kidogo,kazungumzia mkoa(watu mchanyiko,kabila,dini)wewe ndio ulieleta Mambo ya kabila.
Ndugu yangu hebu tueleze kuna uhusiano gani kati ya mkoakuchangia na maendeleo

Pili, kauli hii '' kwani kuna dhambi mtu wa Kigoma kugombeauenyekiti' ina maana gani

Tatu,mfumo uliopo"(haupo sawa) unagawaje rasilimali zakekiasi cha kusema si sawa?
Tuna maana ni kigezo au vigezo gani umetumia wewe na supremekufikia htimisho hilo

Nne, Kilimanjaro na Arusha ni 9 na 7 katika kuchangia patola taifa.
Hata hivyo, mikoa hiyo ipo juu kwa maendeleo. Hebu tufafanulie hapa alimaanisha nini


Tunakusikiliza. Ukipotea, upotee kabisa maana una utamaduni wa kukimbia nyuzi , ikisonga mbele unarudi na tuhuma. Hebu twende taratibu katika kueleweshana.
 
Nguruvi3.

Kanda ya ziwa kote alikopita Zitto hotuba zake karibia zote zilikuwa zinafanana wewe ambaye unabisha tumekuambia tuwekee basi hiyo hotuba ya ukweli ya Zitto huna.

Hapo juu mkuu Mkandara kakuelewesha vizuri sana lakini bado hautaki.

Kwa faida ya Wanaukumbi naweka hii link muipitie muone hiyo hotuba ambayo imewekwa na mfuasi wa Chadema siyo Ritz wala Adharusi.na kaifungulia uzi jukwaa la siasa kabla yetu sisi.

Wanaukumbi hii hapa link...

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-mikoa-yenye-maendeleo-zaidi-tanzania-8.html

Sasa Nguruvi3 tuambie huyo jamaa wa Chadema anayepingana na Zitto kaitoa wapi hiyo hotuba au naye kaongeza maneno yake halafu hapo hapo anapingana na Zitto daah!!!.


Wanaukumbi nadhani mmeona wenyewe mimi sijaongeza kitu kwenye hayo maneno nakuuliza Nguruvi3 hotuba ya Zitto uliyoshika mkononi kama ushahidi ipo wapi kwa faida ya Wanaukumbi tuwekee hiyo hotuba tuosome tukate mzizi wa fitna kama hauna basi utaendelea kujifungia ndani na laptop na kutengeneza drama zako zisizo isha na kuziwekea vionjo.

Mkuu huu uzi utakuachia majeraha mengi sana.

Nguruvi3,

Naona kuna suala hapa umeulizwa na A Akhiy Ritz ni suala zuuri na la msingi sana kwetu sote kwani hotba utakayoiweka itatubainishia kujua nani mkweli na nani mrongo na mchakachuwaji kwani kiini cha tatizo na mtafuruku wa uzi huu ni kuhusu hizo hotba za Zitto.

Tuwekee tafadhwal.
 
Umedokeza jambo ambalo limekuwa linanisumbua sana.

Nguruvi, Alinda ufike wakati tujiulize kama hii Zittophobia iliyokuwa specialized hapa ina vigezo vya kuwa kwenye jukwaa la great thinkers.

Na twende mbele zaidi tujiulize kama haya yaliyomo kwenye thread hii yanalisaidia taifa au yanaligawa zaidi.
Ni wakati wa kujihoji wenyewe na kuchukua hatua.
Nguruvi3 nilikwambia ukiwauliza maswali wanapotea.. wakiibuka ni -Alinda na Nguruvi3 wabaguzi..lol

Mkuu Kapwela nilikuuliza swali bado nasubiri majibu. Hivi uchangiaji katika pato la taifa, unachangiaje maendeleo katika sehemu husika?

Na je kama tukisema mkoa unaochangia zaidi uwe na maendeleo kuliko mkoa husio changia, tukienda na mantiki hiyo hiyo leo hii wakazi wa Shinyanga wakiuuliza kwanini Kigoma wajengewe barabara hali wao wanachangia kidogo sana katika pato la Taifa na sisi Shinyanga tunaochangia saaaana tuawechwe, Je hawa watu utawapa jibu gani la kuwaridhisha?

Swala la ubaguzi/kugawa taifa nilikuuliza hivi:
Hebu leta mstari hata mmoja tu kutoka kwangu au kwa Nguruvi3 ambao wewe unaona umejaa ubaguzi.Au unaogawa taifa
Hiki nacho umeshindwa/umesepa sasa tukuweke fungu gani? kwamba wewe ni muongo? kwamba wewe unaandika kwa hisia hisia? kwamba wewe unachuki na sisi? au tukuweke kundi gani?


Natumainai kuwa nitapata majibu..
 
Last edited by a moderator:
Ritz,
Mimi nimeshachoka na hawa jamaa zetu wameufanya ukumbi huu kuwa wa ushabiki badala ya great thinker maana wanaenda kila kona kutafuta sababu zao tu. Na ndio maana nchi hii kupata maendeleo itakuwa shida kwa sababu watu wanatumia unazi katika kuchagua badala ya kuamini na ndio maana neno HAKI ama FURSA hawalioni katika utekelezaji isipokuwa pale penye maslahi yao.
Mimi kama Mjamaa naamini ELIMU,AFYA ni HAKI ya kila mwananchi. Sasa unakuta mkoa umeachwa nyuma katika huduma hizi kwa sababu chama au watawala ni waumini wa Ubepari na kwamba Elimu na Afya ni privilege sio Right ya wananchi halafu tunqqnzq kubishana pasipo kuzingatia itikadi hizo ila tunavyojisikia ktk unazi huu inakuwq vigumu kwangu kujibu kila hoja maana naona kama wanafanya mzaha, ni watu wanaopenda kucheza na akili za watu kama kwamba maisha ya wananchi ni sehemu ya majaribio. Kwa hiyo wakati mwingine wapuuze kwa sababu juko mbele sitoshangaa Nguruvi akiomba tena hotuba ya Zitto Shinyanga au kuuliza alisema nini...Anyway watu wameua Tower yangu juzi nilikuwa JF ghafla ikaganda mara ntolee motherboard imekufa naambie videovard ndio ili trigger yote...

Mkuu hanayebisha kuwa mfumo wetu ni mbovu, hilo liko wazi, tunachobisha/au ambacho hatuelewi je huu mfumo mbovu ni kwa ajili ya baadhi ya mikoa tu au ni Tanzania nzima?

Unasema haki ya Elimu ni ukweli uliowazi kuwa elimu yetu Tanzania nzima ni mbovu, Mtoto aliyemaliza darasa la saba Geita hana tofauti na mtoto aliyemaliza darasa la saba Mtwara au Afya hali ya hospital zetu sote zinazohudumiwa na serikali ni mbovu iwe ni DAr, iwe ni Mwanza.. Na hili ni wa ajiri ya viongozi wetu ambao wao hawatumii hizi huduma, watoto wao wako English medium, wakiugua wanapelekwa India hivyo basi ni vigumu kuona tatizo kama huko nje, utaona tatizo pale uwepo ndani ya tatizo na hapo ndipo utaweza kupata wazo ya kulitatua.

Hebu tuchukulie mfn mdogo tu wa elmu yetu ya darasa la saba, Baada ya miaka 7 ya mtoto kukaa shule, anafanyiwa mtihani, huu mtihani wa siku moja/au wa masaa 4 mpaka 8 unatosha kumuamulia maisha ya huyu mtoto, kwamba wewe umefeli hivyo utabaki nyumbani hivyo basi.. Na viongozi wetu wanaona ni jambo la kawaida kabisa mtoto mdogo mwenye miaka 13 mpk 15 kuhukumu maisha yake ya mbeleni kwa mtihani wa siku moja tu. Huyu mtoto hapewi nafasi nyingine ya kusema ngoja ajaribu tena au kama serikali kuweka utaratibu wa watoto wote ambao hawakuweza kupata maksi za kuendelea na masomo ya O level basi warudie masomo yao kwa uangalizi wa walimu maalum au hata kupelekwa shule za ufundi iwe kwa lazima au kwa hiyari hapana, huo ndio unakuwa mwisho wa safari yake. Halafu hawa hawa viongozi do wenyewe wa kwanza kuanza kuwakashfu hawa watu kuwa ni "wanywa viloba" Sasa unategemea nini unapomuacha mtoto wa miaka 13 ajiamulie maisha yake mwenyewe? Hizi ndizo akili za viongozi wetu.

Tuna waziri wa watoto na jinsia, tuna waziri wa elimu na msululu mrefu sasa sijui wakifika ofisini huwa wanafanya nini?


Hivyo basi tatizo si mikoa, tatizo si kupendelewa au vyovyote vile manvyofikiria, tatizo ni viongozi wasio na maono ya mbeleni.

Tukienda kwenye ile dhana ya mkoa unachangia sana ni lazima uwe na maendeleo, swli litakuja na ninafahamu hutaweza kulijibu nalo ni je ile mikoa ambayo uchangiaji wake ni mdogo si haki wao kuwa na maendeleo? Kwamba nini

Lindi iwe na maendeleo hali Shinyanga hawana? (nitafurahi sana kupata ufafanzi wako)

Ofcourse ni lazima Tanzani nzima tuwe na maendeleo, tutakuwa na maendeleo pale ambapo tutawapa watu elimu, Elimu ndo mama wa kila kitu bila Elimu hakuna maendeleo hata leo ukiamua kuchukua mgao wa Tanznia nzima nakuwapelekea wana Shinyanga kama hawana elimu watabaki hivyo hivyo. Ukiangalia mkoa wa Shinyanga una fursa si kwa madini peke yake bali hata kwa wafungaji, Tanzania kuna soko kubwa la maziwa ya Ngómbe na nyama au hata nchi za jirani tu kinachotakiwa ni watu wapewe Elimu ya ufugaji bora, wajifunze ujasiriamali,wajengewe barabara ili waweza kusafirisha bidhaa zao ndani ya miaka 5 Shinyanga utakuwa mkoa mwingine kabisa. (maana dhahabu wameishaamu kuwapa ndugu zako Wakanada)(husinipe za uso lakini:A S wink🙂

Kwa maana hiyo utaona hapa tatizo si mgao wa Kili au Arusha tatizo ni viongozi wetu ambao wanawaze miaka 5 ya ubunge na nafasi za upendeleo na baada ya hapo wao kwao ndo mwisho wa Tanzania, hawafahamu Tanzania itakuwa hata baada ya miaka 500 ijayo.

Nitoke nje ya mada:

Ushuhuda: Mimi si mkazi wa Dar, kuna kipindi nilikuja kikazi, basi jamaa yangu yuko maeneo ya Goba, yaani hali niliyokuta Dar ilikuwa ni kihama maana nilikuwa ninatoka nyumbani saa 12 asubuhi kurudi ni saa 5 usiku hali kazi ilikuwa inaisha saa 10 jioni (sasa sijui kama ni ugeni au la).

Ila kituko cha mwaka ni pale ndege ya kwenda Mwanza ilikuwa inaondoka saa 7mchana, tulitoka Goba saa 3 asubuhi (private car) tulifika Airport saa 5asubuhi mwenyeji wangu nilimwabia kuwa hana haja ya kusubiri anaweza kuondoka tu, basi akawa amenishusha na kurudi Goba, ndege yangu iliondoka Dar saa 7 ilikuwa inachukua masaa mawili hivyo tulifika Mwanza saa 9mchana, kutoa mizigo na kusalimiana na watu wa hapa na pale (Airporrt) nilifika nyumbani saa 10jioni. Sasa nimefika ninampiga mwenyeji wangu kuwambia nimefika salama cha "ajabu aliniambia yeye hajafika labda baada ya dkkama 20 ndo atakuwa nyumbani, nilimuuliza umepitia sehemu? alijibu ni foleni hajapita sehemu yeyote.. nikasema nini?

Niliwaza hivi hawa viongozi wetu wanawaza nini? kama kutoka Airport kwenda Goba mtu anatumia masaa 5 hali itakuwaje baada ya miaka 20 au 50? Ila cha ajabu hakuna viongozi anayeumizwa na swala la foleni. watu wanapoteza muda mwingi ambao ungetumika katika ujezi wa Taifa au katika familia zao katika foleni. Viongozi kimya.

Nimeandika ya hapo juu kukuonyesha kuwa tatizo letu kama nchi ni viongozi ambao wamechoka kufikria, ambao hawana mawazo mapya, hawana mikakati yoyote ya kututoa hapa na kutupeleka pale. Wanaongoza kwa mazoea tu, wanafikiri miaka 50 iliyopita si miaka 50 ijayo. SWali ni kama wameshindwa kutatua haya maswala madogo madogo je wataweza maswala makubwa? jibu kila mtu analo.

Tusitoane macho, umasikini wetu si wa ajili ya watu wa mkoa fulani bali ni kwa ajili ya viongozi wabovu waliochoka kufikiria, wanaofikiri matumbo yao na familia zao. Hebu angalieni wabunge wanalipwa mil230 kwa kazi gani waliyoifanya? hivi hizi mil 230 zingepelekwa katika majibu na kutengezea ajira kwa vijana wetu walau vijana 50 tu kila jimbo iwe ni kilimo, ufugaji. ufundi na nk je ndani ya miaka 50 tungekuwa wapi? Hayo mashangingi wanayokopeshwa wangekuwa wanakuposha wakulima matreta ndani ya miaka 5 Tanzania ingekuwa ni aina gani?

Hivyo basi tusitoane macho, matatizo ya mtu wa Geita hayasababishwi na mkoa wa Iringa.. Labda mtu atuletee hapa takwimu za kudhibitisha hivyo.
 
Back
Top Bottom